duuu,alichokiimba NAY WA MITEGO kwenye wimbo wake mpya

duuu,alichokiimba NAY WA MITEGO kwenye wimbo wake mpya

Mr-Africa

Member
Joined
Sep 25, 2012
Posts
23
Reaction score
3
haya ni maneno ndani ya wimbo mpya wa nay wa mitego,unaitwa wamenichokoza,kuna msitali anasema,NDANI YA POCHI YA MALAYA.,HAPAKOSEKANI PODA NA WANJA.kuna verse kaponda wanasiasa kwamb wanachochea maandamano wao hawaandaman wanatulia majumbn mwao,laia vihere here wanaandama,wanaishia kutwangwa risasi
mstali mwingine kaponda wachungaji kwa kusema;din imekuwa kama fani.inachuana na bongo fleva,mwanzo alivuma kakobe kashuka chat,2pa kule,akaja mama rwakatale kashuka chat kakimbilia siasa na sasa ni anton rusekelo
msali mwingne kasema,wasanii wanaojiita jembe basi yeye ndo mpin,na wanaojiita wanyama,atawala nyama
kaponda tena bongo movie,kina jb wanaharibu madada ze2 kwa kuwagonga ili waonekane kwenye movie zao mwisho wa siku wanazoea na kuwa makahaba
mstali mwingine anasema,ukimchukia,pasuka,ukijfanya humjui basi dada ako anamjua na ukijifnya humpend,demu wako anampenda
kamalizia kwa kusema hataacha kuwachana bongo movie na wenzake wa bongo fleva mpaka waache mambo ya kijinga yasiyo na maadili
na mwisho kasema hamwogop m2,ni ukwel kwa kwenda mbele
ILA BAADA YA WIMBO HUU KUSIKIKA,BASATA WANATAKA WAMFUNGIE...
 
BASATA nao si was**ge tu.OYA NEY UKIMWONA BWEG* YEYOTE ANAZINGUA MKAMULIE TU TENA NA BADO WAKO WENDAWAZIMU WENGI TU WACHANE WOTE.BIG UP SANA MKUU NEY HUKO REAL KAMA HAWAPENDI WAJIREKEBISHE.
 
Mbona sioni mistari hapo naona mipasho tu??
 
Sasa anatukana maandamano wakati haki zake mwenyewe zimechakachuliwa,mwanamuziki wa uk nayeye wanaweza kwenda sawa?aache uzuzu atapntea kisanaa badala aboreshe mziki wake ana tukana hovyo hovyo tu lakin hii ndo bongo bana kapata vipesa vya gest kesha jiamin sanaa
 
ni sawa na mtu anaoga mtoni akatokea kichaa akabeba na kukimbia badala ya kuchutama unaanza kumkimbiza,mwisho wa siku inaonekana Ney ndio hana maadili.
 
Sasa anawaponda bongo movie mademu malaya wakati yy mwenyewe anatoka na NISHA kwahiyo anatapika nyongo nakuilamba tena halafu kinachochangia yote hayo shule sifuri
 
kwa nini aliwaponda Afande sele na Madee wakati na yeye anaimba mipasho? Ndo anapotea hivyo
 
haya ni maneno ndani ya wimbo mpya wa nay wa mitego,unaitwa wamenichokoza,kuna msitali anasema,NDANI YA POCHI YA MALAYA.,HAPAKOSEKANI PODA NA WANJA.kuna verse kaponda wanasiasa kwamb wanachochea maandamano wao hawaandaman wanatulia majumbn mwao,laia vihere here wanaandama,wanaishia kutwangwa risasi
mstali mwingine kaponda wachungaji kwa kusema;din imekuwa kama fani.inachuana na bongo fleva,mwanzo alivuma kakobe kashuka chat,2pa kule,akaja mama rwakatale kashuka chat kakimbilia siasa na sasa ni anton rusekelo
msali mwingne kasema,wasanii wanaojiita jembe basi yeye ndo mpin,na wanaojiita wanyama,atawala nyama
kaponda tena bongo movie,kina jb wanaharibu madada ze2 kwa kuwagonga ili waonekane kwenye movie zao mwisho wa siku wanazoea na kuwa makahaba
mstali mwingine anasema,ukimchukia,pasuka,ukijfanya humjui basi dada ako anamjua na ukijifnya humpend,demu wako anampenda
kamalizia kwa kusema hataacha kuwachana bongo movie na wenzake wa bongo fleva mpaka waache mambo ya kijinga yasiyo na maadili
na mwisho kasema hamwogop m2,ni ukwel kwa kwenda mbele
ILA BAADA YA WIMBO HUU KUSIKIKA,BASATA WANATAKA WAMFUNGIE...
usicheze na kitumbua arifu.....



mitrgo2.jpg


Picha hizi zimesambaa kwa kasi ikiwa ni siku moja tu baada ya NEY KUKANUSHA KUWA HANA UHUSIANO NA NISHA ...

Sasa Sijui Zimevujaje ? Ney wa Mitego ni mwanamuzi Ambae Siku za Karibuni Amepata umearufu kwa Kuwapa "MADONGO" Wasichana wa Bongo Movies Kuwa ni Malaya Wenye Viwango ...

Kumbe na yeye alikuwa anaponea huko huko
 
heee so kuna mtu pembeni alikuwa anawapiga ama?? jamani ustaa kazi.mweeee!!!
 
Mdogo wangu Ney, mi naikubali mistari yako m2 wangu yani unatoa vitu halisi halisia! usirudi nyuma komaa nao mwanzo mwisho mpaka kieleweke hiyo ndo real hip hop.
 
Back
Top Bottom