Mchambuzi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2007
- 4,850
- 9,434
Wakuu Nguruvi3 na FJM,
Kwa kweli hakuna mlichobakisha katika uchambuzi wenu juu ya the root-cause ya tatizo lililopo mbele yetu; nadhani miongoni mwa maswali ni muhimu ni pamoja na kwamba:
*Tutarajie Rais afanye nini katika kipindi hiki kilichobakia kuelekea 2015?
Kwa mtazamo wangu, ni vigumu sana kwa nchi kupata tiba dhidi ya ugonjwa wa "Big Man rule" pamoja na mizizi yake katika kipindi kifupi, na pia chini ya katiba ya sasa; mabadiliko yoyote yale yatakuwa tu na "face value" na kuacha the rotten "intrinsic value" intact;
Pia kwa wale wanaofuatilia media, nadhani mmeona waziri mmoja akimlaumu waziri mkuu kwamba alikuwa anampa taarifa zote, hatua kwa hatua, lakini waziri mkuu hakuchukua hatua yoyote; kwa mtazamo wangu, hili litakuja kuleta mtafaruku mkubwa sana ndani ya chama tawala iwapo waziri mkuu atabakia kwani wabunge na mawaziri wengine watakuwa na wasiwasi mkubwa wa kujimaliza kisiasa kuelekea 2015 kwa kumtumikia waziri mkuu asiyekuwa na maamuzi magumu;
Kuna haja ya Rais Kikwete kutumia busara kubwa sana katika kuteua safu itakayo kifikisha chama (ccm) kikiwa kinajitambua tambua angalau kidogo;
A mini solution kwa sasa ni:
1.Rais kuja na safu nzuri ya mawaziri ambao watasaidia serikali kuondokana na mawaziri vihiyo wasio na majibu ya maana kwa hoja za wabunge bungeni;
2.Rais kuja na performance contract ambayo mawaziri watasaini, kama ilivyofanyika ghana;
3. Rais kupunguza ukubwa wa baraza la mawaziri;
4. Serikali kutumia fursa ya bajeti ijayo kuja na vipaumbele vinavyoendana na mahitaji ya wananchi walio wengi, hoping kwamba Kinana na Nape wamekusanya maoni vizuri, na pia hoja za wapinzani katika ziara mbalimbali zimesikika;
5. Matatizo ya kimfumo yafanyiwe kazi taratibu kupitia legislations mbalimbali zinazolenga reforms katika maeneo tajwa; mchakato huu hauwezi kuchukua mwaka mmoja lakini unaweza anza sasa as long as there's a POLITICAL WILL;
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Kwa kweli hakuna mlichobakisha katika uchambuzi wenu juu ya the root-cause ya tatizo lililopo mbele yetu; nadhani miongoni mwa maswali ni muhimu ni pamoja na kwamba:
*Tutarajie Rais afanye nini katika kipindi hiki kilichobakia kuelekea 2015?
Kwa mtazamo wangu, ni vigumu sana kwa nchi kupata tiba dhidi ya ugonjwa wa "Big Man rule" pamoja na mizizi yake katika kipindi kifupi, na pia chini ya katiba ya sasa; mabadiliko yoyote yale yatakuwa tu na "face value" na kuacha the rotten "intrinsic value" intact;
Pia kwa wale wanaofuatilia media, nadhani mmeona waziri mmoja akimlaumu waziri mkuu kwamba alikuwa anampa taarifa zote, hatua kwa hatua, lakini waziri mkuu hakuchukua hatua yoyote; kwa mtazamo wangu, hili litakuja kuleta mtafaruku mkubwa sana ndani ya chama tawala iwapo waziri mkuu atabakia kwani wabunge na mawaziri wengine watakuwa na wasiwasi mkubwa wa kujimaliza kisiasa kuelekea 2015 kwa kumtumikia waziri mkuu asiyekuwa na maamuzi magumu;
Kuna haja ya Rais Kikwete kutumia busara kubwa sana katika kuteua safu itakayo kifikisha chama (ccm) kikiwa kinajitambua tambua angalau kidogo;
A mini solution kwa sasa ni:
1.Rais kuja na safu nzuri ya mawaziri ambao watasaidia serikali kuondokana na mawaziri vihiyo wasio na majibu ya maana kwa hoja za wabunge bungeni;
2.Rais kuja na performance contract ambayo mawaziri watasaini, kama ilivyofanyika ghana;
3. Rais kupunguza ukubwa wa baraza la mawaziri;
4. Serikali kutumia fursa ya bajeti ijayo kuja na vipaumbele vinavyoendana na mahitaji ya wananchi walio wengi, hoping kwamba Kinana na Nape wamekusanya maoni vizuri, na pia hoja za wapinzani katika ziara mbalimbali zimesikika;
5. Matatizo ya kimfumo yafanyiwe kazi taratibu kupitia legislations mbalimbali zinazolenga reforms katika maeneo tajwa; mchakato huu hauwezi kuchukua mwaka mmoja lakini unaweza anza sasa as long as there's a POLITICAL WILL;
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Last edited by a moderator: