Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mbowe amejimilikisha CHADEMA na siyo mali ya wana chama tenaMy assumption; Kuna Kila dalili ilitengenezwa TUNDU LISSU,Kukosa M/Mwenyekiti alafu asipate ugombea Uraisi tiketi ya Chadema na badae wamwingize kwenye kikao Cha maadili akiwa kama mwanachama wakawaida hapewe kalipio anyimwe Kila kitu,sema Tundu lissu akashituka lolote na liwe nadhani wamemkoraga wenywe jamaa ni muungwana sana asingetaka kushindana na Mbowe Kuna planned plot walitaka kumfanyia
umechafukwa, povu linakutokaHata mumeo anao ushahidi
Ndiyo tunataka awaropokee CCMTatizo Lisu haaminiki maana ni mropokaji.
Hata ule mpango wa kumdhuru/kumuua kisha watu wema ndani ya serikali wakazilikisha taarifa hizo ni sehemu ya kampeni hizi ovu dhidi ya CHADEMA kwa ujumla...My assumption; Kuna Kila dalili ilitengenezwa TUNDU LISSU,Kukosa M/Mwenyekiti alafu asipate ugombea Uraisi tiketi ya Chadema na badae wamwingize kwenye kikao Cha maadili akiwa kama mwanachama wakawaida hapewe kalipio anyimwe Kila kitu,sema Tundu lissu akashituka lolote na liwe nadhani wamemkoraga wenywe jamaa ni muungwana sana asingetaka kushindana na Mbowe Kuna planned plot walitaka kumfanyia
Viwanda vya uchonganishi hamjalaa mbali na hii issue😇😅"...unadhani Lissu ameingia kichwa kichwa kugombea! Jamaa walijipanga muda sana baada ya kutoridhishwa na mambo yasiyo ya upinzani wa KWELI wa Mbowe. La mno hasa ni baada ya kila dalili kuonyesha Mbowe yupo upande wa Serikali."
"...kuanzia tarehe 10 na KUENDELEA, jamaa wataanza kwa ushahidi kuonyesha ni kwa namna gani Mbowe ni mafia na asiye maanisha kuwa mpinzani wa CCM."
Duru.
Haielekei kufa inaenda kuzaliwa upya but itapitia kipindi kigumu mnoChedema inaenda kufa, inahitajika nguvu ya ziada Sana kuijenga Imani tena kwa wananchi
Shukrani za punda....Ataonyesha video ya Mbowe jinsi alivyombeba, kumpandisha ndege na kukaa na Hospital na kumlinda dhidi ya maadui zake? Na tap ya Dr slaa kusema Lissu kajipiga risasi itatolewa?
Unajuaje kama B?Nadhani washindane kwa hoja wasiinufaishe CCM wakati wa kampeni
Hiyo ni siri ya mtu moyoniUnajuaje kama B?
Soon tutajua nani mtu wao baada ya uchaguzi,nchi ngumu hiiHiyo ni siri ya mtu moyoni
Ukweli CCM huwa ina ujanja mwingi snSoon tutajua nani mtu wao baada ya uchaguzi,nchi ngumu hii
Hahahaha mbavu zangu mie yaaani upepo umebadilika balaa sasa hivi mboe hatoboi kbsHapo mwanzo watu waliokuwa wakigombea na Mbowe walikuwa wakigeuziwa kibao na kuitwa mapandikizi ya CCM.
Sasa hivi Mbowe ndio anaitwa pandikizi la mfumo😂😂
Hawa wote tuangalie ila usiweke imani zako zote kwao. Wana price tag mkuuUkweli CCM huwa ina ujanja mwingi sn
Lisu ni mtu wa machafuko nnchini hafai kuwa kiongozi wa chama Chochote Cha siasa"...unadhani Lissu ameingia kichwa kichwa kugombea! Jamaa walijipanga muda sana baada ya kutoridhishwa na mambo yasiyo ya upinzani wa KWELI wa Mbowe. La mno hasa ni baada ya kila dalili kuonyesha Mbowe yupo upande wa Serikali."
"...kuanzia tarehe 10 na KUENDELEA, jamaa wataanza kwa ushahidi kuonyesha ni kwa namna gani Mbowe ni mafia na asiye maanisha kuwa mpinzani wa CCM."
Duru.
Wananchi walio na imani tupo,ila jirani mbaya anatuhujumu na atatuhujumu kwa nguvu na juhudi kubwa sana.Chedema inaenda kufa, inahitajika nguvu ya ziada Sana kuijenga Imani tena kwa wananchi
Chochea kuni za mti wa mkuza hadi moto uyeyushe chuma na kutenga makapi pembeni na sura halisi za kila kiongozi na mfuasi wa CDM wa ufipa na maji maji zionekana bayana"...unadhani Lissu ameingia kichwa kichwa kugombea! Jamaa walijipanga muda sana baada ya kutoridhishwa na mambo yasiyo ya upinzani wa KWELI wa Mbowe. La mno hasa ni baada ya kila dalili kuonyesha Mbowe yupo upande wa Serikali."
"...kuanzia tarehe 10 na KUENDELEA, jamaa wataanza kwa ushahidi kuonyesha ni kwa namna gani Mbowe ni mafia na asiye maanisha kuwa mpinzani wa CCM."
Duru.
Hahahaha mbavu zangu mie yaaani upepo umebadilika balaa sasa hivi mboe hatoboi kbs
Tetesi toka Twitter kuwa kuna mtu kalambishwa asali ya 12B+ hiyo asali unaionaje? Ingekuwa wewe ungeiacha 🤣🤣Ndio hizi aibu tunazosema kama Mbowe angetumia busara angeziepuka.
Lissu amesema Mbowe alikuwa anaandaa watu aliosema walimuomba aendelee kuwa Mwenyekiti, nimecheka sana.
Dr Slaa alishasema ama na yeye humuamini?Kila Kitu kiwekwe wazi Ili kuwapa Wepesi Wajumbe
Mfano nani alimpiga Risasi Tundu Lisu na kumtorosha dereva wake? Nk....nk