Hapo tusi liko wapi? Umeshamsikua Ntobi na Yericho Nyerere? Ila team Wema ni sifa? Tatizo hamtaki na hampendi kusikia chochote against Sultani Mbowe.Hahaha akili zenu Team Lisu ni kama za Team WEMA, matusi asubuhi mpaka jioni.
Kama Team Lisu msivyo taka kusikia chochote kuhusu Mtu mwenye uchu wa madaraka Tundu Lisu na genge lake. Na Sultani ni sifa? Hahaha.Hapo tusi liko wapi? Umeshamsikua Ntobi na Yericho Nyerere? Ila team Wema ni sifa? Tatizo hamtaki na hampendi kusikia chochote against Sultani Mbowe.
Hakuna hata taharuki, waende tu kama ni kweli!moderator futa hii habari tata yenye kuleta taharuki
Na wewe ondoka.Wengi wataondoka na itashangaza wengi wanaodhani Lisu atakuwa shujaa mwokozi wa chadema.
Haki kula vizuri, ubongo wako uongezeke!Masikini chadema inaangamia.
MBOWE ndio kiongozi pekee atakaye kivusha chama kinyume na hapo chama kitasambaratika.
Umeshawahi kumuona yule mzanzibari akipata misukosuko ya njagu?Moja ya mke wake si Mbunge katika wale Covid, ndiyo katujuza hapa, tayari Mr wake na hao wenzake wametengeneza Group na wameshakubaliana endapo Tundu akishinda mara moja wataomba kupokewa huko CCM. Wazi wanatambua Tundu atawala kichwa mapema tu na ndiyo maana hawana amani kabisa."
Nitaondoka na Chadema Lisu akishinda.Na wewe ondoka.
Kauli za wapumbavu, waliokubali kuhongwa na mama Abdul ndio wanaweza siasa?Kama Team Lisu msivyo taka kusikia chochote kuhusu Mtu mwenye uchu wa madaraka Tundu Lisu na genge lake. Na Sultani ni sifa? Hahaha.
Lisu hafai, aende TLS au akamsaidie Mwabukusu kwenye Samia Legal Aid, Siasa haziwezi.
Bila shaka watabaki watu Safi ,na sio mamluki kama hao madalali wenuWengi wataondoka na itashangaza wengi wanaodhani Lisu atakuwa shujaa mwokozi wa chadema.
CHADEMA inaenda kufa, na haita pona kamwe.Bila shaka watabaki watu Safi ,na sio mamluki kama hao madalali wenu
Tatizo lenu, kila asiyewakubali Team Lisu anaambulia matusi, hicho chama mtatukanana asubuhi mpaka jioni na kitakufa tu. Wenye akili wote hawatabaki chadema.Kauli za wapumbavu, waliokubali kuhongwa na mama Abdul ndio wanaweza siasa?
Unakaa na manaibu katibu wakuu ambao wake zao ni wasaliti kama hamna ajenda moja ni nini?
Kukosa akili mtu aliyekaa kwenye madaraka 20+years na hataki mtu mwingine ashike madaraka anayemchallenge nani mwenye uchu wa madaraka?
Tatizo lenu kujiona mko smart na mna haki ya kumwambia yeyote chochote, umesema wanaomsapoti Lissu wamefanywa mapoyoyo is that right? Kama siyo upumbavu ni nini? Huo ni upumbavu bila kutafuna maneno and that is what you are!Tatizo lenu, kila asiyewakubali Team Lisu anaambulia matusi, hicho chama mtatukanana asubuhi mpaka jioni na kitakufa tu. Wenye akili wote hawatabaki chadema.
Kwa mujibu wa mnyetishaji aliye karibu na mmoja wa wale Wabunge (Covid 19) amedai Wajumbe hao wa Kamati Kuu ya Chadema wameshakubaliana endapo Lissu ataibuka mshindi wa kiti cha Mwenyekiti wa Chadema Taifa pasi na kusubiri hata siku moja mbele watatangaza kuhamia CCM.
Moja ya mke wake si Mbunge katika wale Covid, ndiyo katujuza hapa, tayari Mr wake na hao wenzake wametengeneza Group na wameshakubaliana endapo Tundu akishinda mara moja wataomba kupokewa huko CCM. Wazi wanatambua Tundu atawala kichwa mapema tu na ndiyo maana hawana amani kabisa."
Wanne hao tayari wana Group la sogozi na tayari mipango ya kukimbilia CCM walishaanza kuifanya kwa kuwasiliana na Makalla na usishangae hata Mkutano Mkuu wa CCM ujao pale Dodoma baadhi yao wanaweza kuibukia huko hiyo siku."
Duru.
Waaache waende tuKwa mujibu wa mnyetishaji aliye karibu na mmoja wa wale Wabunge (Covid 19) amedai Wajumbe hao wa Kamati Kuu ya Chadema wameshakubaliana endapo Lissu ataibuka mshindi wa kiti cha Mwenyekiti wa Chadema Taifa pasi na kusubiri hata siku moja mbele watatangaza kuhamia CCM.
Moja ya mke wake si Mbunge katika wale Covid, ndiyo katujuza hapa, tayari Mr wake na hao wenzake wametengeneza Group na wameshakubaliana endapo Tundu akishinda mara moja wataomba kupokewa huko CCM. Wazi wanatambua Tundu atawala kichwa mapema tu na ndiyo maana hawana amani kabisa."
Wanne hao tayari wana Group la sogozi na tayari mipango ya kukimbilia CCM walishaanza kuifanya kwa kuwasiliana na Makalla na usishangae hata Mkutano Mkuu wa CCM ujao pale Dodoma baadhi yao wanaweza kuibukia huko hiyo siku."
Duru.
TUmeshtuka sasa, paka wanakimbia mtungi umechemkaCHADEMA ni PROJECT ya CCM tu, yaani ni ndugu moja wanaotufanyia maigizo na vijana wameingia kingi kwa kuwekeza mihemuko na hisia kwenye propaganda za watu,,, yaani wake za KIGAILA na MWALIM ni moja ya COVID 19 🤣 🤣 ..
Tangu lini wala rushwa ndio wenye akili?Tatizo lenu, kila asiyewakubali Team Lisu anaambulia matusi, hicho chama mtatukanana asubuhi mpaka jioni na kitakufa tu. Wenye akili wote hawatabaki chadema.
Taita SUGU kumbe nae mdwanzi
Ongeza na UzinziTangu lini wala rushwa ndio wenye akili?
Na moja ya sifa kwa mwanaccm ni lazima awe mla rushwa, mwizi, fisadi na kila aina ya uchafu, hao ndio ccm