Duru: Chatanda tulikuonya usicheze na mtoto pendwa

Duru: Chatanda tulikuonya usicheze na mtoto pendwa

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
"....kaka, Mary mda wowote ataundiwa zengwe na kutupwa nje ya uringo. Si una kumbuka alimshikia bango dogo kuhusu wanawake kudhalilishwa kule mkoani? Basi bwana, kumbe dogo hakufurahishwa! Na mama mtu alimwambia dogo akaushe dawa yake ipo jikoni."

"....sasa mbaya zaidi imegundulika Mary alikuwa kwenye mtandao wa kumtweza boss lady akiwa timu jamaa zetu waliofurushwa. Ee bwana ee, nakuhakikishia huu mwaka hatotoboa atajiuzuru mwenyewe kwa zengwe linaloandaliwa!"

Duru.
 
"....kaka, Mary mda wowote ataundiwa zengwe na kutupwa nje ya uringo. Si una kumbuka alimshikia bango dogo kuhusu wanawake kudhalilishwa kule mkoani? Basi bwana kumbe dogo hakufurahishwa na mama mtu alimwambia dogo akaushe dawa yake ipo jikoni."

"....sasa mbaya zaidi imekugundulika Mary alikuwa kwenye mtandao wa kumtweza boss lady akiwa timu jamaa zetu waliofurushwa. Ee bwana nakuhakikishia huu mwaka hatotoboa atajiuzuru mwenyewe kwa zengwe linaloandaliwa!"

Duru.
Huu mnyukano mpaka lini?
 
Sisi sote ni ndugu jamani tupendane, Sasa huyo Mary akifurushwa utafaidika na nini Mkuu?
 
Sisi sote ni ndugu jamani tupendane, Sasa huyo Mary akifurushwa utafaidika na nini Mkuu?
Faida ni hiyo hiyo ambayo angeipata yeye kama ingelitokea aliyekuwa akimsagia kunguni akatumbuliwa.
 
"....kaka, Mary mda wowote ataundiwa zengwe na kutupwa nje ya uringo. Si una kumbuka alimshikia bango dogo kuhusu wanawake kudhalilishwa kule mkoani? Basi bwana kumbe dogo hakufurahishwa na mama mtu alimwambia dogo akaushe dawa yake ipo jikoni."

"....sasa mbaya zaidi imekugundulika Mary alikuwa kwenye mtandao wa kumtweza boss lady akiwa timu jamaa zetu waliofurushwa. Ee bwana nakuhakikishia huu mwaka hatotoboa atajiuzuru mwenyewe kwa zengwe linaloandaliwa!"

Duru.
Duh...!.
P
 
Mary ni nani?
Dogo ni nani?
Mama ni yupi?
Wanawake waliodhalilishwa ni wapi?

Kungekuwa na majukwaa ya mnaofahamiana, muwe mnachatishana huko mnayoyajua!
 
Km serikalo yetu
"....kaka, Mary mda wowote ataundiwa zengwe na kutupwa nje ya uringo. Si una kumbuka alimshikia bango dogo kuhusu wanawake kudhalilishwa kule mkoani? Basi bwana kumbe dogo hakufurahishwa na mama mtu alimwambia dogo akaushe dawa yake ipo jikoni."

"....sasa mbaya zaidi imegundulika Mary alikuwa kwenye mtandao wa kumtweza boss lady akiwa timu jamaa zetu waliofurushwa. Ee bwana nakuhakikishia huu mwaka hatotoboa atajiuzuru mwenyewe kwa zengwe linaloandaliwa!"

Duru.
Km serikalo yetu itakua inaendeshwa kiumbea na kinafik nafiki tusitegemee mabadiliko kokote maendeleo tutayasikia kwenye bomba km serikali kuu yenyewe wanasasambuana kuna watu wakifanya jambo wasiguse wakiguswa basi ww ung'oke hua sioni maana ya leaders kushika msaafu au bibilia kuapa kuilinda katiba ni kuptezeana mda tu
 
Kuongoza mwanamke ni hatari sana Kwa nchi.Ona Sasa,nchi inaongozwa kimbeyambeya tu.abduli akisema tu mama yule muondoe na utekelezaji unaanzia mara Moja bila kuchunguzwa sababu
 
Sa
"....kaka, Mary mda wowote ataundiwa zengwe na kutupwa nje ya uringo. Si una kumbuka alimshikia bango dogo kuhusu wanawake kudhalilishwa kule mkoani? Basi bwana, kumbe dogo hakufurahishwa! Na mama mtu alimwambia dogo akaushe dawa yake ipo jikoni."

"....sasa mbaya zaidi imegundulika Mary alikuwa kwenye mtandao wa kumtweza boss lady akiwa timu jamaa zetu waliofurushwa. Ee bwana ee, nakuhakikishia huu mwaka hatotoboa atajiuzuru mwenyewe kwa zengwe linaloandaliwa!"

Duru.
Safari hii polonium suppliers wakae mkao wa kupiga pesa.
Uko Lumumba safari ni undavaundava tu!
 
Huu ni ushahidi kuwa Nchi sasa inaendeshwa kwa fitna na chuki tu! Kuanzia Serikalini hadi huko kwenu chamani.

Nawasikitikia sana wanaoendesshwa na hizi teua tengua. Kwa maoni yangu ni mambo ya kitoto yanayofanywa kwa maslahi ya makundi ndani ya chama cha kijani na hakuna hata kimoja chenye logic kinachofanywa kwa maslahi ya Taifa
 
Back
Top Bottom