Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shauku no, kwa sbabu nilikuwa ninajua what I'm getting intoNdiyo ulilala naye, sasa na huyo uliekuwa unaenda kumuoa ulikuwa na shauku naye kweli, nijuavyo ile siku unakuwa nakimuhemuhe cha kumuona biharusi na mtakavyokuwa siku hiyo, wewe ukawa na kidosho mwingine duu kuna watu duniani na ....tu duniani
Daa unampa wakati mgumu mkeo sasa jaribu kusahau hamishia mapenzi kwa mkeoshauku no, kwa sbabu nilikuwa ninajua what I'm getting into
Mungu wangu, unajua nakuone huruma sana, ndiyo maana watu hushauriwakwamba ukiachana na mtu kaa mwenyewe kwa muda mrefu na utafakari kisha ndiyo uanze kutafute mwingine, lakini unamwingine kisha unabambia mwingine, hapo sasa kaka yangu mdogo tafuta kitu cha ziada muombe Mungu sana akusaidiye upite hicho kihunzi, laa huyo mzazi mwenzio kuna kitu kakufanyia angalia unazani yeye kwanini alikuwepo hapo ili hali anajua unaenda oa sio mjinga watu tunatofautiana sanaishanishinda mkuu, ndoa siyo kwa jila mtu [emoji19]
Sasa miaka yote hiyo ulikuwa tu hujatafakari tu jamaniwakat nnaoa mtoto alikuwa 5
Mtu akikosa kujitambua naKweli yupo na kidosho ndani eti kesho anaenda funga ndoa, hii tabia ya nchi hii kweli?
Ha haa kama atakujibuAmina kubwa ,nawe pia my, [emoji28] [emoji28] [emoji28] hapa nasubil jibu lake!
Unafkir ndo n chai itapoa unyweishanishinda mkuu, ndoa siyo kwa jila mtu [emoji19]
Tena wa kiwango cha lamiUjinga ambao hujawahi tokea duniani kabisa
Huyu hata sijui anaishi kisiwa gani yaani alikosa hata mtu wakumpa ushauri jamani, tatizo vijana ujuaji mwingi kisa elimu ss yupo kikaangoniTena wa kiwango cha lami
Atapuliza na mate, hujambo lakini!Unafkir ndo n chai itapoa unywe
Mie safi si unajua ibada hizo kwa kwenda mbeleHa haa kama atakujibu
I hope ukopoah Mrs