Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
- Thread starter
- #21
BAADA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
CCM INA KAZI KUBWA YA KUJITATHMINI
WAPINZANI WANA KAZI KUBWA YA KUTAHMINI
Matokeo yamwisho ya chaguzi za serikali za mitaa yamepatikana
CCMimeshinda katika asilimia 77kwa wastani katika kila eneo la mtaa na vijiji.
Hilo nipunguzo kubwa sana ikitiliwa maanani nguvu kubwa iliyotumika kuhujumu uchaguzi
Kwanza,mapingamizi yaliyowekwa na CCM ni mengi, huenda yangebadili sura iliyopo
Pili, kama kawaida CCM ilipata msaada wa serikali na vyombo vyake
Tatu, ni anguko la takribani asilimia Zaidi ya 10 kutoka uchaguzi uliopita
Nne, uborawa matokeo kwa CCM, ngome zimevunjwa mikoa iliyokuwa na ‘taboo'' auloyal kwa CCM imeanguka
Tumeeleza sababu kubwa zinazoweza kuchangia
Moja,wananchi kuchoshwa na kashfa zinazoiandama serikali ya CCM
Pili, hasira za wananchi kutokana na kudharauliwa maoni yao katika katiba
Tatu, ubabewa CCM wa kutumia wingi katika kuburuza taifa
Haionekani kama CCM wataweza kujitahmini
Tumeeleza kunyosheana vidole kulikoanza na makundi yenye masilahi taofauti
Tathmini yaCCM inaweza kufanyika kama kiini macho.
Uhalisia ni kuwa CCM wana wakati mgumusana kwa kuzingatia makundi tuliyoeleza mabandiko yaliyopita
Ingawa kunashamra shamra za CCM kuhusu ushindi, ukweli ni kuwa ndani ya mioyo yao kunadukuduku kubwa.
CCM wanatambua namba za ushindi ni mbaya kwa siku zausoni. Ni kama vile wamefungua mlango maji yaingie
Haitaonekana haraka haraka, ni katika kipindi cha mwezi au miwili, mtafaruku utajitokeza.
Hilo ni suala la muda, nani mafunge pake kengele.
Mtifuano huo utazaa mtatizona ufa mkubwa. CCM haitakuwa na nafasi ya kujitathmini kiuhalisia
WAPINZANI
Kazi kubwawaliyo nayo si kujivunia hatua waliyofikia.
Wapinzania wana wajibu na kaziya kutathmini matokeo.
Yatakuwa ni makosa makubwa kama wapinzani wataendelea mbele bila kujua nini kimetokea.
Hapoku takuwa na masuala kadhaa
Kwanza,lazima wajiulize, je ni hasira za wananchi au ni mapenzi ya mabadiliko?
Pili, nin imwamko wa wananchi. Je, ni kutambua haki zao au ni kukabiliana na udhalimu?
Tatu,kwanini wananchi wameamua kulinda kura zao. Je, ni kukataa rushwa au nikupungua kwa watoa rushwa
Nne, ninikinawasukuma wananchi kubadilika? Kashfa, kutosikilizwa au ubabe wa ccm
Tano, Je,muungano wao(UKAWA) umeleta matumaini mapya au ni bahati nzuri tu imejitokeza?
Sita, kwenda mbele, je nini kinawakera wananchi Zaidi, nini vipau mbele vyao.
Bila kutathhmini hayo, wapinzani wanaweza jikuta wakifurahia jambo wasilojualinatokana na nini.
Hilo linaweza kuwa mwiba na kilio siku za mbeleni.
Tusemezane
CCM INA KAZI KUBWA YA KUJITATHMINI
WAPINZANI WANA KAZI KUBWA YA KUTAHMINI
Matokeo yamwisho ya chaguzi za serikali za mitaa yamepatikana
CCMimeshinda katika asilimia 77kwa wastani katika kila eneo la mtaa na vijiji.
Hilo nipunguzo kubwa sana ikitiliwa maanani nguvu kubwa iliyotumika kuhujumu uchaguzi
Kwanza,mapingamizi yaliyowekwa na CCM ni mengi, huenda yangebadili sura iliyopo
Pili, kama kawaida CCM ilipata msaada wa serikali na vyombo vyake
Tatu, ni anguko la takribani asilimia Zaidi ya 10 kutoka uchaguzi uliopita
Nne, uborawa matokeo kwa CCM, ngome zimevunjwa mikoa iliyokuwa na ‘taboo'' auloyal kwa CCM imeanguka
Tumeeleza sababu kubwa zinazoweza kuchangia
Moja,wananchi kuchoshwa na kashfa zinazoiandama serikali ya CCM
Pili, hasira za wananchi kutokana na kudharauliwa maoni yao katika katiba
Tatu, ubabewa CCM wa kutumia wingi katika kuburuza taifa
Haionekani kama CCM wataweza kujitahmini
Tumeeleza kunyosheana vidole kulikoanza na makundi yenye masilahi taofauti
Tathmini yaCCM inaweza kufanyika kama kiini macho.
Uhalisia ni kuwa CCM wana wakati mgumusana kwa kuzingatia makundi tuliyoeleza mabandiko yaliyopita
Ingawa kunashamra shamra za CCM kuhusu ushindi, ukweli ni kuwa ndani ya mioyo yao kunadukuduku kubwa.
CCM wanatambua namba za ushindi ni mbaya kwa siku zausoni. Ni kama vile wamefungua mlango maji yaingie
Haitaonekana haraka haraka, ni katika kipindi cha mwezi au miwili, mtafaruku utajitokeza.
Hilo ni suala la muda, nani mafunge pake kengele.
Mtifuano huo utazaa mtatizona ufa mkubwa. CCM haitakuwa na nafasi ya kujitathmini kiuhalisia
WAPINZANI
Kazi kubwawaliyo nayo si kujivunia hatua waliyofikia.
Wapinzania wana wajibu na kaziya kutathmini matokeo.
Yatakuwa ni makosa makubwa kama wapinzani wataendelea mbele bila kujua nini kimetokea.
Hapoku takuwa na masuala kadhaa
Kwanza,lazima wajiulize, je ni hasira za wananchi au ni mapenzi ya mabadiliko?
Pili, nin imwamko wa wananchi. Je, ni kutambua haki zao au ni kukabiliana na udhalimu?
Tatu,kwanini wananchi wameamua kulinda kura zao. Je, ni kukataa rushwa au nikupungua kwa watoa rushwa
Nne, ninikinawasukuma wananchi kubadilika? Kashfa, kutosikilizwa au ubabe wa ccm
Tano, Je,muungano wao(UKAWA) umeleta matumaini mapya au ni bahati nzuri tu imejitokeza?
Sita, kwenda mbele, je nini kinawakera wananchi Zaidi, nini vipau mbele vyao.
Bila kutathhmini hayo, wapinzani wanaweza jikuta wakifurahia jambo wasilojualinatokana na nini.
Hilo linaweza kuwa mwiba na kilio siku za mbeleni.
Tusemezane