M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Muende wapi? Pesa sabuni ya wajumbeTwende na Lissu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muende wapi? Pesa sabuni ya wajumbeTwende na Lissu..
Huu ni uwongo 200%Taarifa nilizonazo ni kinyume chake. Kwamba Mch. Msigwa ashamuandalia makao Lissu iwapo mpango wao wa kuisambaratisha Chadema kupitia uchaguzi utakaposhindwa. Lissu atahamia CCM akimfuata Mch. Msigw
Kwa mujibu wa mnyetishaji aliye karibu na mmoja wa wale Wabunge (Covid 19) amedai Wajumbe hao wa Kamati Kuu ya Chadema wameshakubaliana endapo Lissu ataibuka mshindi wa kiti cha Mwenyekiti wa Chadema Taifa pasi na kusubiri hata siku moja mbele watatangaza kuhamia CCM.
Moja ya mke wake si Mbunge katika wale Covid, ndiyo katujuza hapa, tayari Mr wake na hao wenzake wametengeneza Group na wameshakubaliana endapo Tundu akishinda mara moja wataomba kupokewa huko CCM. Wazi wanatambua Tundu atawala kichwa mapema tu na ndiyo maana hawana amani kabisa."
Wanne hao tayari wana Group la sogozi na tayari mipango ya kukimbilia CCM walishaanza kuifanya kwa kuwasiliana na Makalla na usishangae hata Mkutano Mkuu wa CCM ujao pale Dodoma baadhi yao wanaweza kuibukia huko hiyo siku."
Duru.
Bila tundu lissu kugombea uwenyekiti tungebaki na ujinga wetu.Manaibu Katibu wakuu wote wa Chadema wake zao ni Covid 19
Haha Empty set hahahaKama siyo huu uchaguzi tusingemjua kuwa ni seti tupu
Umeingia Jf leo unajiona mjanja dogomoderator futa hii habari tata yenye kuleta taharuki
Yaani walarushwa wanaenda nyumbani kwaoKwa mujibu wa mnyetishaji aliye karibu na mmoja wa wale Wabunge (Covid 19) amedai Wajumbe hao wa Kamati Kuu ya Chadema wameshakubaliana endapo Lissu ataibuka mshindi wa kiti cha Mwenyekiti wa Chadema Taifa pasi na kusubiri hata siku moja mbele watatangaza kuhamia CCM.
Moja ya mke wake si Mbunge katika wale Covid, ndiyo katujuza hapa, tayari Mr wake na hao wenzake wametengeneza Group na wameshakubaliana endapo Tundu akishinda mara moja wataomba kupokewa huko CCM. Wazi wanatambua Tundu atawala kichwa mapema tu na ndiyo maana hawana amani kabisa."
Wanne hao tayari wana Group la sogozi na tayari mipango ya kukimbilia CCM walishaanza kuifanya kwa kuwasiliana na Makalla na usishangae hata Mkutano Mkuu wa CCM ujao pale Dodoma baadhi yao wanaweza kuibukia huko hiyo siku."
Duru.
Hii nyumbu haieleweki inasema nini! Unahusuka nà nini huko Chadema hadi uhusike kuwafukuza wake za viongozi wako?Una matatizo wewe Covid 19 tulishawafukuza tangu Mbowe yuko madarakani.
Lisu atahitimisha tuu
Na hii inaonesha wapo CCM sikuzote...Wawahi tu wamchukue na Mbowe na Yericho Nyerere wasimuache
Ukiisha salimisha dhamira yako kwa kulambishwa asali akili inakoma kufanya kaziNa hii inaonesha wapo CCM sikuzote...
Mzalendo wa chama hawezi ongea hivyo
HakikaUkiisha salimisha dhamira yako kwa kulambishwa asali akili inakoma kufanya kazi
halafu uwakute sasa wanavyoshangilia kinafiki, nyuso zao hazina nuru wala amani kabisaKabla mkutano haujaanza tayari mwenyekiti ana maamuzi
Waende tuKwa mujibu wa mnyetishaji aliye karibu na mmoja wa wale Wabunge (Covid 19) amedai Wajumbe hao wa Kamati Kuu ya Chadema wameshakubaliana endapo Lissu ataibuka mshindi wa kiti cha Mwenyekiti wa Chadema Taifa pasi na kusubiri hata siku moja mbele watatangaza kuhamia CCM.
Moja ya mke wake si Mbunge katika wale Covid, ndiyo katujuza hapa, tayari Mr wake na hao wenzake wametengeneza Group na wameshakubaliana endapo Tundu akishinda mara moja wataomba kupokewa huko CCM. Wazi wanatambua Tundu atawala kichwa mapema tu na ndiyo maana hawana amani kabisa."
Wanne hao tayari wana Group la sogozi na tayari mipango ya kukimbilia CCM walishaanza kuifanya kwa kuwasiliana na Makalla na usishangae hata Mkutano Mkuu wa CCM ujao pale Dodoma baadhi yao wanaweza kuibukia huko hiyo siku."
Duru.
watakaribishwa ila vyeo ndio wasahauKwa mujibu wa mnyetishaji aliye karibu na mmoja wa wale Wabunge (Covid 19) amedai Wajumbe hao wa Kamati Kuu ya Chadema wameshakubaliana endapo Lissu ataibuka mshindi wa kiti cha Mwenyekiti wa Chadema Taifa pasi na kusubiri hata siku moja mbele watatangaza kuhamia CCM.
Moja ya mke wake si Mbunge katika wale Covid, ndiyo katujuza hapa, tayari Mr wake na hao wenzake wametengeneza Group na wameshakubaliana endapo Tundu akishinda mara moja wataomba kupokewa huko CCM. Wazi wanatambua Tundu atawala kichwa mapema tu na ndiyo maana hawana amani kabisa."
Wanne hao tayari wana Group la sogozi na tayari mipango ya kukimbilia CCM walishaanza kuifanya kwa kuwasiliana na Makalla na usishangae hata Mkutano Mkuu wa CCM ujao pale Dodoma baadhi yao wanaweza kuibukia huko hiyo siku."
Duru.
Lema kamwaga mboga na ugali vyote kwa pamoja, ni muda sn sikuelewa siasa anazofanya salim mwalimu, hata benson nae sio yule niliyekuwa namfahamu wamekuwa toomuch compromised, wake zao wamesaliti chama na wao bado ni viongozi wa juu wa chama ni lazima hali ya sintofahamu ijitokeze.Hili raia wengi walikuwa hawalijui.
Lema sasa kaja kulifurumua.
Ukweli mtupu.Na hii inaonesha wapo CCM sikuzote...
Mzalendo wa chama hawezi ongea hivyo
Hahaha akili zenu Team Lisu ni kama za Team WEMA, matusi asubuhi mpaka jioni.Watakaoondoka ni Mbowe na genge lake waliouza chama kwa mama Abdul