Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Ritz naona unatoa desa kwa mbowe

haya hawayaoni hayawani hawa!!
Hapa hatuweki mizani nani kasema nini. Lau kama kuna uzi wa hilo tualikeni tutachangia, tutachambua tukiweka utaifa mbele na si vyama

Hoja iliyopo mezani na ambayo nimekuuliza na hujajibu ni hii

''Je, unaamini matatizo ya wananchi wa Shinyanga yanaletwa na wananchi wa Arusha na Kilimanjaro'' kama anavyodai supreme leader Zitto.
 
Mkandara kuna data nazitafuta ili nikuwekee apa hapa labda utanielewa ila mkoa kama KLM sio kwamba unapata mgawo mkubwa zaid kuliko mikoa mingine.

KLM wao kias wanchopata ata kamma kitaonekana ni kikubwa ni kwasabb pia huenda kupitisha bakuli huko mserikalin kuomba kuongezewa nguvu.

ninaoushahidi kwenye barabara ya km zaid ya 20 inayojengwa kwa kiwango cha lami, imagine kila household imechangia sh 40elf lkn pia wakasema sasa tuombe nguvu ya kumalizia walipokwenda kupitisha bakuli walihitaj kiasi kidogo tu kumalizia kazi mabayo tayari nguvu wanazo mkononi.

ukisema ujenzi wa shule nenda leo kapitie hesabu za serikali KLM ndo mkoa muliopokea hela ndogo kuliko ata Kagera lkn KLM wamejenga mashule mengi na yote yameisha ndani ya wakati tena yakiwa na maabara kumbuka kila wmanafunzi alikuwa anchanga elfu 10 ya maabara lkn pia kila mkristo na kila mwislam alichanga elfu 15 na kupewa risiti maabara zimekamilika tena well furnished nafkir Alinda amekujibu vyema zaid.............

kuna jambo moja ni kama vile ilivyo harusi ukiwa na kianzio kizuri possibilty ya kupata backup kubwa ni kubwa zaid kuliko ukiwa na kianzio kidogo
g , unajua akina Mkandara wanatafuta mchawi asiyekuwepo

Hayo ya shule umesema vema, niongzee kuwa mpango wa shule za kata ulishakwisha Kilimanjaro kabla haujaanza kitaifa

Tunazo takwimu, kwamba mwaka 1985 wilaya moja tu ilikuwa na shule nyingi kuliko Tabora, Kigoma na Singida combine

Wenzetu waliwekeza katika elimu na inalipa kwasababu vijana wao wanafanya remmitance nyumba kwao, wanarudi kujenga, wanahimiza maendeleo kwao. Wanapeleka watoto shule iliyopo bila kuangalia ni ya aina gani? Wana kiu ya elimu, wana invest

Nimetoa mfano wa Kijiji cha Nronga, wamejenga barabara kwa milioni 100 za watu wao popote walipo.
Haya akina Mknadara hawayaoni wanazomea watu kujiletea maendeleo

Wanachotaka kuamini ni kuwa wapo wanaopewa mgao mkubwa.

Swali ninalomuuliza Mkandara, kule Lindi shule zimefungwa kwa kukosa wanafunzi.
Ni rasilimali gani au mgao gani wanaodhani utasaidia eneo hilo?

Leo wanaungana na Zitto kushambulia mikoa inayojitahidi katika umasikini huu tulio nao.

Mkandara anasema kwanini Kilimanjaro wanapewa zaidi, well, tunauliza wanapewa na nani?

Huku Zitto akisema umasikini wa Shinyanga unaletwa na wananchi wa Arusha na Kilimanjaro, Mkandara anasema wanapewa zaidi na mtu tusiyemjua.

Kauli ya Zitto ni ya kukemea sana! leo wananchi wa Shinyanga walioko Arusha na Kilimanjaro wanajisikiaje wakisikia kauli kama za Zitto. Wananchi wa Arusha na Kili walioko Shinyanga wanajisikiaje wakisikia kauli za Zitto

Hii ni hatari sana, akimaliza hapo atarudi Rufiji, sijui atasema nini kwa wananchi wa huko!

Jamani hamuoni hatari anayotengeneza supreme Leader kwa taifa hili?
 
Zakumi,

Unaweza jitambulisha asili yako kwa namna unavyopenda utambuliwe lakini mwisho wa siku hakuna ushahidi juu ya hilo. Vinginevyo ulileta hoja kwamba hatujulikani humu, sasa umetujua na unaanza kujadili personalities instead of issues. Mbaya zaidi, unaanza kunijadili kwa mtindo ule ule wa kibaguzi wa Zitto wa kugawanya watanzania kati Ya sisi na wao. That's very shallow, least to say.

Let's not derail from the main issue here.

Naomba nipe angalau sababu Tatu kwanini unadhani Zitto ni Mzalendo kwa Nchi yake.

Naomba Pia unitajie masuala matatu ambayo Zitto katika ziara yake mikoani wiki jana unadhani hajadanganya umma for political gain.

Vile vile naomba unisaidie na mchanganuo wa sources of funds ambazo ACT inazitumia katika ziara Zake Nchi nzima.

Mwisho, je Chama ambacho msajili wa vyama vya Siasa anakitambua Rasmi kwenye database yake ni
ACT Tanzania au ACT Wazalendo?

Cc Ritz

Mchambuzi:

I think you are obssessed with Zitto because he left CDM and you think that his actions will weaken the opposition. The existence of Zitto in CDM was a marriage of inconvinience. CDM wanted to diversify its ranks; whereas, Zitto wanted a platform to launch his political career. Zitto has outgrown the position that CDM allocated him and the marriage is over.

With regard to the term mzalendo, please describe its characterics. You call yourself mzalendo, but we don't know which characterics make you one. Is my grandfather who lives in remote village and who doesn't engage in politics Mzalendo?

Zitto is a politician and he's doing exactly what other politicians do. The only crime he commits is to flagment the opposition. In a democratic society you have to accept that.

With respect to the funding of ACT, I don't know and I don't want to speculate.
 
Ritz naona unatoa desa kwa mbowe

haya hawayaoni hayawani hawa!!

Waberoya.

Unajua nini yote haya mpaka mapovu yanawatoka hii bakora.

Zitto.

KIONGOZI Mkuu wa chama kipya cha ACT – Wazalendo, Zitto Kabwe, ameshusha mapigo ya kisiasa jijini Mwanza, ambayo huenda yasikiache salama Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).Mahudhurio ya idadi kubwa ya watu katika mkutano wake uliofanyika kwenye uwanja wa Furahisha Jumapili iliyopita ni ishara ya awali ya kujeruhi ngome ya Chadema jijini hapa ambayo ilionekana kujiimarisha tangu mwaka 2010.Zitto aliyefuatana na Mwenyekiti wake katika ziara hiyo, alianza kukijeruhi Chadema akisema kimejaa viongozi wenye uroho wa siasa unaohofu kushindana na vyama vingine katika mazingira ya kidemokrasia.Kauli yake hiyo ilitokana na taarifa zilizomfikia mapema kwamba viongozi wa Chadema walitoa tamko la kuwazuia wananchi kuhudhuria mkutano wake huo, ingawa umati mkubwa wa watu waliouhudhuria ulidhihirisha kwamba tamko hilo lilipuuzwa.“Lazima tushiriki siasa sote, hakuna mtu mwenye hatimiliki ya siasa, hakuna mtu mwenye mamlaka ya kuwaamulia mwanasiasa gani mmpende na mwanasiasa gani mmchukie,” alisema Zitto na kuongeza:“Ndugu zangu wananchi, nimepigwa mishale mingi sana, hata watoto ambao nimewasaidia kupata ubunge wanakuja kunitukana. Wanasema ninagawa kura za upinzani, hivi mtu waliyemwona hafai ana nguvu gani za kugawa kura za wapinzani?“Mimi ni binadamu mnyunge tu, nina mazuri yangu na nina mabaya yangu. Watu wa Mwanza nihukumuni kwa matendo yangu, siyo kwa propaganda za kisiasa. Leo vitu vingi vimerekebishwa serikalini na mawaziri wameng’oka kutokana na hoja zangu.”Kukataliwa kwenye UkawaShambulizi jingine Zitto alilielekeza kwenye Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) unaoundwa na Chadema, CUF, NCCR-Mageuzi na NLD akisema unaogopa kishindo kizito cha ACT – Wazalendo katika ushindani wa sera za kisiasa.“Sisi (ACT – Wazalendo) tumekubali kuungana (kwenye Ukawa), wao hawataki, hapa nani mbaya? Ng’ombe anaweza kutikisa mkia wake, lakini mkia hauwezi kutikisa ng’ombe,” alisema.Huku akishangiliwa na umati wa watu uwanjani, Zitto alisema pamoja na ACT – Wazalendo kukataliwa kwenye Ukawa, hakitatetereka katika juhudi za kusambaza uzalendo kwa Watanzania sambamba na kujipanga kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu utakaofanyika nchini Oktoba mwaka huu.Ashangaa kuhojiwa fedha za ziaraKwa upande mwingine, kiongozi huyo alielezea kushangazwa kwake na kitendo cha viongozi wa Chadema kuhoji anakotoa fedha za kugharimia ziara za ACT – Wazalendo za kujinadi kwa wananchi nchini, wakati ndicho mwasisi wa jambo hilo.“Chadema walianza bila ruzuku, waulizeni fedha za ziara zao za kuzunguka kwa helkopta nchi nzima walizitoa wapi. Kule kule walikopita, ndiko na mimi ninapita,” alisema na kushangiliwa mkutanoni.Aliongeza “Kama ni kubishana, tulibishana tukashindana, sasa kila mtu afanye yake. Ndugu zangu wananchi, chujeni mtu, asiye na hoja weka pembeni, chukua mwenye hoja twende tukaijenge nchi.”Hata hivyo, alifafanua kwamba fedha zinazogharimia ziara za chama chake nchini zinatokana na michango kutoka kwa watu mbalimbali wanaokitakia mema.Amkaribisha Lowassa kiainaZitto alitumia nafasi hiyo pia kumkaribisha kwenye ACT – Wazalendo Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa (CCM), lakini akaweka sharti la kutangaza utajiri wake kwanza.“Sisi ACT – Wazalendo tunasema kila kiongozi atangaze mali zake. Kama Lowassa anataka kuja atangaze mali alizonazo alizipataje,” alisema Zitto.Alizungumzia hoja hiyo kutokana na tetesi zilizopo kwamba Lowassa akitemwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika kinyang’anyiro cha kuomba kuteuliwa kugombea urais anaweza kuhamia ACT – Wazalendo.Awatangazia Watanzania neemaKwa mujibu wa Zitto, lengo kuu la ACT – Wazalendo ni kuleta mapinduzi makubwa ya kiuchumi yatakayosaidia pamoja na manufaa mengine, kuongeza ajira na kuboresha maisha ya kila Mtanzania.“Sisi ACT – Wazalendo tunataka kufanya marekebisho makubwa ya kimapinduzi ili kuondoa mfumo wa kinyonyaji nchini.“Tanzania ina tatizo kubwa la ukosefu wa ajira, lakini hakuna kiongozi anayesema atalitatuaje, wanasema bomu, bomu, lakini hawasemi namna ya kulitatua,” alisema.Akifafanua zaidi, Zitto alisema chama chake hicho kitaelekeza nguvu kubwa katika kuboresha sekta za kilimo, madini na hifadhi ya jamii kwa Watanzania wote.Kwamba mkakati huo utarejesha misingi ya siasa ya ujamaa iliyoasisiwa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, ambayo inatambua na kuthamini haki ya kila mtu.“Leo Watanzania wengi wanyonge hawana bima ya afya, wakulima hawana pensheni. Sisi tutajenga mfumo thabiti wa hifadhi ya jamii nchini. Katika nchi nyingine, hata machinga wana hifadhi ya jamii.“ACT – Wazalendo tunataka kufanya suala la hifadhi ya jamii kuwa haki ya kila Mtanzania,” alisisitiza Zitto.Kiongozi ADC amkubali ZittoAkizungumza na Raia Mwema mara baada ya hotuba ya Zitto mkutanoni hapo, Kamishna wa Alliance for Democratic Change (ADC) Kanda ya Ziwa, Shabani Itutu, alikiri kwamba nguvu ya kisiasa ya Zitto inatisha na inaweza kupeleka kilio na majuto Chadema.“Kitendo cha Chadema kutovumiliana na Zitto wapende wasipende kitawa-cost (kitawagharimu) kwenye uchaguzi huu [Uchaguzi Mkuu mwaka huu].“Ninasema hivyo kwa sababu historia katika nchi yetu inaonyesha kuwa wakivurugana ndani ya chama matokeo yake ni kuua au kupunguza nguvu ya chama husika. Tumeona hivyo kwa TLP na tumeona hivyo kwa NCCR-Mageuzi.“Unajua Zitto anapata umaarufu mkubwa nchini kutokana na mambo makubwa ya manufaa aliyoifanyia jamii ya Watanzania,” alisema Itutu.

Kama unataka kupambana na Zitto inabidi uingie vitani kikweli kweli au uendelee kupambana naye huku umejifungia chumbani na laptop yako.
 
Last edited by a moderator:
Mkandara kuna data nazitafuta ili nikuwekee apa hapa labda utanielewa ila mkoa kama KLM sio kwamba unapata mgawo mkubwa zaid kuliko mikoa mingine.

KLM wao kias wanchopata ata kamma kitaonekana ni kikubwa ni kwasabb pia huenda kupitisha bakuli huko mserikalin kuomba kuongezewa nguvu.

ninaoushahidi kwenye barabara ya km zaid ya 20 inayojengwa kwa kiwango cha lami, imagine kila household imechangia sh 40elf lkn pia wakasema sasa tuombe nguvu ya kumalizia walipokwenda kupitisha bakuli walihitaj kiasi kidogo tu kumalizia kazi mabayo tayari nguvu wanazo mkononi.

ukisema ujenzi wa shule nenda leo kapitie hesabu za serikali KLM ndo mkoa muliopokea hela ndogo kuliko ata Kagera lkn KLM wamejenga mashule mengi na yote yameisha ndani ya wakati tena yakiwa na maabara kumbuka kila wmanafunzi alikuwa anchanga elfu 10 ya maabara lkn pia kila mkristo na kila mwislam alichanga elfu 15 na kupewa risiti maabara zimekamilika tena well furnished nafkir Alinda amekujibu vyema zaid.............

kuna jambo moja ni kama vile ilivyo harusi ukiwa na kianzio kizuri possibilty ya kupata backup kubwa ni kubwa zaid kuliko ukiwa na kianzio kidogo

This is the deal. If other parts of the country want to develop, people in those areas should be doing exactly what people of KLM do. People of KLM have formal and informal institutions or traditions that have helped them enormously. Other parts of the country wait for the government to decide their fate.

Some of those institutions and traditions have some sort of Ukabila. But that's the way it should be. If you want local people to take control of their own destiny, you have to accept some sorts of local flavors, ukabila included. However, if you want the entire nation in unison, then you will have to wait for another 1000 years.
 
Hapa hatuweki mizani nani kasema nini. Lau kama kuna uzi wa hilo tualikeni tutachangia, tutachambua tukiweka utaifa mbele na si vyama

Hoja iliyopo mezani na ambayo nimekuuliza na hujajibu ni hii

''Je, unaamini matatizo ya wananchi wa Shinyanga yanaletwa na wananchi wa Arusha na Kilimanjaro'' kama anavyodai supreme leader Zitto.
Daa!!! Nguruvi3.

Naona kila mmoja anapambana kivyake dhidi ya Zitto.

Msome hapa chini John Mnyika nae anakuja na tamko la chama chake Chadema.

John Mnyika.

Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Bara, John Mnyika- aliyoitoa- juzi- katika- viwanja- hivyo- ikiwa- ni- siku- moja- tu- kabla- ya- mkutano- wa- ACT-Wazalendo- kufanyika.Akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika Uwanja wa Furahisha Mwanza juzi ambao- ulihudhuriwa- na- wafuasi- wachache- wa- chama- hicho,Mnyika-alisema Chadema haiko tayari kuikaribisha ACT-Wazalendo ndani ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kutokana na kile alichosema ‘ni adui kwao’.Katika- hotuba- yake, huku- akinukuu- baadhi- ya- vifungu- vya- biblia- na- Quruan, Mnyika- aliwataka- wafuasi- na- wapenzi- wa- CHADEMA- kumkabili- Zitto- Kabwe- kwa- namna- yoyote- kwa- kuwa- ni- adui- wa- chama- chao- na- ujio- wake- jijini- Mwanza ulikuwa- na- lengo- la- kukiharibu- chama- chao..-“Mtume Muhamad (S.A.W) alikuwa anazungumzia unafiki ambao una sura mbili na sifa zake, leo (ACT) wanasema wapo upinzani, wanasema msiunge mkono Ukawa halafu mnawakaribisha?-“Nendeni kila mahali waambieni wananchi adui yetu mkuu ni Zitto. Sikilizeni niwaambie Taifa hili kama ni ufisadi tumeshazungumzia sana kuanzia EPA mpaka Richmond. Dk. Slaa (Willbrod) alipoingia bungeni aliyasema haya kwa sasa si mapya. Adui yetu ni Zitto na hatumtaki Ukawa,”-alisema Mnyika.
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi3,

Wewe na Mchambuzi nawaomba moja tu.. Maadam mnadai kwa uhakika kwamba Zitto hakuangalia vigezo hivyo basi nyie mlovitazama nawaomba tupeni hapa uchambuzi ulotumika hadi Kilimanjaro kupewa zaidi ya Shinyanga. It's simple as that ikiwa kweli Zitto hakuvitazama results zenu zitaonyesha tofauti.. mwageni hapa takwimu zenu ambazo Zitto hakuziona nasi Tuzitazame..

Mkandara,
Pengine wewe na Zitto wote mnahitaji elimu kidogo juu ya tofauti iliyopo baina ya Tax revenues & Gross Domestic Product (GDP). Kutojadili dhana hizi kwa kuzitofautisha ni kupotosha ukweli uliopo na pia kuchanganya wananchi. Hicho ndicho Zitto anajadili zaidi – anaipa GDP umuhimu kuliko Tax Revenues. Tuangalie dhana hizi japo kwa ufupi, moja baada ya nyingine.
Tuangalie dhana ya Tax Revenues” – hii maana yake ni individual income taxes, business income taxes and other taxes ambazo serikali hukusanya kupitia both direct and indirect channels. Kwahiyo Kodi zote zinazokusanywa na serikali kutoka kwa wamachinga wanaoendesha biashara zao, mapato kutoka kwenye kodi za mazao, kodi ya ongezeko la thamani (VAT), iwe ni kwa kununua vocha/airtime ya mtandao wa simu, mkate, maji ya uhai, mafuta ya taa, kibiriti, sabuni, zote hizi kwa ujumla wake ni tax revenues za serikali. Nadhani hadi hapa unaona jinsi gani katika mazingira ya nchi kama Tanzania, ‘tax revenues’ zinagusa maisha ya wananchi walio wengi, moja kwa moja kuliko GDP. Tutaona kwa undani juu ya ukweli huu hapo chini.

Tukija kwenye dhana ya pili - pato la taifa (GDP), maana yake ni – total value (market value) of goods and services produced in a national economy. Uzalishaji katika kila sekta, kila mkoa unachukuliwa, aggregated na kupata ‘a national figure’. Kwa mfano tukichukulia Kanda ya Ziwa Victoria na Kanda ya Kaskazini, maana yake, tunachukua jumla ya uzalishaji uliofanyika katika sekta mbali mbali za uchumi husika i.e. sekta ya madini, viwanda, huduma za kibenki, huduma za mawasilano, kilimo, ufugaji, uvuvi n.k.

Swali linalofuata ni je, kati ya wananchi wa kanda ya Ziwa na kanda ya Kaskazini, ni wepi ambao wanashiriki zaidi katika uzalishaji (GDP) (in value added terms)? Ukweli ni kwamba, kwa sababu zilizo wazi, wananchi wa Kaskazini wapo more involved (in value added terms) katika GDP kuliko Kanda ya Ziwa. Tofauti na Kanda ya Ziwa, kwa Kanda ya Kazkazini, biashara kubwa kubwa, uwekezaji mkubwa, kwa kiasi kikubwa sana upo mikononi mwa wakazi wa Kanda hiyo, pengine kuliko kanda nyingine zote nchini Tanzania. Kwa upande wa kanda ya Ziwa, ni wananchi wachache sana ambao wanaomiliki njia kuu za uzalishaji/uchumi kwani njia kuu za uchumi Katika Kanda hii zimeshikiliwa zaidi na wageni (hasa wawekezaji kutoka nje), kwa mfano, madini, uvuvi, madini, n.k.

Hadi hapa nadhani tunaweza kuona kwamba (in real terms), mchango wa wananchi wa Kanda ya Kaskazini kwenye GDP ya taifa ni mkubwa kuliko wa Kanda ya Kaskazini. Kumbuka - hapa tunatofautisha baina ya ‘mchango wa Kanda’ na ‘mchango wa wananchi wa Kanda’ husika i.e real contribution. Zitto anafumbia macho real contribution ya wananchi, badala yake anajadili mchango wa geographic and physical features (kanda) bila ya kujali nani anamiliki njia kuu za uzalishaji au anashiriki ni real terms katika uzalishaji, na anaishia kulaumu kanda zenye mchango mkubwa wa “watu” katika pato la taifa kwamba ndio sababu ya umaskini wa kanda zilizojaliwa rasilimali lakini watu wake hawapo productive. Note, kuna tofauti baina ya being active and being productive.

Kama tupo pamoja hadi hapa, basi tutakubaliana kwamba pamoja na ukweli kwamba kanda ya ziwa victoria ina rasilimali nyingi kuliko kanda ya Kaskazini, haina maana kwamba wananchi wa kanda ya ziwa (majority) wana mchango mkubwa wa nguvu kazi (kwa maana ya utilization of such resources) in the process of kuchangia GDP. Their value remains more nominal than real. Hii ni tofauti na wananchi wa kanda ya Kaskazini. Kwa maana nyingine rahisi, wasukuma wamejaliwa rasilimali nyingi sana, mkoa wao unachangia sana pato la taifa, lakini tofauti na wasukuma, wachaga wapo more involved katika kuchangia katika pato la taifa kwa sababu ambazo tumejadili hapo juu.

Kwa maana hiyo, njia sahihi ya kuangalia mchango wa kanda moja dhidi ya nyingine, ni kwa kuangalia zaidi ‘Tax Revenues collected’ (kwani hii inahuisha wananchi walio wengi),na sio mchango wao kwa pato la taifa. Utilization of natural resources ipo chini ya watu wachache kama tulivyojadili. Kwa kumalizia, tuangalie sana mchango wa kanda ya ziwa na kanda ya kaskazini katika makusanyo ya Kodi. I extracted sehemu ndogo tu ambayo bado inatupa picha kamili.


[TABLE="width: 570"]
[TR]
[TD="colspan: 5"]Direct Tax (Regional wise) - Domestic Revenue Department for 2012/2013[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TAX ITEM[/TD]
[TD="colspan: 4"] 1st Quarter 2012/13 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] July [/TD]
[TD] August [/TD]
[TD] September [/TD]
[TD] Total [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MJKNIA[/TD]
[TD] 4,439.4 [/TD]
[TD] 4,951.6 [/TD]
[TD] 3,842.0 [/TD]
[TD] 13,233.0 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Arusha
[/TD]
[TD] 4,147.7
[/TD]
[TD] 3,195.3
[/TD]
[TD] 3,371.5
[/TD]
[TD] 10,714.5 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Coast[/TD]
[TD] - [/TD]
[TD] 69.9 [/TD]
[TD] 74.1 [/TD]
[TD] 144.0 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Dodoma[/TD]
[TD] 0.0 [/TD]
[TD] 0.3 [/TD]
[TD] 1.1 [/TD]
[TD] 1.5 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Iringa[/TD]
[TD] 7.4 [/TD]
[TD] 28.8 [/TD]
[TD] 13.9 [/TD]
[TD] 50.1 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kagera[/TD]
[TD] 885.6 [/TD]
[TD] 1,143.1 [/TD]
[TD] 1,343.8 [/TD]
[TD] 3,372.4 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kigoma[/TD]
[TD] 36.9 [/TD]
[TD] 243.3 [/TD]
[TD] 178.0 [/TD]
[TD] 458.2 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilimanjaro
[/TD]
[TD] 3,564.7
[/TD]
[TD] 3,765.7
[/TD]
[TD] 2,666.5
[/TD]
[TD] 9,996.8 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Lindi[/TD]
[TD] - [/TD]
[TD] 2.2 [/TD]
[TD] 5.7 [/TD]
[TD] 7.9 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mara[/TD]
[TD] 4,146.7 [/TD]
[TD] 4,703.0 [/TD]
[TD] 4,603.2 [/TD]
[TD] 13,453.0 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mbeya[/TD]
[TD] 1,482.4 [/TD]
[TD] 1,084.4 [/TD]
[TD] 1,067.1 [/TD]
[TD] 3,633.9 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Morogoro[/TD]
[TD] 1.7 [/TD]
[TD] 15.8 [/TD]
[TD] 20.4 [/TD]
[TD] 38.0 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mtwara[/TD]
[TD] 5.1 [/TD]
[TD] 245.1 [/TD]
[TD] 126.6 [/TD]
[TD] 376.8 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mwanza
[/TD]
[TD] 1,031.3
[/TD]
[TD] 910.1
[/TD]
[TD] 1,243.3
[/TD]
[TD] 3,184.7 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ruvuma[/TD]
[TD] 19.4 [/TD]
[TD] 34.9 [/TD]
[TD] 31.4 [/TD]
[TD] 85.7 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Shinyanga
[/TD]
[TD] 4.9
[/TD]
[TD] 14.1
[/TD]
[TD] 15.8
[/TD]
[TD] 34.8 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Singida[/TD]
[TD] 1.8 [/TD]
[TD] 3.5 [/TD]
[TD] 0.0 [/TD]
[TD] 5.4 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tabora[/TD]
[TD] 4.4 [/TD]
[TD] 2.6 [/TD]
[TD] 0.1 [/TD]
[TD] 7.1 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanga[/TD]
[TD] 883.5 [/TD]
[TD] 3,197.6 [/TD]
[TD] 4,517.9 [/TD]
[TD] 8,599.1 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Rukwa[/TD]
[TD] 9.9 [/TD]
[TD] 3.8 [/TD]
[TD] 7.2 [/TD]
[TD] 20.8 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Manyara[/TD]
[TD] - [/TD]
[TD] - [/TD]
[TD] - [/TD]
[TD] - [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TOTAL (GROSS)[/TD]
[TD] 20,672.9 [/TD]
[TD] 23,615.3 [/TD]
[TD] 23,129.6 [/TD]
[TD] 67,417.7
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]------[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 5"]Indirect Tax (Regional wise) - Domestic Revenue Department for 2012/2013[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TAX ITEM[/TD]
[TD="colspan: 4"] 1st Quarter 2012/13 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] July [/TD]
[TD] August [/TD]
[TD] September [/TD]
[TD] Total [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ilala[/TD]
[TD] 13,052.4 [/TD]
[TD] 16,958.5 [/TD]
[TD] 17,079.3 [/TD]
[TD] 47,090.2 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kinondoni[/TD]
[TD] 5,205.8 [/TD]
[TD] 8,330.5 [/TD]
[TD] 8,810.6 [/TD]
[TD] 22,346.8 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Temeke[/TD]
[TD] 432.9 [/TD]
[TD] 3,213.8 [/TD]
[TD] 3,636.2 [/TD]
[TD] 7,282.9 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Arusha
[/TD]
[TD] 6,033.4
[/TD]
[TD] 5,208.5
[/TD]
[TD] 7,045.7
[/TD]
[TD] 18,287.6 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Coast[/TD]
[TD] 95.2 [/TD]
[TD] 230.2 [/TD]
[TD] 209.9 [/TD]
[TD] 535.2 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Dodoma[/TD]
[TD] 199.7 [/TD]
[TD] 558.3 [/TD]
[TD] 352.3 [/TD]
[TD] 1,110.2 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Iringa[/TD]
[TD] 415.5 [/TD]
[TD] 766.6 [/TD]
[TD] 506.0 [/TD]
[TD] 1,688.1 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kagera[/TD]
[TD] 473.1 [/TD]
[TD] 602.5 [/TD]
[TD] 520.7 [/TD]
[TD] 1,596.3 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kigoma[/TD]
[TD] 157.5 [/TD]
[TD] 195.4 [/TD]
[TD] 188.1 [/TD]
[TD] 541.0 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilimanjaro
[/TD]
[TD] 1,060.9
[/TD]
[TD] 1,192.9
[/TD]
[TD] 1,298.7
[/TD]
[TD] 3,552.5 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Lindi[/TD]
[TD] 25.0 [/TD]
[TD] 64.6 [/TD]
[TD] 187.1 [/TD]
[TD] 276.7 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mara[/TD]
[TD] 388.4 [/TD]
[TD] 447.3 [/TD]
[TD] 324.0 [/TD]
[TD] 1,159.8 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mbeya[/TD]
[TD] 739.1 [/TD]
[TD] 930.4 [/TD]
[TD] 870.1 [/TD]
[TD] 2,539.7 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Morogoro[/TD]
[TD] 720.8 [/TD]
[TD] 767.0 [/TD]
[TD] 847.0 [/TD]
[TD] 2,334.8 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mtwara[/TD]
[TD] 53.8 [/TD]
[TD] 1,535.7 [/TD]
[TD] 271.8 [/TD]
[TD] 1,861.3 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mwanza
[/TD]
[TD] 1,231.5
[/TD]
[TD] 1,542.3
[/TD]
[TD] 1,831.3
[/TD]
[TD] 4,605.1 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ruvuma[/TD]
[TD] 165.3 [/TD]
[TD] 212.8 [/TD]
[TD] 210.9 [/TD]
[TD] 588.9 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Shinyanga
[/TD]
[TD] 531.3
[/TD]
[TD] 374.7
[/TD]
[TD] 264.4
[/TD]
[TD] 1,170.5 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Singida[/TD]
[TD] 103.5 [/TD]
[TD] 108.2 [/TD]
[TD] 138.2 [/TD]
[TD] 349.8 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tabora[/TD]
[TD] 342.4 [/TD]
[TD] 377.0 [/TD]
[TD] 338.3 [/TD]
[TD] 1,057.7 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanga[/TD]
[TD] 149.4 [/TD]
[TD] 1,025.3 [/TD]
[TD] 919.1 [/TD]
[TD] 2,093.8 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Rukwa[/TD]
[TD] 93.1 [/TD]
[TD] 122.4 [/TD]
[TD] 122.9 [/TD]
[TD] 338.4 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Manyara[/TD]
[TD] 37.7 [/TD]
[TD] 259.5 [/TD]
[TD] 236.8 [/TD]
[TD] 534.0 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TOTAL (GROSS)[/TD]
[TD] 31,707.6 [/TD]
[TD] 45,024.4 [/TD]
[TD] 46,209.5 [/TD]
[TD] 122,941.5 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]----------
[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 5"]Customs and Excise (Regional wise) - Department for 2012/2013[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TAX ITEM[/TD]
[TD="colspan: 4"] 1st Quarter 2012/13 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] July [/TD]
[TD] August [/TD]
[TD] September [/TD]
[TD] Total [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]D'Salaam SC[/TD]
[TD] 206,972.3 [/TD]
[TD] 233,347.1 [/TD]
[TD] 209,441.3 [/TD]
[TD] 649,760.8 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MJKNIA[/TD]
[TD] 4,439.4 [/TD]
[TD] 4,951.6 [/TD]
[TD] 3,842.0 [/TD]
[TD] 13,233.0 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Arusha
[/TD]
[TD] 4,147.7
[/TD]
[TD] 3,195.3
[/TD]
[TD] 3,371.5
[/TD]
[TD] 10,714.5 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Coast[/TD]
[TD] - [/TD]
[TD] 69.9 [/TD]
[TD] 74.1 [/TD]
[TD] 144.0 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Dodoma[/TD]
[TD] 0.0 [/TD]
[TD] 0.3 [/TD]
[TD] 1.1 [/TD]
[TD] 1.5 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Iringa[/TD]
[TD] 7.4 [/TD]
[TD] 28.8 [/TD]
[TD] 13.9 [/TD]
[TD] 50.1 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kagera[/TD]
[TD] 885.6 [/TD]
[TD] 1,143.1 [/TD]
[TD] 1,343.8 [/TD]
[TD] 3,372.4 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kigoma[/TD]
[TD] 36.9 [/TD]
[TD] 243.3 [/TD]
[TD] 178.0 [/TD]
[TD] 458.2 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilimanjaro
[/TD]
[TD] 3,564.7
[/TD]
[TD] 3,765.7
[/TD]
[TD] 2,666.5
[/TD]
[TD] 9,996.8 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Lindi[/TD]
[TD] - [/TD]
[TD] 2.2 [/TD]
[TD] 5.7 [/TD]
[TD] 7.9 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mara[/TD]
[TD] 4,146.7 [/TD]
[TD] 4,703.0 [/TD]
[TD] 4,603.2 [/TD]
[TD] 13,453.0 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mbeya[/TD]
[TD] 1,482.4 [/TD]
[TD] 1,084.4 [/TD]
[TD] 1,067.1 [/TD]
[TD] 3,633.9 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Morogoro[/TD]
[TD] 1.7 [/TD]
[TD] 15.8 [/TD]
[TD] 20.4 [/TD]
[TD] 38.0 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mtwara[/TD]
[TD] 5.1 [/TD]
[TD] 245.1 [/TD]
[TD] 126.6 [/TD]
[TD] 376.8 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mwanza
[/TD]
[TD] 1,031.3
[/TD]
[TD] 910.1
[/TD]
[TD] 1,243.3
[/TD]
[TD] 3,184.7 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ruvuma[/TD]
[TD] 19.4 [/TD]
[TD] 34.9 [/TD]
[TD] 31.4 [/TD]
[TD] 85.7 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Shinyanga
[/TD]
[TD] 4.9
[/TD]
[TD] 14.1
[/TD]
[TD] 15.8
[/TD]
[TD] 34.8 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Singida[/TD]
[TD] 1.8 [/TD]
[TD] 3.5 [/TD]
[TD] 0.0 [/TD]
[TD] 5.4 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tabora[/TD]
[TD] 4.4 [/TD]
[TD] 2.6 [/TD]
[TD] 0.1 [/TD]
[TD] 7.1 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanga[/TD]
[TD] 883.5 [/TD]
[TD] 3,197.6 [/TD]
[TD] 4,517.9 [/TD]
[TD] 8,599.1 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Rukwa[/TD]
[TD] 9.9 [/TD]
[TD] 3.8 [/TD]
[TD] 7.2 [/TD]
[TD] 20.8 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Manyara[/TD]
[TD] - [/TD]
[TD] - [/TD]
[TD] - [/TD]
[TD] - [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TOTAL (GROSS)[/TD]
[TD] 227,645.2 [/TD]
[TD] 256,962.4 [/TD]
[TD] 232,570.9 [/TD]
[TD] 717,178.5 [/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Source: TRA
---------------

Mkandara
,

Ukiangalia sample tu hapo utagundua haya:

1. Kanda ya Kaskazini inachangia zaidi katika direct taxes kuliko kanda ya Ziwa.
2. Kanda ya Kaskazini inachangia zaidi katika indirect taxes kuliko kanda ya ziwa.
3. Kanda ya kaskazini inachangia zaidi katika customs and excise kuliko Kanda ya Ziwa.

Kigoma ndio insignificant kabisa.

Je wewe, Zitto na wenzenu wengine hamuoni kwamba mnapotosha ukweli wa mambo?
Je, hamuoni kwamba in actual sense, wananchi wa kaskazini ndio wananyonywa zaidi na wananchi wa victoria kwa sababu mgao ambao zitto anaujadili basically unatokana na mapato ya kodi? Au Zitto anadhania GDP ni kitu kinachokusanywa na kugawanywa kama njugu?

Zitto atadanganya wengine, na kuwaaminisha nyinyi kwa kila kitu kwa sababu tu ni Zitto kasema. Tupo wachache ambao hatudanganyiki.
 
This is the deal. If other parts of the country want to develop, people in those areas should be doing exactly what people of KLM do. People of KLM have formal and informal institutions or traditions that have helped them enormously. Other parts of the country wait for the government to decide their fate.

Some of those institutions and traditions have some sort of Ukabila. But that's the way it should be. If you want local people to take control of their own destiny, you have to accept some sorts of local flavors, ukabila included. However, if you want the entire nation in unison, then you will have to wait for another 1000 years.
Thank you Sir!

Hii ndio hoja ambayo Zitto na mashabiki hawataki kuielewa achilia mbali kuikubali.

Hizo formal and traditions institutions zimeleta matatizo miaka ya nyuma. Mzee Msuya ni victim wa hilo.

Baada ya tathmini ikaonekana hakuna ukabila. Mzee Msuya aliwaambia watu wa jimbo lake, jengeni dispensary mkimaliza niiteni nitakuja na waganga na wauguzi watakaolipwa na serikali. kasema, Chimbeni barabara milimani, mkikutana na jabali liacheni nitakuja na baruti, endeleeni mbele mnakoweza kwa sululu na majembe

Hizo institution zao ziliwabana vijana wao kurudi nyumbani kutumikia kijiji. Nakumbuka mradi wa maji eneo fulani.

Wanakijiji wanajua kijana X amehitimu chuo cha maji. Kijana X ardhi anachora ramani, na Kijana X ni engineer.
Wanakwenda kuwataka waje kusaidia nyumbani, wao watasamehewa michango ya kawaida, that's it.

Zitto ni maarufu, akiwa na akina Diamond, Ali Kiba na wenzake wanaweza ku mobilize shughuli za maendeleo kwao
Kijiji cha Nronga wanajenga barabara, nini kinawashinda akina Zitto kufanya hayo hadi kusubiri serikali miaka 1000?

Nilidhani Zitto angewaambia wananchi wa Shinyanga, ninyi mna utajiri wa asili wa mazao na mifugo.

Hebu twendeni Nronga tukajifunze wale wauza ndizi wanawezaje kuchanganishana milioni 100 sisi tushindwe?

Angewaambia wananchi wa Shinyanga, matatizo yenu ya huduma mbovu za afya na Elimu yapo Kigoma, Kilimanjaro, Tanga, Lindi n.k.

Haya yanaletwa na mfumo mbaya uliodumu miaka 50. Mfumo unaoweza kushindwa kununua vitanda Muhimbili lakini una pesa za kununua viti vya bilioni 8 kwa watu 600.

Kinyume chake, anasimama na kuwatia udwanzi wanananchi wa Shinyanga. Anasema matatizo yao yametokana na Mkoa wa Kilimanajaro na Arusha kuchangia kidogo, kupata zaidi ! my foot! huyu alikuwa mbunge, amesomea Kibohehe, anajua mambo ya Kilimanjaro, kaamua makusudi kabisa kutosema ukweli ili kupandikiza chuki miongoni mwa Raia yeye akistawi kisiasa!

Tunaposema hapana, tunaambiwa tuna chuki. Tukiuliza ipo wapi wanakimbia jamvi.

Tukisema Zitto kaligawa taifa tunaambiwa hapana, alikuwa anatia machachamuzi tu! cm'on! yaani alete farki miongoni wa wananchi tukae kimya kwasababu tu ni supreme leader wa kundi fulani

Wabondei wanahama kule, wanasema ukiwekeza nyumbani miaka 5 kwishney! Hawarudi kwao.
Dar wamejaa wa Kigoma hawarudi kwao. Zitto haoni kama ni tatizo, anachokiona ni sehemu moja kuiumiza nyingine

Tutamkemea hadi tuonyeshwe, hao Kilimanjaro wanapewa na nani kama alivyodai Mkandara

Tutamuuliza Zitto & asscoiates ni vipi mkoa mmoja unaumiza mwingine! Arusha imefanya uhalifu gani dhidi ya Shinyanga

Hatatupunzika nchi ikigawanywa vipande vipande kirahisi rahisi namna hiyo! no way!

Tutasimama kukemea ukanda ule ule aliodai upo alikotoka na sasa ana uhubiri kwa nguvu zake. Tutamkemea bila aibu au haya!

Njia bora ni yeye kujitokeza aombe radhi kwa wananchi wa Tanzania, au chama cha ACT kikanushe madai ya Zitto

Bila hivyo hili ni zimwi litamwanadama kila siku na limeshatangulia mbele
 
Naona Waberoya unajitahidi kwa nguvu sana kuuchafua mjadala kwa lugha za kuudhi. Kumbukumbu mada ni ACT Tanzania /Wazalendo mpini wa CCM kuumaliza upinzani nchini.
Ashante umeliona hilo

Kinachotakiwa hapa ni watu wakae kimya! ndicho wanataka!
 
Mkandara,
Pengine wewe na Zitto wote mnahitaji elimu kidogo juu ya tofauti iliyopo baina ya Tax revenues & Gross Domestic Product (GDP). Kutojadili dhana hizi kwa kuzitofautisha ni kupotosha ukweli uliopo na pia kuchanganya wananchi. Hicho ndicho Zitto anajadili zaidi – anaipa GDP umuhimu kuliko Tax Revenues. Tuangalie dhana hizi japo kwa ufupi, moja baada ya nyingine.
Tuangalie dhana ya Tax Revenues" – hii maana yake ni individual income taxes, business income taxes and other taxes ambazo serikali hukusanya kupitia both direct and indirect channels. Kwahiyo Kodi zote zinazokusanywa na serikali kutoka kwa wamachinga wanaoendesha biashara zao, mapato kutoka kwenye kodi za mazao, kodi ya ongezeko la thamani (VAT), iwe ni kwa kununua vocha/airtime ya mtandao wa simu, mkate, maji ya uhai, mafuta ya taa, kibiriti, sabuni, zote hizi kwa ujumla wake ni tax revenues za serikali. Nadhani hadi hapa unaona jinsi gani katika mazingira ya nchi kama Tanzania, ‘tax revenues' zinagusa maisha ya wananchi walio wengi, moja kwa moja kuliko GDP. Tutaona kwa undani juu ya ukweli huu hapo chini.

Tukija kwenye dhana ya pili - pato la taifa (GDP), maana yake ni – total value (market value) of goods and services produced in a national economy. Uzalishaji katika kila sekta, kila mkoa unachukuliwa, aggregated na kupata ‘a national figure'. Kwa mfano tukichukulia Kanda ya Ziwa Victoria na Kanda ya Kaskazini, maana yake, tunachukua jumla ya uzalishaji uliofanyika katika sekta mbali mbali za uchumi husika i.e. sekta ya madini, viwanda, huduma za kibenki, huduma za mawasilano, kilimo, ufugaji, uvuvi n.k.

Swali linalofuata ni je, kati ya wananchi wa kanda ya Ziwa na kanda ya Kaskazini, ni wepi ambao wanashiriki zaidi katika uzalishaji (GDP) (in value added terms)? Ukweli ni kwamba, kwa sababu zilizo wazi, wananchi wa Kaskazini wapo more involved (in value added terms) katika GDP kuliko Kanda ya Ziwa. Tofauti na Kanda ya Ziwa, kwa Kanda ya Kazkazini, biashara kubwa kubwa, uwekezaji mkubwa, kwa kiasi kikubwa sana upo mikononi mwa wakazi wa Kanda hiyo, pengine kuliko kanda nyingine zote nchini Tanzania. Kwa upande wa kanda ya Ziwa, ni wananchi wachache sana ambao wanaomiliki njia kuu za uzalishaji/uchumi kwani njia kuu za uchumi Katika Kanda hii zimeshikiliwa zaidi na wageni (hasa wawekezaji kutoka nje), kwa mfano, madini, uvuvi, madini, n.k.

Hadi hapa nadhani tunaweza kuona kwamba (in real terms), mchango wa wananchi wa Kanda ya Kaskazini kwenye GDP ya taifa ni mkubwa kuliko wa Kanda ya Kaskazini. Kumbuka - hapa tunatofautisha baina ya ‘mchango wa Kanda' na ‘mchango wa wananchi wa Kanda' husika i.e real contribution. Zitto anafumbia macho real contribution ya wananchi, badala yake anajadili mchango wa geographic and physical features (kanda) bila ya kujali nani anamiliki njia kuu za uzalishaji au anashiriki ni real terms katika uzalishaji, na anaishia kulaumu kanda zenye mchango mkubwa wa "watu" katika pato la taifa kwamba ndio sababu ya umaskini wa kanda zilizojaliwa rasilimali lakini watu wake hawapo productive. Note, kuna tofauti baina ya being active and being productive.

Kama tupo pamoja hadi hapa, basi tutakubaliana kwamba pamoja na ukweli kwamba kanda ya ziwa victoria ina rasilimali nyingi kuliko kanda ya Kaskazini, haina maana kwamba wananchi wa kanda ya ziwa (majority) wana mchango mkubwa wa nguvu kazi (kwa maana ya utilization of such resources) in the process of kuchangia GDP. Their value remains more nominal than real. Hii ni tofauti na wananchi wa kanda ya Kaskazini. Kwa maana nyingine rahisi, wasukuma wamejaliwa rasilimali nyingi sana, mkoa wao unachangia sana pato la taifa, lakini tofauti na wasukuma, wachaga wapo more involved katika kuchangia katika pato la taifa kwa sababu ambazo tumejadili hapo juu.

Kwa maana hiyo, njia sahihi ya kuangalia mchango wa kanda moja dhidi ya nyingine, ni kwa kuangalia zaidi ‘Tax Revenues collected' (kwani hii inahuisha wananchi walio wengi),na sio mchango wao kwa pato la taifa. Utilization of natural resources ipo chini ya watu wachache kama tulivyojadili. Kwa kumalizia, tuangalie sana mchango wa kanda ya ziwa na kanda ya kaskazini katika makusanyo ya Kodi. I extracted sehemu ndogo tu ambayo bado inatupa picha kamili.


[TABLE="width: 570"]
[TR]
[TD="colspan: 5"]Direct Tax (Regional wise) - Domestic Revenue Department for 2012/2013[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TAX ITEM[/TD]
[TD="colspan: 4"] 1st Quarter 2012/13 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] July [/TD]
[TD] August [/TD]
[TD] September [/TD]
[TD] Total [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MJKNIA[/TD]
[TD] 4,439.4[/TD]
[TD] 4,951.6[/TD]
[TD] 3,842.0[/TD]
[TD] 13,233.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Arusha
[/TD]
[TD] 4,147.7
[/TD]
[TD] 3,195.3
[/TD]
[TD] 3,371.5
[/TD]
[TD] 10,714.5 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Coast[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] 69.9[/TD]
[TD] 74.1[/TD]
[TD] 144.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Dodoma[/TD]
[TD] 0.0[/TD]
[TD] 0.3[/TD]
[TD] 1.1[/TD]
[TD] 1.5[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Iringa[/TD]
[TD] 7.4[/TD]
[TD] 28.8[/TD]
[TD] 13.9[/TD]
[TD] 50.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kagera[/TD]
[TD] 885.6[/TD]
[TD] 1,143.1[/TD]
[TD] 1,343.8[/TD]
[TD] 3,372.4[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kigoma[/TD]
[TD] 36.9[/TD]
[TD] 243.3[/TD]
[TD] 178.0[/TD]
[TD] 458.2[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilimanjaro
[/TD]
[TD] 3,564.7
[/TD]
[TD] 3,765.7
[/TD]
[TD] 2,666.5
[/TD]
[TD] 9,996.8 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Lindi[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] 2.2[/TD]
[TD] 5.7[/TD]
[TD] 7.9[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mara[/TD]
[TD] 4,146.7[/TD]
[TD] 4,703.0[/TD]
[TD] 4,603.2[/TD]
[TD] 13,453.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mbeya[/TD]
[TD] 1,482.4[/TD]
[TD] 1,084.4[/TD]
[TD] 1,067.1[/TD]
[TD] 3,633.9[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Morogoro[/TD]
[TD] 1.7[/TD]
[TD] 15.8[/TD]
[TD] 20.4[/TD]
[TD] 38.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mtwara[/TD]
[TD] 5.1[/TD]
[TD] 245.1[/TD]
[TD] 126.6[/TD]
[TD] 376.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mwanza
[/TD]
[TD] 1,031.3
[/TD]
[TD] 910.1
[/TD]
[TD] 1,243.3
[/TD]
[TD] 3,184.7 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ruvuma[/TD]
[TD] 19.4[/TD]
[TD] 34.9[/TD]
[TD] 31.4[/TD]
[TD] 85.7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Shinyanga
[/TD]
[TD] 4.9
[/TD]
[TD] 14.1
[/TD]
[TD] 15.8
[/TD]
[TD] 34.8 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Singida[/TD]
[TD] 1.8[/TD]
[TD] 3.5[/TD]
[TD] 0.0[/TD]
[TD] 5.4[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tabora[/TD]
[TD] 4.4[/TD]
[TD] 2.6[/TD]
[TD] 0.1[/TD]
[TD] 7.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanga[/TD]
[TD] 883.5[/TD]
[TD] 3,197.6[/TD]
[TD] 4,517.9[/TD]
[TD] 8,599.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Rukwa[/TD]
[TD] 9.9[/TD]
[TD] 3.8[/TD]
[TD] 7.2[/TD]
[TD] 20.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Manyara[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] -[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TOTAL (GROSS)[/TD]
[TD] 20,672.9 [/TD]
[TD] 23,615.3 [/TD]
[TD] 23,129.6 [/TD]
[TD] 67,417.7
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]------[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 5"]Indirect Tax (Regional wise) - Domestic Revenue Department for 2012/2013[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TAX ITEM[/TD]
[TD="colspan: 4"] 1st Quarter 2012/13 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] July [/TD]
[TD] August [/TD]
[TD] September [/TD]
[TD] Total [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ilala[/TD]
[TD] 13,052.4[/TD]
[TD] 16,958.5[/TD]
[TD] 17,079.3[/TD]
[TD] 47,090.2[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kinondoni[/TD]
[TD] 5,205.8[/TD]
[TD] 8,330.5[/TD]
[TD] 8,810.6[/TD]
[TD] 22,346.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Temeke[/TD]
[TD] 432.9[/TD]
[TD] 3,213.8[/TD]
[TD] 3,636.2[/TD]
[TD] 7,282.9[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Arusha
[/TD]
[TD] 6,033.4
[/TD]
[TD] 5,208.5
[/TD]
[TD] 7,045.7
[/TD]
[TD] 18,287.6 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Coast[/TD]
[TD] 95.2[/TD]
[TD] 230.2[/TD]
[TD] 209.9[/TD]
[TD] 535.2[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Dodoma[/TD]
[TD] 199.7[/TD]
[TD] 558.3[/TD]
[TD] 352.3[/TD]
[TD] 1,110.2[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Iringa[/TD]
[TD] 415.5[/TD]
[TD] 766.6[/TD]
[TD] 506.0[/TD]
[TD] 1,688.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kagera[/TD]
[TD] 473.1[/TD]
[TD] 602.5[/TD]
[TD] 520.7[/TD]
[TD] 1,596.3[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kigoma[/TD]
[TD] 157.5[/TD]
[TD] 195.4[/TD]
[TD] 188.1[/TD]
[TD] 541.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilimanjaro
[/TD]
[TD] 1,060.9
[/TD]
[TD] 1,192.9
[/TD]
[TD] 1,298.7
[/TD]
[TD] 3,552.5 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Lindi[/TD]
[TD] 25.0[/TD]
[TD] 64.6[/TD]
[TD] 187.1[/TD]
[TD] 276.7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mara[/TD]
[TD] 388.4[/TD]
[TD] 447.3[/TD]
[TD] 324.0[/TD]
[TD] 1,159.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mbeya[/TD]
[TD] 739.1[/TD]
[TD] 930.4[/TD]
[TD] 870.1[/TD]
[TD] 2,539.7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Morogoro[/TD]
[TD] 720.8[/TD]
[TD] 767.0[/TD]
[TD] 847.0[/TD]
[TD] 2,334.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mtwara[/TD]
[TD] 53.8[/TD]
[TD] 1,535.7[/TD]
[TD] 271.8[/TD]
[TD] 1,861.3[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mwanza
[/TD]
[TD] 1,231.5
[/TD]
[TD] 1,542.3
[/TD]
[TD] 1,831.3
[/TD]
[TD] 4,605.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ruvuma[/TD]
[TD] 165.3[/TD]
[TD] 212.8[/TD]
[TD] 210.9[/TD]
[TD] 588.9[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Shinyanga
[/TD]
[TD] 531.3
[/TD]
[TD] 374.7
[/TD]
[TD] 264.4
[/TD]
[TD] 1,170.5 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Singida[/TD]
[TD] 103.5[/TD]
[TD] 108.2[/TD]
[TD] 138.2[/TD]
[TD] 349.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tabora[/TD]
[TD] 342.4[/TD]
[TD] 377.0[/TD]
[TD] 338.3[/TD]
[TD] 1,057.7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanga[/TD]
[TD] 149.4[/TD]
[TD] 1,025.3[/TD]
[TD] 919.1[/TD]
[TD] 2,093.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Rukwa[/TD]
[TD] 93.1[/TD]
[TD] 122.4[/TD]
[TD] 122.9[/TD]
[TD] 338.4[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Manyara[/TD]
[TD] 37.7[/TD]
[TD] 259.5[/TD]
[TD] 236.8[/TD]
[TD] 534.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TOTAL (GROSS)[/TD]
[TD] 31,707.6 [/TD]
[TD] 45,024.4 [/TD]
[TD] 46,209.5 [/TD]
[TD] 122,941.5 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]----------[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 5"]Customs and Excise (Regional wise) - Department for 2012/2013[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TAX ITEM[/TD]
[TD="colspan: 4"] 1st Quarter 2012/13 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] July [/TD]
[TD] August [/TD]
[TD] September [/TD]
[TD] Total [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]D'Salaam SC[/TD]
[TD] 206,972.3[/TD]
[TD] 233,347.1[/TD]
[TD] 209,441.3[/TD]
[TD] 649,760.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MJKNIA[/TD]
[TD] 4,439.4[/TD]
[TD] 4,951.6[/TD]
[TD] 3,842.0[/TD]
[TD] 13,233.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Arusha
[/TD]
[TD] 4,147.7
[/TD]
[TD] 3,195.3
[/TD]
[TD] 3,371.5
[/TD]
[TD] 10,714.5 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Coast[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] 69.9[/TD]
[TD] 74.1[/TD]
[TD] 144.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Dodoma[/TD]
[TD] 0.0[/TD]
[TD] 0.3[/TD]
[TD] 1.1[/TD]
[TD] 1.5[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Iringa[/TD]
[TD] 7.4[/TD]
[TD] 28.8[/TD]
[TD] 13.9[/TD]
[TD] 50.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kagera[/TD]
[TD] 885.6[/TD]
[TD] 1,143.1[/TD]
[TD] 1,343.8[/TD]
[TD] 3,372.4[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kigoma[/TD]
[TD] 36.9[/TD]
[TD] 243.3[/TD]
[TD] 178.0[/TD]
[TD] 458.2[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilimanjaro
[/TD]
[TD] 3,564.7
[/TD]
[TD] 3,765.7
[/TD]
[TD] 2,666.5
[/TD]
[TD] 9,996.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Lindi[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] 2.2[/TD]
[TD] 5.7[/TD]
[TD] 7.9[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mara[/TD]
[TD] 4,146.7[/TD]
[TD] 4,703.0[/TD]
[TD] 4,603.2[/TD]
[TD] 13,453.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mbeya[/TD]
[TD] 1,482.4[/TD]
[TD] 1,084.4[/TD]
[TD] 1,067.1[/TD]
[TD] 3,633.9[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Morogoro[/TD]
[TD] 1.7[/TD]
[TD] 15.8[/TD]
[TD] 20.4[/TD]
[TD] 38.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mtwara[/TD]
[TD] 5.1[/TD]
[TD] 245.1[/TD]
[TD] 126.6[/TD]
[TD] 376.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mwanza
[/TD]
[TD] 1,031.3
[/TD]
[TD] 910.1
[/TD]
[TD] 1,243.3
[/TD]
[TD] 3,184.7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ruvuma[/TD]
[TD] 19.4[/TD]
[TD] 34.9[/TD]
[TD] 31.4[/TD]
[TD] 85.7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Shinyanga
[/TD]
[TD] 4.9
[/TD]
[TD] 14.1
[/TD]
[TD] 15.8
[/TD]
[TD] 34.8 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Singida[/TD]
[TD] 1.8[/TD]
[TD] 3.5[/TD]
[TD] 0.0[/TD]
[TD] 5.4[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tabora[/TD]
[TD] 4.4[/TD]
[TD] 2.6[/TD]
[TD] 0.1[/TD]
[TD] 7.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanga[/TD]
[TD] 883.5[/TD]
[TD] 3,197.6[/TD]
[TD] 4,517.9[/TD]
[TD] 8,599.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Rukwa[/TD]
[TD] 9.9[/TD]
[TD] 3.8[/TD]
[TD] 7.2[/TD]
[TD] 20.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Manyara[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] -[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TOTAL (GROSS)[/TD]
[TD] 227,645.2 [/TD]
[TD] 256,962.4 [/TD]
[TD] 232,570.9 [/TD]
[TD] 717,178.5 [/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Source: TRA
---------------

Mkandara
,

Ukiangalia sample tu hapo utagundua haya:

1. Kanda ya Kaskazini inachangia zaidi katika direct taxes kuliko kanda ya Ziwa.
2. Kanda ya Kaskazini inachangia zaidi katika indirect taxes kuliko kanda ya ziwa.
3. Kanda ya kaskazini inachangia zaidi katika customs and excise kuliko Kanda ya Ziwa.

Kigoma ndio insignificant kabisa.

Je wewe, Zitto na wenzenu wengine hamuoni kwamba mnapotosha ukweli wa mambo?
Je, hamuoni kwamba in actual sense, wananchi wa kaskazini ndio wananyonywa zaidi na wananchi wa victoria kwa sababu mgao ambao zitto anaujadili basically unatokana na mapato ya kodi? Au Zitto anadhania GDP ni kitu kinachokusanywa hukusanywa?

Zitto atadanganya wengine, na kuwaaminisha nyinyi kwa kila kitu kwa sababu tu ni Zitto kasema. Tupo wachache ambao hatudanganyiki.
Mkuu umemamiza ubishi kwa takwimu hizi ila na wewe umekosea kusem GDP maana hiz ni real contribution za mikoa kwa TRA na ndizo nilizokuwa nazisubiria sio GDP maana GDP ni uongo na uzushi mtupu ambao hauna ukweli ktk pato la Taifa maana fedha nyingi zinakwenda nje. Nakumbuka vizuri sana kuwa mchango wa dhahabu ktk pato la Taifa ni chini ya asilimia 2, kama alivyosema JK wakati fulani..Kwa hiyo umenionyesha wazi kuwa Kilimanjatro inachangia zaidi ya Shinyanga wala sii kidogo tofauti ni kubwa sana.

Hapa inabidi tumuombe Zitto atueleze takwimu zake. Nashukuru kwamba umekuja na namba zinazothibitisha ukweli na ndicho nachokitaka miye...na siowezi kubishana juu la hili, pengine huyu Zitto alitumia GDP kama kielelezo au atuambie katumia takwimu gani?
 
Asante Mchambuzi, hizo takwimu ulizotoa zinazidi kudhihirisha ulaghai na sumu ya hatari ambayo CCM kwa kuwatumia wasaliti wa mageuzi ya kweli, inazidi kupanda kwa wananchi wasio na uelewa wa mambo. Kumwita mtu anayetumika kueneza na kupalilia hiyo sumu mzalendo, wakati ukweli ni kwamba anapanda mbegu ya chuki ndani ya jamii, ni kupotoka na hapa ndipo sikubaliani na Zakumi alipojaribu kulinganisha kauli ya Mbowe na ile ya Zitto.

Aliyoyatamka Mbowe na aliyoyatamka Zitto huwezi kuyaweka kwenue mizani sawa kwani moja anatoa changamoto kwa wananchi waitafakari kwa nini wako walipo huku mwingine akiwapa taarifa kwamba wapo hapo kwa kuonewa wakati wengine wanapendelewa. Ajabu ni kwamba Zitto haelekezi lawama kwa hao anaodai wanahusika na uonevu/upendeleo huo bali anawanyooshea kidole wale ambao kwa juhudi zao wameweza kujikwamua bila kusubiri upendeleo.
 
Last edited by a moderator:
Mchambuzi.

Na hizi data hapa chini kuhusu mkoa wa Mtwara unakubaliana nazo.


"TRA Quaterly Revenue collection 2011_2011".-Mkoa wa Mtwara ni wa 7 katika kuchangia kwenye pato la taifa kwa kodi. Kwa lugha nyepesi ndio wanunuzi wakubwa wa mashangingi ya serikali, au ndiyo wachangiaji wakubwa wa mafuta ya Jet stream ahaa na posho za wabunge, looh na posho za vyama vya siasa.-Swali langu: Imekuwaje mbona hayo maendeleo waliyonyimwa tangu uhuru kwa kisingizio cha uchangiaji mdogo kwenye pato la taifa hayaletwi-hivi sasa tunapochangia kwa kiasi kikubwa au vigezo vimebadilika?Tafadhali naombeni mchango wenu na ushauri wenu kwa wana Mtwara.

Nimeambatanisha jedwali la makusanyo kwa mujibu wa report za TRA:-www.tra.go.tz-RegionMillion TShsMillion TShsMillion TShsMillion TShsRankingDirect TaxIndirect TaxCustoms and ExciseTotalIlala56,801.932,545.3-89,347.21Kinondoni32,858.716,414.7-49,273.41Temeke12,987.010,677.7-23,664.61Arusha15,101.310,111.99,383.134,596.32Coast1,478.9562.491.12,132.5Dodoma3,787.61,385.817.55,190.8Iringa3,471.41,941.920.55,433.9Kagera967.11,082.91,938.73,988.7Kigoma694.5342.1786.51,823.1Kilimanjaro6,834.22,947.311,389.321,170.83Lindi284.2154.522.9461.5Mara1,264.0914.413,882.216,060.74Mbeya2,605.42,241.07,446.312,292.8Morogoro5,359.62,427.270.27,857.0Mtwara7,608.56,838.5270.414,717.47Mwanza8,905.03,889.94,577.317,372.25Ruvuma667.1469.832.71,169.6Shinyanga1,355.01,068.837.82,461.6Singida331.0269.151.3651.4Tabora1,087.4896.215.11,998.7Tanga2,849.72,231.89,755.714,837.36Rukwa748.1235.497.61,081.2Manyara686.2263.6-949.9.

Cc; Barubaru
 
Last edited by a moderator:
Naona Waberoya unajitahidi kwa nguvu sana kuuchafua mjadala kwa lugha za kuudhi. Kumbukumbu mada ni ACT Tanzania /Wazalendo mpini wa CCM kuumaliza upinzani nchini.

mkuu ila title umekubaliana nayo na haujaona kuwa ni chafu? na haina tangible proof??

umekubaliana na uchafu huo, mengine vumilia; Tegemea, wewe ni kijana mzuri kabisa hawa wazee unaowalinda ndio wamepotea, wasaidie kwa busara zako
 
Mchambuzi.

Na hizi data hapa chini kuhusu mkoa wa Mtwara unakubaliana nazo.


"TRA Quaterly Revenue collection 2011_2011".-Mkoa wa Mtwara ni wa 7 katika kuchangia kwenye pato la taifa kwa kodi. Kwa lugha nyepesi ndio wanunuzi wakubwa wa mashangingi ya serikali, au ndiyo wachangiaji wakubwa wa mafuta ya Jet stream ahaa na posho za wabunge, looh na posho za vyama vya siasa.-Swali langu: Imekuwaje mbona hayo maendeleo waliyonyimwa tangu uhuru kwa kisingizio cha uchangiaji mdogo kwenye pato la taifa hayaletwi-hivi sasa tunapochangia kwa kiasi kikubwa au vigezo vimebadilika?Tafadhali naombeni mchango wenu na ushauri wenu kwa wana Mtwara.


Mkuu @Ritz kama umesoma kwa makini hoja za wanajamvi humu ndani, utakubaliana nao kuwa maendeleo ya watu wa Mtwara hayataletwa na mgao kutoka serikali kuu tu bali maendeleo ya watu wa Mtwara yanataletwa na wana Mtwara wenyewe na gawio ni nyongeza kwa ajili ya kufanya kile walichoshindwa wananchi kufanya. Kama umemsoma dada yangu gfsonwin ameeleza jinsi ndugu zetu wa Arusha wanavyochangia maendeleo yao, kila jumapili au Ijumaa baada ya swala/misa kuna kuwa na matangazo kuhusu michango ya ujenzi wa vitu mbali mbali.
Tukumbuke kuwa hawa wenzetu hata mabara bara wanajenga kwa nguvu zao wenyewe na pindi wanapokwama ndo ile gawio lao linapokuja kumalizia.

Hivyo basi ukichukulia mfano wa Arusha wao wanapo pata gawio lao hawalitumii katika kujenga mashule maana yalishajenga, au hopitali, ua kuzibia viraka vya barabarani bali wanalitumia katika miradi mikubwa mikubwa ni tofauti na Mtwara ua Kagera wao gawio lao wanalitumia "labda" katika kukwangua bara bara, kujenga shule, kununulia vifaa vya hospitali kulipa posho na nk. Na ndio maana ukichukua data za mwaka 2010 Kagera walipata gawio kubwa kuliko Arusha lakini Kagera aikuwa hata kwenye 10 bora. ila Arush ilikuwa ya 3 kwa maendeleo.

Nini wana Mtwara wafanye? Ni kujituma katika swala zima la kujiletea maendelea. wajenga mashule ya kutosha kwa ajili ya watoto wao, wajenge mahospitali ya kutosha, wanaMtwara walioko nje ya Mtwara wajenga makwao (hii itasaidia kupata ajira), watume hela makwao hii itasaidia pesa kupata mzunguko wa kutosha na pale patakapokuwepe na mzunguko mzuri wa pesa basi haitakuwa shida kwa mtu kuchangia maendeleo mbali mbali katika mji wake.

Na pesa zinazotoka serikali zitumike kama zilivyokusudiwa, kusiwepo kulipa posho ziszizo na maana, ufasadi wa baada ya viongozi upigwe vita na nk. Watu sio wa Mtwara tu tukifanya haya natumaini taifa letu linapiga hatua mbele.


Ila hili jadweli lako halisomiki kabisa sijui unaweza kulirekebisha kidogo maana ni majanga..

Nimeambatanisha jedwali la makusanyo kwa mujibu wa report za TRA:-www.tra.go.tz-RegionMillion TShsMillion TShsMillion TShsMillion TShsRankingDirect TaxIndirect TaxCustoms and ExciseTotalIlala56,801.932,545.3-89,347.21Kinondoni32,858.716,414.7-49,273.41Temeke12,987.010,677.7-23,664.61Arusha15,101.310,111.99,383.134,596.32Coast1,478.9562.491.12,132.5Dodoma3,787.61,385.817.55,190.8Iringa3,471.41,941.920.55,433.9Kagera967.11,082.91,938.73,988.7Kigoma694.5342.1786.51,823.1Kilimanjaro6,834.22,947.311,389.321,170.83Lindi284.2154.522.9461.5Mara1,264.0914.413,882.216,060.74Mbeya2,605.42,241.07,446.312,292.8Morogoro5,359.62,427.270.27,857.0Mtwara7,608.56,838.5270.414,717.47Mwanza8,905.03,889.94,577.317,372.25Ruvuma667.1469.832.71,169.6Shinyanga1,355.01,068.837.82,461.6Singida331.0269.151.3651.4Tabora1,087.4896.215.11,998.7Tanga2,849.72,231.89,755.714,837.36Rukwa748.1235.497.61,081.2Manyara686.2263.6-949.9.

Cc; Barubaru

mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmm
 
Mkandara,
Pengine wewe na Zitto wote mnahitaji elimu kidogo juu ya tofauti iliyopo baina ya Tax revenues & Gross Domestic Product (GDP). Kutojadili dhana hizi kwa kuzitofautisha ni kupotosha ukweli uliopo na pia kuchanganya wananchi. Hicho ndicho Zitto anajadili zaidi – anaipa GDP umuhimu kuliko Tax Revenues. Tuangalie dhana hizi japo kwa ufupi, moja baada ya nyingine.
Tuangalie dhana ya Tax Revenues" – hii maana yake ni individual income taxes, business income taxes and other taxes ambazo serikali hukusanya kupitia both direct and indirect channels. Kwahiyo Kodi zote zinazokusanywa na serikali kutoka kwa wamachinga wanaoendesha biashara zao, mapato kutoka kwenye kodi za mazao, kodi ya ongezeko la thamani (VAT), iwe ni kwa kununua vocha/airtime ya mtandao wa simu, mkate, maji ya uhai, mafuta ya taa, kibiriti, sabuni, zote hizi kwa ujumla wake ni tax revenues za serikali. Nadhani hadi hapa unaona jinsi gani katika mazingira ya nchi kama Tanzania, ‘tax revenues' zinagusa maisha ya wananchi walio wengi, moja kwa moja kuliko GDP. Tutaona kwa undani juu ya ukweli huu hapo chini.

Tukija kwenye dhana ya pili - pato la taifa (GDP), maana yake ni – total value (market value) of goods and services produced in a national economy. Uzalishaji katika kila sekta, kila mkoa unachukuliwa, aggregated na kupata ‘a national figure'. Kwa mfano tukichukulia Kanda ya Ziwa Victoria na Kanda ya Kaskazini, maana yake, tunachukua jumla ya uzalishaji uliofanyika katika sekta mbali mbali za uchumi husika i.e. sekta ya madini, viwanda, huduma za kibenki, huduma za mawasilano, kilimo, ufugaji, uvuvi n.k.

Swali linalofuata ni je, kati ya wananchi wa kanda ya Ziwa na kanda ya Kaskazini, ni wepi ambao wanashiriki zaidi katika uzalishaji (GDP) (in value added terms)? Ukweli ni kwamba, kwa sababu zilizo wazi, wananchi wa Kaskazini wapo more involved (in value added terms) katika GDP kuliko Kanda ya Ziwa. Tofauti na Kanda ya Ziwa, kwa Kanda ya Kazkazini, biashara kubwa kubwa, uwekezaji mkubwa, kwa kiasi kikubwa sana upo mikononi mwa wakazi wa Kanda hiyo, pengine kuliko kanda nyingine zote nchini Tanzania. Kwa upande wa kanda ya Ziwa, ni wananchi wachache sana ambao wanaomiliki njia kuu za uzalishaji/uchumi kwani njia kuu za uchumi Katika Kanda hii zimeshikiliwa zaidi na wageni (hasa wawekezaji kutoka nje), kwa mfano, madini, uvuvi, madini, n.k.

Hadi hapa nadhani tunaweza kuona kwamba (in real terms), mchango wa wananchi wa Kanda ya Kaskazini kwenye GDP ya taifa ni mkubwa kuliko wa Kanda ya Kaskazini. Kumbuka - hapa tunatofautisha baina ya ‘mchango wa Kanda' na ‘mchango wa wananchi wa Kanda' husika i.e real contribution. Zitto anafumbia macho real contribution ya wananchi, badala yake anajadili mchango wa geographic and physical features (kanda) bila ya kujali nani anamiliki njia kuu za uzalishaji au anashiriki ni real terms katika uzalishaji, na anaishia kulaumu kanda zenye mchango mkubwa wa "watu" katika pato la taifa kwamba ndio sababu ya umaskini wa kanda zilizojaliwa rasilimali lakini watu wake hawapo productive. Note, kuna tofauti baina ya being active and being productive.

Kama tupo pamoja hadi hapa, basi tutakubaliana kwamba pamoja na ukweli kwamba kanda ya ziwa victoria ina rasilimali nyingi kuliko kanda ya Kaskazini, haina maana kwamba wananchi wa kanda ya ziwa (majority) wana mchango mkubwa wa nguvu kazi (kwa maana ya utilization of such resources) in the process of kuchangia GDP. Their value remains more nominal than real. Hii ni tofauti na wananchi wa kanda ya Kaskazini. Kwa maana nyingine rahisi, wasukuma wamejaliwa rasilimali nyingi sana, mkoa wao unachangia sana pato la taifa, lakini tofauti na wasukuma, wachaga wapo more involved katika kuchangia katika pato la taifa kwa sababu ambazo tumejadili hapo juu.

Kwa maana hiyo, njia sahihi ya kuangalia mchango wa kanda moja dhidi ya nyingine, ni kwa kuangalia zaidi ‘Tax Revenues collected' (kwani hii inahuisha wananchi walio wengi),na sio mchango wao kwa pato la taifa. Utilization of natural resources ipo chini ya watu wachache kama tulivyojadili. Kwa kumalizia, tuangalie sana mchango wa kanda ya ziwa na kanda ya kaskazini katika makusanyo ya Kodi. I extracted sehemu ndogo tu ambayo bado inatupa picha kamili.


[TABLE="width: 570"]
[TR]
[TD="colspan: 5"]Direct Tax (Regional wise) - Domestic Revenue Department for 2012/2013[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TAX ITEM[/TD]
[TD="colspan: 4"] 1st Quarter 2012/13 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] July [/TD]
[TD] August [/TD]
[TD] September [/TD]
[TD] Total [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MJKNIA[/TD]
[TD] 4,439.4[/TD]
[TD] 4,951.6[/TD]
[TD] 3,842.0[/TD]
[TD] 13,233.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Arusha
[/TD]
[TD] 4,147.7
[/TD]
[TD] 3,195.3
[/TD]
[TD] 3,371.5
[/TD]
[TD] 10,714.5 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Coast[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] 69.9[/TD]
[TD] 74.1[/TD]
[TD] 144.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Dodoma[/TD]
[TD] 0.0[/TD]
[TD] 0.3[/TD]
[TD] 1.1[/TD]
[TD] 1.5[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Iringa[/TD]
[TD] 7.4[/TD]
[TD] 28.8[/TD]
[TD] 13.9[/TD]
[TD] 50.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kagera[/TD]
[TD] 885.6[/TD]
[TD] 1,143.1[/TD]
[TD] 1,343.8[/TD]
[TD] 3,372.4[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kigoma[/TD]
[TD] 36.9[/TD]
[TD] 243.3[/TD]
[TD] 178.0[/TD]
[TD] 458.2[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilimanjaro
[/TD]
[TD] 3,564.7
[/TD]
[TD] 3,765.7
[/TD]
[TD] 2,666.5
[/TD]
[TD] 9,996.8 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Lindi[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] 2.2[/TD]
[TD] 5.7[/TD]
[TD] 7.9[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mara[/TD]
[TD] 4,146.7[/TD]
[TD] 4,703.0[/TD]
[TD] 4,603.2[/TD]
[TD] 13,453.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mbeya[/TD]
[TD] 1,482.4[/TD]
[TD] 1,084.4[/TD]
[TD] 1,067.1[/TD]
[TD] 3,633.9[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Morogoro[/TD]
[TD] 1.7[/TD]
[TD] 15.8[/TD]
[TD] 20.4[/TD]
[TD] 38.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mtwara[/TD]
[TD] 5.1[/TD]
[TD] 245.1[/TD]
[TD] 126.6[/TD]
[TD] 376.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mwanza
[/TD]
[TD] 1,031.3
[/TD]
[TD] 910.1
[/TD]
[TD] 1,243.3
[/TD]
[TD] 3,184.7 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ruvuma[/TD]
[TD] 19.4[/TD]
[TD] 34.9[/TD]
[TD] 31.4[/TD]
[TD] 85.7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Shinyanga
[/TD]
[TD] 4.9
[/TD]
[TD] 14.1
[/TD]
[TD] 15.8
[/TD]
[TD] 34.8 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Singida[/TD]
[TD] 1.8[/TD]
[TD] 3.5[/TD]
[TD] 0.0[/TD]
[TD] 5.4[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tabora[/TD]
[TD] 4.4[/TD]
[TD] 2.6[/TD]
[TD] 0.1[/TD]
[TD] 7.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanga[/TD]
[TD] 883.5[/TD]
[TD] 3,197.6[/TD]
[TD] 4,517.9[/TD]
[TD] 8,599.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Rukwa[/TD]
[TD] 9.9[/TD]
[TD] 3.8[/TD]
[TD] 7.2[/TD]
[TD] 20.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Manyara[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] -[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TOTAL (GROSS)[/TD]
[TD] 20,672.9 [/TD]
[TD] 23,615.3 [/TD]
[TD] 23,129.6 [/TD]
[TD] 67,417.7
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]------[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 5"]Indirect Tax (Regional wise) - Domestic Revenue Department for 2012/2013[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TAX ITEM[/TD]
[TD="colspan: 4"] 1st Quarter 2012/13 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] July [/TD]
[TD] August [/TD]
[TD] September [/TD]
[TD] Total [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ilala[/TD]
[TD] 13,052.4[/TD]
[TD] 16,958.5[/TD]
[TD] 17,079.3[/TD]
[TD] 47,090.2[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kinondoni[/TD]
[TD] 5,205.8[/TD]
[TD] 8,330.5[/TD]
[TD] 8,810.6[/TD]
[TD] 22,346.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Temeke[/TD]
[TD] 432.9[/TD]
[TD] 3,213.8[/TD]
[TD] 3,636.2[/TD]
[TD] 7,282.9[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Arusha
[/TD]
[TD] 6,033.4
[/TD]
[TD] 5,208.5
[/TD]
[TD] 7,045.7
[/TD]
[TD] 18,287.6 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Coast[/TD]
[TD] 95.2[/TD]
[TD] 230.2[/TD]
[TD] 209.9[/TD]
[TD] 535.2[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Dodoma[/TD]
[TD] 199.7[/TD]
[TD] 558.3[/TD]
[TD] 352.3[/TD]
[TD] 1,110.2[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Iringa[/TD]
[TD] 415.5[/TD]
[TD] 766.6[/TD]
[TD] 506.0[/TD]
[TD] 1,688.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kagera[/TD]
[TD] 473.1[/TD]
[TD] 602.5[/TD]
[TD] 520.7[/TD]
[TD] 1,596.3[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kigoma[/TD]
[TD] 157.5[/TD]
[TD] 195.4[/TD]
[TD] 188.1[/TD]
[TD] 541.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilimanjaro
[/TD]
[TD] 1,060.9
[/TD]
[TD] 1,192.9
[/TD]
[TD] 1,298.7
[/TD]
[TD] 3,552.5 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Lindi[/TD]
[TD] 25.0[/TD]
[TD] 64.6[/TD]
[TD] 187.1[/TD]
[TD] 276.7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mara[/TD]
[TD] 388.4[/TD]
[TD] 447.3[/TD]
[TD] 324.0[/TD]
[TD] 1,159.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mbeya[/TD]
[TD] 739.1[/TD]
[TD] 930.4[/TD]
[TD] 870.1[/TD]
[TD] 2,539.7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Morogoro[/TD]
[TD] 720.8[/TD]
[TD] 767.0[/TD]
[TD] 847.0[/TD]
[TD] 2,334.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mtwara[/TD]
[TD] 53.8[/TD]
[TD] 1,535.7[/TD]
[TD] 271.8[/TD]
[TD] 1,861.3[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mwanza
[/TD]
[TD] 1,231.5
[/TD]
[TD] 1,542.3
[/TD]
[TD] 1,831.3
[/TD]
[TD] 4,605.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ruvuma[/TD]
[TD] 165.3[/TD]
[TD] 212.8[/TD]
[TD] 210.9[/TD]
[TD] 588.9[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Shinyanga
[/TD]
[TD] 531.3
[/TD]
[TD] 374.7
[/TD]
[TD] 264.4
[/TD]
[TD] 1,170.5 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Singida[/TD]
[TD] 103.5[/TD]
[TD] 108.2[/TD]
[TD] 138.2[/TD]
[TD] 349.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tabora[/TD]
[TD] 342.4[/TD]
[TD] 377.0[/TD]
[TD] 338.3[/TD]
[TD] 1,057.7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanga[/TD]
[TD] 149.4[/TD]
[TD] 1,025.3[/TD]
[TD] 919.1[/TD]
[TD] 2,093.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Rukwa[/TD]
[TD] 93.1[/TD]
[TD] 122.4[/TD]
[TD] 122.9[/TD]
[TD] 338.4[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Manyara[/TD]
[TD] 37.7[/TD]
[TD] 259.5[/TD]
[TD] 236.8[/TD]
[TD] 534.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TOTAL (GROSS)[/TD]
[TD] 31,707.6 [/TD]
[TD] 45,024.4 [/TD]
[TD] 46,209.5 [/TD]
[TD] 122,941.5 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]----------[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 5"]Customs and Excise (Regional wise) - Department for 2012/2013[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TAX ITEM[/TD]
[TD="colspan: 4"] 1st Quarter 2012/13 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] July [/TD]
[TD] August [/TD]
[TD] September [/TD]
[TD] Total [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]D'Salaam SC[/TD]
[TD] 206,972.3[/TD]
[TD] 233,347.1[/TD]
[TD] 209,441.3[/TD]
[TD] 649,760.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MJKNIA[/TD]
[TD] 4,439.4[/TD]
[TD] 4,951.6[/TD]
[TD] 3,842.0[/TD]
[TD] 13,233.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Arusha
[/TD]
[TD] 4,147.7
[/TD]
[TD] 3,195.3
[/TD]
[TD] 3,371.5
[/TD]
[TD] 10,714.5 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Coast[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] 69.9[/TD]
[TD] 74.1[/TD]
[TD] 144.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Dodoma[/TD]
[TD] 0.0[/TD]
[TD] 0.3[/TD]
[TD] 1.1[/TD]
[TD] 1.5[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Iringa[/TD]
[TD] 7.4[/TD]
[TD] 28.8[/TD]
[TD] 13.9[/TD]
[TD] 50.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kagera[/TD]
[TD] 885.6[/TD]
[TD] 1,143.1[/TD]
[TD] 1,343.8[/TD]
[TD] 3,372.4[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kigoma[/TD]
[TD] 36.9[/TD]
[TD] 243.3[/TD]
[TD] 178.0[/TD]
[TD] 458.2[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilimanjaro
[/TD]
[TD] 3,564.7
[/TD]
[TD] 3,765.7
[/TD]
[TD] 2,666.5
[/TD]
[TD] 9,996.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Lindi[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] 2.2[/TD]
[TD] 5.7[/TD]
[TD] 7.9[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mara[/TD]
[TD] 4,146.7[/TD]
[TD] 4,703.0[/TD]
[TD] 4,603.2[/TD]
[TD] 13,453.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mbeya[/TD]
[TD] 1,482.4[/TD]
[TD] 1,084.4[/TD]
[TD] 1,067.1[/TD]
[TD] 3,633.9[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Morogoro[/TD]
[TD] 1.7[/TD]
[TD] 15.8[/TD]
[TD] 20.4[/TD]
[TD] 38.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mtwara[/TD]
[TD] 5.1[/TD]
[TD] 245.1[/TD]
[TD] 126.6[/TD]
[TD] 376.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mwanza
[/TD]
[TD] 1,031.3
[/TD]
[TD] 910.1
[/TD]
[TD] 1,243.3
[/TD]
[TD] 3,184.7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ruvuma[/TD]
[TD] 19.4[/TD]
[TD] 34.9[/TD]
[TD] 31.4[/TD]
[TD] 85.7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Shinyanga
[/TD]
[TD] 4.9
[/TD]
[TD] 14.1
[/TD]
[TD] 15.8
[/TD]
[TD] 34.8 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Singida[/TD]
[TD] 1.8[/TD]
[TD] 3.5[/TD]
[TD] 0.0[/TD]
[TD] 5.4[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tabora[/TD]
[TD] 4.4[/TD]
[TD] 2.6[/TD]
[TD] 0.1[/TD]
[TD] 7.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanga[/TD]
[TD] 883.5[/TD]
[TD] 3,197.6[/TD]
[TD] 4,517.9[/TD]
[TD] 8,599.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Rukwa[/TD]
[TD] 9.9[/TD]
[TD] 3.8[/TD]
[TD] 7.2[/TD]
[TD] 20.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Manyara[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] -[/TD]
[TD] -[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TOTAL (GROSS)[/TD]
[TD] 227,645.2 [/TD]
[TD] 256,962.4 [/TD]
[TD] 232,570.9 [/TD]
[TD] 717,178.5 [/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Source: TRA
---------------

Mkandara
,

Ukiangalia sample tu hapo utagundua haya:

1. Kanda ya Kaskazini inachangia zaidi katika direct taxes kuliko kanda ya Ziwa.
2. Kanda ya Kaskazini inachangia zaidi katika indirect taxes kuliko kanda ya ziwa.
3. Kanda ya kaskazini inachangia zaidi katika customs and excise kuliko Kanda ya Ziwa.

Kigoma ndio insignificant kabisa.

Je wewe, Zitto na wenzenu wengine hamuoni kwamba mnapotosha ukweli wa mambo?
Je, hamuoni kwamba in actual sense, wananchi wa kaskazini ndio wananyonywa zaidi na wananchi wa victoria kwa sababu mgao ambao zitto anaujadili basically unatokana na mapato ya kodi? Au Zitto anadhania GDP ni kitu kinachokusanywa na kugawanywa kama njugu?

Zitto atadanganya wengine, na kuwaaminisha nyinyi kwa kila kitu kwa sababu tu ni Zitto kasema. Tupo wachache ambao hatudanganyiki.

Tatizo ndio liko hapo tu, Zitto kwako wewe ni mwongo uwe umemuelewa au uwe haujamuelewa

pengine ukimtafuta na kumuuliza ungemuelew zaidi

Kwa kifupi, kanda ya ziwa ina kipato kikubwa na inatakiwa ichangie kwa kiasi kikubwa kwenye pato la taifa mara mia nyingi zaidi ya Kilimanjaro, ...umesema kweye bandiko lako uchumi wa kanda ya ziwa unamilikiwa na wageni n tunajua control ya kuwakatamata hawa ni ndogo na CCM imekuwa ikiwachekea

kilimanjaro uchumi uko kwa wazawa ambao wanakamatika kutoa kodi

Kilio cha zitto ni kwa nn iwe hivi? kwa nn uchumi wa kanda ya ziwa uko chini mno ili hali walitakiwa kuwa juu zaidi ya kilimanjaro hata kimaendeleo? tatizo sio kilimanjaro wala eti kuwaonea wivu watu wa kilimanjaro,

swala ni kwa nn iwe hivyo? ACT itahakikisha mikoa ya kanda ya ziwa inafaidika na rasimili zake na kujimilikisha hizo rasilimali, vyote hivi viko dhahiri kwenye hotuba yake na sioni basis ya mibandiko mirefu kisa kumpinga zitto kwa kitu mbacho hakipo, yaani umecreate problem au ubishi, umejibishia na kujipa ushindi

Kingine mr. Mchambuzi I see potentials kwako za kuwa kiongozi na mwanasiasa mzuri, ebu go front amka sasa, siasa za vitabuni/mitandaoni hizi ni rahisi kumkosoa aliyeko field

huko jukwaani kuna kuzomewa, kutukanwa, kurushiwa chupa,kudhalilishwa n.k Zitto yuko huko kwenye hostile condition ambayo ni rahisi kumkosoa na kutopata picha halisi ya wakati na mahali husika

sema unagombea chama gani tukuunge mkono

In other words ninachosema hauwezi hata kidogo kushindana na mwanasiasa anayeshinda jukwaani kia siku na ku reach thousands of people huki ukiwa unabishana na waberoya tu humu na kumuita zitto...mwongo; If he is liar then kumpinga ni wewe kuwa front kama yeye , wewe unaweza ila sio Nguruvi, nguruvi asiende please!!
 
Mchambuzi.

Na hizi data hapa chini kuhusu mkoa wa Mtwara unakubaliana nazo.


"TRA Quaterly Revenue collection 2011_2011".-Mkoa wa Mtwara ni wa 7 katika kuchangia kwenye pato la taifa kwa kodi. Kwa lugha nyepesi ndio wanunuzi wakubwa wa mashangingi ya serikali, au ndiyo wachangiaji wakubwa wa mafuta ya Jet stream ahaa na posho za wabunge, looh na posho za vyama vya siasa.-Swali langu: Imekuwaje mbona hayo maendeleo waliyonyimwa tangu uhuru kwa kisingizio cha uchangiaji mdogo kwenye pato la taifa hayaletwi-hivi sasa tunapochangia kwa kiasi kikubwa au vigezo vimebadilika?Tafadhali naombeni mchango wenu na ushauri wenu kwa wana Mtwara.

Nimeambatanisha jedwali la makusanyo kwa mujibu wa report za TRA:-www.tra.go.tz-RegionMillion TShsMillion TShsMillion TShsMillion TShsRankingDirect TaxIndirect TaxCustoms and ExciseTotalIlala56,801.932,545.3-89,347.21Kinondoni32,858.716,414.7-49,273.41Temeke12,987.010,677.7-23,664.61Arusha15,101.310,111.99,383.134,596.32Coast1,478.9562.491.12,132.5Dodoma3,787.61,385.817.55,190.8Iringa3,471.41,941.920.55,433.9Kagera967.11,082.91,938.73,988.7Kigoma694.5342.1786.51,823.1Kilimanjaro6,834.22,947.311,389.321,170.83Lindi284.2154.522.9461.5Mara1,264.0914.413,882.216,060.74Mbeya2,605.42,241.07,446.312,292.8Morogoro5,359.62,427.270.27,857.0Mtwara7,608.56,838.5270.414,717.47Mwanza8,905.03,889.94,577.317,372.25Ruvuma667.1469.832.71,169.6Shinyanga1,355.01,068.837.82,461.6Singida331.0269.151.3651.4Tabora1,087.4896.215.11,998.7Tanga2,849.72,231.89,755.714,837.36Rukwa748.1235.497.61,081.2Manyara686.2263.6-949.9.

Cc; Barubaru
Mkuu hadi hapa nimekubaliana na kina Mchambuzi katika swala la Kilimanjaro na itanipa shaka juu ya sababu ya hoja ya Zitto juu ya matamko yake. Ila swala la Mtwara kusema kweli halihusiani na mchango zaidi ya mahala gani na kwamba hakuna mgao sawa - sidhani. Yawezekana pia mauzo ya gas yanafanyika Dar na collection ya TRA inaonekana Dar zaidi kwa sababu mashirika ya usambazaji gas nchini yapo Dar na ndio yenye kuchangia pato la Taifa.

Hivyo Mtwara ingeweza tu kufaidika na gas yake kama usambazaji ungeanzia hapo badala yake tumevuta bomba la gas na sijui kama inanunuliwa kabla haijatoka Mtwara ama inavutwa tu na mashirika yalokuwa na makao makuu dar ndiyo yenye kufaidika moja kwa moja. Hivyo tumekuwa na Barricks nyingine ndani ya nchi yaani wanachofaidi Mtwara ni ruzuku kama Mkoa wa Shinyanga ilihali kodi za Barricks hazikusanywi Shinyanga ila moja kwa moja TRA - Dar. Hivyo kuonyesha mchango mkubwa pasipo kutupa data za mgawanyo wanaopewa ni vigumu kusema ama kulalamika.

tatizo kubwa la nchi yetu ni mfumo mzima wa usimamizi wa shughuli za serikali, CCM imejenge miaya mingi sana ya serikali kuu na wizara zake kuibia wananchi. Hata zile shughuli ambazo zingesimamiwa tu na Halmashauri bado zipo mikononi mwa Mawaziri aidha ni kutokana na mfumo wa Kutoaminiana ama michongo kuwa usimamizi huu lazima ibakie huku kwetu tufaidike sisi maana hili Linchi hili hata wale wasomi wetu tunaotegemea tukiwaamini na kuwapa mwanya watakumaliza.

Hivyo usione Halamashauri zinataka mamlaka zaidi sii kwa kuijenga nchi isipokuwa nao wapewe miaya ya kuvuta zaidi. Uaminifu nchini umekuwa adimu na huwezi kumuamini mtu yeyyote kwamba kweli ana nia ya dhati na nchi yetu kuliko tumbo lake - Hakuna kitu hicho.....Ukianzisha biashara jua utaibiwa hivyo hata kama umenunua kitu kutoka China kwa Dollar 2 itakulazimu uuze bei juu mara 20 kwa sababu mara 10 zitaondoka kwa kuibiwa na wafanyakazi wako ama wateja kupitia mlango wa nyuma...

Inatisha na sidhani kama kweli unaweza pima Uchumi wa Tanzania kwa vigezo vya nje hata kidogo maana huku hakuna hofu ya kuibiwa na Mfanyakazi ni mara chache sana mfanyakazi kupiga pale anapopatia riziki yakehuwapiga wateja ama nje kuleta ndani wakijua hapo ndipo riziki zao hupatikana lakini Bongo mtu yuko radhi ufilisike lakini kavuta zake japo kesho hana kazi..
 
Tatizo ndio liko hapo tu, Zitto kwako wewe ni mwongo uwe umemuelewa au uwe haujamuelewa

pengine ukimtafuta na kumuuliza ungemuelew zaidi

Kwa kifupi, kanda ya ziwa ina kipato kikubwa na inatakiwa ichangie kwa kiasi kikubwa kwenye pato la taifa mara mia nyingi zaidi ya Kilimanjaro, ...umesema kweye bandiko lako uchumi wa kanda ya ziwa unamilikiwa na wageni n tunajua control ya kuwakatamata hawa ni ndogo na CCM imekuwa ikiwachekea

kilimanjaro uchumi uko kwa wazawa ambao wanakamatika kutoa kodi

Kilio cha zitto ni kwa nn iwe hivi? kwa nn uchumi wa kanda ya ziwa uko chini mno ili hali walitakiwa kuwa juu zaidi ya kilimanjaro hata kimaendeleo? tatizo sio kilimanjaro wala eti kuwaonea wivu watu wa kilimanjaro,

swala ni kwa nn iwe hivyo? ACT itahakikisha mikoa ya kanda ya ziwa inafaidika na rasimili zake na kujimilikisha hizo rasilimali, vyote hivi viko dhahiri kwenye hotuba yake na sioni basis ya mibandiko mirefu kisa kumpinga zitto kwa kitu mbacho hakipo, yaani umecreate problem au ubishi, umejibishia na kujipa ushindi

Kingine mr. Mchambuzi I see potentials kwako za kuwa kiongozi na mwanasiasa mzuri, ebu go front amka sasa, siasa za vitabuni/mitandaoni hizi ni rahisi kumkosoa aliyeko field

huko jukwaani kuna kuzomewa, kutukanwa, kurushiwa chupa,kudhalilishwa n.k Zitto yuko huko kwenye hostile condition ambayo ni rahisi kumkosoa na kutopata picha halisi ya wakati na mahali husika

sema unagombea chama gani tukuunge mkono

In other words ninachosema hauwezi hata kidogo kushindana na mwanasiasa anayeshinda jukwaani kia siku na ku reach thousands of people huki ukiwa unabishana na waberoya tu humu na kumuita zitto...mwongo; If he is liar then kumpinga ni wewe kuwa front kama yeye , wewe unaweza ila sio Nguruvi, nguruvi asiende please!!
Duh Mkuu hapa kusema kweli kauli ya Zitto haikuwa na maana hii kabisa na hata mimi nilimwelewa tofauti kaama alivyoelezea Mchambuzi hasa pale alipotaja takwimu za mchango wa mkoa wa Kilimanjaro vs Shinyanga.

Ukweli ni kwamba Zitto hawezi kubadilisha kitu pale Shinyanga ikiwa miradi hii Mkapa kaweka saini ya kudumu hadi mwisho wa uchimbaji yaani Barricks ndio wenye mamlaka yote ya kuuza au kufukia. Hivyo anachoweza kufanya ni Kutaifisha pekee ambalo ni kinyume cha mikataba yetu na unawajua wazungu tutamalizwa kiuchumi. Kifupi miradi yote ya Kanda ya ziwa kinachoweza kubadilishwa ni kuhakikisha kodi zinalipwa jambo ambalo Zitto kama mbunge angeliweza kulimaliza Bungeni sio kwa wananchi na asingetumia vigezo vya Mchango vs Mgawanyo hata kidogo..
 
Back
Top Bottom