Duuh!!!...Kweli Kenya imetawaliwa na wezi...wamtia Rais Kabila shule!!!

Duuh!!!...Kweli Kenya imetawaliwa na wezi...wamtia Rais Kabila shule!!!

BTW hata Bongo nako nasikia mwaka jana hapo tu kontena la pesa za BOT 'lili potea katika mazingira ya kutatanisha' JNIA. Can u imagine?, nchi zetu hizi falsafa inayoendesha mambo ni 'survival for the fitest', ukipata tumia, ukikosa jutia. Tutafika kweli jaman?.

Mkuu mimi nilifikiri utani. Nikiwa benki (NMB or CRDB nimesahau hasa ni ipi) mwanzoni mwa mwaka huu nikapewa noti za zamani, nikauliza mbona tunatakiwa kupewa noti mpya hivi sasa? Nikaambiwa kuwa noti zimeibiwa pale uwanja wa ndege Dar. Lol! TZ bwana?
 
Ukipeleka Tanzanite South Africa huwezi kuuza bila ya licence kutoka kwa hawa .. : : The Tanzanite Company : : .. Eti hawa ndio wanamiliki na hata Arusha pia. Nchi yetu inavilaza

Ninatamani tulianzishe la Misri ili tuwaue wezi wa SISIEMU. Lakini........ hapana maana tutakaokufa ni sisi wadanganyika wenyewe akina Rostam na Kikwete wanakamata pipa wanatokomea wanakojua wao. Sijui tufanyeje ......
 
Ab please desist from hurling insults to the Kenyan president and his family, its immature and in bad taste and displays your bad judgment especially coz you are a moderator in this here forum. beauty or the lack of it is subjective and if you think, to some extent, that the physical appearance of someone affects his delivery as a leader, then you must be overlooking the leadership vaccum in your own country. Lets discuss the issue at hand and not dwell on side shows like how ugly The Kenyan president is, or how many Tanzanian members of parliament have seen the inside of a class. I thought you knew better...
 
Back
Top Bottom