Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
MARIDHIANO NI BORA KULIKO KATIBA YENYEWE
CCM HAINA HOJA, SASA INATEMBEZA KIPIGO KWA KASI NA VIWANGO
WARIOBA KATETEA NCHI, WANANCHI MTAMWANGALIA HADI LINI?
Wana duru,
Kutokana na mazingira ya kisiasa nchini, tutakuwa na sehemu I-IV kuhusiana na suala la katiba. Tumezungumzia jambo hili katika nyuzi nyingi,lakini ipo haja ya nyakati a kuliungumzia zaidi
Sehemu ya I
RASIMU YA CHENGE YADODA.
Ni takribani mwezi umepita baada ya katiba ya CCMijulikanayokuandikwa.
Katiba pendekezwa imepigiwa debe na Rais bila mwangi. ZNZ wamejaribu bila majibu.
Wananchi wamesusakuijadili kwa hasira na kuchoka
Makada wa CCM wamehangaika katika mitandao ikiwemo JF kuhamasishawananchi wajadili.
Hii ni katika harakati za kutaka uhuni na mzoga uliopatikanaDodoma ujadiliwe ili kupata uhalali wa kisiasa.
Hata hivyo mambo ni magumu nahakuna dalili za kubadilika.
KWA NINI MAMBO NI MAGUMU?
Kwanza ni ukweli usio na shaka katiba ya CCM iliandikwakabla ya bunge.
Hili sasa halina shaka na tumelizungumzia muda mwingi, kabla nabaada.
Pili,Maoni ya wananchi kupitia tume ya Wariobayamedharauliwa na hivyo wananchi wameamua kususia ili kazi ya Chenge/Sittaitakapokamilika, kazi ya kuandika katiba ya wananchi ianze upya
Tatu,katiba pendekezwa haiuziki kwa maana kuwa ni kinyume na yale yalitotuhumiwa kutoka tume ya Warioba. Mfano, suala la gharama CCM walisemaS3 itaongeza.
Kwa rasimu ya Chenge/Sitta suala hilo limekuwa kinyume kwanigharama ni kubwa kuliko ilivyosemwa kwa S3
(ii) Suala la serikali kuu kutokuwa na vyanzo vya uhakika.Nalo limeonekana halina jibu.
Serikali kuu inayosemwa ni Tanganyika, wakatiWarioba alisema ni ya nchi mbili.
Kwa mantiki hiyo, chanzo cha uhakika chamapato ya muungano ni Tanganyika.
Swali linakuja, je hiyo si kero kwaWatanganyika?
iii) Kuvaa koti: Imedhihirika kuwa muungano wa katiba yaChenge imevalisha Tanganyika koti kubwa kuliko ilivyo sasa au livyokuwaimependekezwa na tume ya Warioba.
Kwa msingi huo, katiba ya CCM haina kipya na wala hainamahali pa kuzungumzia mbdala mwema kinyume na maoni ya tume. Katiba ya CCMhaizuki
(iii) Wananchi wanuliza, wapi maoni yanayotoa katiba yaChenge yamepatikana? Hakuna majibu.
Inaendelea...
CCM HAINA HOJA, SASA INATEMBEZA KIPIGO KWA KASI NA VIWANGO
WARIOBA KATETEA NCHI, WANANCHI MTAMWANGALIA HADI LINI?
Wana duru,
Kutokana na mazingira ya kisiasa nchini, tutakuwa na sehemu I-IV kuhusiana na suala la katiba. Tumezungumzia jambo hili katika nyuzi nyingi,lakini ipo haja ya nyakati a kuliungumzia zaidi
Sehemu ya I
RASIMU YA CHENGE YADODA.
Ni takribani mwezi umepita baada ya katiba ya CCMijulikanayokuandikwa.
Katiba pendekezwa imepigiwa debe na Rais bila mwangi. ZNZ wamejaribu bila majibu.
Wananchi wamesusakuijadili kwa hasira na kuchoka
Makada wa CCM wamehangaika katika mitandao ikiwemo JF kuhamasishawananchi wajadili.
Hii ni katika harakati za kutaka uhuni na mzoga uliopatikanaDodoma ujadiliwe ili kupata uhalali wa kisiasa.
Hata hivyo mambo ni magumu nahakuna dalili za kubadilika.
KWA NINI MAMBO NI MAGUMU?
Kwanza ni ukweli usio na shaka katiba ya CCM iliandikwakabla ya bunge.
Hili sasa halina shaka na tumelizungumzia muda mwingi, kabla nabaada.
Pili,Maoni ya wananchi kupitia tume ya Wariobayamedharauliwa na hivyo wananchi wameamua kususia ili kazi ya Chenge/Sittaitakapokamilika, kazi ya kuandika katiba ya wananchi ianze upya
Tatu,katiba pendekezwa haiuziki kwa maana kuwa ni kinyume na yale yalitotuhumiwa kutoka tume ya Warioba. Mfano, suala la gharama CCM walisemaS3 itaongeza.
Kwa rasimu ya Chenge/Sitta suala hilo limekuwa kinyume kwanigharama ni kubwa kuliko ilivyosemwa kwa S3
(ii) Suala la serikali kuu kutokuwa na vyanzo vya uhakika.Nalo limeonekana halina jibu.
Serikali kuu inayosemwa ni Tanganyika, wakatiWarioba alisema ni ya nchi mbili.
Kwa mantiki hiyo, chanzo cha uhakika chamapato ya muungano ni Tanganyika.
Swali linakuja, je hiyo si kero kwaWatanganyika?
iii) Kuvaa koti: Imedhihirika kuwa muungano wa katiba yaChenge imevalisha Tanganyika koti kubwa kuliko ilivyo sasa au livyokuwaimependekezwa na tume ya Warioba.
Kwa msingi huo, katiba ya CCM haina kipya na wala hainamahali pa kuzungumzia mbdala mwema kinyume na maoni ya tume. Katiba ya CCMhaizuki
(iii) Wananchi wanuliza, wapi maoni yanayotoa katiba yaChenge yamepatikana? Hakuna majibu.
Inaendelea...