BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
- Thread starter
- #21
Cheki huyu mjinga, nyie ndio wale mnapewa pesa mnakamatishwa ukuta na Waarabu kule Loliondo na bila shaka unafanya kazi kwa waarabu wa Loliondo kama mfua sox wao, mtu kama wewe kushikishwa ukuta sio swala la kuuliza.Nenda huko kwa wamasai kawaambie wakupeleke kwenye nyumba walizojengewa kama hawakupiga mkuki.
Kwa akili zako za kushikishwa ukuta unazania Wamasai kule Ngorongoro wana shida sana na nyumba za Bati?
Ndio justficatioin ya kuwauzia Waarabu eneo? kwamba wajengewe nyumba then mwarabu apewe eneo? Mzazi wako namuonea huruma sana make ni hakuna kitu hapa