Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
- Thread starter
- #21
KWANINI SERIKALI IMEKOSA ''FURSA''
Viongozi wanataka kuungwa mkono na kuombewa kwa Mungu katika vita ya maouvu.
Wananchi wameitikia wito kama waathirika,habari zinazoifikia serikali hutoka kwa wananchi
Watenda maovu wana uwezo na weledi wa juu, watashindwa kwa nguvu ya umma
Nguvu ya umma ni wadau (wananchi) wanataka kuona kweli ni vita ya kuliokoa Taifa
Wanataka kuona mizizi ya tatizo na udhati wa kushughulikia si kushangilia tuu
Hivyo serikali ilikuwa na nafasi nzuri ya kuacha mjadala wa wazi bungeni
Kwa bahati mbaya yaliyotokea chini ya Naibu Spika yameiumiza serikali
Tuliona kutupiana mpira kwa viongozi husika.
Tukasikia yakiongelewa katika mikutano kwa mafumbo, wahusika wakikaa pembeni
Serikali haikupendezwa na uwazi, ...tuanze upya 'Yaliyopita si ndwele tugange yaliyopo...'
Umma umepigwa butwaa, bungeni hadi mitaani.Ukweli haupo, mambo kwa siri na uharaka
Fursa ya serkali kujidhihiri inapamba na uhalaifu/maovu imefunikwa na hoja, tetesi na hisia tu
Hisia na tetezi hata kama ni za uongo, zinapojirudia katika jamii zinaichafua serikali
1. Kwamba, Lugumi ina watu wazito wasioweza kuguswa na serikali
2. Ushiriki wa suala hili ni mpana kuliko inavyoonekana
3. Naibu spika na uteuzi tata sasa anatumika kama ilivyohisiwa
4. Bunge limepoteza maana yake halisi na kubaki kuwa 'jumuiya ya chama'
5. Vita dhidi ya maovu inapiganwa kwa kuangalia sura na si uovu
Hisia ni nyingi tu kila mmoja akisema lake la uongo au la.
Tatizo ni kuwa serikali haina nafasi ya kujibu hoja hizo.
Katika mazingira hayo, tunawaambiwaje wamuombe mungu kushinda hii vita?
Katika mazingira kama haya, vita hii ni dhidi ya uovu au ni vita tusiyojua imelenga nini?
Ukifuatilia katika mitandaoni vinara waliokuwa wa kuetetea Hapakazi wamefadhaika.
Wamesinyaa na kuduwaa kwanini kinachosemwa si kinachotendwa 'walk the talk'
Mitaani kuna hasira za ndani 'reservations' ambazo mbele ya safari zitajitokeza
Tutajadili hilio
Tusemezane
Viongozi wanataka kuungwa mkono na kuombewa kwa Mungu katika vita ya maouvu.
Wananchi wameitikia wito kama waathirika,habari zinazoifikia serikali hutoka kwa wananchi
Watenda maovu wana uwezo na weledi wa juu, watashindwa kwa nguvu ya umma
Nguvu ya umma ni wadau (wananchi) wanataka kuona kweli ni vita ya kuliokoa Taifa
Wanataka kuona mizizi ya tatizo na udhati wa kushughulikia si kushangilia tuu
Hivyo serikali ilikuwa na nafasi nzuri ya kuacha mjadala wa wazi bungeni
Kwa bahati mbaya yaliyotokea chini ya Naibu Spika yameiumiza serikali
Tuliona kutupiana mpira kwa viongozi husika.
Tukasikia yakiongelewa katika mikutano kwa mafumbo, wahusika wakikaa pembeni
Serikali haikupendezwa na uwazi, ...tuanze upya 'Yaliyopita si ndwele tugange yaliyopo...'
Umma umepigwa butwaa, bungeni hadi mitaani.Ukweli haupo, mambo kwa siri na uharaka
Fursa ya serkali kujidhihiri inapamba na uhalaifu/maovu imefunikwa na hoja, tetesi na hisia tu
Hisia na tetezi hata kama ni za uongo, zinapojirudia katika jamii zinaichafua serikali
1. Kwamba, Lugumi ina watu wazito wasioweza kuguswa na serikali
2. Ushiriki wa suala hili ni mpana kuliko inavyoonekana
3. Naibu spika na uteuzi tata sasa anatumika kama ilivyohisiwa
4. Bunge limepoteza maana yake halisi na kubaki kuwa 'jumuiya ya chama'
5. Vita dhidi ya maovu inapiganwa kwa kuangalia sura na si uovu
Hisia ni nyingi tu kila mmoja akisema lake la uongo au la.
Tatizo ni kuwa serikali haina nafasi ya kujibu hoja hizo.
Katika mazingira hayo, tunawaambiwaje wamuombe mungu kushinda hii vita?
Katika mazingira kama haya, vita hii ni dhidi ya uovu au ni vita tusiyojua imelenga nini?
Ukifuatilia katika mitandaoni vinara waliokuwa wa kuetetea Hapakazi wamefadhaika.
Wamesinyaa na kuduwaa kwanini kinachosemwa si kinachotendwa 'walk the talk'
Mitaani kuna hasira za ndani 'reservations' ambazo mbele ya safari zitajitokeza
Tutajadili hilio
Tusemezane