Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Ritz:

1. Texas has the largest oil reserves in the US, by far. However, it trails by far to California in terms of GDP and tax revenues.

2. California is the largest economy in the US in terms of GDP. And if California was to split from the US today, it would have been the 8[SUP]th[/SUP] largest economy the world (in terms of GDP).

3. California is the leading state in the US in terms of tax revenues contribution (almost 15% of the total).

4. Maryland, however, is the richest state in the US in terms of median income (salary based) of her residents.

*Note: Richest state in terms of income of her residents, but 18[SUP]th[/SUP] State in terms of her contribution of tax revenues. GDP wise, it’s not even blinking on the rear view mirror.

5. Alaska, the least populated state in the Unites States has the second largest oil reserves in the US. However, it is very behind in terms of GDP size and GDP contribution, very behind in terms of tax revenues contribution, and way behind in terms of median income (salary based) of her residents.

Do you see where Zitto is going wrong?

If Zitto’s political practice was accepted as a norm kama mnavyojaribu kutuaminisha, basi marekani ingekuwa imesha sambaratika kwani viongozi wa aina ya Zitto wangeungwa sana mkono iwapo wangejitokeza na kuanza kuwapigania Californians a kuchochea uhasama baina ya wananchi wa california na wale wa Maryland kwa mfano, kwa sababu, median income (salary based) in Maryland is greater than California; California has the largest GDP, largest GDP contribution and largest tax revenues contribution. Kwa hoja za Zitto, Maryland ni mnyonyaji.
 
Kwanza, nikupongeze kwa kutambua kuwa Mchambuzi ana potential. Hiyo ni hatua muhimu ya kutambua kuwa avumaye baharini......

Pili, ni hatua nzuri ya kumtia moyo. Mchambuzi msome Wabe kwa umakini kabisa. Kuna hoja hapo

Tatu, umekiri kiungwana sana kuwa mbele ya jukwaa kuna chupa, zomea zomea. Kwa maneno mengine unakubali kabisa huenda supreme aliteleza ulimi. Ni hatua nzuri, sasa kinachofuata na unachopaswa kufanya ni kumueleza atoke na kuomba radhi Watanzania kwa uchonganishi. Mwambie atumie maneno kama 'mimi ni binadamu, nimeteleza ulimi, tuvumiliane n.k'
Wapo watakaomuelewa, sisi wengine tunamwelewa na hatuhitaji kumwelewa zaidi

Nne, Kuwa na rasilimali hakuwezi kutosha kuwa kigezo cha maendeleo.
Kuna attitude, moral, motivation n.k.

Hivyo si lazima kwenye rasilimali kuwe na mali unless kuna vichochoe vingine.

Kauli ya supreme ilitoka bila kujua kuna mengine na hapo ndipo tunasema, hapana! ajipange kwa busara wakati anaongea na umma.

Tano, kuhusu Nguruvi3 kwenda kwenye siasa, huko sijaribu kama ulivyosema. Na ndio maana sijaenda

Hata hivyo, hiyo hainizuii kama raia mwema wa taifa hili kulisaidia kwa njia nyingine.

Mojawapo ni hii ya kupambana na wahuni wanaotaka kuligawa taifa. Hii nina uhakika nimo na sitaondoka

Tutaendelea kuwafikia watu 20 hapa jamvini wakati Zitto anafikia 10,000.

Ngoja tuendelee hapa mtandaoni tunakokuweza!! Hata wewe upo hapa kwasababu unajua tupo.

Hatuendi popote tupo na tutakabiliana na wachonganishi wa taifa hili.

Kwenye jukwaa alipo zipo huko sitakwenda nakuhakikishia, lakini atatusikia tu kati kati ya mayowee mengi ya wasikilizaji

Hata usiku huu anatusikia, ngoja tutangulie kwenye viwanja vya mikutano, akija atatukuta tumekaa katika majani
 

I am afraid that the stats you have provided above doesn't tell the entire story. Take for example regions that have entry points from neighboring countries to Tanzania. It seems to me the tax collection in those regions is higher compared to those that don't have entry points or those in the middle. If a business man import merchandizes through Namanga entry point, the tax will reflect Arusha region even though the consumers might be in Singida. Which region should get credits? Arusha which collects Taxes or Singida which creates the demands?

Based on the data above you can easily dismiss the contribution of Morogoro. But Morogoro feeds Dar Es Salaam and Dodoma and also provides power to the nation. The same could be said of other regions.

The extraction of natural gas in Lindi and Mtwara is going to make both regions the energy power house of the country. However, the collection of taxes might not reflect the new norms because the processing of gas and it by products might not be conducted there. Are you going to say Mtwara and Lindi are insignificant?
 

Mkandara:

Local resources empower local population. I am not sure if Kilimanjaro, Kagera, Mbeya could have made it if the entire coffee production was in the hand of the government.

The extraction of Natural resources is in the hand of the central government and local stakeholders don't have a say. If i live in Shinyanga and somebody comes there and tell me that I am not getting my share of the spoil, I will agree even though the statement might hurt some people.

I think the country has reached point where people have to speak controversial issues.
 
Msingi mkuu wa Taifa ni 'SENSE OF COMMONNESS' kwa raia wote. Once the Sense of Commonness is gone, then there is NO Nation, ni Bure.

Njia PEKEE ya kujenga hii Sense of Commonness, ya pekee 1 tu, ni kuwafanya watu wa-SHARE Nyakati zao za shida sawa vile na nyakati zao za neema.

Kwa hilo hapo juu, tunaweza sema, 'Maendeleo ni HATUA, ILA kwa heshima ya Sense of Commonness, hakupaswi kuwa na hatua ya 2 kama hakuna 1 na 1, wala ya 3 kama hakuna 2 na 2, wala ya 4 kama hakuna 3 na 3...... Kadri utakapozidi kupiga hatua zaidi mbali, ya 2...6...9... wakati mwenzako ana 1, ndivyo mnavyobomoa Sense of Commonness, matokeo yake ni kubakiwa na Taifa la strangers, HALIPO.

Tanzania kwa bahati mbaya tunatofauti za kimazingira na kihistoria, tulijikuta tu katika HATUA tofautitofauti sana. Wapo wa 1 na wale wa 5, 7, 10, n.k. HII NDIO KAZI YA SERIKALI, Ku-regulate hii hali. Kwa bahati mbaya tangu Uhuru, hii hali ipo and we no longer see proper measures to handle the issue.

Tunaposema ipo, hatuwalaumu wale wanaoonekana kuneemeka nayo sasa, HAPANA!! Ila ni kwa regulators kushindwa kufanya kazi ipasavyo. Lakini, for the sake of jamii ambayo iko puluted with cheap and dirty politicians, hili hugeuka kuwa mtaji wao kisiasa! Si atamkaye tu, bali apokeaye nae.

Mkuu gfsonwin, majirani tutakushangaa kama utamuongezea mtoto hela ya nguo, kisa amekusanya yake binafsi 3/4, halikuwa mtoto wako mwingine umeshindwa kumpa fedha robo ya chakula chake, na hakukusanya yake. Ila tu kama nguo yake itamfanya mwingne apate chakula cha siku nzima. Huo ni UTU/MANTIKI.
Anaita sasa!
 
Last edited by a moderator:

But one thing you have forgotten. States in the United States have power to collect tax, enact their own laws etc etc. They are countries within a country. If we ask the same type of region autonomy in Tanganyika, the wise people will reply that the process will promote tribalism.
 
Siyo kweli unachosema kuwa Mkoa wa Kagera wao wanasubiri tu bajeti ya serikali, soma kiduchu hizi data za Kagera.


IJUE HALI YA UCHUMI WA MKOA WA KAGERA ILIVYOKUWA KUFIKIA JUNI 2014 KUTOKANA NA UCHAMBUZI WA BENKI KUU YA TANZANIA.

Pato la mkoa wa KAGERA (kwa bei za soko) lilikua kwa asilimia 18.9 katika mwaka 2013 kufikia TZS 2.1 trillion kutoka TZS 1.8 trillion mwaka 2012. Pato la mkoa wa Mwanza limeongezeka kwa 21.9% kufikia TZS 4,987,176 mwaka 2013 kutoka 4,090,594 mwaka 2012. Kukua kwa pato hili kulitokana na kupanuka kwa shughuli za kiuchumi hasa katika Kilimo, Mifugo na Viwanda.Mchango wa kila mkoa kwa Pato la Taifa kwa Kanda ya Ziwa unaonesha kuwa mkoa wa KAGERA uko katika nafasi ya 3 kwa kuchangia asilimia 15.3 ya pato lote la Kanda ya Ziwa. Mwanza inaongoza kwa kuchangia asilimia 36.2, Shinyanga 22.9, Mara 14.3 na Kigoma 11.2. Wastani wa Pato la Mwananchi/Mkazi kwa Mkoa wa Kagera ni TZS 718,901 kwa mwaka 2012/13.Hali ya Mfumuko wa BeiMfumuko wa bei kwa kanda ya ziwa (The Zonal-headline inflation)-pamoja na mkoa wa Kagera kwa mwaka ulioishia mwezi June 2014-ULIANGUKAkufikia asilimia-3.9%-kutoka asilimia-5.5%-za mwaka uliotangulia. Hii ilitokana na-kupungua kwa bei za bidhaa zisizo za chakula.-Wastani wa Mfumuko wa bei kwa kanda ya ziwa ulikuwa chini ya mfumuko wa bei wa taifa uliokuwa ni asilimia 6.4.Hali ya Upatikanaji wa ChakulaKituo cha Hifadhi ya Taifa ya Chakula (NFRA) cha Shinyanga kilipokea mahindi tani 24,777.5 mwaka huu wa 2014 ikilinganishwa na tani 30, 700.9 zilizopokelewa mwaka jana 2013. Kituo kilisambaza tani 17,515.5 za msaada wa mahindi (kwa bei nafuu) kwenye maeneo yaliyokuwa na uhaba wa chakula ikilinganishwa na tani 31,079.8 kwa mwaka uluiopita 2013, hivyo kubakiza tani 7,989.8 ghalani kulinganisha na tani 727.8 tu kwa mwaka uliopita.Uzalishaji wa Mazao ya Chakula – KageraMkoa wa Kagera unaongoza kwa kuzalisha wastani wa tani 2,508,180 ya mazao ya chakula kwa mwaka, sawa na asilimia 33.9 ya mazao yote ya chakula kwa Kanda ya Ziwa. Zao la ndizi ndilo linalolimwa zaidi kwa takriban nusu ya mazao yote ya chakula katika mkoa wa Kagera – wastani wa tani 1,338,970.Hata hivyo, kwa miaka ya karibuni, zao hili lilikumbwa na ugonjwa wa-nyanjano-ambao umeathiri kiasi cha uzalishaji kwa mwaka. Mkoa uko katika juhudi za kupambana na ugonjwa huu.-SEKTA YA KILIMO:-Ununuzi wa Mazao ya Biashara: KAHAWAMazao ya biashara kwa mkoa wa Kagera ni pamoja na KAHAWA, CHAI NA MIWA YA SUKARI. KAHAWA ndilo zao maarufu zaidi la biashara kwa mkoa wa Kagera. Kiwango cha ununuzi zao la KAHAWA mkoani Kagera ilishuka kwa asilimia 27.0 kufikia tani 49,214 mwaka 2013/14 kutoka tani 67,415 zilizonunuliwa mwaka 2012/13. Kuanguka kwa kahawa kulitokana na tabia ya zao hili kupungua kwa vipindi vya mizunguko ya misimu (cyclical nature), pamoja na kuvushwa kwa kahawa kwa magendo kupelekwa nchi jirani.SEKTA YA MIFUGO:-Idadi ya Mifugo Kanda ya Ziwa (Mkoa wa Kagera)Katika Kanda ya Ziwa, shughuli za Ufugaji zinashika nafasi ya pili baada ya kilimo. Na Kanda ya Ziwa ina wastani wa 42% ya mifugo yote nchini. Katika mwaka ulioishia June 2014, thamani ya mifugo iliyouzwa kupitia masoko/minada rasmi ilipungua kidogo kwa asilimia 1.6 kufikia TZS 201.1 billion kulinganisha na TZS 204.3 billion katika mwaka uliotangulia, Ingawa idadi ya ng'ombe waliouzwa iliongezeka kidogo kwa asilimia 0.7-Kushuka kwa thamani ya mauzo ya mifugo kulichangiwa na kushuka idadi ya ng'ombe waliouzwa kwa asilimia 2.0 (kutokana na hali nzuri ya chakula). Wastani wa bei ya Ng'ombe ilishuka kwa asilimia 2.1 hadi TZS 385,700.0 mwaka 2013/14 kutoka TZS 393,863.0 mwaka 2011/12.SEKTA YA UVUVI – KANDA YA ZIWAKanda ya Ziwa inachangia asilimia 80 ya ununuzi na usafirishaji nje wa bidhaa za samaki nchini.Ununuzi wa samaki (sangara) kwenda viwanda vya samaki ulishuka kwa asilimia 31.0 hadi kufikia tani 30,193.0 mwaka 2014 kutoka tani 43,773.5 zilizonunuliwa mwaka ulioishia June 2013. (Halikadhalika Export zilianguka kwa 31% kufikia tani 14,923.4 mwaka 2014 kutoka tani 21,711.1 mwaka 2013. Hii ilitokana na uhaba wa samaki wabichi waliofikishwa katika maeneo/mialo ya manunuzi.Upungufu huu mkubwa wa samaki unatokana na upungufu wa samaki wanaovuliwa ambao nao unatokana na uzalishaji/uzalianaji mdogo wa samaki ziwani. Hii imechangiwa kwa kiasi kikubwa na shughuli za uvuvi zisizoratibiwa (over fishing), uharibifu wa mazingira na maeneo ya mazalia ya samaki na matumizi ya zana haramu za uvuvi. Zana hafifu za uvuvi.MAPATO YA NDANI NA FORODHAMakusanyo ya mapato katika mwaka 2013/14 katika mkoa wa KAGERA yaliongezeka kwa asilimia 6.54 kufikia TZS 27.56 billion kutoka TZS 25.87 billion mwaka 2012/13. Hata hivyo mapato haya yalikuwa chini ya lengo la TZS 41,615.1Mabenki ya Biashara – Mkoa wa KageraKwa taarifa tulizonazo, tuna matawi 13 ya mabenki mbalimbali hapa mkoani. Zote zikiwa na jumla ya Amana (deposits) zipatazo TZS 122.6 Billion na zikitoa ajira kwa wananchi wa Kagera 177. Pia kufikia mwezi June, 2014 Mkoa wa Kagera ulikuwa na Vyama vya Ushirika wa Kuweka na Kukopa (SACCOS)-129,-zikiwa na Wanachama 60,297 na jumla ya hisa TZS 821,762.
 
Last edited by a moderator:
Mchambuzi.

Tujadili masuala ya nchi yetu masikini wewe tena unatupeleka Marekani tumalize kwanza ili la Mtwara.


RegionMillion TShsMillion TShsMillion TShsMillion TShsRankingDirect TaxIndirect TaxCustoms and ExciseTotalIlala56,801.932,545.3-89,347.21Kinondoni32,858.716,414.7-49,273.41Temeke12,987.010,677.7-23,664.61Arusha15,101.310,111.99,383.134,596.32Coast1,478.9562.491.12,132.5Dodoma3,787.61,385.817.55,190.8Iringa3,471.41,941.920.55,433.9Kagera967.11,082.91,938.73,988.7Kigoma694.5342.1786.51,823.1Kilimanjaro6,834.22,947.311,389.321,170.83Lindi284.2154.522.9461.5Mara1,264.0914.413,882.216,060.74Mbeya2,605.42,241.07,446.312,292.8Morogoro5,359.62,427.270.27,857.0Mtwara7,608.56,838.5270.414,717.47Mwanza8,905.03,889.94,577.317,372.25Ruvuma667.1469.832.71,169.6Shinyanga1,355.01,068.837.82,461.6Singida331.0269.151.3651.4Tabora1,087.4896.215.11,998.7Tanga2,849.72,231.89,755.714,837.36Rukwa748.1235.497.61,081.2Manyara686.2263.6-

Swali langu: Imekuwaje mbona hayo maendeleo waliyonyimwa tangu uhuru kwa kisingizio cha uchangiaji mdogo kwenye pato la taifa hayaletwi-hivi sasa wanapochangia kwa kiasi kikubwa au vigezo vimebadilika?Tafadhali naombeni mchango wenu watu wa uchumi.

Mtwara ni saba kuchangia pato la taifa kwenye hizo data
 
Last edited by a moderator:

Local governments (Halmashauri/Manispaa) in Tanzania also have powers to collect taxes to finance local needs, they also enact by-laws, but as far as i know, that haven't promoted tribalism in Tanzania.
 
Ritz na wana barza wengine.

Ninahitaji muda kuusoma mnakasha huu ili niweze kuchangia kwa kutumia uzoefu wangu wa uchumi hususan wa Tz na knowledge yangu.

Kuna mambo nimeyaona haraka haraka humu. Mfano Mchambuzi ametoa data za TRA za mchango wa kodi kwa mikoa au kanda ya mwaka 2012/13.

... Tukumbuke kuwa suala la Tax collection zinabadilika kila mwaka na huwezi ukachukua ya mwaka mmoja basi ukaitumia kama base yako katika kujenga hoja.

... Wachumi huwa tunachukua TAX collection ya kipindi fulani mathalan Tax collection kwa miaka mitano mfululizo let say from 2010 to 2015 etc.

... Au njia nyingine ni kutumia current data yaani za 2013/2014 ( kwani mwaka wa fedhwa wa Tz unaanza 1st of July)

... Lakin kingine nilichotaka kutoa angalizo ni kuwa uchumi wa nchi au kanda au mkoa au hata kijiji unategemea sana na unaletwa na wananchi wenyewe kwa kupewa support kubwa ya kuwezeshwa, kujengewa uwezo na Serikali yao. Kwani jukumu la wananchi ni kupanga mipango yao ya maendeleo, kutekeleza mipango hiyo na kuisimamia chini ya uongozi wa Serikali yao.

... Hivyo ni jukumu la Serikali kuwezesha na kuwajengea uwezo wananchi wake ili waweze kuendeleo. SASA MNAPOZUNGUMZIA MIKOA YA KUSINI SERIKALI IMETEKELEZA WAJIBU WAKE?

NB. Barabara ya Kibiti Mtwara imeanza wakti wa Rais Mwinyi, mkapa na imemalizika juzi tu wakti Kikwete nae keshokutwa anamaliza muda wake. Je Gas kuisafirisha kutoka Mtwara kuja Dar imetumia miezi 18 Tu.

Nitapita baadae.

 

Swali lako ni Zuri sana Al Akhiy Ritz,

Kiuchumi tunaamini kuwa pahala popote penye Bandari ni chanzo kikuu cha kukuza uchumi wa nchi husika. Mfano mdogo jirani zenu Kenya uchumi wao unakuwa kwa kasi sana kutokana na makusanyo wanayo kusanya kutokana na Banddari moja tu ya Mombasa na sasa ndio wanajenga nyingine Lamu.

Tanzania kuna bandari kuu nne yaani Tanga, Dar, Znz na Mtwara. Kama Tz mngetumia vizuri uwepo wa bandari hizi kama walivyokuwa wanazitumia wakoloni walioitawala nchi yenu saa hizi mngezungumzia mbali sana.

Nakumbuka mwaka jana alipokuja Rais Kikwete Muscat na delegation yake nilimuuliza waziri wake wa Uchukuzi (Dr Harrison Mwakyembe mimi nilizoea kumwita Harrison toka tunasoma Udsm wakti huo anakaa msasani kwa shemeji yake Mr Mwamanga) kwanini bandari ya Tanga na Mtwara hazifanyi kazi vizuri ipasavyo na kurundika kila kitu bandari ya Dar? Nikaendelea kuuliza kwanii msizikodishe kwa watu binafsi/ mashirika au taasisi za kimataifa bandari za Tanga na Mtwara kama nyie mmeshindwa kuziendesha? any way alijitahidi kujibu lakin kisheria zaidi na sio kiuchumi.

Mimi binafsi naamini wazi kama bandari ya Mtwara itatumika vizuri basi katika kipindi cha miaka minne ijayo itakuwa ya kwanza kukusanya Kodi ikifuatiwa na Dar kisha Tanga kama Serikali yenu itatazama hayo kiumakini bia upendeleo.

 
hadi kufikia hapa mimi naona kama watu mnachanganya sana juu ya GDP na Revenues kiasi kwamba inawachanganya katika kujenga hoja. Na nimegundua hali hii ipo hata kwa wananchi wafanya biashara ambao hupiga mahesabu ya mauzo kuwa ni faida pasipo kutoa matumizi. Kwa mfano mtu ana restaurant na anauza kila siku miilioni 1.5 hadi 2 kwa siku na kwa mwezi pato lake ni Tsh millioni 38. hili ni pato lake na ili upate faida yake lazima utoe matumizi yote na kubakiwa na faidia ambayo ndio inamwezesha kuongeza mtaji au pengine hata kuna hasara amepata.

Hivyo tunapozungumzia Pato la Taifa kama GDP huwa inazungumzwa mauzo ya mali kwa ujumla wake, biashara zote na mzunguko wote wa mali zake iwe kuuzwa ndani ya mkoa ama nje ya mkoa lakini hi haina maana ndiyo Revenue serikali imekusanya ktk mfuko wa pato la Taifa. Kodi ushuru na gharama nyinginezo ambazo serikali hukusanya kwa minajiri ya bajeti yake ndizo pato halisi ya serikali. Na mkumbuke tu ya kwamba utajiri wa sehemu hausomeki kwa ulipaji wa tax, ama mauzo maana wingi wa fedha sio kielelezo cha faida ya biashara ama mauzo. Muuza nyanya Kariakoo anaweza kuwa na faida katika biashara yake (na halipi tax) kuliko mwenye duka na mtaji mkubwa pale Samora Evenue...

Hivyo, Shinyanga inaweza kuuza zaidi nje lakini kodi zake zikawa ndogo sana kutokana na kwamba miradi yake inamilikiwa na mashirika ya nje yenye misamaha ya kodi na Ushuru, wakati Kilimanjaro yenye miradi ya wananchi na ikaonekana small business owners ambao kiukweli hata wachumi wamegundua kwamba biashara ndogo ndogo ndizo waajiri wakubwa kuliko mashirika makubwa kama Barricks. Na hivyo kutokea wananchi wengi kulipa kodi maana wao hawana misamaha. Je, ujio wa haya mashirika makubwa ungewanufaisha vipi wana Shinyanga hapo ndipo Politics zitembee..

Kwa hiyo ingelikuwa vizuri sana kama hapa tutaelewana kwanza tunabishania kipi, GDP au Real revunue contribution ya kila mkoa. Na ifahamike tu ya kwamba fedha za ujenzi wa Mkoa na uendeshaji wa shughuli zake unategemea na ukubwa wa mkoa na wilaya zake, idadi ya watu, ukubwa wa serikali yenyewe mkoani na mazingira ya wananchi wenyewe katika makazi yao. Unaweza kuta mkoa fulani watu wameishi katika eneo dogo sana wakati eneo kubwa ni hifadhi ya Taifa, jangwa au pori. Hivyo Ujenzi wa hilo eneo dogo ukaonekana zaidi ya mkoa ulosambaa watu kuishi kila kona ya mkoa huo..Botswana ni nchi ninasifika sana kwa GDP na mengineyo lakini ukienda pale utashangaa gii ndio nchi inayosifiwa mbona jangwa tupu..kisehemu wanachozungumzia kidogo kama mkoa wa Dar.

Japo pamoja na yote haya ni vizuri kwa nchi kuwa na mfumo bora wa ugawanaji mapato na usambazaji wa vyanzo vya maendeleo ya Kimkoa (miundombinu) na wahenga husema - Put your money where your mouth is!..Wakiwa na maana onyesha kwa vitendo na sio kwa maneno ktk jambo unalo support na kuliamini..badala ya kuendelea kubishana kwa sababu sijui Zitto kasema hivi na Mbowe kasema hivi. Hawa wote kama wanaamini katika maneno wanayoyasema ni bora watuonyeshe wataweza vipi kubadilisha mfumo uliopo ili mikoa kama Shinyanga na Dodoma ifaidike zaidi ktk Utanzania wetu maana msidhani changamoto ni za Tanganyika na Zanzibar tu, sisi wote ni binadamu na tunafikiri katika wigo hilo hilo la Umaskini nani atoke kwanza...Hakuna kitu kutoka wote kwa pamoja maana haiwezekani.
 

[TABLE="width: 680"]
[TR]
[TD="colspan: 4"]Direct Tax (Regional wise) - Domestic Revenue Department for 2014/2015[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TAX ITEM[/TD]
[TD="colspan: 4"] 1st Quarter 2014/15 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] July [/TD]
[TD] August [/TD]
[TD] September [/TD]
[TD] Total [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ilala[/TD]
[TD] 30,983.7[/TD]
[TD] 32,744.2[/TD]
[TD] 38,068.2[/TD]
[TD] 101,796.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kinondoni[/TD]
[TD] 29,816.2[/TD]
[TD] 16,055.9[/TD]
[TD] 24,605.7[/TD]
[TD] 70,477.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Temeke[/TD]
[TD] 6,440.7[/TD]
[TD] 5,721.8[/TD]
[TD] 12,249.6[/TD]
[TD] 24,412.2[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Arusha[/TD]
[TD] 5,948.2[/TD]
[TD] 6,055.0[/TD]
[TD] 8,970.6[/TD]
[TD] 20,973.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Coast[/TD]
[TD] 808.5[/TD]
[TD] 752.1[/TD]
[TD] 1,407.4[/TD]
[TD] 2,968.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Dodoma[/TD]
[TD] 1,972.9[/TD]
[TD] 1,355.3[/TD]
[TD] 2,461.8[/TD]
[TD] 5,790.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Iringa[/TD]
[TD] 1,594.7[/TD]
[TD] 1,572.6[/TD]
[TD] 2,304.0[/TD]
[TD] 5,471.3[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kagera[/TD]
[TD] 532.6[/TD]
[TD] 434.8[/TD]
[TD] 890.2[/TD]
[TD] 1,857.7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kigoma[/TD]
[TD] 225.3[/TD]
[TD] 304.6[/TD]
[TD] 591.6[/TD]
[TD] 1,121.5[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilimanjaro[/TD]
[TD] 2,385.8[/TD]
[TD] 1,745.0[/TD]
[TD] 4,346.7[/TD]
[TD] 8,477.6[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Lindi[/TD]
[TD] 173.7[/TD]
[TD] 340.7[/TD]
[TD] 494.8[/TD]
[TD] 1,009.2[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mara[/TD]
[TD] 589.0[/TD]
[TD] 595.9[/TD]
[TD] 550.3[/TD]
[TD] 1,735.2[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mbeya[/TD]
[TD] 1,020.5[/TD]
[TD] 1,416.3[/TD]
[TD] 1,676.2[/TD]
[TD] 4,113.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Morogoro[/TD]
[TD] 1,342.9[/TD]
[TD] 2,094.8[/TD]
[TD] 3,406.2[/TD]
[TD] 6,844.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mtwara[/TD]
[TD] 641.2[/TD]
[TD] 377.7[/TD]
[TD] 782.1[/TD]
[TD] 1,800.9[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mwanza[/TD]
[TD] 2,666.9[/TD]
[TD] 3,192.4[/TD]
[TD] 4,638.8[/TD]
[TD] 10,498.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ruvuma[/TD]
[TD] 400.6[/TD]
[TD] 281.3[/TD]
[TD] 757.1[/TD]
[TD] 1,439.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Shinyanga[/TD]
[TD] 687.4[/TD]
[TD] 486.5[/TD]
[TD] 1,419.1[/TD]
[TD] 2,593.0 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Singida[/TD]
[TD] 211.5[/TD]
[TD] 128.1[/TD]
[TD] 381.6[/TD]
[TD] 721.2[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tabora[/TD]
[TD] 499.1[/TD]
[TD] 318.7[/TD]
[TD] 984.7[/TD]
[TD] 1,802.6[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanga[/TD]
[TD] 1,066.9[/TD]
[TD] 875.8[/TD]
[TD] 2,699.9[/TD]
[TD] 4,642.6[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Rukwa[/TD]
[TD] 241.3[/TD]
[TD] 291.6[/TD]
[TD] 560.4[/TD]
[TD] 1,093.3[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Manyara[/TD]
[TD] 489.7[/TD]
[TD] 370.8[/TD]
[TD] 463.3[/TD]
[TD] 1,323.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TOTAL (GROSS)[/TD]
[TD] 90,739.3 [/TD]
[TD] 77,512.0 [/TD]
[TD] 114,710.4 [/TD]
[TD] 282,961.7 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
-------------

Does it change the story? For 2010-2015, Data is consistent, i can present that if you want me to.
 

1. Tuseme basi hoja yako ya kodi za mipakani ina mashiko, hivyo we ignore CUSTOMS and EXCISE stats nilizowasilisha awali, how does that change the story?

2. Nimetoa mifano ya texas huko juu lakini nikajibiwa na Ritz kwamba wao wameendelea, kwahiyo tusiwajadili. Sasa kama wameendelea, na sisi tunafanyeje tuendelee kama sio kwa kujifunza kutoka kwa wenzetu walioendelea kupitia sekta ya mafuta na gesi?

Texas leads the US in oil reserves, lakini the major source of revenues in Texas is not oil and gas taxes but sales and use tax, by over 50%. Hoja yangu ya msingi hapa ni kwamba tuache kuwa wavivu wa kufikiri kwa vile tu kuna utajiri wa mafuta na gesi katika mkoa fulani. Tuache kupumbaza wananchi wa Mtwara kwamba wamejaliwa sana kuliko wenzao kwa hiyo walale kwa raha na starehe wasubiri serikali ikusanye kodi from oil and gas na kuwamwagia mapesa, na kuwapa huduma za bure. Mwanasiasa anayewaeleza wananchi hayo ni sumu ya hatari kwa mustakabali wa taifa letu.

Sambamba na kusubiria kodi kutoka oil and gas, wana mtwara sasa wajipange in terms of development of Human Capital ili watoto wao, wajukuu wao na vitukuu vyao waweze faidika kwa maana ya ajira za maana kwenye sekta ya oil and gas, ajira ambazo zitakatwa kodi na kuchangia maendeleo yao sambamba na kodi kutoka katika uzalishaji wa oil and gas. Pia wawe na skills za kuja wawezesha kutumia fursa zilizopo in the oil and gas value chain, kuwa suppliers, contractors n.k. Wana mtwara wana haja ya kujipanga ili oil and gas ivutie real estate development ili mkoa wao uanze kukusanya property taxes nzuri.

Siasa za kuwafanya wana Mtwara wawe na imani kwamba faida ya oil and gas sector will trickle down in the short to medium term, ni siasa hatarishi sana kwa wana mtwara, na taifa kwa ujumla. Wana mtwara wanahitaji viongozi wa kuwasaidia kujipanga ili sekta ya oil and gas itumike kama mbegu ya kupanda kuwafungulia katika maeneo mengine where they also have a comparative advantage over other regions. Pia wawe na fikra ya kuangalia investment opportunities zipo wapi na jinsi gani they can harness local and outside capital kuendelea. Kwa mfano:

1. Kilimo (Korosho)
2. Usafiri wa Anga na Maji.
3. Utalii.
4. Ufugaji nyuki.
5. Viwanda.
6. Pia maeneo ya social and economic infrastructure kama vile elimu, afya, mawasiliano, barabara kwa mtindo wa Build Operate and Transfer, na maeneo mengine mengi.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wangu bado unachanganya hoja hapa. Bado sielewi unazungumzia nini maana mauzo ya Oil na Gas ni mali za watu binafsi na taxes zipo hata hizo Oil na gas. Ili upate mchango mkubwa unatoka wapi ni muhimu uingie ktk taxes zenyewe na utazame ni kitu gani kinachangia zaidi huwezi sema Texas kwa sababu wana mafuta is not the main source of revenue ilihali kuna sales Tax ndani yake kila yanapouzwa.

Halafu jua ya kwamba Utajiri si faida inayopatikana hivyo Texas wenye mafuta ni matajiri sana na Utajiri wake unaweza shikwa na watu wachache sana, wakati Carlfornia ina idadi kubwa ya watu na ajira kubwa hupatikana pale ktk nyanja nyingi za services iwe hata film and movie production ukakuta inachangia kodi kiasi kikubwa ziadi ya Mafuta. Kifupi hadi hapa mlipofika nashindwa mnachobishania hapa maana mnazunguka mule mule mkichanganya Taxes Revenue na mapato ya watu.

Naweza kuwa na biashara inayoningizia Billioni 2 lakini katika calculations za matumizi ya biashara nzima nikalipa Taxes 100,000 tu, wakati wafanyakazi 10 wenye kuingiza millioni 20 wakalipa zaidi ya 100,000 in taxes. na bado yule mwenye kuingiza 2 billioni akaitwa tajiri zaidi ya hawa 10 kwa sababu ya Assets zake. Mimi sielewi kabisa mnapokwenda kusema kweli mmenipoteza.
 

kwani uongo si wenyewe kwa wenyewe,CCM ni jina tu,au Chadema ni jina tu,katika hivyo kuna watu ambao ni wanachama na n.k yeye anaeleza mfumo hana aja ya kutaja CHAMA kama unavyotaka,ujui zitto anazidi kupevuka kisiasa,huko amewaachia nyinyi
 
Kwahiyo Mbowe akitoa taarifa zisizo na afya kwa TAIFA tumpongeze,analeta habari za makabila,kuwa wasukuma ndio kabila masikini na sisi tukae kimya tu.
mfano ile siku yangetoka magazeti na vichwa vya habari hivi
-''WASUKUMA ndio kabila masikini kuliko kabila lolote TANZANIA kwa miaka zaid ya 50,pamoja ya kuwa wana NG'ombe,dhahabu,almasi'-MH;MBOWE
-Shinyanga ni mkoa wa tatu kwa kuchangia pato la TAIFA lakini wanapata mgao kiduchu kuliko inavyopata KILIMANJARO Aambayo inachangia kidogo...
Kwa akili ya kupitia JANDONI tu,nani anahatarisha ustawi wa TAIFA,anaetaja makabila au anaezungumzia mgao unaotolewa na SERIKALI? Zito kazungumzia MGAO unatolewa katika fuko la TAIFA(serikali)...mtu atawachukiaje watu wa KLM wakati yeye amepewa tu,lazima ataichukia serikali(mfumo),ambao upo chini ya CCM...na kuhitaji mabadiliko sio kuchukia mkoa mwingine,maana anaegawa ni serikali....ndiomana niliwaomba mpunzike kuandika JF ili mjichaji katika kufikilia. Hili halihitaji kufika VETA kujua ZITTO alikua anawaambia wananchi serikali haifanyi usawa katika kugawa tunachokipata, linahitaji kupita JANDONI TU.Ila MBOWE anaongea na wananchi anasema wasukuma maskini. kwani katika ule mkutano walikuwepo wasukuma tu?
 
Wanabodi,

Mnajua swala la Uchumi wa nchi ni pana sana na hatuwezi kaa hapa tukabishana juu ya pato la taifa na revenue kwa kutumia takwimu maana undani wa vitu hivi unaweza kutupa picha tofauti kabisa. Unaweza soma Tax revenue za mahala ukasema safi na kujisifia lakini in real terms tax hizo ni kubwa na zinawakandamiza wananchi na kuwanufaisha wengine. Tanzania yetu ni mfano mzuri sana wa mfumo mbovu kabisa wa uwekezaji na ukusanyaji taxes. Sijapata kuona kusema kweli ni maajabu ya Firaun kuona nchi tajiri lakini wananchi wake maskini wa kutupwa..

Na kwa huu mtindo wa CCM kuwapa wageni nafuu lakini ukawashindilia wananchi na kodi za asilimia 20 hadi 30 kama sales tax sii mrengo mzuri kabisa na ndio maana binafsi yangu nimesimama katika Ujamaa ambao unadai kodi sawa kwa wote. Halafu basi Tanzania yetu wananchi wanatozwa tax hata kabla ya kupigiwa mahesabu ya manunuzi vs mapato au faida na hasara.

Zipo biashara zinachukua hadi mwaka ndio unaweza kuyaona matunda yake lakini utakandamizwa na tax hadi ukubali kushindwa mwenyewe. Yaani mtu akiuza Tsh. millioni 3 anafuatwa kulipa tax zake, pasipo kutazama huyu mtu kalipa tax kiasi gani ktk matumizi na manunuzi ya mali hizo jambo ambalo huku wenzetu ndivyo wanavyopiga mahesabu. U pay taxes unaponunua na U receive taxes unapouza - tofauti yake ndio unalipa/pwa.

Bongo sivyo hata kama biashara nzima ni hasara kwako, wao wanakuja na kutazama tu machine yao imesema umeuza kiasi fulani lipa kodi kiasi hiki na what about nilizolipa kununulia mali na matumizi? Yaani mwenye biashara analipa kodi mara mbili pasipo kujua na TRA wanafurahia na kupongezwa kwa makusanyo yao. Kwa hiyo, hii nchi yetu hii maisha yanazidi kuwa magumu kwa sababu zimejengwa hila kwa wajanja kupata penyo za kufisadi na walalahoi kuendelea kuumia. Huwezi jenga uchumi kwa njia za panya hata kidogo utawaumiza wengi na hakuna bora litakalo fanyika isipokuwa kwa mwenye kutumia njia hizo hizo za panya ndiye atafaidika na kuitwa mjasiriamali wa mwaka!
 
Well said mkuu, na ndio maana tunasimama na kusema, Zitto anapoongea na wananchi achague maneno.

Kwa upana unaosema, kitendo cha kusema kirahisi hawa wanachangia wale wanachukua ni uchochezi.
Ndipo hoja ilipo haswaa kwamba, wananchi wetu wapo katika dhiki, ukiwatupia habari za uchochezi ni sawa na kuchochea kuni katika moto unaofuka. Ningemuelewa supreme kama ange elekeza nguvu zake katika kodi zinazovuja kwa wizi wa wawekezaji na misamaha ya kodi kuliko kusema wananyonywa na wenzao. Wafanyakazi ndio 'victims' wakubwa wa kodi.

Misamaha ya kodi ingeweza kuwapunguzia mzigo mkubwa waliobeba. Hata baadhi ya wafanyabiashara nao ni waathirika.

Kodi zetu kama za viwanja vya ndege ni kubwa mno, mashirika yamekimbia.

Huduma zake ni hafifu mno kuliko wanakolipa kodi kidogo. Haya ndiyo ya kueleza, si kusingizia wananchi wa kanda fulani bila makosa kama anavyohubiri supreme Unaona mkuu!!! na walipa kodi haijalishi wanaishi wapi, wala wanafanya biashara wapi. Wote wanapigika kikamilifu kwa mtindo ule ule.

Hizi ndizo hoja za kuwaambia wananchi, jamani tunapigika pamoja.

Si kwenda kuwaambia ninyi mnapigika kwasababu wenzenu wa Kilamanjaro wanachukua. Huu upotoshaji ndio tumesimama kuupinga.
 
Mkuu maneno mazito! Watu wakumbuke jimbo lenye mafuta Nigeria ndilo masikini. Na kama mafuta na gesi yangekuwa mwarobaini basi Nigeria isingekuwa hapo ilipo.

Tuliwahi kusema huko nyuma na The Big Show akiwemo kuwa, wananchi wa Mtwara wapiganie faida za gesi si kwa kutaka ibaki bali kwa fursa zitakazopatikana.

Kwasasa Kiwanda cha Dngote kitaajiri watu. Ukiangalia ajira na shughuli za kiuchumi ni kubwa sana kuliko inavyodhaniwa

Wananchi wa Mtwara wajiandae kupokea fursa hizo wakiwa na maandalizi. Mimi ningewashauri wajiandae kwa elimu zaidi.

Kuongezeka kwa uwekezaji kuna kwenda sambamba na huduma za jamii kama elimu na afya.
Endapo hawatakuwa tayari, fursa za elimu na afya zitawafaidsha watu kutoka maeneo mengine na wao watafuata kauli za Zitto tu.

Kilimo mi eneo jingine. Huduma na ongezeko la shughuli za kibiashara na huduma linakwenda sambasamba na huduma za uzalishaji wa chakula n.k. Hapo wanapaswa kuwekeza maana embe wanalouza sh 50 ipo siku wataliuza sh 1000.

Hata hivyo lazima wajiandae kwa hilo vinginevyo fursa zilizopo ni za wote na katika ushindani watakuwa nyuma.
Hoja itakayosimama ni ya Zitto, wananchi wa kanda X wanakuja kuchukua fursa zetu

Uvuvi balo ni eneo la kuangalia. Kutakuwa na ongezeko la walaji tena wa viwango tofauti.
Ni wakati sasa wajiandae kuhakikisha uvuvi wanaoufanya si wa ngalawa tena. Waende mbele zaidi

Kuna investment katika real estate. Watu wanahitaji makazi, je Mtwara wanajiandaa kwa hilo?

Orodha ni ndefu sana, hoja kubwa ni kuwa lazima wajiandae kwa vizazi vyao.

Maandalizi mazuri ni kuwekeza katika elimu, mengine yatafuata. Ni kuangalia fursa zilizopo na jinsi gani wataiztumia. Si kuangalia gesi na mafuta maana Williamson diamond ilikuwepo Shinyanga.

Hao Kilimanjaro na Arusha wanaosemwa na supreme, silaha yao kubwa ni uwekezaji katika elimu

Kwanini umlaumu mwananchi wa Kilimanajaro, Arusha, Kagera n.k. kwa kutumia fursa uliyoshindwa kuitumia hapo ulipo?

Matokeo yake, wanatumia fursa hizo na wanafanya 'remmitance' kwao, wanaendelea.

Supreme anasema, hapana, ni wanyonyaji!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…