DW wameelezea sababu za wamasai kufukuzwa Ngorongoro, ni ili wapewe Wawekezaji wafanye utalii wa kitajiri. Wamo Wachina

DW wameelezea sababu za wamasai kufukuzwa Ngorongoro, ni ili wapewe Wawekezaji wafanye utalii wa kitajiri. Wamo Wachina

Nenda huko kwa wamasai kawaambie wakupeleke kwenye nyumba walizojengewa kama hawakupiga mkuki.
Cheki huyu mjinga, nyie ndio wale mnapewa pesa mnakamatishwa ukuta na Waarabu kule Loliondo na bila shaka unafanya kazi kwa waarabu wa Loliondo kama mfua sox wao, mtu kama wewe kushikishwa ukuta sio swala la kuuliza.

Kwa akili zako za kushikishwa ukuta unazania Wamasai kule Ngorongoro wana shida sana na nyumba za Bati?

Ndio justficatioin ya kuwauzia Waarabu eneo? kwamba wajengewe nyumba then mwarabu apewe eneo? Mzazi wako namuonea huruma sana make ni hakuna kitu hapa
 
Cheki huyu mjinga, nyie ndio wale mnapewa pesa mnakamatishwa ukuta na Waarabu kule Loliondo na bila shaka unafanya kazi kwa waarabu wa Loliondo kama mfua sox wao, mtu kama wewe kushikishwa ukuta sio swala la kuuliza.

Kwa akili zako za kushikishwa ukuta unazania Wamasai kule Ngorongoro wana shida sana na nyumba za Bati?

Ndio justficatioin ya kuwauzia Waarabu eneo? kwamba wajengewe nyumba then mwarabu apewe eneo? Mzazi wako namuonea huruma sana make ni hakuna kitu hapa
Mzee unaonekana una hasira sana, Namuambia huyo chawa wa mama aende huko Serengeni akawahubirie wamasai hizo porojo zake aone kitachomkuta.
 
Tatizo la waTanzania ni ukimya unaoambatana na umbumbumbu!
Hili halina pingamizi Ngorongoro na maeneo mengi yameuzwa sana na ndiko zinatoka pikipiki za SSH 2025!
Kauli ya Jobo Ndugai ilidharauliwq na ndicho kinaenda sasa.
 
Tatizo la waTanzania ni ukimya unaoambatana na umbumbumbu!
Hili halina pingamizi Ngorongoro na maeneo mengi yameuzwa sana na ndiko zinatoka pikipiki za SSH 2025!
Kauli ya Jobo Ndugai ilidharauliwq na ndicho kinaenda sasa.
Na kuba pimbi wanashangilia
 
Unqjua kwamba kariakoo na posta Dar es Salaam ilikuwa makazi ya wazaramo? Kwa hiyo wangekataa kuondoka?
Usikwepe swali , Kinachoifanya Serengeti na Ngororo kuwa top tourist destination na maajabu ya dunia ni binadamu kushi na wanyama wakali in harmony. Kuna nchi zinatoa pesa nyingi sana kuilinda uhifadhi zina fadhili mpaka chuo cha utalii mwika. Hizo nchi hazijapewa tenda ya kujenga hoteli za utalii. Unawapa tenda watu hawana hata mchango katika uhifadhi wa utalii. Kama Tanzania ni mwanaume na serikali ni mwanamke wake basi huyo mwanamke ni hawara. Maana hajali hali ya mpenzi wake yeye anachojali ni kumkamua pesa na kuondoka zake.Hii ndio serikali yetu tuliyonayo. Tumewapa tenda ya bandari dubai huko nimekaa na wa-Emirati wanasema Dubai haina mafuta wanaendesha uchumi wao kwa kuwakopa Abu Dhabi. Bado serikali hawana watu ambao wako exposed na Dunia. Frankfurt Zoology Society imetumia hela nyingi sana kulinda bio-diversity society ya serengeti. Leo hii hao waarabu au watu kutoka Bosnia wamechangia nini. Watu mnaona serengeti ilivyo mnadhani ipo tu hamjui kwa nini mpaka leo hifadhi iko on point ?
 
Hili suala la Ngorongoro linafanywa kisiasa sana.
Hivi kati ya mtu kujengewa nyumba alafu anapewa hatimiliki ya kiwanja chake na kuishi porini kama mnyama kipi bora?

Hivi vyombo vya kimataifa navyo vina ajenda za hovyo tu!
Wamasai kwenye mazingira yao halisi ni kivutio cha watalii.
Kwa yeyote atakayefikiria tofauti, huyo ni zwazwa mkubwa sana.
 
We mjinga sana, alie kuambia wamasai wana shida na nyumba za Block ni nani? kwa hilo kwa akili yako ya kuvukia Barabara ukiwaona wamasai porini akili zako zina kutuma kwamba wana shida sana na wanahitaji nyumba? Ngorongoro ni waliko zaliwa,

Hilo Fuvu lako limejaaa kamasi mnalishwa sana propaganda na TBC
Rubbish!, we must preserve our land, hatuwezi kuona ngorongoro inageuka JIJI, Tukakaa kimya!
 
Vipi wale Wachina wanao jenga na Waarabu?
Wachina na waarabu wanachojenga ni cultural tourist homes, kwa mpangilio maalumu pembeni mwa mbuga bila kuathiri mapito ya wanyama aidha kuwaingilia, sasa ndugu zetu masai walikuwa wanaporomosha nyumba za bloku kuelekea mbugani, jambo ambalo ni hatari sana kwa uhifadhi.
 
Wachina na waarabu wanachojenga ni cultural tourist homes, kwa mpangilio maalumu pembeni mwa mbuga bila kuathiri mapito ya wanyama aidha kuwaingilia, sasa ndugu zetu masai walikuwa wanaporomosha nyumba za bloku kuelekea mbugani, jambo ambalo ni hatari sana kwa uhifadhi.
Ni kweli....Ngorongo ilikuwa inaenda kuisha yote......

Wamasai kuondolewa Ngorongoro napongeza sanaaa
 
Wachina na waarabu wanachojenga ni cultural tourist homes, kwa mpangilio maalumu pembeni mwa mbuga bila kuathiri mapito ya wanyama aidha kuwaingilia, sasa ndugu zetu masai walikuwa wanaporomosha nyumba za bloku kuelekea mbugani, jambo ambalo ni hatari sana kwa uhifadhi.
Wamasai hawaathiri makazi ya wanyama Ndio maana wakenya wanatupiga bao katika utalii. Kuna utofauti gani wa Krüger South Afrika
na Serengeti ? KRÜGER ndio mbuga kubwa afrika lakini watalii wanakuja huku ili kujionea binadamu anavyoishi in harmony na wanyama. Utalii ni engaging activities na sio tu kuangalia wanyama. Kuwafukuza Wamasai kutatufananisha na mbuga nyingi Afrika soko letu litakuwa dogo. Ila siwalaumu viongozi kwa sababu serikali zetu zinafikiria kuchota na kusepa atakayekuja muhula ujao atapambana na msala.
 
Back
Top Bottom