habari wana JF
Nimekuja kilimanjaro kikazi kwa mda wa miezi 6 nitakua moshi mjini hapa sasa nina kama week 3 hivi tokea nimekuja daah yaani kuna watoto wazuri balaa yaani mtoto ukimwona tuu unadata umbo limekaa poa saana wana rangi ya mtume from dubai yaani nadata
Now kila weekend natembelea maeneno ya majengo moshi na sokoni mbuyuni na maeneo ya chuo cha ushirika kuna visuu hatarii shikamoo Kilimanjaroo yaani ni wazurii hatari kuna ambaye nimempata hapa yaani daah kila nikimuangalia nafurahi sichoki kumtazama yaani kapooole kazuuri ana rangi ya mtumee jamani daaah kametulia aisee karibuni moshi jamani kuna watoto wazuri saana dar watasubirii miaka 100 shikamoooo moshiiii sitamani kurudi tena daslaam
Nawasilisha .
Nimekuja kilimanjaro kikazi kwa mda wa miezi 6 nitakua moshi mjini hapa sasa nina kama week 3 hivi tokea nimekuja daah yaani kuna watoto wazuri balaa yaani mtoto ukimwona tuu unadata umbo limekaa poa saana wana rangi ya mtume from dubai yaani nadata
Now kila weekend natembelea maeneno ya majengo moshi na sokoni mbuyuni na maeneo ya chuo cha ushirika kuna visuu hatarii shikamoo Kilimanjaroo yaani ni wazurii hatari kuna ambaye nimempata hapa yaani daah kila nikimuangalia nafurahi sichoki kumtazama yaani kapooole kazuuri ana rangi ya mtumee jamani daaah kametulia aisee karibuni moshi jamani kuna watoto wazuri saana dar watasubirii miaka 100 shikamoooo moshiiii sitamani kurudi tena daslaam
Nawasilisha .