Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya rudi kagonge like pale.
Chapchap sana.
Aiii jamani mbona muda tuu
Maisha mafupi mkuu. Vinuka mkojo wale watakuua kwa presha, wapotezee.
Kumbe leo jumatatu? Ngoja nimpelekee mkoloni makalio akayafanye atakavyo.
Good girl.
Will you marry me?
Usisahau kuna ka wimbo ka Bob Marley kanaitwa So much trouble in the world. Ntakuwa nakapiga wakati tunatengeneza mtoto.
not at all..i was just kidding manYeah..! Because you are frigid
Ha haaaa
Mie ntakuwa wa ngapi??
Hapana aisee and btw nini ndoa mwenzioo!
Kwetu Kuzuri wa Ambassadors of Christ.
Nikishapiga bao napenda kuliwazwa na wimbo wao wa Kwanini Umeyaruhusu.
Nikienda kuoga nafurahi kusikia kibao cha Tabata Mennonite Kidogokidogo Nikinyatanyata
Hamna sauti na nyimbo nzuri kama ya mwanaume akipiga bao Hua nazimia
Yani hiki kibuti si ungenipigia pm kule badala ya hapa hadharani tena mchana kweupe?
Kwakuwa umeniuzi, nakudediketia wimbo wa Dudu Baya, Nakupenda tu.
umenifurahisha..........u made my dayUtasikilizia mangapi;
Utamu au wimbo?