Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Wanaduru naomba kuwauliza have we changed our discussion from discussing issues and now we are discussing only one head which isn't even worth our brains??

Turudi kujadili hoja na sio kumjadili Zitto mbona sikion alichonacho zaid ya wengine, frankly speaking if i were asked to discuss people i could've chose to discuss Prof Lipumba and his rallying alleys lol!
 
\
Waberoya, tafadhali uwe mkweli, kumbuka JF inatunza kumbukumbu!...dont be disingenuous, tofauti zetu wengine na Zitto hazikuanzia wala hazihusiki na kutaka kwake kugombea uenyekiti w Chadema. Je unakumbuka wakati Zitto alipotaka kususia JF baada ya kubanwa kutokana na mitambo ya Dowans/Richmond? Pamoja na mods kufuta matusi aliyoyamwaga kwa wana JF waliompa ukweli, baadaye ilibidi aombe msamaha na kweli wengi tulikuwa tuko tayari kumsamehe!

Unakumbuka wakati anajitapa anavyojiweza na kwamba kwa muda wa miaka miwili mitatu tu kwenye Ubunge ameweza kumiliki magari ya kifahari? Ni hapo wengine alianza kutupa wasiwasi. Unakumbuka alivyotamba kwamba yako majimbo yalikuwa yanamsihi akagombee Ubunge kwani wako tayari kumpa? Kigoma, Geita hadi Dar es Salaam? Juzi juzi hapa kaanza tena vitimbwi vyake. To you he might be a powerhouse, to us he is a blown fuse!

Mkuu unamfuatilia zitto kuliko hata wewe mwenyewe! wanasiasa wangapi unawafuatilia hivi? mkuu kubali kuwa unamchukia zitto, na kibaya zaidi chuki zako haziwezi fanya kitu

issue ya dowans/richmond zitto two years later akaonekana hero.....

kugombea ubunge kila mahali kwa nn hauku consider ni utoto wake?

kumilik magari ya kifahari, CDM haina mechanism ya kubana viongozi na kufuatilia mali zao?? au uliona zitto tu ana magari ya kutisha? CDM haina kamati ya maadili? haina kamati za kuzuia ufisadi wa wanachama wake?? unazungumza kitu ambacho kingefanyiwa kazi internally, na kuja na vithibitisho upatikanaji wa hizo mali.........au una uthibitisho alipataje?? wewe na mimi hatuna, ila I do believe CDM wangekuwa na mechanism wangemuuliza na angetoa vithibitisho..........unazidi kuanika udhaifu wa CDM mkuu

mimi ni range 3, ford 4, BWM 5 all are used vehicle mengine nimepata bei ya kutupa, ila nikitembea nayo mtaani mdogo wako yule wa kike lazima aniangalie mara mbili!!! na lazima atatangaza kwako kuwa kamuona waberoya na vogue..kumbe nimenunua dubai kwa bei ya kutupa, nimebadili injini na kuweka ya toyota hilux, ila kopo la nje inaonekana Range

huwezi ku mjudge mtu kwa nje never.............yaani Mag3 unaendekeza uswahili wako kabisa kabisa!!

hizo tuhuma hazimuweki zitto pabaya, ila uko kama jairani zangu ambao wananiita muuza unga, wakati Tanzania nikibeba mizigo miwili ya mbao kutoka mufindi nishakuwa tajiri.....my God!!
 
Wanaduru naomba kuwauliza have we changed our discussion from discussing issues and now we are discussing only one head which isn't even worth our brains??

Turudi kujadili hoja na sio kumjadili Zitto mbona sikion alichonacho zaid ya wengine, frankly speaking if i were asked to discuss people i could've chose to discuss Prof Lipumba and his rallying alleys lol!


You are very right gfsonwin I once said so, they have called him many names enough to just 'ignore him'

but innermost chambers of their heart..their conscience reminds them...something was not right

They keep on dreaming about him, eat with him, sleep with him, zitto is just ringing in their mind, singing in their cars, they breath him...they are following him, watching him......look up on his tweeter, facebook..whatsapp................they can not rest...whay? hatred is driving them, hatred is blinding them.....they will never rest..it is nature it is true

The innocent Zitto will keep on reminding their actions....even 30 years from now, truth will always prevail

To me the best way to real reject someone is to ignore him; they can not do that.......if you speak about someone ( every now and then) you are promoting him!! whether for good or for bad.....Politician this is advantage just talk about him!!!! ha ha ha

lilikuwa jukwaa la hoja hili na hawa hawa wazee nguri, leo wamegeuka kumjadili zitto na kusahau mengine yote !!

Kwa mfano mimi nime mu ignore Nguruvi, so sijui kama ananifuatilia , ananisoma, mimi sioni bandiko lake lolote..wala sina mpango naye.....ila najua mlengo wake na yeye ndiye kawarubuni hawa wazee wengine kiakili na kiroho...mtoto mbaya yule!! ha ha ha
 
You are very right gfsonwin I once said so, they have called him many names enough to just 'ignore him'

but innermost chambers of their heart..their conscience reminds them...something was not right

They keep on dreaming about him, eat with him, sleep with him, zitto is just ringing in their mind, singing in their cars, they breath him...they are following him, watching him......look up on his tweeter, facebook..whatsapp................they can not rest...whay? hatred is driving them, hatred is blinding them.....they will never rest..it is nature it is true

The innocent Zitto will keep on reminding their actions....even 30 years from now, truth will always prevail

To me the best way to real reject someone is to ignore him; they can not do that.......if you speak about someone ( every now and then) you are promoting him!! whether for good or for bad.....Politician this is advantage just talk about him!!!! ha ha ha

lilikuwa jukwaa la hoja hili na hawa hawa wazee nguri, leo wamegeuka kumjadili zitto na kusahau mengine yote !!

I wish kubadili mitazamo ya watu humu....................
hebu tujiulize hivi vyama vya siasa ambavyo ni upinzania ambavyo vina claim kuwa na guvu ya pamoja kuioutsmart CCM wana guts zipi za kufanya hivo??

Hebu mnieleze leo nielewe ivi UKAWA registered organization ambayo ina power kisheria kushiriki uchaguzi as UKAWA? na je kama iko registered je katiba yao inasemaje kwani sijawah kusikia popote pale. na kama sio registered meaning kwamb ahiwez kushiriki uchaguzi kama UKAWA je hawaon kama wanawalisha wananchi upepo?

naomba kufahamishwa hayo afu ndipo nitakapokuja kuhoji juu ya uhalali wa ACT kutaka kujiunga na UKAWA.
Nguruvi3, Mchambuzi Mkandara Mag3, Zakumi Ngongo naomben majibu
 
Last edited by a moderator:
Mkuu unamfuatilia zitto kuliko hata wewe mwenyewe! wanasiasa wangapi unawafuatilia hivi? mkuu kubali kuwa unamchukia zitto, na kibaya zaidi chuki zako haziwezi fanya kitu

issue ya dowans/richmond zitto two years later akaonekana hero.....

kugombea ubunge kila mahali kwa nn hauku consider ni utoto wake?

kumilik magari ya kifahari, CDM haina mechanism ya kubana viongozi na kufuatilia mali zao?? au uliona zitto tu ana magari ya kutisha? CDM haina kamati ya maadili? haina kamati za kuzuia ufisadi wa wanachama wake?? unazungumza kitu ambacho kingefanyiwa kazi internally, na kuja na vithibitisho upatikanaji wa hizo mali.........au una uthibitisho alipataje?? wewe na mimi hatuna, ila I do believe CDM wangekuwa na mechanism wangemuuliza na angetoa vithibitisho..........unazidi kuanika udhaifu wa CDM mkuu

mimi ni range 3, ford 4, BWM 5 all are used vehicle mengine nimepata bei ya kutupa, ila nikitembea nayo mtaani mdogo wako yule wa kike lazima aniangalie mara mbili!!! na lazima atatangaza kwako kuwa kamuona waberoya na vogue..kumbe nimenunua dubai kwa bei ya kutupa, nimebadili injini na kuweka ya toyota hilux, ila kopo la nje inaonekana Range

huwezi ku mjudge mtu kwa nje never.............yaani Mag3 unaendekeza uswahili wako kabisa kabisa!!

hizo tuhuma hazimuweki zitto pabaya, ila uko kama jairani zangu ambao wananiita muuza unga, wakati Tanzania nikibeba mizigo miwili ya mbao kutoka mufindi nishakuwa tajiri.....my God!!

kuna jambo moja mablo tukishindwa kulitafakari litatupa tabu sana
ukiongelea utajiri wa mtu, inabidi uwe makini sana kuujadili vinginevyo utajikuta unakosa points za kudefend hoja yako.

Nitoe mfano mdogo mwaka jana niliamua kulima manake niliona salary hainitosh, kweli niakenda sehem moja inaitwa idodomiya iko mbali kidogo kutoka mahenge kuna limwa vitunguu balaa.........mie nikajipatia ardhi kwa bei ya kutupwa nasema ivyo manake kwa Dar kupata eka moja tu lazima ujipange kweli kwa bei..................basi nilipojipatia nikauliza kunalimika nini huku zaid nikaambiwa vitunguu

mwl mie nikajituma kufyeka sehem ya shamba nikalima kisha kukata matuta afu nikahomola (kupandikiza) vitunguu..........sikuwa na uhakika wa nianchokifanya ila nilisema ngoja nijaribu nione..............lol!!! huwez amini brodah.............baada ya miez 4 nilipigiwa simu na mtu mwl tunataka vitunguu mimi ni mteja viko shamban nikajiuliza ivi naota ama ni kweli?? basi nikapanga siku tukutane pale shamba. nilipokwenda nilimuuliza apa wewe unafkir kuna magunia mangapi? akasema 98 nikamwambia basi nilipe za magunia 95 tu gunia ch ngapi eti 180,000/= nilikaribia kupata uchizi yaani ndani ya miezi 4 nimekamata kias hicho cha hela??
apo ni kwenye eka moja tu na nimeuza shamban je nikilima na kupeleka mjini si faida itakuw akubwa zaid? msimu uliofuata nililima mara 5 ya nilivyolima mara ywa kwanza na nikatafuta biashara katika soko la uhakika zaid sasa hivi wacomoro wanakuja kununua kwa bei ya laki 2 gunia tena la kg 100, napiga hela adi najiuliza nilikuwa wapi??

sasa watu wakija kuhamaki ni ticha tuu ndo apo wananza kukuwekea maneno mengii kumbe nyuma ya pazia unajua unafanyaje.....................mie sikuhizi siongelei kabisa mapato ya mtu unless iwe proved kwamba ameiba ama anashiriki biashara haramu
 
Kwanza ieleweke kuwa kinachojadiliwa ni ACT kama mpini wa CCM kuumaliza upinzani nchini. Tumeelezwa Zitto ndiye Supreme Leader wa ACT, kwa lugha rahisi ndiye nuru wa ACT. Ukijadili ACT kwa vyovyote vile lazima utagusa matendo, harakati, kauli za Zitto. Na ikumbukwe kuwa hapa yanajadiliwa masuala ya harakati za ACT kisiasa hapa nchini na harakati za Nuru ya ACT kisiasa hapa nchini na athari zake ziwe chanya ama hasi kwa mustakabali wa umoja, mshikamano, undugu miongoni mwa watanzania. Hatujadili ya Zitto kala nini hapa...!
 
Zakumi,

Unaweza jitambulisha asili yako kwa namna unavyopenda utambuliwe lakini mwisho wa siku hakuna ushahidi juu ya hilo. Vinginevyo ulileta hoja kwamba hatujulikani humu, sasa umetujua na unaanza kujadili personalities instead of issues. Mbaya zaidi, unaanza kunijadili kwa mtindo ule ule wa kibaguzi wa Zitto wa kugawanya watanzania kati Ya sisi na wao. That's very shallow, least to say.

Let's not derail from the main issue here.

Naomba nipe angalau sababu Tatu kwanini unadhani Zitto ni Mzalendo kwa Nchi yake.

Naomba Pia unitajie masuala matatu ambayo Zitto katika ziara yake mikoani wiki jana unadhani hajadanganya umma for political gain.

Vile vile naomba unisaidie na mchanganuo wa sources of funds ambazo ACT inazitumia katika ziara Zake Nchi nzima.

Mwisho, je Chama ambacho msajili wa vyama vya Siasa anakitambua Rasmi kwenye database yake ni
ACT Tanzania au ACT Wazalendo?

Cc Ritz
 
Last edited by a moderator:
I wish kubadili mitazamo ya watu humu....................
hebu tujiulize hivi vyama vya siasa ambavyo ni upinzania ambavyo vina claim kuwa na guvu ya pamoja kuioutsmart CCM wana guts zipi za kufanya hivo??

Hebu mnieleze leo nielewe ivi UKAWA registered organization ambayo ina power kisheria kushiriki uchaguzi as UKAWA? na je kama iko registered je katiba yao inasemaje kwani sijawah kusikia popote pale. na kama sio registered meaning kwamb ahiwez kushiriki uchaguzi kama UKAWA je hawaon kama wanawalisha wananchi upepo?

naomba kufahamishwa hayo afu ndipo nitakapokuja kuhoji juu ya uhalali wa ACT kutaka kujiunga na UKAWA.
Nguruvi3, Mchambuzi Mkandara Mag3, Zakumi Ngongo naomben majibu

my two cents
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...halali-ushindi-uchaguzi-2015-inawezekana.html
 
Wanasiasa ni muhimu kuchukua tahafadhali wawapo majukuwaani, Wakumbuke wanapokuwa majukwaani wasikilizaji wao ni watu wenye uelewa tofauti, ni bora kuongea kwa lugha yepesi ili hata yule mama muuza mihogo aliyeishia darasa la saba akuelewe. ILa inapata mashaka iwepo mwanasiasa (yeyote yule) anaposimama majukwaani na kuanza kusema mkoa huu unapata mgao mkubwa kuliko mkoa wenu na bla bla nyingi" hapa ni kupandikiza chuki zisizo na maana kwa watu wa mikoa fulani. Ingaweje kuna ukweli kuwa mikoa fulani ina maendeleo kuliko mikoa fulani lakini tukumbuke maendeleo ya mikoa fulani hayategemei saana "mgawanyo wa rasilimali za Taifa.

Mfn. Kwa mjibu wa takwimu za mwaka 2010 "sikuweza kupata za 2014 ni kuwa mkoa wa Arusha ulipata mgao wa Bilion 81 na mkoa wa Kagera ulipata Bil 88, katika uchangiaji wa Taifa Arusha walichangia Tril 1.5 wakati Kagera ilikuwa Tril. 1.3,
kwenye mikoa yenye maendeleo (kipato cha wananchi, ubora wa barabara, shule, Hospitali na nk) Arusha ni 3 huku Kagera hata haiko katika kumi bora.. Hivyo basi utaona maendeleo ya wananchi hayategemea mgao wa rasilimali za taifa tu bali yanategemea zaidi jinsi watu wa mikoa husika wanavyochangia shughuli za maendeleo kama alivyosema dada yangu gfsonwin .

Dada yangu gfsonwin ameleza vizuri kabisa jinsi watu wa mikoa ya KLM na Arusha wanavyopenda maendeleo na utayari wao wa kuchangia hayo maendeleo. Mashule mengi, Hosptali nyingi, huduma za maji safi ambavyo ni vigezo muhimu katika upimaji wa maendeleo sehemu husika, wamejenga wenyewe kwa michango yao. Pale wapatapo mgao wao utumia si kwa kujenga shule tena au kukarabati barabara bali utumia katika miradi mikubwa mikubwa ambayo wananchi wameshindwa.

Lakini tukirudi katika mikoa mingine kama Kagera utaona wao kila kitu wanasubiri bajeti ya serikali kuu, mwananchi hawahamasiki tena kuchangia maendeleo yao baada ya kukakatishwa tamaa ni ubadilifu mkubwa wa pesa ya miradi mbali mbali.

Kitu kingine ni ubadilifu katika halmashauri mbali mbal, nafikiri kwa hapa CAG ni shaidi mzuri jinsi watu wanavyokula pesa za maendeleo.

Na nafikri ni muhimu kwa wanasiasa kuwatia watu wa hii mikoa nguvu ili wazidi kuchangia maendeleo kuliko kuwakatisha tamaa kwa mgongo wa "upendeleo" kitu ambacho sicho.

Pia wawashawishi watu wa mikoa mingine kujiletea maendeleo wenyewe badala ya kusubiri serikali.. Hata nchi zilizoendelea ambazo wananchi wao hawachangishi michango kwa ajiri ya ujenzi wa bara bara na nk. Lakini wao michango yao ni kodi. wanalipata kodi mpaka serikali zao wanakuwa na ziada za kuweza kuleta misaada barani kwetu. Tuwaige watu wa Arusha na Klm ili tuweze kupiga hatua kwenda mbele. Maendeleo ya mtu ni jitihada zake mwenyewe. Tufanya kazi kwa bidii, tuwe wakali kwa viongozi wabadilifu wa pesa za maendeleo, kuwepo na uwazi katika mapato na matumizi hasa katika halmashauri zetu na nk. Muhimu sio kuanza kusuta wenyewe kwa wenyewe muhimu ni kuiga kilichochema kutoka kwa jirani yako.

Tanzania si ya ACT, si ya CCM, si ya Chadema na nk. Tanzania ni yetu sote.
 
Last edited by a moderator:
Mkandara kuna jambo ambalo labda sikuliweka sawa kwenye hoja yangu ya mwanzoni.
KLM imetajwa kama mkoa ambao unamchango mdogo kwenye GDP lakin ukawa na maendeleo makubwa sana.............mind you huu ndio mkoa ambao kweli mchango wake kwenye GDP ni mdogo sana wkasabb kwanza hauna viwanda, kilimo sio cha biashara zaid ya subsistance, ukame/mafuriko huathiri sehem kubwa ya mkoa, kibiashara bado biashara zake sio kubwa kwani mzunguko wa hela na mwingiliano wa watu ni mdogo zadi.............ufugaji ndo kabisa huu mkoa hauwez kufuga zaid ya kufuga kwa ndani ambako ni kwaajili ya chakula cha familia tu...........

tatizo linakuja kwenye huu mkoa kuwa na manedeleo makubwa zaid kuliko mikoa mingine mie ndipo nikasema huu mkoa uko ivo kwasabb watu wake wengi hasa vijana wametoka leo hii ukienda hukuti vijana huko wako mijini kwenye mikoa tofauti kutafuta maisha na wanaporudi nyumban huwekeza wako kama vile ujenzi wa mahosp, mashule, barabara na miundo mbinu ya maji achilia mbali ujenzi wanyumba bora za kisasa.
Mkandara mie sidhan kwamba hata huu mkoa inabidi uwe ni point of discussion kwan tunawajua wachagga leo hii ukienda sehem kama machame lami iliyojengwa na mjeruman kwa kuchangisha wanachi ndo inabomolewa na kujengwa ingine ambayo kila household imetoa mchango wa sh 40000/=kuijenga................ni km kama 20 tu lakn kila familia imetoa huo mchango. wengine wakijenga shule za kata kwa kulumbana KLM walionyesha mfano kwa kujenga kwa kuchanga kwa hiari miskitini na makanisani na risiti wakapewa. Mbona wao wenyewe walichanga kuongeza ubora wa hosp na ukweli baadhi ya hosp zao zikapandishwa madaraja kama vile Kilema hosp na nkwarungo kuwa hosp teule??

Kumbuka kinachobishaniwa hapa ni kwamba kwann wana kasi kubwa ya maendeleo lkn mchango wao kwenye GDP ni mdogo, mie nasema ni kwasabb wao priority yao ni maendeleo yao na sio kitu kingine. Ukiongelea miundo mbinu ya majisafi na salama hadi kwenye vijiji yapo sishangai manake mamlaka husika zilijitahd kuelimisha watu na kila mtu aliona umuhimu wa kuchangia ili aunganishiwe maji na ndivyo ilivyo hali mpaka sasa.

KLM mfano hupata ruzuku kubwa (ambayo pia huwa siamini saana) kwasabb ya kuwa na miradi mingi ya maendeleo ambayo hutokana na nguvu ya wananchi wenyewe. Serikali kwa kuona umuhimu wa miradi hii basi hulazimika kuwaongezea nguvu of which ni jambo jema.

Ilipojengwa lami toka kwasadala hadi masama Rais alipokwenda kuifungua ulimskia akisema kwamba hii ni mali yenu manake mmetoa hela zenu mifukon kuijenga, na serikal iliwaoambea msaada kidogo ili kufanikisha lkn nakumbuka kila familia ilichonga sh 10000/= sjui kama akina Nguruvi3 na @mchambuzi wamewah kufika huko mfano machame watu wakienda kanisan ama mskitin baada aya ibada hupenda kuskia barua za kiutawala (yaani kutoka kweney serikali nk) na hapo huskiliza unahitajka mchango wa nini ili waweze kujiandaa. utashangaaa kumkuta mtu sokoni anaenda kuuza debe la ndizi za kupika mbege lkn ni ili apate elfu moja ya kudunduliza ili alipe mchango unaotakiwa manake anajua anatakiwa kulipa nia sio hiari ni lazima

nafkir badala ya kueneza kuwa KLM inapata ruzuku kubwa mchango wake ni mdogo angeeleza wanafanayaje wao wa klm ili na wo waige mbona wao hatuwaskii wakilalama kuchangishwa sana kweney shughuli za maendeleo?
Bibie swala sio Maendeleo walokuwa nayo Kilimanjaro bali mgao wanaopewa katika ujenzi wa miundombinu na huduma za wananchi. maendeleo yanaweza patikana sehemu yenye watu wachache/wengi, mkoa mdogo/mkubwa ni uwezeshwaji wa mipango na viongozi wake kutumia fedha walizopewa katika miradi ya maendeleo. Kupanga ni kuchagua..Halafu hatuzungumziii miradi ya serikali kuu isipokuwa shughuli za miradi ya uendeshaji wa serikali za mikoa.

Kuna watu wanapokea mshahara wa Tsh laki 600,000 kwa mwezi wana maendeleo kuliko Ofisa mwenye kupokea Tsh millioni 3 kwa mwezi, mafanikio ni mipango ya mtu sisi hatuzungumzii maendeleo ya mkoa isipokuwa pale sababu zinapoonekana. Tuache swala la Kilimanjaro pembeni, nikuulize hivi ikiwa wewe unapokea Tsh 300,000 na mwezako anapokea Tsh millioni 1 wakati mnafanya kazi moja, kazi sawa huoni kama hapo kuna tatizo mbali kabisa na jinsi mnavyozitumia fedha hizo?

Na swala la mgao tunataka kujua ni formula gani serikali huitumia kugawa fedha hizi maana tukumbuke hata swala la Muungano limetokana na kero ya mapato na Mgao, hivyo nsichukie ya Kilimanjaro tu wakati ya Zanzibar mnayapigia debe. Kuna tofauti gani kati ya Tanganyika na Zanzibar iwe sawa na jambo jema, lakini sio sawa kuzungumzia mikoa ya Kilimanjaro na Shinyanga?
 
Ushauri wa bure kwa Zitto.

Inawezekana Zitto ana uelewa mzuri wa masuala ya uchumi na maendeleo, lakini katika hili la kuwaeleza wananchi maskini kwamba uduni wa hali zao za maisha unaatokana na kunyonywa na wananchi kutoka mikoa mingine, kwa hili amekosea sana. Takwimu anazojadili zitto zinapatikana kila sehemu, hata mitandaoni. Kujifanya ni bingwa wa ufahamu wa takwimu halafu kwenda kwa wananchi kuwachanganya na kuwagawa, huo sio uongozi. Kiongozi wa aina hiyo hana budi kukemewa kwa sauti kali kabla hatujachelewa. Njia sahihi ambayo Zitto alitakiwa kuifuata kufikisha lengo lake ni pamoja na kufanya yafuatayo:

Angetengenza Profile kwa kila Mkoa, kwa maana ya social, economic and political profiles. Inataliwa afahamu kwamba kila mkoa una socio-economic ‘variables' ambazo hazipishani sana. Variables ambazo alitakiwa kuziangalia ni pamoja na hizi zifuatazo:

1. ARDHI, WATU NA HALI YA HEWA.
Tukianza na Ardhi - kabla ya kwenda kujadiliana na wananchi wa mikoa husika, angeangalia kwa undani suala zima la aina ya ardhi, idadi za hekari utilized/under-utilized, idadi ya hekari arable n.k. Kwenye suala la watu, zitto angeangalia kwanza idadi ya watu, age groups ni zioi na zina uwiano gani, suala la uzazi wa mpango n.k. Vile vile angeangalia kasi ya kukua kwa idadi ya watu katika kila mkoa, population density n.k. Pia angeangalia suala uhamiaji (migration) kwa kila mkoa anaolenga kwenda kuwahutubia wananchi juu ya changamoto zao za kiuchumi (both immigration & emigration).

2. UCHUMI.
· Hili ni suala la pili ambalo angeliangalia kwa undani kwanza kabla ya kukurupuka kama alivyofanya. Angejiuliza kwanza - Je what are the most productive sectors katika mkoa husika? Hali ya inputs na outputs katika hizo sectors zipo vipi? Value chain (upstream and downstream economic activities)
· Angeangalia kwa undani suala la Kilimo & Irrigation system.
· Mifugo.
· Uvuvi.
· Ufugaji Nyuki
· Madini.
· Misitu na wanyama pori.
· Maendeleo ya Viwanda.

3. MIUNDO MBINU. Hili ni eneo lingine muhimu ambapo angeangalia kwanza:
· Barabara – Viwango na idadi.
· Usafiri wa majini.
· Usafiri wa treni.
· Usafiri wa anga
· Mitandao ya mawasiliano
· Sekta ya Nishati/Umeme.

4. HUDUMA ZA KIJAMII. Eneo lingine hili muhimu -
Elimu:
· Shule za msingi – idadi, enrollments figures, pass rates?
· Secondary hivyo hivyo.
· Vyuo vya ufundi.
· Vyuo vikuu.
· Adult education (Elimu ya watu wazima).

Afya:
· Miundo mbinu ya afya
· Manpower ya afya na mahitaji yake
· Life expectancy
· Mortality rates (infant and maternal)
· Utapiamlo
· Malaria
· Kifua Kikuu
· Ukimwi n.k
Maji:
· Rural and urban water supplies

5. MAENEO MENGINE MUHIMU YA MAENDELEO:
· Gender Development in the area
· Vyama vya ushirika in the area
· NGOs in the area
· Shughuli za Donors katika mkoa
· Environmental conservation. Etc.

Baada ya kutazama masuala haya matano, hatua ambayo ingefuata ingekuwa kuangalia potential investment areas huku pia akidadisi current policy and regulatory framework kujua je zinasaidiaje au zinakwamishaje uwekezaji, both local and foreign investments. Je ni mazingira rafiki kwa wageni kuwekeza? Je ni mazingira rafiki kwa wazawa kuwekeza?

Mfano wa maeneo potential ya kuangalia yangekuwa ni pamoja na:
· Kilimo
· Mifugo
· Afya
· Transport
· Environmental protection
· Tourism
· Mining
· Forestry
· Education
· Fisheries
· Education
· Fisheries
· Book keeping
· Water supplies
· Women/Gender Development
· Industrial Development

Kwa mtindo huu, tungekuwa hatuna shida na Zitto kwani ziara zake zingekuwa zina elimisha wananchi lakini pia kuwashirikisha katika maamuzi juu ya hatima yao kisiasa, kijamii na kiuchumi. Sio kwa mtindo wake wa sasa ambao umetawaliwa na hulka ya kujionyesha ni mjuaji kwa kumwagia wananchi takwimu za uchumi wasizoelewa, kwa nia ya kupandikiza mbegu za chuki na mgawanyiko baina ya wananchi wa mikoa mbalimbali.

Hatutaacha Kukemea tabia hii hatarishi kwa taifa letu.
 
Zakumi,

Unaweza jitambulisha asili yako kwa namna unavyopenda utambuliwe lakini mwisho wa siku hakuna ushahidi juu ya hilo. Vinginevyo ulileta hoja kwamba hatujulikani humu, sasa umetujua na unaanza kujadili personalities instead of issues. Mbaya zaidi, unaanza kunijadili kwa mtindo ule ule wa kibaguzi wa Zitto wa kugawanya watanzania kati Ya sisi na wao. That's very shallow, least to say.

Let's not derail from the main issue here.

Naomba nipe angalau sababu Tatu kwanini unadhani Zitto ni Mzalendo kwa Nchi yake.

Naomba Pia unitajie masuala matatu ambayo Zitto katika ziara yake mikoani wiki jana unadhani hajadanganya umma for political gain.

Vile vile naomba unisaidie na mchanganuo wa sources of funds ambazo ACT inazitumia katika ziara Zake Nchi nzima.

Mwisho, je Chama ambacho msajili wa vyama vya Siasa anakitambua Rasmi kwenye database yake ni
ACT Tanzania au ACT Wazalendo?

Cc Ritz

Mchambuzi.

Hebu pitia hii hotuba ya Zitto kiduchu.


Zitto.
Nawashukuru kwa kuwa pamoja nasi siku hii ya kihistoria.Karibu Miaka 54 iliyopita tulipopata uhuru, Muasisi na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa kijana mwenye umri wa miaka 39, mwenye matumaini makubwa na taifa jipya na alikuwa na ndoto! Ndoto yake ilikuwa imejikita katika kuhakikisha taifa letu litakuwa taifa lisilo na umaskini, dhiki, ufukara; taifa lisilo na tofauti kubwa kati ya maskini na tajiri; taifa lenye usawa, haki na maendeleo, ambapo watoto wote wanasoma shule bila kujali kipato cha mzazi; taifa ambalo wananchi wake wanamiliki uchumi wao.Ndoto hii aliiamini kwa dhati na wananchi wote walikubali na kuota nae ndoto hii. Alilisimamia kwa maneno na vitendo kupitia Azimio la Arusha, sera zake na uongozi wake wa kizalendo. Mpaka mauti ilipomkuta aliamini katika misingi hii aliyojitahidi kuturithisha. Lakini miaka 16 baada ya kifo chake, ndoto yake imeyeyuka!Tulilonalo ni jinamizi alilolihofu Nyerere.Leo hii:Watanzania wachache wameondoka katika unyonge na dhiki.Watanzania wengi bado wapo katika hali ya dhiki.Watanzania wachache wameshikilia uchumi: Warasimu, Wanasiasa na Matajiri wachache wenye mitaji.Watanzania wengi bado kama Mwalimu Nyerere alivyosema “wananyonywa kiasi cha kutosha; wanapuuzwa kiasi cha kutosha”.Ndoto ya Mwalimu Nyerere bado haijawafikia wananchi.Sasa ndio wakati wa mabadiliko ya kimapinduzi.Sasa ndio wakati wa kujenga Uchumi shirikishi ambao utaruhusu kila mwananchi kupata fursa ya kuboresha maisha yake;Sasa ndio wakati dola imara ipate nafasi ya kusimamia uchumi;Sasa ndio wakati kwa wananchi kuwa na uhuru wa kweli wa mawazo, fikra, kushirikiana, kuabudu;Sasa ndio wakati wananchi kuwa na nguvu ya kuwawajibisha viongozi wao;Sasa ndio wakati wetu watanzania kujirithisha upya nchi yetu!Huu ndio wakati wa kubomoa uchumi wa kinyonyaji na kifisadi na kujenga uchumi wa wananchi. Haya ndio mabadiliko ya kimapinduzi tunayoyataka. Hii ndiyo ilikuwa ndoto ya Mwalimu Nyerere, na muda umefika wananchi turejeshe nchi mikononi mwetu!Haya yamekuwa mawazo yangu kwa muda mrefu kwa sababu mimi ni zao la ndoto ya Mwalimu Nyerere. Nililelewa na mama yangu mzazi pekee mwenye ulemavu; nimeanza kusoma shule ya msingi nikiwa naenda peku. Lakini kutokana na kufaulu mitihani vizuri, sikuhitaji kuwa tajiri kusoma mpaka chuo kikuu. Leo hii kutokana na elimu bora niliyoipata bure, nimesafiri na kufika katika nchi zaidi ya 70; nikiwa kama kiongozi nimekutana na kubadilishana mawazo na watu muhimu duniani kama vile wakuu wa nchi. Sio mimi peke yangu bali tupo maelfu tuliofaidika na mfumo huu. Lakini muhimu kupita yote, nimeweza kutumikia wananchi wa Kigoma na watanzania bungeni kwa miaka 10. Kama hii si ndoto iliyokuja kuwa kweli, ni nini?Zitto Zuberi Kabwe angezaliwa mwaka 2000, angekuwa kijana ambaye hajakamilisha elimu yake, haelewi lugha za kigeni kama kiingereza, hana ujuzi wowote na kama Mungu angeendelea kuninyima kipaji cha kuimba kama sasa ningeshindwa hata kutoka kama Diamond na Mwana FA! Mwalimu Nyerere asingepigania ndoto yake miaka ya 60 na 70, ningekuwa kama mamilioni ya vijana leo ambao wanahangaika kutafuta ajira na kipato bila ujuzi na elimu.Na ndiyo maana siku ya leo ni muhimu kwangu. Nina furaha na heshima kubwa kuwa katika familia yangu mpya ya kisiasa. Familia inayoaamini katika itikadi, misingi na tunu ninazoziamini.Nimezungumza mara kadhaa kuhusu sababu za kujiunga na chama hiki. Chama cha Wazalendo ACT- Tanzania inaongozwa na misingi ya Uzalendo, Demokarsia, Uhuru wa fikra na matendo, Utu, Usawa, Uadilifu, Uwazi, Uwajibikaji na Umoja katika kila kitu. Chama hiki ni cha wananchi si wenyenchi wa sasa waliojimilikisha taifa. Chama hiki ni cha watanzania wote bila kujali kabila, dini, jinsia, rangi ya ngozi au hali ya ulemavu!Tunapojadili wananchi kujimilikisha upya nchi yetu ni kupitia usimamizi wa sheria utakaohakikisha kuwa kuna uwazi na uwajibikaji wa viongozi. Uwazi tunaouamini ni ule utakaohakikisha kila mwananchi anapata taarifa za fedha zao, mikataba ambayo Serikali inaingia kwa niaba yao na taarifa za maslahi, mali na madeni ya viongozi wao. Tunataka uwazi katika uendeshaji wa Serikali na sisi tutaanza na uwazi katika uendeshaji wa chama chetu. Tunataka wananchi sio tu wajione kuwa sehemu ya uendeshaji wa nchi yao, bali pia wawe sehemu ya uendeshaji wa nchi yao.Tunataka uwazi utakaoruhusu uhuru wa mawazo na uhuru wa wananchi kujieleza bila kuhofu Serikali kuwachukulia hatua kwa kutoa mawazo yao. Ndio maana ACT Wazalendo tunapinga vikali miswada ya sheria ambayo Serikali ya CCM imeiwasilisha bungeni katika mkutano unaoendelea. Miswada hii kama vile muswada wa Haki ya kupata taarifa, vyombo vya habari na ule wa makosa ya mtandao, inalenga kuminya na kunyima haki za wananchi kuwasiliana kwa uhuru na kutoa mawazo yao kama inavyoainishwa katika katiba ya nchi.Tunapojadili wananchi kurejesha taifa mikononi mwao tunazungumzia uwajibikaji. Ripoti ya Tume ya Marekebisho ya Katiba ilieleza moja ya sababu kubwa ya kushamiri rushwa, ufisadi na ubadhirifu nchini ni nanukuu ‘kukosekana kwa mfumo madhubuti wa uwajibikaji’ nchini kwetu. Sababu kubwa ya ACT Wazalendo kupinga Katiba inayopendekezwa ni kwamba Katiba hiyo imechakachua nia hii ya kuweka mfumo wa uwajibikaji. Ndio maana tunawaambia wananchi waikatae Katiba hiyo kwa nguvu zao zote! Katiba inayoepndekezwa inastahili kadi nyekundu, tuikatae na kura ya hapana!Iwapo wananchi hawawezi kuwawajibisha viongozi kwa matendo yao hatuwezi kujenga jamii ya watu wanaoheshimiana na kutii sheria za nchi.Kila Mtanzania bila ya kujali cheo chake ni lazima awe chini ya sheria. Uwajibikaji ni lazima uanze na viongozi. Mnajua kuwa katika maisha yangu ya kisiasa hili ndio limekuwa jukwaa langu. Kwa bahati mbaya tunaishi katika kipindi ambacho wanasiasa wengi wamekuwa wakikumbwa na kashfa mbalimbali za kifisadi na matokeo yake inajengwa picha kuwa kila mwanasiasa ni fisadi. Mfumo wa Uwajibikaji wenye uwazi utasaidia wananchi kutofautisha wanasiasa wanaosimamia maslahi ya umma na wale wanaosimamia maslahi yao binafsi na vyama vyao vya siasa.Mwungwana ni vitendo; nimewajibisha watu kwenye Buzwagi na mikataba ya madini, kwenye matumizi mabaya ya fedha za umma na juzi juzi kwenye akaunti ya Tegeta Escrow. Lakini matukio haya machache hayatoshi kujenga mfumo madhubuti wa Uwajibikaji. Ni lazima kufanya mapinduzi ya mfumo mzima wa uchumi wa nchi yetu na kujenga mfumo mpya unaohudumia kila Mtanzania na ambao kila Mtanzania anajivunia kuujenga. Hatuwezi kuwa Taifa linaloshikiliwa na vikundi vya wafanyabishara wachache na wanasiasa wanaofadhiliwa na wafanyabishara hao.ACT Wazalendo inataka kujenga Taifa ambalo viongozi wake wanawajibika kwa wananchi. Hii ndio fikra tunayotaka kurejesha. Hizi ndizo siasa zilizoasisi Taifa letu. Hatuna budi, ni lazima kurudi kwenye misingi na kuanza upya!Kwa sababu ACT Wazalendo imejikita kwenye misingi hii, tumelihuisha Azimio la Arusha.Sio tu tumeweka miiko ya uongozi lakini pia tumetunga kanuni za kutekeleza miiko hiyo na kuifanya kuwa sehemu ya Katiba ya chama chetu. Hitaji moja kubwa la Kanuni zetu za Maadili ni kutaka kila Kiongozi wa ACT Wazalendo kuweka hadharani Maslahi yake, Mali na Madeni yake.Katika chama hiki huo ndio utamaduni wa kisiasa tunaotaka kuujenga. Kutenda tunachohubiri hata kabla ya kuingia kwenye uongozi wa Dola.Chama cha ACT Wazalendo kimeelekeza kikanuni kwamba kila Kiongozi wa chama lazima atangaze Mali zake na Madeni yake. Kila Kiongozi lazima aweke wazi maslahi yake ya kibiashara na mengineyo wazi ili kila anapotenda au kusema jambo wananchi wajue maslahi aliyonayo au la katika suala husika. Viongozi wote wa kitaifa wa ACT Wazalendo wamefanya hivyo na tutaweka saini zetu mbele yenu kama mashahidi. Naomba Mwanasheria wetu aje hapa tutekeleze matakwa haya ya kikanuni.Fomu hizi zitakuwa kwenye tovuti ya chama ndani ya muda mfupi ujao ili kila mtanzaina aone. Kila Kiongozi wa Chama ambaye Miiko ya Uongozi inamtaja anapaswa kuwa amejaza fomu hizi na kuziwasilisha kwa Katibu wa Kamati ya Uadilifu katika ifikapo tarehe 30 Juni 2015. Tunapopinga Viongozi wa Umma kufanya Biashara na Serikali na hivyo kuwa na mgongano wa kimaslahi na kushamiri kwa ufisadi, hivyo hivyo tunapinga Viongozi wa Chama chetu kufanya Biashara na Chama. Ni Marufuku Serikali kugeuzwa kuwa genge la watu wachache wanaopora rasilimali za Umma. Uadilifu tunaoutaka Serikalini ni lazima uanzie kwetu tunaohubiri.Tutafanya haya kwa kubadilisha siasa zetu kuelekea kwenye masuala yanayowahusu wananchi; Wakulima, Wafanyakazi, Wafanyabiashara ndogo ndogo, Vijana, Wanawake na Wazee wetu.Tunataka kurejesha nchi yetu Tanzania kwa kujenga uchumi wa wote. Tunaporejea kwenye Azimio, hatusemi tunakwenda kutaifisha kila kitu na Serikali kuendesha shughuli zote za kiuchumi. Tunaheshimu na kuthamini sekta binafsi na mchango wake katika kukuza uchumi na kuleta maendeleo. Tunamaanisha kuwa ni lazima Dola isimamie uchumi. Sio kazi ya Serikali kufanya biashara. Lakini tunamaanisha kuwa ni lazima kurekebisha baadhi ya makosa yaliyofanyika kwenye ubinafsishaji na hususan ubinafsishaji holela uliofanyika kwenye sekta ya Kilimo na kupora ardhi ya wananchi wetu na kuwageuza kuwa manamba kwenye ardhi yao wenyewe.Tunataka kutomokeza ukwepaji kodi.Tanzania inapoteza 15% ya makusanyo katika forodha kwa sababu ya ukwepaji wa kodi. Hii ni sawa na tshs 490 bilioni kwa mwaka, fedha ambazo zingeweza kuchangia wananchi milioni 4 kwenye hifadhi ya Jamii. Tanzania inapoteza takribani tshs 2 trilioni kila mwaka kwenye misamaha ya kodi. Hii ni fedha ambayo ingeweza kujenga reli mpya ya kati ya kisasa kutoka Dar mpaka Mwanza na Kigoma ndani ya miaka mitatu. Ili kuondoa upotevu huu ni lazima kupanua wigo wa kodi, kurahisisha kodi, kupunguza baadhi ya kodi kama ( PAYE) na kutumia teknolojia kuziba mianya ya ukwepaji wa kodi.Vile vile ni muhimu kuimarisha mfumo wetu wa kodi za kimataifa ili kuzuia utoroshaji mkubwa unaofanywa na makampuni ya kigeni. Ili tujitegemee kama Taifa ni lazima kukusanya mapato ya ndani ya kutosha. Ili kukusanya mapato ya ndani ya kutosha ni lazima kuweka mazingira mazuri ya biashara hasa kwa wafanyabishara ndogo ndogo kwani ndio wazalishaji wakubwa wa ajira.Kwa Vijana, Taifa hili ni lenu. Asilimia 75 ya Watanzania wapo chini ya miaka 40. Asilimia 65 ya wapiga kura wapo chini ya miaka 40. Nusu ya Watanzania ni watoto chini ya miaka 18. Kurejesha nchi kwenye misingi ni wajibu wa kujenga maisha yenu. Haikubaliki Vijana kuwa mzigo kwa wazazi kwa sababu tu uchumi hauzalishi ajira za kutosha. ACT Wazalendo ndio jukwaa lenu la kufanya mapinduzi ya mfumo wa uchumi ili kujenga uchumi shirikishi unaozalisha ajira. ACT Wazalendo inataka kuwajengea mfumo wa hifadhi ya jamii ambapo mtakapokuwa Wazee msipate tabu za pensheni na matibabu wanazopata Wazee wetu hivi sasa. Shiriki kujijengea Taifa litakalohakikisha maisha yako ya sasa nay a baadae na ya kizazi kijacho.Kwa Wanawake, Ninyi ndio mhimili wa Taifa hili, wazalishaji wakuu na walezi wa Taifa letu. Kurejesha nchi kwenye misingi ni wajibu wa kutambua nafasi yenu stahili katika jamii. Nikiwa nimelelewa na Mwanamke mwenye ulemavu na mpiganaji wa kweli wa haki za wananchi walio pembezoni, sina namna kutoa heshima yangu zaidi ya kuongoza chama chenye misingi thabiti ya kumkomboa mwanamke. Msitarajie watu wengine kuwapigania mnapaswa kuchukua hatua kupitia jukwaa hili la ACT Wazalendo.Kwa wafanyabishara, ninyi ndio mnachochea shughuli za Uchumi na kuzalisha ajira. Kuanzia kwa wamiliki wa maduka madogo mitaani mpaka kwa mameneja wa maduka makubwa; kutoka kwa wachuuzi na mama lishe mpaka kwa wamiliki wa viwanda na biashara; mnaamka kila siku asubuhi kujenga Taifa hili kwa kuzalisha mali na huduma. Baadhi yenu ambao mnamiliki viwanda, mashirika makubwa na kutoa ajira kwa maelfu ya wananchi, mmeanza mkiwa mnashona viatu na sare za shule, au mkitengeneza na kuuza mkate. Mmepata utajiri wenu na mali zenu kwa juhudi na jasho lenu na kutokana na fursa za kiuchumi zilizokuwepo kipindi hicho ambacho hakikuangalia dini, kabila, uwezo wa kifedha au rangi ya ngozi. ACT Wazalendo inataka kuwawekea mazingira bora ya biashara halali lakini pia kuhakikisha mnalipa kodi zenu na kutonyonya wafanyakazi wenu. Tunataka kuwawekea mfumo rahisi wa kodi, wenye kueleweka na unaowapa motisha kuzalisha zaidi ili kuongeza ajira zaidi na kupanua Pato la Taifa. Msipotimiza wajibu wenu biashara zenu hazitashamiri. Kurudi kwenye misingi ya Taifa hili ni kurejesha maadili katika biashara zenu.Kwa Wakulima, Wafugaji na Wavuvi, ninyi ndio mnaolilisha Taifa letu na kuleta fedha nyingi za kigeni kupitia mauzo nje. Kwa miongo mitatu sera za nchi zimewaweka pembeni na hivyo uchumi wenu kusinyaa. Viwanda vyote vya kusindika mazao yenu vimeuzwa kwa bei ya kutupwa licha ya kwamba jasho lenu ndio lilitumika kuvijenga. Miundombinu ya barabara, maji, umeme na mawasiliano haiwafikii ili muweze kupata masoko. Hamna hifadhi ya jamii wala bima ya mazao yenu. Ardhi yenu wamepewa wawekezaji na mnakodishiwa, mnapanga kwenye ardhi yenu wenyewe. Mmeachwa mkijihangaikia. Kurejesha nchi kwenye misingi kutawarudishia heshima yenu katika nchi yetu. ACT Wazalendo ndio jukwaa sahihi kwenu kuhakikisha kuwa tunajenga uchumi shirikishi ambao mtafaidika na jasho lenu. Hamna cha kupoteza isipokuwa minyororo ya kinyonyaji.Kwa Watanzania wote mnaonisikiliza leo, katika ukumbi huu na popote mlipo kupitia vyombo vya habari, mnamo mwaka 1978 Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alitangaza vita dhidi ya nduli Idi Amini na kusema;“Tutampiga. Sababu za kumpiga tunazo, nia tunayo, uwezo wa kumpiga tunao”.Tanzania ipo katika vita hivi sasa.Vita dhidi ya Ufisadi,vita dhidi ya uporaji wa rasilimali zetu,vita dhidi ya Siasa chafu.Vita dhidi ya Uchumi wa kinyonyaji.Vita dhidi ya kuporomoka kwa Utaifa wetu.Tunapaswa kufanya jambo moja tu, nalo ni kupigana vita hizi. Ni vita kwa ajili ya kurejesha ndoto tuliyoota miaka 54 iliyopita na Muasisi wetu Mwalimu Julius Nyerere. Tunataka kurejesha nchi kwa wananchi, tunataka kujimilikisha nchi yetu. Wananchi wawe WENYE nchi! Tutimize ndoto yetu ya kuona;Tanzania yenye Dola madhubuti,Tanzania yenye Wananchi wenye mwamko,Tanzania yenye sekta binafsi iliyochangamka,Tanzania yenye uchumi unaonufaisha watu wote.Sababu tunazo, nia tunayo na uwezo tunao. Twendeni tukajenge Chama kitakachorejesha misingi ya Taifa letu.Asanteni sanaMzalendo Zitto Kabwe
 
Last edited by a moderator:
Mchambuzi,

Mkuu wangu mnapopingana na mtu jaribuni sana kujifikiria kwa undani zaidi ya hisia zenu juu ya mtu huyo, badala yake itazameni hoja yake kwa umakini zaidi. Unapotupa sisi sababu za swali kama hili kuhusu Zitto inaonekana wewe una Justify mfumo unaoedeshwa na CCM ambao hadi sasa wanalinga na kuwa nchi Tajiri japokuwa Wananchi wake Maskini. Na hawajui sababu hata ukiwapa sababu wao watasema wewe hukuangalia viashirio hivi na hivi. Results zinajieleza wazi kabisa kwamba kuna upotoshaji mkubwa hapa katika ujenzi wa nchi yetu. Hivyo, unakuja na sababu za kwamba anayelaumu Umaskini wa Tanzania ni kwa sababu hakutazama vitu hivi na hivi na hivi infact Zitto kaiweka hoja sawa kabisa na wewe unayetaka kujua kwa nini wananchi wa Tanzani ni maskini ilihali nchi yao tajiri. Shinyanga ndio mfano wetu wa ndani namzuri kabisa kuanza nao kuutazama.

Mkuu it's loud and clear kwamba mfumo wetu wa maendeleo ni mbovu na unaweza kuutazama toka ndani ukaelewa viashirio vya umaskini wetu unatokana na nini badala ya kumbeza aloliweka swala wazi kabisa toka nguoni mwetu na kwa mfano mdogo kabisa. Nchi haitaweza kuendelea ikiwa tutaendelea kujenga vijisababu ilihali umaskini unazidi kusambaa na hasa baadhi ya mikoa inaathirika zaidi ya mingine. Huu utetezi wetu unatokana na sisi wenyewe kuwa wakabila au nini?

Tuseme ukweli mkoa wa Dar es Salaam una kitu gani? hakuna kitu zaidi ya services zinazoongezeka kila siku, lakini kwa njia ya unyonyaji mkoa huu umepewa karibu kila mradi wa ujenzi wa Ajira nchini na wala sio bahati mbaya watu wengi kukimbilia Dar badala ya kubakia mikoani. Utawaweza vipi kuwalaumu wananchi kwa kujazana mkoa mmoja ilihali ndio mkoa pekee wenye miradi mingi ya Kimkoa na Kitaifa? wakati mikoa mingi inazidi kupoteza wakazi wake, haina vyanzo vya kutosheleza mahitaji ya wananchi. haya sasa nambieni na mimi mbaguzi nimeusema vibaya mkoa wa Dar.. Population yoyote inaweza kuwa controlled isiwe sababu ya kupendelewa kwa huduma zaidi isipokuwa unaanzisha huduma nyingine kama hizo sehemu waliko wananchi illi kupunguza mfumko wa watu mijini (Urbanization)...
 
Bibie swala sio Maendeleo walokuwa nayo Kilimanjaro bali mgao wanaopewa katika ujenzi wa miundombinu na huduma za wananchi. maendeleo yanaweza patikana sehemu yenye watu wachache/wengi, mkoa mdogo/mkubwa ni uwezeshwaji wa mipango na viongozi wake kutumia fedha walizopewa katika miradi ya maendeleo. Kupanga ni kuchagua..Halafu hatuzungumziii miradi ya serikali kuu isipokuwa shughuli za miradi ya uendeshaji wa serikali za mikoa.

Kuna watu wanapokea mshahara wa Tsh laki 600,000 kwa mwezi wana maendeleo kuliko Ofisa mwenye kupokea Tsh millioni 3 kwa mwezi, mafanikio ni mipango ya mtu sisi hatuzungumzii maendeleo ya mkoa isipokuwa pale sababu zinapoonekana. Tuache swala la Kilimanjaro pembeni, nikuulize hivi ikiwa wewe unapokea Tsh 300,000 na mwezako anapokea Tsh millioni 1 wakati mnafanya kazi moja, kazi sawa huoni kama hapo kuna tatizo mbali kabisa na jinsi mnavyozitumia fedha hizo?

Na swala la mgao tunataka kujua ni formula gani serikali huitumia kugawa fedha hizi maana tukumbuke hata swala la Muungano limetokana na kero ya mapato na Mgao, hivyo nsichukie ya Kilimanjaro tu wakati ya Zanzibar mnayapigia debe. Kuna tofauti gani kati ya Tanganyika na Zanzibar iwe sawa na jambo jema, lakini sio sawa kuzungumzia mikoa ya Kilimanjaro na Shinyanga?
Mkuu Mkandara , nadhani unakwepa hoja za gfsonwin Makusudii.

Kibaya zaidi utetezi wako kwa Zitto unakwenda ukibadilika.

Kwanza, suala la maendeleo tumelieleza huko nyuma. Huwezi kuzungumzia maendeleo kwa neno moja.
Hilo unajua. Msome Mchambuzi hapo juu kaweka mambo ya kuangalia kabla ya kusema neno Maendeleo

Pili, kuongelea umasikini wa Tanzania si tatizo. Hoja ya Zitto ni, umasikini wa eneo moja unasababishwa na eneo jingine. Zitto hakuangalia vigezo vingine bali kuchomeka hisia na hasira zake dhidi ya wananchi wa Kilimanajaro na Arusha

Kama nawe unakubali Kilimanajaro na Arusha ndicho chanzo cha umasikini wa Shinyanga eleza bila kuzunguka zunguka.

Tatu, sijui kama unafahamu mkoa wa Dar es Salaa unachangia pato gani kwa taifa. Hata hivyo, lazima ujiulize mkoa gani mdogo sana Tanzania? Kama ni Dar, wanapata kiasi gani? Population yake ipo ije? Mgawanyo wa population upo vipi?

Huko nyuma uliwahi kusema (rekodi) tuna kikapu kimoja hakuna sababu ya kuangalia nani kachangia nini(rekodi ipo)
Leo unageuka na kusema lazima anayechangia sana apate kikubwa. Je, umeangalia vigezo vingine vya kiuchumi

Ni uzezeta wa supreme leader kuamini Mikoa ya Arusha na Kilimanjaro ndiyo tatizo kwa Shinyanga.

Mkoa wa Kilimanajro na Arusha wana investment inayowalipa leo ambayo Zitto haonekani kabisa kuitambua

Wanakijiji wa Nronga wamechangisha wananchi wa Kijiji chao wanaoishi nje milioni 100 kutengeneza barabara bila msaada wa Serikali. Siku ya ufunguzi walifurahi na kusema mazo yao yataingia sokoni. Angalia hiyo! wanafurahi mazao yataingia sokoni ili wapate ada za kusomesha watoto! Hawasubiri mgao wa serikali au kisingizio cha kukosa ng'ombe kama Shinyanga.

Leo Zitto amefanya nini kuwakusanya watu wa Kigoma kufikiri kurudi kwao?

Wakati wa mgao wa pato Watu wa Kilmanajaro hawahusiki. Zitto anafahamu hilo.

Ni serikali na hapa nasema ya CCM kwa miaka 50 imefanya hivyo.
Vipi leo Zitto awarukie ana kuwaparura wakazi wa kaskazini kwa jambo wasillo lijua?

Kwanini Zitto hakuilamau serikali na CCM kwa matatizo ya wakazi wa Shinyanga anatupa lawana hizo kwa wananchi wa mikoa ya kaskazini?

Wale wananchi wa mikoa inayofanya maendeleo yao wanajisikiaje?
Baada ya kuisakama kanda ya kaskazini nini atwaambia wakazi wa Lindi na Mtwara?

Mkandara, Zitto anatengeneza hatari maana akiwamaliza wakazi wa kaskazini atatafuta hoja nyingine kufurahisha wazaramo na Wangido. Hatari hii huioni mkuu!

Si kitaifa tu, kisiasa pia inazidi kumweka pabaya yeye na ACT.

Ukishaigawa Tanzania, ukatangaza vita na baadhi ya maeneo kwakweli una wakati mgumu sana mbele ya safari.

Watanzania wanaingiliana sana ndio maana Zitto anaweza kugombea ubunge Kahama au Ubungo

Huko kuna watu kutoka Mbeya , Kagera, Kilimanjaro, Arusha, Lindi n.k.

Kwa mwendo wa vita yake sasa hivi, mshaurini vizuri zaidi. Msimtetee tu kwasababu ni tatizo kubwa.

Ningeshauri ACT wakanushe kauli yake maana vita yake na Mbowe sasa inaihamishia mikoa ya kaskazini.

Sijui kama ni vita nzuri ya kisiasa! Tena vita ikieleekezwa kwa wanaojiletea maendeleo!

Huyu Zitto abataka kuwa kiongozi wa nchi au wa eneo fulani?
 
Nguruvi3,

Wewe na Mchambuzi nawaomba moja tu.. Maadam mnadai kwa uhakika kwamba Zitto hakuangalia vigezo hivyo basi nyie mlovitazama nawaomba tupeni hapa uchambuzi ulotumika hadi Kilimanjaro kupewa zaidi ya Shinyanga. It's simple as that ikiwa kweli Zitto hakuvitazama results zenu zitaonyesha tofauti.. mwageni hapa takwimu zenu ambazo Zitto hakuziona nasi Tuzitazame..
 
Last edited by a moderator:
Bibie swala sio Maendeleo walokuwa nayo Kilimanjaro bali mgao wanaopewa katika ujenzi wa miundombinu na huduma za wananchi. maendeleo yanaweza patikana sehemu yenye watu wachache/wengi, mkoa mdogo/mkubwa ni uwezeshwaji wa mipango na viongozi wake kutumia fedha walizopewa katika miradi ya maendeleo. Kupanga ni kuchagua..Halafu hatuzungumziii miradi ya serikali kuu isipokuwa shughuli za miradi ya uendeshaji wa serikali za mikoa.

Kuna watu wanapokea mshahara wa Tsh laki 600,000 kwa mwezi wana maendeleo kuliko Ofisa mwenye kupokea Tsh millioni 3 kwa mwezi, mafanikio ni mipango ya mtu sisi hatuzungumzii maendeleo ya mkoa isipokuwa pale sababu zinapoonekana. Tuache swala la Kilimanjaro pembeni, nikuulize hivi ikiwa wewe unapokea Tsh 300,000 na mwezako anapokea Tsh millioni 1 wakati mnafanya kazi moja, kazi sawa huoni kama hapo kuna tatizo mbali kabisa na jinsi mnavyozitumia fedha hizo?

Na swala la mgao tunataka kujua ni formula gani serikali huitumia kugawa fedha hizi maana tukumbuke hata swala la Muungano limetokana na kero ya mapato na Mgao, hivyo nsichukie ya Kilimanjaro tu wakati ya Zanzibar mnayapigia debe. Kuna tofauti gani kati ya Tanganyika na Zanzibar iwe sawa na jambo jema, lakini sio sawa kuzungumzia mikoa ya Kilimanjaro na Shinyanga?
Mkandara kuna data nazitafuta ili nikuwekee apa hapa labda utanielewa ila mkoa kama KLM sio kwamba unapata mgawo mkubwa zaid kuliko mikoa mingine.

KLM wao kias wanchopata ata kamma kitaonekana ni kikubwa ni kwasabb pia huenda kupitisha bakuli huko mserikalin kuomba kuongezewa nguvu.

ninaoushahidi kwenye barabara ya km zaid ya 20 inayojengwa kwa kiwango cha lami, imagine kila household imechangia sh 40elf lkn pia wakasema sasa tuombe nguvu ya kumalizia walipokwenda kupitisha bakuli walihitaj kiasi kidogo tu kumalizia kazi mabayo tayari nguvu wanazo mkononi.

ukisema ujenzi wa shule nenda leo kapitie hesabu za serikali KLM ndo mkoa muliopokea hela ndogo kuliko ata Kagera lkn KLM wamejenga mashule mengi na yote yameisha ndani ya wakati tena yakiwa na maabara kumbuka kila wmanafunzi alikuwa anchanga elfu 10 ya maabara lkn pia kila mkristo na kila mwislam alichanga elfu 15 na kupewa risiti maabara zimekamilika tena well furnished nafkir Alinda amekujibu vyema zaid.............

kuna jambo moja ni kama vile ilivyo harusi ukiwa na kianzio kizuri possibilty ya kupata backup kubwa ni kubwa zaid kuliko ukiwa na kianzio kidogo
 
Last edited by a moderator:
1. Kama ni JF, umenikuta humu, sijakujuta. Kwangu wewe ni mgeni, nilikutangulia. Check the records.

2. Nipo kwenye rekodi Ya kumuunga Zitto kwa kila namna kabla hajatusaliti watafuta mabadiliko. Rejea nyuzi zangu za miaka Ya nyuma. He even inspired me kugombea ubunge 2010 pamoja na kwamba sikufanikiwa.

3. Kama zipo hoja za kitoto, jadili kwa hoja na ustaarabu, Sio jazba. Sijaona mjadala wa aina hiyo kutoka kwako. Unatumia muda mwingi sana kueleza maumivu yako juu Ya zitto. Kiongozi Huyu kapotea njia, na Mbaya zaidi nyinyi badala Ya kumrudisha kwenye njia sahihi mnazidi kumpoteza. Lazima mna agenda fulani ndio inawasukuma, hakuna maslahi Ya taifa, hakuna. Kama yapo, nitajie matatu tu.
4. Unapotosha ukweli juu Ya nini kimemsukuma Zitto kufika hatua Ya kuwa ACT leo. Nguruvi3 kajadili sana, kwahiyo sina haja Ya kuyarudia. Kichwa cha Uzi huu kinajieleza, na kama tunayosema Yangekuwa hayana uzito, msingekuwepo humu kupambana na jina dhaifu.

5. Kuhusu mbatia kuwa mteule wa Rais na baadae kujiunga ukawa, ni. Vyema ukaelewa kwamba Ukawa haina ugomvi na Wana CCM au wateule wa rais Ambao akili zao Sasa zimefunguka kwamba hatima Ya Taifa ipo mashakani. Suala la Katiba Mpya ni la msingi sana lakini cha ajabu ni kwamba watu wanapoamua kulipigania, kiongozi wenu mnayemwita Mzalendo, bwana Zitto, anawaita wasaka tonge. Ajabu sana. Baadae Baada Ya Zitto kupata tonge lake kwa kuipindua ACT Tanzania, anazungumza kwamba Yupo tayari kujiunga na ukawa. Huu ni wendawazimu wa mchana.

5. Kitila mkumbo na mwigamba walisema wazi siku nyingi sana kwamba kinahitajika Chama kipya kupambana na Chadema. How pathetic. Chama cha upinzani kupambana na Chama cha upinzani? Ni matusi makubwa sana kwa wananchi waliopoteza maisha, viungo, mali na muda wao kwa miaka zaidi Ya 30 kutafuta njia mbadala kwa taifa letu. Tukafikia hatua kwamba Katika uchaguzi mdogo wa majimbo, it's almost 50/50 odds kwa CCM na Chadema. Wakati Chadema inazidi to consolidate, Anakuja Zitto as a distraction. Waberoya, unaona hoja zetu dhidi Ya Zitto ni za ovyo kwa sababu ambazo nguruvi3 alishatueleza - makundi makuu matatu Ya Zitto.

Mark my words, Zitto hata Ubunge hapati labda kama wafadhili wake (majina tunayo) wata haribu Kura kwa pesa zao. Msidangwanywe na umati wa watu. Akija maeneo yangu hata mimi nitaenda kumsikiliza, why not?

Zitto ana maswali Ya kujibu kuhusu chanzo cha fedha za ACT, unaweza kutueleza? Ni ruzuku? Kwa formula ipi? Ni Ada za wanachama wa ACT? Wangapi? Ni akiba yake? Je is it Based on mali alizotangaza pale diamond Wakati wa Uzinduzi wa Chama cha kilaghai- ACT - alliance of cheaters and Tyrants?

Hivi kwa msajili wa vyama, ni kipi kimesajiliwa, ACT Tanzania au ACT Wazalendo?

The rest of your arguments, I consider them as commentary.

Zitto is a reject to you....habari ya ACT Tanzania au ACT wazalendo mkuu inakuhusu nini??

zitto mlisema kaanzisha ACT, wewe unasema amepindua, mara unasema hivi mara vile..................mkuu pamoja na uenyeji wako humu unawaza sawasawa?? nina wasiwasi na wewe

Mchambuzi, lini umekuwa ukawa na tangu unajiunga humu wewe ni CCM tena damu, au sio??

uhusiano wa wewe Mag3, nguruvi unakujaje hapa?? ili hali ukaribu wowote wa mchadema na mwanachama wa chama kingine ni dhambi?

ebu jipangeni

nilikujua na ninakufahamu kama mwana CCM, povu lako na nguvu yako kwa UKAWA inaonyesha wewe mwenyewe haujielewi unahitaji tiba mbadala

ACT iko wazi hata kwako pia, we nenda tu hizi blah blah hazisaidiii sana
 
Mchambuzi.

Hebu pitia hii hotuba ya Zitto kiduchu.


Zitto.
Nawashukuru kwa kuwa pamoja nasi siku hii ya kihistoria.Karibu Miaka 54 iliyopita tulipopata uhuru, Muasisi na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa kijana mwenye umri wa miaka 39, mwenye matumaini makubwa na taifa jipya na alikuwa na ndoto! Ndoto yake ilikuwa imejikita katika kuhakikisha taifa letu litakuwa taifa lisilo na umaskini, dhiki, ufukara; taifa lisilo na tofauti kubwa kati ya maskini na tajiri; taifa lenye usawa, haki na maendeleo, ambapo watoto wote wanasoma shule bila kujali kipato cha mzazi; taifa ambalo wananchi wake wanamiliki uchumi wao.Ndoto hii aliiamini kwa dhati na wananchi wote walikubali na kuota nae ndoto hii. Alilisimamia kwa maneno na vitendo kupitia Azimio la Arusha, sera zake na uongozi wake wa kizalendo. Mpaka mauti ilipomkuta aliamini katika misingi hii aliyojitahidi kuturithisha. Lakini miaka 16 baada ya kifo chake, ndoto yake imeyeyuka!Tulilonalo ni jinamizi alilolihofu Nyerere.Leo hii:Watanzania wachache wameondoka katika unyonge na dhiki.Watanzania wengi bado wapo katika hali ya dhiki.Watanzania wachache wameshikilia uchumi: Warasimu, Wanasiasa na Matajiri wachache wenye mitaji.Watanzania wengi bado kama Mwalimu Nyerere alivyosema "wananyonywa kiasi cha kutosha; wanapuuzwa kiasi cha kutosha".Ndoto ya Mwalimu Nyerere bado haijawafikia wananchi.Sasa ndio wakati wa mabadiliko ya kimapinduzi.Sasa ndio wakati wa kujenga Uchumi shirikishi ambao utaruhusu kila mwananchi kupata fursa ya kuboresha maisha yake;Sasa ndio wakati dola imara ipate nafasi ya kusimamia uchumi;Sasa ndio wakati kwa wananchi kuwa na uhuru wa kweli wa mawazo, fikra, kushirikiana, kuabudu;Sasa ndio wakati wananchi kuwa na nguvu ya kuwawajibisha viongozi wao;Sasa ndio wakati wetu watanzania kujirithisha upya nchi yetu!Huu ndio wakati wa kubomoa uchumi wa kinyonyaji na kifisadi na kujenga uchumi wa wananchi. Haya ndio mabadiliko ya kimapinduzi tunayoyataka. Hii ndiyo ilikuwa ndoto ya Mwalimu Nyerere, na muda umefika wananchi turejeshe nchi mikononi mwetu!Haya yamekuwa mawazo yangu kwa muda mrefu kwa sababu mimi ni zao la ndoto ya Mwalimu Nyerere. Nililelewa na mama yangu mzazi pekee mwenye ulemavu; nimeanza kusoma shule ya msingi nikiwa naenda peku. Lakini kutokana na kufaulu mitihani vizuri, sikuhitaji kuwa tajiri kusoma mpaka chuo kikuu. Leo hii kutokana na elimu bora niliyoipata bure, nimesafiri na kufika katika nchi zaidi ya 70; nikiwa kama kiongozi nimekutana na kubadilishana mawazo na watu muhimu duniani kama vile wakuu wa nchi. Sio mimi peke yangu bali tupo maelfu tuliofaidika na mfumo huu. Lakini muhimu kupita yote, nimeweza kutumikia wananchi wa Kigoma na watanzania bungeni kwa miaka 10. Kama hii si ndoto iliyokuja kuwa kweli, ni nini?Zitto Zuberi Kabwe angezaliwa mwaka 2000, angekuwa kijana ambaye hajakamilisha elimu yake, haelewi lugha za kigeni kama kiingereza, hana ujuzi wowote na kama Mungu angeendelea kuninyima kipaji cha kuimba kama sasa ningeshindwa hata kutoka kama Diamond na Mwana FA! Mwalimu Nyerere asingepigania ndoto yake miaka ya 60 na 70, ningekuwa kama mamilioni ya vijana leo ambao wanahangaika kutafuta ajira na kipato bila ujuzi na elimu.Na ndiyo maana siku ya leo ni muhimu kwangu. Nina furaha na heshima kubwa kuwa katika familia yangu mpya ya kisiasa. Familia inayoaamini katika itikadi, misingi na tunu ninazoziamini.Nimezungumza mara kadhaa kuhusu sababu za kujiunga na chama hiki. Chama cha Wazalendo ACT- Tanzania inaongozwa na misingi ya Uzalendo, Demokarsia, Uhuru wa fikra na matendo, Utu, Usawa, Uadilifu, Uwazi, Uwajibikaji na Umoja katika kila kitu. Chama hiki ni cha wananchi si wenyenchi wa sasa waliojimilikisha taifa. Chama hiki ni cha watanzania wote bila kujali kabila, dini, jinsia, rangi ya ngozi au hali ya ulemavu!Tunapojadili wananchi kujimilikisha upya nchi yetu ni kupitia usimamizi wa sheria utakaohakikisha kuwa kuna uwazi na uwajibikaji wa viongozi. Uwazi tunaouamini ni ule utakaohakikisha kila mwananchi anapata taarifa za fedha zao, mikataba ambayo Serikali inaingia kwa niaba yao na taarifa za maslahi, mali na madeni ya viongozi wao. Tunataka uwazi katika uendeshaji wa Serikali na sisi tutaanza na uwazi katika uendeshaji wa chama chetu. Tunataka wananchi sio tu wajione kuwa sehemu ya uendeshaji wa nchi yao, bali pia wawe sehemu ya uendeshaji wa nchi yao.Tunataka uwazi utakaoruhusu uhuru wa mawazo na uhuru wa wananchi kujieleza bila kuhofu Serikali kuwachukulia hatua kwa kutoa mawazo yao. Ndio maana ACT Wazalendo tunapinga vikali miswada ya sheria ambayo Serikali ya CCM imeiwasilisha bungeni katika mkutano unaoendelea. Miswada hii kama vile muswada wa Haki ya kupata taarifa, vyombo vya habari na ule wa makosa ya mtandao, inalenga kuminya na kunyima haki za wananchi kuwasiliana kwa uhuru na kutoa mawazo yao kama inavyoainishwa katika katiba ya nchi.Tunapojadili wananchi kurejesha taifa mikononi mwao tunazungumzia uwajibikaji. Ripoti ya Tume ya Marekebisho ya Katiba ilieleza moja ya sababu kubwa ya kushamiri rushwa, ufisadi na ubadhirifu nchini ni nanukuu ‘kukosekana kwa mfumo madhubuti wa uwajibikaji' nchini kwetu. Sababu kubwa ya ACT Wazalendo kupinga Katiba inayopendekezwa ni kwamba Katiba hiyo imechakachua nia hii ya kuweka mfumo wa uwajibikaji. Ndio maana tunawaambia wananchi waikatae Katiba hiyo kwa nguvu zao zote! Katiba inayoepndekezwa inastahili kadi nyekundu, tuikatae na kura ya hapana!Iwapo wananchi hawawezi kuwawajibisha viongozi kwa matendo yao hatuwezi kujenga jamii ya watu wanaoheshimiana na kutii sheria za nchi.Kila Mtanzania bila ya kujali cheo chake ni lazima awe chini ya sheria. Uwajibikaji ni lazima uanze na viongozi. Mnajua kuwa katika maisha yangu ya kisiasa hili ndio limekuwa jukwaa langu. Kwa bahati mbaya tunaishi katika kipindi ambacho wanasiasa wengi wamekuwa wakikumbwa na kashfa mbalimbali za kifisadi na matokeo yake inajengwa picha kuwa kila mwanasiasa ni fisadi. Mfumo wa Uwajibikaji wenye uwazi utasaidia wananchi kutofautisha wanasiasa wanaosimamia maslahi ya umma na wale wanaosimamia maslahi yao binafsi na vyama vyao vya siasa.Mwungwana ni vitendo; nimewajibisha watu kwenye Buzwagi na mikataba ya madini, kwenye matumizi mabaya ya fedha za umma na juzi juzi kwenye akaunti ya Tegeta Escrow. Lakini matukio haya machache hayatoshi kujenga mfumo madhubuti wa Uwajibikaji. Ni lazima kufanya mapinduzi ya mfumo mzima wa uchumi wa nchi yetu na kujenga mfumo mpya unaohudumia kila Mtanzania na ambao kila Mtanzania anajivunia kuujenga. Hatuwezi kuwa Taifa linaloshikiliwa na vikundi vya wafanyabishara wachache na wanasiasa wanaofadhiliwa na wafanyabishara hao.ACT Wazalendo inataka kujenga Taifa ambalo viongozi wake wanawajibika kwa wananchi. Hii ndio fikra tunayotaka kurejesha. Hizi ndizo siasa zilizoasisi Taifa letu. Hatuna budi, ni lazima kurudi kwenye misingi na kuanza upya!Kwa sababu ACT Wazalendo imejikita kwenye misingi hii, tumelihuisha Azimio la Arusha.Sio tu tumeweka miiko ya uongozi lakini pia tumetunga kanuni za kutekeleza miiko hiyo na kuifanya kuwa sehemu ya Katiba ya chama chetu. Hitaji moja kubwa la Kanuni zetu za Maadili ni kutaka kila Kiongozi wa ACT Wazalendo kuweka hadharani Maslahi yake, Mali na Madeni yake.Katika chama hiki huo ndio utamaduni wa kisiasa tunaotaka kuujenga. Kutenda tunachohubiri hata kabla ya kuingia kwenye uongozi wa Dola.Chama cha ACT Wazalendo kimeelekeza kikanuni kwamba kila Kiongozi wa chama lazima atangaze Mali zake na Madeni yake. Kila Kiongozi lazima aweke wazi maslahi yake ya kibiashara na mengineyo wazi ili kila anapotenda au kusema jambo wananchi wajue maslahi aliyonayo au la katika suala husika. Viongozi wote wa kitaifa wa ACT Wazalendo wamefanya hivyo na tutaweka saini zetu mbele yenu kama mashahidi. Naomba Mwanasheria wetu aje hapa tutekeleze matakwa haya ya kikanuni.Fomu hizi zitakuwa kwenye tovuti ya chama ndani ya muda mfupi ujao ili kila mtanzaina aone. Kila Kiongozi wa Chama ambaye Miiko ya Uongozi inamtaja anapaswa kuwa amejaza fomu hizi na kuziwasilisha kwa Katibu wa Kamati ya Uadilifu katika ifikapo tarehe 30 Juni 2015. Tunapopinga Viongozi wa Umma kufanya Biashara na Serikali na hivyo kuwa na mgongano wa kimaslahi na kushamiri kwa ufisadi, hivyo hivyo tunapinga Viongozi wa Chama chetu kufanya Biashara na Chama. Ni Marufuku Serikali kugeuzwa kuwa genge la watu wachache wanaopora rasilimali za Umma. Uadilifu tunaoutaka Serikalini ni lazima uanzie kwetu tunaohubiri.Tutafanya haya kwa kubadilisha siasa zetu kuelekea kwenye masuala yanayowahusu wananchi; Wakulima, Wafanyakazi, Wafanyabiashara ndogo ndogo, Vijana, Wanawake na Wazee wetu.Tunataka kurejesha nchi yetu Tanzania kwa kujenga uchumi wa wote. Tunaporejea kwenye Azimio, hatusemi tunakwenda kutaifisha kila kitu na Serikali kuendesha shughuli zote za kiuchumi. Tunaheshimu na kuthamini sekta binafsi na mchango wake katika kukuza uchumi na kuleta maendeleo. Tunamaanisha kuwa ni lazima Dola isimamie uchumi. Sio kazi ya Serikali kufanya biashara. Lakini tunamaanisha kuwa ni lazima kurekebisha baadhi ya makosa yaliyofanyika kwenye ubinafsishaji na hususan ubinafsishaji holela uliofanyika kwenye sekta ya Kilimo na kupora ardhi ya wananchi wetu na kuwageuza kuwa manamba kwenye ardhi yao wenyewe.Tunataka kutomokeza ukwepaji kodi.Tanzania inapoteza 15% ya makusanyo katika forodha kwa sababu ya ukwepaji wa kodi. Hii ni sawa na tshs 490 bilioni kwa mwaka, fedha ambazo zingeweza kuchangia wananchi milioni 4 kwenye hifadhi ya Jamii. Tanzania inapoteza takribani tshs 2 trilioni kila mwaka kwenye misamaha ya kodi. Hii ni fedha ambayo ingeweza kujenga reli mpya ya kati ya kisasa kutoka Dar mpaka Mwanza na Kigoma ndani ya miaka mitatu. Ili kuondoa upotevu huu ni lazima kupanua wigo wa kodi, kurahisisha kodi, kupunguza baadhi ya kodi kama ( PAYE) na kutumia teknolojia kuziba mianya ya ukwepaji wa kodi.Vile vile ni muhimu kuimarisha mfumo wetu wa kodi za kimataifa ili kuzuia utoroshaji mkubwa unaofanywa na makampuni ya kigeni. Ili tujitegemee kama Taifa ni lazima kukusanya mapato ya ndani ya kutosha. Ili kukusanya mapato ya ndani ya kutosha ni lazima kuweka mazingira mazuri ya biashara hasa kwa wafanyabishara ndogo ndogo kwani ndio wazalishaji wakubwa wa ajira.Kwa Vijana, Taifa hili ni lenu. Asilimia 75 ya Watanzania wapo chini ya miaka 40. Asilimia 65 ya wapiga kura wapo chini ya miaka 40. Nusu ya Watanzania ni watoto chini ya miaka 18. Kurejesha nchi kwenye misingi ni wajibu wa kujenga maisha yenu. Haikubaliki Vijana kuwa mzigo kwa wazazi kwa sababu tu uchumi hauzalishi ajira za kutosha. ACT Wazalendo ndio jukwaa lenu la kufanya mapinduzi ya mfumo wa uchumi ili kujenga uchumi shirikishi unaozalisha ajira. ACT Wazalendo inataka kuwajengea mfumo wa hifadhi ya jamii ambapo mtakapokuwa Wazee msipate tabu za pensheni na matibabu wanazopata Wazee wetu hivi sasa. Shiriki kujijengea Taifa litakalohakikisha maisha yako ya sasa nay a baadae na ya kizazi kijacho.Kwa Wanawake, Ninyi ndio mhimili wa Taifa hili, wazalishaji wakuu na walezi wa Taifa letu. Kurejesha nchi kwenye misingi ni wajibu wa kutambua nafasi yenu stahili katika jamii. Nikiwa nimelelewa na Mwanamke mwenye ulemavu na mpiganaji wa kweli wa haki za wananchi walio pembezoni, sina namna kutoa heshima yangu zaidi ya kuongoza chama chenye misingi thabiti ya kumkomboa mwanamke. Msitarajie watu wengine kuwapigania mnapaswa kuchukua hatua kupitia jukwaa hili la ACT Wazalendo.Kwa wafanyabishara, ninyi ndio mnachochea shughuli za Uchumi na kuzalisha ajira. Kuanzia kwa wamiliki wa maduka madogo mitaani mpaka kwa mameneja wa maduka makubwa; kutoka kwa wachuuzi na mama lishe mpaka kwa wamiliki wa viwanda na biashara; mnaamka kila siku asubuhi kujenga Taifa hili kwa kuzalisha mali na huduma. Baadhi yenu ambao mnamiliki viwanda, mashirika makubwa na kutoa ajira kwa maelfu ya wananchi, mmeanza mkiwa mnashona viatu na sare za shule, au mkitengeneza na kuuza mkate. Mmepata utajiri wenu na mali zenu kwa juhudi na jasho lenu na kutokana na fursa za kiuchumi zilizokuwepo kipindi hicho ambacho hakikuangalia dini, kabila, uwezo wa kifedha au rangi ya ngozi. ACT Wazalendo inataka kuwawekea mazingira bora ya biashara halali lakini pia kuhakikisha mnalipa kodi zenu na kutonyonya wafanyakazi wenu. Tunataka kuwawekea mfumo rahisi wa kodi, wenye kueleweka na unaowapa motisha kuzalisha zaidi ili kuongeza ajira zaidi na kupanua Pato la Taifa. Msipotimiza wajibu wenu biashara zenu hazitashamiri. Kurudi kwenye misingi ya Taifa hili ni kurejesha maadili katika biashara zenu.Kwa Wakulima, Wafugaji na Wavuvi, ninyi ndio mnaolilisha Taifa letu na kuleta fedha nyingi za kigeni kupitia mauzo nje. Kwa miongo mitatu sera za nchi zimewaweka pembeni na hivyo uchumi wenu kusinyaa. Viwanda vyote vya kusindika mazao yenu vimeuzwa kwa bei ya kutupwa licha ya kwamba jasho lenu ndio lilitumika kuvijenga. Miundombinu ya barabara, maji, umeme na mawasiliano haiwafikii ili muweze kupata masoko. Hamna hifadhi ya jamii wala bima ya mazao yenu. Ardhi yenu wamepewa wawekezaji na mnakodishiwa, mnapanga kwenye ardhi yenu wenyewe. Mmeachwa mkijihangaikia. Kurejesha nchi kwenye misingi kutawarudishia heshima yenu katika nchi yetu. ACT Wazalendo ndio jukwaa sahihi kwenu kuhakikisha kuwa tunajenga uchumi shirikishi ambao mtafaidika na jasho lenu. Hamna cha kupoteza isipokuwa minyororo ya kinyonyaji.Kwa Watanzania wote mnaonisikiliza leo, katika ukumbi huu na popote mlipo kupitia vyombo vya habari, mnamo mwaka 1978 Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alitangaza vita dhidi ya nduli Idi Amini na kusema;"Tutampiga. Sababu za kumpiga tunazo, nia tunayo, uwezo wa kumpiga tunao".Tanzania ipo katika vita hivi sasa.Vita dhidi ya Ufisadi,vita dhidi ya uporaji wa rasilimali zetu,vita dhidi ya Siasa chafu.Vita dhidi ya Uchumi wa kinyonyaji.Vita dhidi ya kuporomoka kwa Utaifa wetu.Tunapaswa kufanya jambo moja tu, nalo ni kupigana vita hizi. Ni vita kwa ajili ya kurejesha ndoto tuliyoota miaka 54 iliyopita na Muasisi wetu Mwalimu Julius Nyerere. Tunataka kurejesha nchi kwa wananchi, tunataka kujimilikisha nchi yetu. Wananchi wawe WENYE nchi! Tutimize ndoto yetu ya kuona;Tanzania yenye Dola madhubuti,Tanzania yenye Wananchi wenye mwamko,Tanzania yenye sekta binafsi iliyochangamka,Tanzania yenye uchumi unaonufaisha watu wote.Sababu tunazo, nia tunayo na uwezo tunao. Twendeni tukajenge Chama kitakachorejesha misingi ya Taifa letu.Asanteni sanaMzalendo Zitto Kabwe

Ritz naona unatoa desa kwa mbowe

haya hawayaoni hayawani hawa!!
 
kuna jambo moja mablo tukishindwa kulitafakari litatupa tabu sana
ukiongelea utajiri wa mtu, inabidi uwe makini sana kuujadili vinginevyo utajikuta unakosa points za kudefend hoja yako.

Nitoe mfano mdogo mwaka jana niliamua kulima manake niliona salary hainitosh, kweli niakenda sehem moja inaitwa idodomiya iko mbali kidogo kutoka mahenge kuna limwa vitunguu balaa.........mie nikajipatia ardhi kwa bei ya kutupwa nasema ivyo manake kwa Dar kupata eka moja tu lazima ujipange kweli kwa bei..................basi nilipojipatia nikauliza kunalimika nini huku zaid nikaambiwa vitunguu

mwl mie nikajituma kufyeka sehem ya shamba nikalima kisha kukata matuta afu nikahomola (kupandikiza) vitunguu..........sikuwa na uhakika wa nianchokifanya ila nilisema ngoja nijaribu nione..............lol!!! huwez amini brodah.............baada ya miez 4 nilipigiwa simu na mtu mwl tunataka vitunguu mimi ni mteja viko shamban nikajiuliza ivi naota ama ni kweli?? basi nikapanga siku tukutane pale shamba. nilipokwenda nilimuuliza apa wewe unafkir kuna magunia mangapi? akasema 98 nikamwambia basi nilipe za magunia 95 tu gunia ch ngapi eti 180,000/= nilikaribia kupata uchizi yaani ndani ya miezi 4 nimekamata kias hicho cha hela??
apo ni kwenye eka moja tu na nimeuza shamban je nikilima na kupeleka mjini si faida itakuw akubwa zaid? msimu uliofuata nililima mara 5 ya nilivyolima mara ywa kwanza na nikatafuta biashara katika soko la uhakika zaid sasa hivi wacomoro wanakuja kununua kwa bei ya laki 2 gunia tena la kg 100, napiga hela adi najiuliza nilikuwa wapi??

sasa watu wakija kuhamaki ni ticha tuu ndo apo wananza kukuwekea maneno mengii kumbe nyuma ya pazia unajua unafanyaje.....................mie sikuhizi siongelei kabisa mapato ya mtu unless iwe proved kwamba ameiba ama anashiriki biashara haramu

our country is considered as virgin in terms of economical point of view, unaweza ukawa tajiri kwa muda mfupi kwa kufanya jambo halali, haitishi

walio na magorofa kariakoo wengi hata shule hawaijui ni mazao na mifugo tu........the unaambiwa kumiliki gari kwa muda mfupi ni ajabu??

pigana ndugu
 
Nguruvi3,

Wewe na Mchambuzi nawaomba moja tu.. Maadam mnadai kwa uhakika kwamba Zitto hakuangalia vigezo hivyo basi nyie mlovitazama nawaomba tupeni hapa uchambuzi ulotumika hadi Kilimanjaro kupewa zaidi ya Shinyanga. It's simple as that ikiwa kweli Zitto hakuvitazama results zenu zitaonyesha tofauti.. mwageni hapa takwimu zenu ambazo Zitto hakuziona nasi Tuzitazame..
Well, tutaviangalia vigezo hivyo hakuna shaka

Wakati tunafanya hayo, tunaomba utuambie 'Kilimanjaro kapewa na nani'' ?
 
Back
Top Bottom