Huwa naishi kwa matumaini sana, lkn kwa timu yetu hii naona kama vile tumeshafungwa hata hii mechi. Tuombe Mungu awe upande wetu na awasahau adui zetu kwa muda ktk dk hizi 90.
Huwa naishi kwa matumaini sana, lkn kwa timu yetu hii naona kama vile tumeshafungwa hata hii mechi. Tuombe Mungu awe upande wetu na awasahau adui zetu kwa muda ktk dk hizi 90.