Duru za siasa: Uchaguzi Mkuu USA

Duru za siasa: Uchaguzi Mkuu USA

TAFAJURI YA YNAYOENDELEA US

Kuna mambo tunayopaswa kuyafanya kama taifa.
Yale mazuri inapswa tuyaige na mabaya tuyaache.

Tunayoiga yatupaswa kuyafanya katika mazingira yetu na kwa namna zetu

Ukiangalia mkutano mkuu wa Republican na jinsi vyombo vya habari vinavyofanya kazi, utaona upana wa demokrasia ya wenzetu.

Kwamba mwananchi anakuwa informed na hivyo kufanya maamuzi kama yeye

CNN kwa mfano, wana kisehemu kinachoitwa reality check. Hiki ni kipengele klinachoangalia ukweli au uongo wa kauli na kuzitolea ufafanuzi.

Katika bandiko 25, Eleen Collin, first NASA frmale pilot wa space shuttle, alitoa madai kuwa Obama amezuia space exploration na hivyo kuikwaza US

Reality check:
Aliyesimamisha mpango wa space shuttle (retire ) ni George Bush si Obama.

Pili, VP mtarajiwa Pence alidai Obama amefanya executive orders 'relentless'

Kabla hatuja angalia Reality check, tusemr kuwa executive order ni maagizo ya kisheria ya mhimili wa utawala (executive branch) yanayotolewa na Rais bila kupitia Bunge.

Bunge/Seneti hawawezi kuzuia executive order, wanachoweza kufanya ni kupitisha sheria inayozuia fungu kutumika likihitajika kufanikisha exe order.

Tuangalie Madai waliopita na executive orders walizotoa katika muda huu ambapo Obama yupo madarakani (July 7) kwa mujibu wa CNN

Obama (Dem)- Exc order 244
George W. Bush( Repub)- 291
Bill Clinton (Dem)-364
George H.Bush(Rep)- 166
Ronald Reagan(Rep)-381
Jimmy Carter (Dem)-320
Gerald Ford -169

Wastani ni 276, Obama akiwa na 244 bado ana exec order chache
Hivyo Kauli ya VP mtarajiwa Pence SI kweli

Hii ni mifano michache ya kuonyesha jinsi wenzetu wanavyopewa habari za serikali yao na facts nyuma yake. Sisi tunazuia TV tu za kuonyesha matukio.

Kwa upande mwingine, waandishi wafike mahali wasi ripoti tu kama ma-secretary. Waende mbali na kucheki ukweli wa kauli kwa manufaa ya umma.
 
TED CRUZ NA TIMBWILI LA RNC

Sakata la jana limeendelea kutanda katika anga za habari za Marekani na kwingineko

Hoja kubwa ya wanaompinga Cruz ni kukiuka makubaliano waliyosaini chaguzi za ndani

Makubaliano ni kumuunga mkono yoyote atakayekuwa mgombe

Wagombea wengine wameafiki na kumuunga mkono.

Hata kama hawakubaliana naye, kwa sababu ya siku za usoni wamelazimika
1. Kutoudhi kundi kubwa lililompigia kura Trump
2. Kutokatwa au kuenguliwa kwa kukiuka makubaliano

Ndiyo maana Mark Rubi alituma video bila kuwepo ukumbini

Ted Cruz alitumia jukwaa kujijenga kwa siku za baadaye.
Anaelewa Trump akishindwa uchaguzi ujao utakuwa huru kugombea tena.

Makosa aliyofanya
1. Kuto ku endorse Trump kunaacha maswali kwa wajumbe siku za usoni
2. Kusema wapige kura kwa 'weledi' kulimaanisha wachague wabunge/maseneta si Trump

Katika utetezi baada ya timbwili, Cruz ameongea na wajumbe kutoka Texas akiwaambia, hawezi kuwa 'kijibwa' ilihali mkewe na baba yake walitukananwa na Trump

Tunakumbuka sakata la mkewe na tweets za Trump na baba yake 'mhalifu' siku za nyuma.

Hili limeendelea kuleta mzozo ndani ya RNC na kuonyesha mgawanyiko ulioanza kupona

Sanders anavymjeruhi Clinton! inafuata

Tusemezane
 
KUTOKA LOANS ARENA CLEVELAND

USIKU MKUBWA WA TRUMP

Theme ya Leo: Make America one again

Mkutano umeanza na hotiba ya Jerry Falwell Jr. Huyu ni evangelical leader ambaye baba yake alikuwepo katika mkutano mkuu ulio nominate Ronald Reagan.

Anasema
Trump anaweza kubadilisha hali hasa kwa deni la Trilioni 19.

-Anapenda America na mzalendo wa kweli

-Tupo njia panda na lazima tumuunge mkono Trump

-Kama ni conservative na hutampigia kura Trump, utakuwa umemsaidia Hillary Clinton

-Kura kwa Trump ni kura ya kuisimamisha Iran kuwa Nuclear power

Amemaliza

-
 
SHERIFF ARAPAIO

Maarufu sana , anasema

-Ametumikia miaka 55 katika kazi yake. Tunahitaji kiongozi atakayeweka interest za nchi kwanza. Tuna concern na watu wa nje kuliko watu wetu. Tunahitaji kiongozi wa kulinda mipaka yetu. Lazima tuheshimu Polisi, tuwe support na zana za kazi

- Niwaeleze hatari ya illegal durg na immigrant, wapo criminals na magaidi wanaopita katika mipaka yetu. Trump ndiye kiongozi anayeweza kulinda America.

-Najua Trump atasimama name kulinda mipaka, atajjenga ukuta na kurejesha law and order na kuondoa madawa na wahamiaji haramu kwa nchi yetu.

-Sitamsahau Trump kwa alichofanya kwa mkewe wangu. Trump alimwita mke Wangu na kuongea naye. Alimpa support na ukarimu mkewe wangu. Tumchague mtu atakayesimama na America, kulinda mipaka na ku support jeshi .

-Tumchague Trump

Amemaliza
 
Brock Mealer- Accident survivor

Huyu ni motivation speaker ambaye sasa ni mlemevu kutokana na ajali iliyomuua baba yake na mchumba wa kaka yake

Anasema
-Anamshukuru mungu kwa uwepo wake. Anasema alipewa 1% ya kuweza kutembea
Ndivyo Trump alivyopewa 1% mwaka jana

-Tuungane nyuma ya Trump kuifanya America great again

Amemaliza
 
Mbunge kutoka Tennessee

Marshak Balckburn

Mwanamke wa kwanza kuwakilisha katika congress

Anasema
- America ipo tayari kwa mabadiliko ya mtu atakayeleta watu pamoja na kumaliza kazi

-Taifa linahitaji kiongozi anaye inspire na anyejua uongozi

-Nawaomba wote kuniunga mkono kumchagua Trump kama Rais

-Trump ana ujuzi kwasababu ameisha katika America dream.

-Taifa linahitaji umoja na uongozi. Miaka 8 imekuwa na changamoto za katiba na maisha

- Trump anajua uongozi si unavyoonekana bali unavyofanyika

-Uongozi si resume, gender, race au dharau. Ni rekodi ya utendaji na team building

-Tnataka Rais anayejua wewe na si Washington ndiye mhitaji

-Trump anafahamu freedom, na ndiyo inayotuunganisha na si kutugawa

Amemaliza
 
Gavana mary Fallin

Gavana wa Oklohama

Anasema

-Mpo tayari kwa change?

-Amekulia kamji kadogo ambako anaelewa umasikini. Kulikuwa na matumaini ya future kwa Imani. Tulikuwa na role model, mayor mwanamke Mama yangu.
-Ameongele kwa ujumla faith na America dream

Kamaliza

-
 
Anyefuata ni Peter Thiel

Huyu ndiye mwanzilishi wa Pay Pal, mfumo wa malipo

Halafu atakuja Ivanka, binti wa Trump kumu introduce baba yake
 
PRIEBUS
Chairman of RNC

Anasema

-Clinton atafungia silaha zako

- Angalia disaster Nuclear deal ya Iran, akiwatupa Waisrael

-Katika usimamizi wake ISIS imestawi

- Amedanganya kuhusu email, ameongopa over and over and over

-Clinton, anafanya siasa kwa person gain. Angalia track record

- Ametumia lobbyist . Foundation imechukua pesa kutoka mataifa ya kigaidi

-Clinton, kwake oval office ni corruptions centre

- Hii ni fursa ya kumzuia Clinton asiwe Rais

-Trump atarudisha ajira, atalinda mipaka na kuiweka America kwanza

-Trump anataka kuhakikisha unalipa mortgage na kulipia mafuta katika gari

-usalama kwa waamerika ni kipaumbele

- hakuna muda wa kujadiliana na mgaidi, tutawashinda

-Trump atachagua conservative justice na kulinda maisha ya vichanga

-Trump na Pence watairejesha America

-Lets stop Clinton , tumchague Trump kama Rais

Amemaliza
-
 
PETER THIEL

MWANZILISHI WA PAYPAL (Mfumo wa malipo)

Ni Open Gay anayeunga mkono Republican
Katika historia ya Republican huyu atakuwa gay wa kwanza kuhutubia RNC

Anasema

-Si mwanasiasa kama ilivyo Trump , kazi yao ni kuifanya America great again

-Huwezi kuona utajiri wa Silicon Valley ukiondoka nje ya hapo

- Wall street wana infalate mambo kuanzia infalation hadi Hillary Clinton speech

-Baba yangu alijifunza Engineering, all America katika 1960 ilikuwa high tech

-Leo serikali imeharibika. Flight Jet haziwezi ku fly katika mvua

-Tumepoteza katika manufacturing industry

- Hatutaki kuona emails za Clinton

-ndiye aliyezusha vita vya Libya, Trump yupo sahihi kwa hili, tujenge nchi yetu

-Amejivunia kuwa gay na Rep Republican

- Fake culture zinaharibu uchumi, na hakuna mtu mwaminifu kama Trump

-Trump akasema America gain hazungumzii yaliyopita anataka kuiendeleza

Amemaliza
 
IVANKA TRUMP

Ndiye atakayemtambulisha baba yake Trump

Anasema

-Mwaka mmoja uliopita nili mu introduced baba yangu

- Napiga kura kwa kile kilicho bora kwa familia na nchi yetu

-Huu ni wakati Trump ata make America great again

-Mabadiliko yatatoka nje ya system. Baba ni mpiganji

-Nimemuona akipigania wafanyakazi, kampuni na sasa namuona akipigania nchi

-Ni kibwagizo cha kufikia matumaini ya ilityokuwa America

-Baba alituonyesha uvumilivu, na changamoto na hakuna kisichowezekana

-Trump anaweza kuona potential kuliko ilivyokawaida

-Nimeona hadhithi za watu hawajawaona, na hukaribisha asiowajua Trump tower

-Wageni huondoka katika ofisi ya Trump wakiwa na hisia njema

-Baba ana nguvu za kuwa Rais na mnyenyekevu ambaye nchi hii inamuhitaji

-Nimefanya naye kazi, akitoa maamuzi muhimu ya maisha

-Katika maeneo ya kazi za baba utaona wanawake pia

- Habagui rangi au jinsia na huajiri mtu mwenye sifa

-Watu hujitahidi kufikia mafanikio. Na mafanikio yake ni kwasababu husikiliza watu

-Trump akiwa inchaji muhimu ni uwajibikaji na uwezo

- kampuni zetu zina wanawake executive wengi kuliko wanaume na wanalipwa sawa

-Baba atabadili wokrk force, na kufanya malevi mazuri

- America family zinahitaji nafuu. Wanasiasa wanazungumzia kuhusu ujira, baba ametenda

-nitakuwa karibu na baba kuhakikisha wanawake wanapewa usawa

-Baba akisema atajenga tower, ni kweli atajenga.

- Akisema ata make America great agin, he will deliver

-Trump aliniambia, kama unafikiri fikiria kwa uyakinifu

- Kwa watu wote, ukiwa na baba yangu, atawapigania muda wote na watu wote

-Baba anasema I will fight for you, wengine wanasema I feel you

-Anapenda familia, anapenda nchi yake

-Mtazame baba kwa matokeo , kama makmpuni aliyoanzisha

-Trump yupo tayari kuzungumza na kila mtu kupata Imani na kura

Najivunia kumwasilisha kwenu baba na mgombea Urais Trump

Amemaliza
 
TRUMP

Nakubali uteuzi wenu wa kuwa mgombea Urais wa Marekani kwa Republican

-Nani anaamini tungefanya haya tuliyofanya

- Demo wamepata 20% uchache wa kura kuliko ilivyokuwa miaka 4

-Tutaongoza nchi katika ustawi na Amani. Tutakuwa wakarimu na nchi ya sharia na utii

-Mkutano unatokea wakati wa msuguano, mashambulizi ya Polisi n.k. Mwanasiasa asiyeona hatari hii hapaswi kuongoza nchi yetu. America wanatazama, wameona vurugu katika miji yetu

-Nina ujumbe kwenu uhalifu uliopo utakwisha muda si mrefu

-Kuanzia Jan 20, usalama utarejeshwa. Kazi ya serikali ni kulinda maisha ya watu

-Ninatweka ukweli kwa uwazi na uaminifu. Hatuwezi kuogopa hoja za kisiasa Zaidi

-Democrat watakuwa na mkutano wiki ijao utakuwa na uongo, uzushi na ubabaishaji

-Tutawaheshimu Waamerika kwa ukweli na si vinginevyo

Inaendelea... Trump
 
Trump....

Uhalifu umeongezeka katika nchi kwa asilimia 50

-Chicago, watu 2000 ni wahanga wa shooting mwaka huu, na watu 4000 wameuawa tangu achukue ofisi. Polisi wanaouawa imeongezeka.

-Watu 180,000 wliofukuzwa leo wapo huru wakitishia Amani

-Watu waliovuka mipaka tayari wamezi ile ya mwaka 2015 bila kujali usalama wa Taifa

-mhalifu aliachiwa na kumuua mwanamke siku moja baada ya kuhitimu chuo kikuu

-Muaji walichiwa na sasa yupo huru tena, huyu ni mmoja wa waafrika walioshinda kulindwa

UCHUMI

- Watu 4 kati ya 10 African America wanaishi katika umasikini, na 50% hawana ajira
Walatino hawana ajira tangu Obama achukue nchi

-Miaka 16 iliyopita, trade deficit is 800Bilion dollar, last year alone. Tutarekebisha

-Budget amongezeka deni la Taifa. Barabara zimevunjika na airport ni za nchi masikini

-Watu wetu wamdhalilishwa, tunakumbuka askari waliolazimishwa kupiga magoti na Iran
Hii ni baada ya deal iliyotoa 150 Bilion dollar, na ni moja ya deal mbaya

-Dhalili nyingine ni Obama alipochora mstari s Syria. Obama akamfanya Clinton America incharge !!!

Inaendelea....
-
 
Trump...

-Nina uhakika Obama anajuta, kitu kilichioelezwa na Bernie Sanders matatizo yaliyopo

-2009 ISIS haikuwepo, Iraq ilikuwa haina matatizo, baada ya miaka mine ya Clinton, ISIS wametawala, Libaya ipo hoi, Egypty, Iraq in chaos, Irana ipo njiani kupata nuclear na sasa wakimbizi wanatishia Amani

-Hii ni legacy ya Clinton, death, destructions, terrorism na weakness

-Legacy ya Clinton si ya America. matatizo hayakwisha tukiwatumaini waliotengeneza matatizo

-Mbaliko ya uongozi yanahitajika kupata matokeo tofauti

-Mataifa mengine yatuheshimu kwa kwa heshima tunayostahili.

Plan

Usalama, linda mipaka, na kulinda dhidi ya ugaidi, na hakuna ustawi bila law and order.

Uchumi
Nitaongeza ajira kujenga America. Reform zitapingwa na special interest kwasababu zinatishia masilahi.

Media na donor wanamuunga mkono mpinzani kwakaujua atawalinda. Wanatupa pesa ni puupet na wanavuta Kamba

-Ndio maana Clinton anasema mambo hayatabadilika, message yangu mambo yabadilike na yabadilike sasa

-Leo nashea nayi plan kuhusu America. Tofauti na wenzetu, plan yetu itaweka America kwanza

-Nimetembelea maeneo yaliothirika na unfair trade deal, wamesahulika na taifa na hawatasahaulika tena.
Ni watu wanaofanya kazi bila sauti, mimi ni sauti yenu

-Sina subira na dhuluma!

***** kuna mtafaruku kidogo, inaonekana kuna watu wameingia ***

Inaendeleaa

-

-
 
Trump

Polisi wetu ni wazuri kiasi gani na ni uzuri kiasi gani kwa Cleveland

- Sina huruma kwa watu wanaodhulumu watu wao

-Clinton anapoiba emails na kuficha 30,000 ili zisizonekane na kudanganya, bila kuadhibiwa najua rushwa imefikia mahali pa juu sana

-FBI dir akisema secrety Clinton alikuwa mzembe, ni maneno yaliyotumika kumlinda asikabailiane na mkono wa sharia

-Pengine hayo ni mafanikio makubwa ya Clinton, hasa wengine wakiathirika

-Clinton anapokusanya pesa za special interest, najua muda wa action umefika

-Hakuna anayejua systeme Zaidi yangu. ndio maana ninaweza kurekebisha

- Mfumo umeharibika kama ulivyotumika kumhujumu BERNIE SNADER

-Watu wake watuunge mkono ili tutekeleza hoja ya Sanders kuhusu trade deals

- Najivunia kuwa na VP mtarajiwa Mike Pence

Inaendelea
 
Trump

-VP namemi tutaleta mafanikio yaliyopatikana Indiana

-Kazi ya kwanza, ni kukomboa watu dhidi ya uhalifu na ugaidi. America walishangazwa na Polisi walivyouawa na kmwendelezo wa mambo kama hayo

- Askari wameuawa Wisoxnsin,Tennesee, Miigan n.k. Shambulio kwa watunza Amani na shambulio la Waamerika wote

-Nina ujumbe, watu wanaotishia Amani mitaani nikiapa nitarudisha law and order katika nchi yetu. Nitamteua mwendesha mashataka kumaliza kazi

- katika mbio hizi mimi ndiye law and order candidate

-Obama ametumia ofisi kutugawa na kutufanya tuwe katika hali mbaya. Utawala umefeli America miji ya ndani katika uhalifu, uchumi, ajira na kila namna

-Nitahakikisha watoto wanakuwa sawa na kila hatua nitahakikisha je hili ni kwa masilahi ya watoto ambao wanapaswa kuishi katika ndoto zao?

Inaendelea
 
TRUMP

utawadhibiti ISIS. France ni wanga wa Islamic terroristic kila mahali

-Orlando 49 waliuawa na Islamic terrorist, tutasimamisha hilo

-Nitafanya kila kitu kuwalinda LBGT kutoka kwa watu wenye chuki, niamini

-Kam republican nafurahi kusikia mnashangilia kuhusu LBGT, ahsanteni

-Kujilinda na ugaidi, lazima tuwe na intelejensia, tuache failed policy na regime change za Iraq, Libya na Syria. Tfanye kazi na washirika wetu haraka

-Hii ni pamoja na kufanya kazi na state of Israel

-Nilisema NATO ni obsolete, na wanachama wengi hawalipi shea zao. Kama kawaida USA inalipa gharama. Baadaye ikasema NATO ita kuwa na program ya ugaidi

-Mwisho, tuondoe uhamiaji hadi tutakapokuwa na mechanism nzuri, hatuwahitaji katika nchi yetu

-Clinton anasema 555% increase in SAYRIA refuge chini ya Obama

-Hakuna njia ya ku screen, ni akina nani na wanatoka wapi. Nitaalika watu wanaosapoti our values na kuipenda nchi

- Mtu mwenye chuki hakaribishwi na hatakaribishwa

-Immige imetoa low wages kwa Afrika na Latino, tutakuwa na system itakauwa kwa ajili ya Waamerika

Inaendelea....
 
Trump

- Usalama wa waamerika walioathirika kutokana na vurugu za mipakani upo wapi? Hawa waathirika hawapo wenye tena

-Leo mgombea anawaunga mokono na kuahidi kukoa wengine wasiathirike

-tutajenga ukuta kuzuia illegal immigration, kuzuia madawa na wahalifu katika miji yetu

-Nimepata endorsement ya America border patrol agency. Nitafanya kazi nao

-Ttamaliza illegal border crossing haitatokea tena, niamini

-Watu walio over stay watakumbana na sharia

-Wansisia wasikilze, Jan 20 siku naapa, Ameica itaamka kama nchi ambapo sharia za USA zitafanya kazi

- Tutakuwa wakrimu kwa kila mtu, lakini ukarimu wangu utakuwa kwa Rais wetu kwanza

Plan yangu ni tofauti na Clinton

-Waamerika wanataka nafuu ya uncontrolled immigration. Plan ya Clinton itaongeza wahamiaji, kujaza shule, kupunguza vipato na kuzuia wengi kuungana na middle class

- Kwa wafanyakazi, tulinde ajira kwa kukataa trade deal.

-Nimetengeneza pesa nyingi nataka nchi iwe tajiri tena kwa kutumia watu matajiri tulio nao nchini

- US imepoteza 1/3 ya manufacturing kuoka 1987 iliyosaniwa na Clinton. Ndiye alisaini NAFTA , deal mbaya sana

-Nitarudisha ajira, Ohio, Penn, NY ,Michigan na sitaruhusu kampuni kuondoka bila kulipa gharama

-Clinton amesapoti kila trade deal, ikiwemo kuunga mkono China kujiunga na WTO. Ameunga mkono Transpacific trade deal n.k.

-Trade agreement inayoumiza hatutasaini, US kwanza

Inaendelea...
 
Trump

Nitafanya deal na nchi binafsi

-Tuta enforce trade violation dhidi ya nchi danganyifu ikiwemo China

-Trade agreement with China itakuwa negotiated tena na tutaondoka kama hakuna deal.

-Nchi itajenga na kutengeneza vitu tena.

Reform of Tax law

-Clinton anaongeza kodi nina propose kupunguza kodi. Watu watapata nafuu na kodi itarahishwa kwa kila mtu. US ni highest tax in the word

-Ukiondoa tax, ajira zitarudi haraka

- Sheria nyingi inghararimu nchi 2 T kwa mwaka , tutaikataa haraka

-Tutaondoa vikwazo katika energy, itatoa 20 T kwa kazi zitakazopatikana
Mpinzani wangu anataka kuwaweka miners out of business.

-Tutajenga barabara na viwanja, railway n.k. hili litatengeneza milioni ya kazi

-Wazazi watapeleka watoto katika shule wanazochagua. Mpinzani atalinda

-Tutaondoa Obamacare, utachagua daktari wako na tuta fix TCA
 
Trump

Tutafanya kazi na wanfunzi wenye presha kubwa

-Tutajenga jeshi letu mdebwedo kwa sasa

-Nchi tunazolinda, tutazitaka zilipe shea zao

-Tutawaangalia Veterens kuliko ilivyo sana

-Tuta gurantee vets kwenda kwa dr wa chaguo lao

-Tutachagua justice wa supreme court atakayelinda katiba na sharia za nchi yetu

-Mpinzani wangu anataka kuvunja second amendment, nimepokea endorsement ya NRA

-Nawashukuru evangelical na viongozi wa dini kwa kuniunga mkono

-
 
Back
Top Bottom