Duuuuh.mechi ya lipuli vs yanga imeingiza milioni 58.4.lipuli waepewa milioni 18 yanga milioni 9

Duuuuh.mechi ya lipuli vs yanga imeingiza milioni 58.4.lipuli waepewa milioni 18 yanga milioni 9

olekamaru

Member
Joined
Jun 23, 2017
Posts
78
Reaction score
74
Najiuliza baada ya kato LA kodi ya vat mpunga mwingine umekwenda wapi.Tff ni kichaka cha kupigia ela.vilabu na wachezaji wanavuja jasho na damu wengine wanafaidi kiulaini
 
Ndio mjenge viwanja vyenu


Asilimia ya pesa inaenda kwa wamiliki wa viwanja na viwanja vingi wanamiliki ccm

Chama cha soka cha mkoa wana fungu lao

Chama cha soka cha wilaya wana fungu lao

Pesa inatembea sehemu nyingi
 
Ndio mjenge viwanja vyenu


Asilimia ya pesa inaenda kwa wamiliki wa viwanja na viwanja vingi wanamiliki ccm

Chama cha soka cha mkoa wana fungu lao

Chama cha soka cha wilaya wana fungu lao

Pesa inatembea sehemu nyingi
Kwahy ukiwa na kiwanja binafsi makato sio mengi?lipuli mbona ground sio yao wamelamba pakubwa?
 
Vilabu vijenge viwanja vyao acheni kudoea hivi vya CCM na Serikali
 
ungesema ta TFF wamepata ngap ndo hoja yako ingekuwa na mashiko zaidi
 
Back
Top Bottom