Duuh! Kupata umaarufu kweli kazi

Duuh! Kupata umaarufu kweli kazi

Ligogoma

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2010
Posts
3,503
Reaction score
6,415
Sijui kama ana familia huyu jamani....!!?
 

Attachments

  • 1427478801253.jpg
    1427478801253.jpg
    45.1 KB · Views: 2,054
Kweli muheshimiwa Sugu alikuwa na kila sababu ya kumpiga chini huyu mtu
 
Yaan nahisi huyu ts either kibuti kimemdatisha au anausaka umaarufu kwa gharama... kama ni kibuti polee kama umaarufu napo polee maana unaukimbiza na wenyewe unakukimbia kwa speed ya umeme
 
Duh Sugu inabidi awe mmoja kati ya watu watakaoenda peponi maana kuumiliki mtambo kama huu masaa kadhaa unaweza ukadata na wewe na baraka pia kumsitiri mwehu kama uyu,acha mhuni apumzike aje mwingine kuendesha huu mtambo.
 
Teh Teh Mwili umechemka hadi kakimbilia Insta Teh Teh.! Atakuwa kazidiwa sana maskini..

Sugu anapaswa kumuhudumia mzazi mwenzie kwa hili
 
Dah! hili sasa ni gugumaji jamani wakutetea teteeni ila mr mbilinyi kulitua zigo hilo alipumua..
 
Huyu dada anahangaika sana. Watu wake Wa karibu wanahitaji kumshauri.
 
Back
Top Bottom