JingalaFalsafa,
Katika mtazamo wangu mimi hakuna mtu asiyemtegemea mwenzake hata huyo mkulima Muhogo anakutegemea wewe kama mteja wa mhogo wake na ndi sababu tangulizi ya maamuzi yake kulima Mhogo, in fact hakutegemei wewe kumsaidia kuung'oa isipokuwa utegemezi wake kwako ni uzito wakazi yenyewe kwa thamanisho utakao upa mhogo wake. Kama isingekuwepo wewe mlaji basi asingelima ule mhogo ulomsinda kuung'oa.. Lengo kuu ni kutoshelez amahitaji ya jamii husika(demand). Hivyo mkulima wa mhogo ni tegemezi la wewe sio kumsaidia maana hakuna msaada wa bure bali mhogo wake upate kufika sokoni.. Ebu nakuomba fikiria mfano huu huu na Barricks.. Wao wamekuja tusaidia kuchimba mhogo wetu (dhahabu) halafu mhogo huo unakuwa wao au kulingana n na Ubeberu.. sana sana watatupa asilimia 49 nkwa sababu tu wametusadia kuung'oa na kuupeleka sokoni wakati wahitaji ni wao sio sisi. Je unatak kunambia Barricks wana kila haki ya kumiliki Mhogo wetu kwa sababu tu wametusaidia kuung'oa?..
Swala kubwa la kiuchumi ni malipo bora kwa msaada wako. utapimwa kulingana na thamani ya kazi, mali na juhudi ulloiweka ili ikuwezeshe nawe ukue kimaisha na sii kukutajirisha. Hivyo gharama zangu zote zinathamini msaada wako kwa kuelewa soko litaweza vipi kununua mhogo wangu na pengine hata wewe kunuua mhogo wangu ili ukailishe familia yako..Maana maisha riziki yako saa itatokana na huo mhogo wangu..
Dhana yangu kubwa ktk Ubepari ni kwamba maendeleo yoyote hutokana na ubunifu ktk kukidhi mahitaji. Ubunifu ambao unatazama mahitaji ya watu ktk mazingira na nyakati hivyo thamani ya ubunifu huo hauwezi kutajirisha isipokuwa kwa thamanisho la wanunuzi walokubali sio tu kununua bali wenye uwezo pia wa kununua mali hizo ili kukidhi mahitaji yao..Ni mzunguko usiokwisha lakini lazima uanzie mahala..
Sasa sema tunapopishana wengi ni ktk kutambua MAHITAJI na MATAMANIO. Dunia ya leo ktk Ubepari matamanio yamechukua nafasi kubwa sana kuwa ndio maendeleo lakini infact tunaweza kuishi pasipo matamanio hayo..Na matajiri wakubwa duniani wametokana na matamanio yetu badala ya mahitaji yetu. Leo hii shule zetu zinafundisha lugha ya kiingereza na kuthaminiwa kuliko elimu dunia yenyewe pamoja na kwamba Ujinga ndio adui yetu.
Matamanio ndio yametufanya tununue suti na saa za Gucci badala ya kutazama mahitaji ya nguo kujisetiri. Na ukitazama kwa makini dunia hii ya leo MATAJIRI wote wale asilimia moja wanaserve MATAMANIO na sii mahitaji yetu..Wale wanao serve mahitaji yetu ndio wanaitwa Middleclass wafanya biashara wadogo wadogo. Hivyo kimsingi tunaposema tuzalishe Middle class ina maana zaidi tuyachukue mahitaji yetu mbele ya Matamanio.
Hata ukitazama maradhi yaliyopo na yanayoongoza kuua yametokana na matamanio zaidi.. HIV, cancer
na maradhi mengi yametokana na matamanio zaidi ya ukiangalia malaria, Ukoma na Ndui halafu maajabu tumeacha kabisa ku deal na magonjwa yetu ya asili sasa hivi tunatibiwa ktk magonjwa ya matamanio zaidi na kwa gharama kubwa..Vita yetu sasa sio maradhi tu bali imejengeka hata ktk kupambana na Matamanio, na vita hii sidhani kama tutaishinda.
Mkuu wangu sisi wahitaji ndio tunamjenga tajiri, sisi ndio tunathaminisha rasilimali, juhudi na nguvukazi zote, sisi ndio tunathamisha hadi vito, madini na maliasili zote kwa matamanio yetu. Kifupi MHITAJI ndiye anayetengeza soko, anayewapa utajiri wenye ubunifu hata ktk maswala ambayo sii muhimu ktk maisha ya mwanadamu hivyo sisi wahitaji ndio huweka thamani ya mali, nguvukazi na wala sii tajiri ambaye kabla hajawekeza hututazama sisi akafanya business study ya btamaa zetu na tunahitaji nini kukidhi hizo tamaa kisha kupima uwezo wetu.
Si Ubepari ulomfanya China kutengeneza vitu cheap na vingine fake ila kunatokana na mahitaji yetu wenyewe. Demand, supply na Price vinaambata siku zote na hupevuka tu kuwa utajiri pale wahitaji wanapoweza kununua. Na maadam Riziki ya MTU ni MAHITAJI yake na hayapati ufumbuzi sehemu nyingine isipokuwa kwa binadamu mwenzake. Pengine swala kubwa la kuelewa kwa nini tunasoma ELIMU dunia ni kutuwezesha sisi kuwa wabunifu, kuwa na uwezo wa kufikiria jinsi ya kukidhi mahitaji yetu na sio kuwa msaada tutani (kuajiriwa) kumwezesha tajiri afanikiwe. Kama utatazama lengo la ajira ni kumwezesha mwenye mali kutajirika badala ya kuzalisha ili kukidhi mahitaji basi Ubinafsi utaanza na wewe maana unafikiria kumsaidia mtu ili nawe ufaidike kwanza badala ya kumsaidia mtu ili aweze kukidhi mahitaji ya jamii.
Hao wahindi 10 walioinuka ni wahindi walokwenda nchi za Marekani, Uingereza au Ujerumani na wakaungana kujenga nguvu ya kutoana. Leo hii wao wameshika chumi za nchi hizo paispo kumtumia mtu mweusi. Sisi wenyewe ndio hatua ushirika, hakuna mji wala nchi hata moja duniani utawakuta weusi wakishirikiana kubuni biashara au kuijenga jamii yao isipokuwa kila mmoja wao anafikiria UTUMWA ndio nafasi poekee aliowekewa hapa duniani. NI fikra na mawazo ya mtu mweusi ndiyo yanamweka ktk nafasi hiyo.. Akisema NO! basi sidhani kama kuna mtu anayemuweza mtu mweusi na wanajua wote..
Katika mtazamo wangu mimi hakuna mtu asiyemtegemea mwenzake hata huyo mkulima Muhogo anakutegemea wewe kama mteja wa mhogo wake na ndi sababu tangulizi ya maamuzi yake kulima Mhogo, in fact hakutegemei wewe kumsaidia kuung'oa isipokuwa utegemezi wake kwako ni uzito wakazi yenyewe kwa thamanisho utakao upa mhogo wake. Kama isingekuwepo wewe mlaji basi asingelima ule mhogo ulomsinda kuung'oa.. Lengo kuu ni kutoshelez amahitaji ya jamii husika(demand). Hivyo mkulima wa mhogo ni tegemezi la wewe sio kumsaidia maana hakuna msaada wa bure bali mhogo wake upate kufika sokoni.. Ebu nakuomba fikiria mfano huu huu na Barricks.. Wao wamekuja tusaidia kuchimba mhogo wetu (dhahabu) halafu mhogo huo unakuwa wao au kulingana n na Ubeberu.. sana sana watatupa asilimia 49 nkwa sababu tu wametusadia kuung'oa na kuupeleka sokoni wakati wahitaji ni wao sio sisi. Je unatak kunambia Barricks wana kila haki ya kumiliki Mhogo wetu kwa sababu tu wametusaidia kuung'oa?..
Swala kubwa la kiuchumi ni malipo bora kwa msaada wako. utapimwa kulingana na thamani ya kazi, mali na juhudi ulloiweka ili ikuwezeshe nawe ukue kimaisha na sii kukutajirisha. Hivyo gharama zangu zote zinathamini msaada wako kwa kuelewa soko litaweza vipi kununua mhogo wangu na pengine hata wewe kunuua mhogo wangu ili ukailishe familia yako..Maana maisha riziki yako saa itatokana na huo mhogo wangu..
Dhana yangu kubwa ktk Ubepari ni kwamba maendeleo yoyote hutokana na ubunifu ktk kukidhi mahitaji. Ubunifu ambao unatazama mahitaji ya watu ktk mazingira na nyakati hivyo thamani ya ubunifu huo hauwezi kutajirisha isipokuwa kwa thamanisho la wanunuzi walokubali sio tu kununua bali wenye uwezo pia wa kununua mali hizo ili kukidhi mahitaji yao..Ni mzunguko usiokwisha lakini lazima uanzie mahala..
Sasa sema tunapopishana wengi ni ktk kutambua MAHITAJI na MATAMANIO. Dunia ya leo ktk Ubepari matamanio yamechukua nafasi kubwa sana kuwa ndio maendeleo lakini infact tunaweza kuishi pasipo matamanio hayo..Na matajiri wakubwa duniani wametokana na matamanio yetu badala ya mahitaji yetu. Leo hii shule zetu zinafundisha lugha ya kiingereza na kuthaminiwa kuliko elimu dunia yenyewe pamoja na kwamba Ujinga ndio adui yetu.
Matamanio ndio yametufanya tununue suti na saa za Gucci badala ya kutazama mahitaji ya nguo kujisetiri. Na ukitazama kwa makini dunia hii ya leo MATAJIRI wote wale asilimia moja wanaserve MATAMANIO na sii mahitaji yetu..Wale wanao serve mahitaji yetu ndio wanaitwa Middleclass wafanya biashara wadogo wadogo. Hivyo kimsingi tunaposema tuzalishe Middle class ina maana zaidi tuyachukue mahitaji yetu mbele ya Matamanio.
Hata ukitazama maradhi yaliyopo na yanayoongoza kuua yametokana na matamanio zaidi.. HIV, cancer
na maradhi mengi yametokana na matamanio zaidi ya ukiangalia malaria, Ukoma na Ndui halafu maajabu tumeacha kabisa ku deal na magonjwa yetu ya asili sasa hivi tunatibiwa ktk magonjwa ya matamanio zaidi na kwa gharama kubwa..Vita yetu sasa sio maradhi tu bali imejengeka hata ktk kupambana na Matamanio, na vita hii sidhani kama tutaishinda.
Mkuu wangu sisi wahitaji ndio tunamjenga tajiri, sisi ndio tunathaminisha rasilimali, juhudi na nguvukazi zote, sisi ndio tunathamisha hadi vito, madini na maliasili zote kwa matamanio yetu. Kifupi MHITAJI ndiye anayetengeza soko, anayewapa utajiri wenye ubunifu hata ktk maswala ambayo sii muhimu ktk maisha ya mwanadamu hivyo sisi wahitaji ndio huweka thamani ya mali, nguvukazi na wala sii tajiri ambaye kabla hajawekeza hututazama sisi akafanya business study ya btamaa zetu na tunahitaji nini kukidhi hizo tamaa kisha kupima uwezo wetu.
Si Ubepari ulomfanya China kutengeneza vitu cheap na vingine fake ila kunatokana na mahitaji yetu wenyewe. Demand, supply na Price vinaambata siku zote na hupevuka tu kuwa utajiri pale wahitaji wanapoweza kununua. Na maadam Riziki ya MTU ni MAHITAJI yake na hayapati ufumbuzi sehemu nyingine isipokuwa kwa binadamu mwenzake. Pengine swala kubwa la kuelewa kwa nini tunasoma ELIMU dunia ni kutuwezesha sisi kuwa wabunifu, kuwa na uwezo wa kufikiria jinsi ya kukidhi mahitaji yetu na sio kuwa msaada tutani (kuajiriwa) kumwezesha tajiri afanikiwe. Kama utatazama lengo la ajira ni kumwezesha mwenye mali kutajirika badala ya kuzalisha ili kukidhi mahitaji basi Ubinafsi utaanza na wewe maana unafikiria kumsaidia mtu ili nawe ufaidike kwanza badala ya kumsaidia mtu ili aweze kukidhi mahitaji ya jamii.
Hao wahindi 10 walioinuka ni wahindi walokwenda nchi za Marekani, Uingereza au Ujerumani na wakaungana kujenga nguvu ya kutoana. Leo hii wao wameshika chumi za nchi hizo paispo kumtumia mtu mweusi. Sisi wenyewe ndio hatua ushirika, hakuna mji wala nchi hata moja duniani utawakuta weusi wakishirikiana kubuni biashara au kuijenga jamii yao isipokuwa kila mmoja wao anafikiria UTUMWA ndio nafasi poekee aliowekewa hapa duniani. NI fikra na mawazo ya mtu mweusi ndiyo yanamweka ktk nafasi hiyo.. Akisema NO! basi sidhani kama kuna mtu anayemuweza mtu mweusi na wanajua wote..
Last edited by a moderator: