DW wameelezea sababu za wamasai kufukuzwa Ngorongoro, ni ili wapewe Wawekezaji wafanye utalii wa kitajiri. Wamo Wachina

Miaka mitano ijayo tutalia sana make itakuwa ni miaka ya kuuza nchi vibaya mno baada ya hapo watatuletea Mgombea mpya na wataanza kutuambia CCM mpya inakuja.
Hili jambo lipo na litatuumuza sana mpaka pale watu watakapotambua kuwa CCM siyo mama yao au baba yao ndipo tutaanza kutumia nguvu kudai upya uhuru kwa mara ya tatu.
 
Hili suala la Ngorongoro linafanywa kisiasa sana.
Hivi kati ya mtu kujengewa nyumba alafu anapewa hatimiliki ya kiwanja chake na kuishi porini kama mnyama kipi bora?

Hivi vyombo vya kimataifa navyo vina ajenda za hovyo tu!
Kujengewa nyumba hakuna tija pamoja na kupewa hatimiliki kuliko kunyimwa haki yako ya asili ya makazi yako ambayo ndiyo utambulisho wako popote duniani.Heri kufa maskini kuliko kuishi vizuri ukiwa mtumwa wa mwenye mamlaka au madaraka.
 
Kujengewa nyumba hakuna tija pamoja na kupewa hatimiliki kuliko kunyimwa haki yako ya asili ya makazi yako ambayo ndiyo utambulisho wako popote duniani.Heri kufa maskini kuliko kuishi vizuri ukiwa mtumwa wa mwenye mamlaka au madaraka.
Hizi ndo akili za kijinga
 
Yaani umeandika matakataka mengi yasiyo na sababu yoyote, wala maana yoyote, wamasai wanahamishwa ngorongoro bila ridhaa yao, (tumeshuhudia na kusikia) waliopinga kwa nguvu walichukuliwa hatua kali kama kupigwa au kuwekwa mahabusu,kuna ambao walipotea, hoja hapa si wamasai kuhamishwa tu ila je wametendewa haki wakati wa kuwahamisha? Je huko walikohamishwa kunapewa nani? Afanyie nini? Kwa ridhaa ya nani?
 
Kihistoria hata Ngorongoro walihamia kutoka Serengeti.

Hili suala mnalikuza tu kisiasa. Halina mantiki yeyote. Suala linalofanywa na Serikali lina faida zao mara 100 kuliko kuachwa kuishi maporini!
Tafadhari kumbuka kuwa hata Tanzania hapo mwanzo haikuwepo lakini wakoloni walikuja kuiwekea mipaka basi tunaomba mipaka ya watu iheshimiwe la sivyo wote tutauzwa na waroho wa utajiri za rasilimali.Mbona Ngorongoro haikukaa Rukwa,mbona haikukaa Songea,mbona haikukaa Bukoba Mungu alikuwa na sababu zake na ndiyo maana wafugaji wa Kimasai wakajaliwa kuishi huko,kuwatoa Wamasai kwa kisingizio cha uwekezaji ni kinyume na Haki za Binadamu.
 
Wasukuma wamehamishwa sana kupisha migodi,na mchango toka sekta ya madini ukakua,wamasai wapishe tupate hela, wamasai siyo spesho
Wewe ni mjinga,mpaka leo Wasukuma wapo kwenye maeneo yao ambako kuna migodi.Wamasai wanatolewa Ngorongoro wanapelekwa Tanga ardhi yao ya asili wanapewa Waarabu wavamizi wa Tanganyika.
 
Resettlement scheme ni Jambo la kawaida. Alafu mtoto unapompeleka Shule ni kwa faida yake mwenyewe na Kama ipo ya mzazi ni kwa uchache Sana, akiwa mtoro mbona unatumia nguvu kumlazimisha aende Shule? Si unajua kuwa Jambo linafaida Ila kwa wakati huo mwanao hajui, Ila itafika wakati atakitambua Hilo.
 
Wewe ni mjinga,mpaka leo Wasukuma wapo kwenye maeneo yao ambako kuna migodi.Wamasai wanatolewa Ngorongoro wanapelekwa Tanga ardhi yao ya asili wanapewa Waarabu wavamizi wa Tanganyika.
Itakua hujui chochote kuhusu bukyanhulu,watu walifukiwa na magreda,hao wamasai watoke huko,nchi hii ardhi ni Mali ya serikali
 
Hili suala la Ngorongoro linafanywa kisiasa sana.
Hivi kati ya mtu kujengewa nyumba alafu anapewa hatimiliki ya kiwanja chake na kuishi porini kama mnyama kipi bora?

Hivi vyombo vya kimataifa navyo vina ajenda za hovyo tu!

Nani alikwambia mmasai wa Ngorongoro aliyezaliwa na kuishi porini ana shida ya kujengewa nyumba ya bure na Serikali?
Serikali hii ya CCM tangu lini ikawa na huruma ya kuwajengea watu nyumba?
 
Sishangai kila akiingia Raisi wa imani fulani basi wamasai wanaishi karibu na mbuga wanapata mtiti. Wanawashobokea waarabu wao
 
Wala hakuna nia njema ya uhifadhi wala nini! Madini yamegundulika mbugani wanataka kuchimba haraka hasa wachina na waarabu!
 
Basi hao matajiri wamwage Pesa ili na Wamasai nao wafaidike.
 
Hao mabeberu, lazima waponde. Wangekuwa wamepewa mabwenyenye wa US, UK, Ger na Frc usingesikia hayo malalamiko. Ila akipewa uwekezaji mchina, mwarabu au Mrusi utawasikia wakibweka. Wakati wizi wa raslimali katika migodi yetu ukifanyika Kwa mikataba ya kimangungo mbona hawakutoa doc yote?
 
HUMAN RIGHTSTANZANIA
Tanzania: Plan for Maasai removal putting people at risk
Shristi Mangal Pal

A new report outlines how the Tanzanian government is cutting essential services to force the relocation of Maasai living in a conservation area.

A new report released Wednesday by Human Rights Watch (HRW) reveals some of the consequences of a plan from the Tanzanian government to force the Maasai to relocate from their ancestral lands in the Ngorongoro Conservation Area in northern Tanzania.

With over 82,000 Maasai being evicted, the rights watchdog has said that the government had violated the Maasai's rights to land, education, and health without providing fair consent.

"The Maasai are being forcibly evicted under the guise of voluntary relocation," said Juliana Nnoko, HRW senior researcher on women and land.

The HRW report said that "government-employed rangers assaulted and beat residents with impunity," with community members reporting 13 alleged incidents of beatings between September 2022 and July 2023.

The government has said that relocating the Maasai aims to protect the Ngorongoro Conservation Area, a UNESCO World Heritage site, from human encroachment.

What does the report say?
HRW argued that the Tanzanian government wants to "use the Maasai lands for conservation and tourism purposes."

To pressure the community into relocating, Tanzanian authorities have cut funding for schools and health centers, which restricts access to essential care and increases travel distances.

HRW reported that the service cuts have had severe consequences, with one woman giving birth to premature twins in a car, both babies dying from delayed care.

Additionally, three women died from pregnancy-related complications between April and May last year due to a lack of timely medical help.

Controversy over the relocation scheme has led to the World Bank in April suspending $150 million worth of conservation funding, and the EU also removing Tanzania's eligibility for around $19 million in similar funding.

Government denying Maasai voting rights - expert tells DW
"In the past three years, the government of Tanzania has been inflicting social and economic restrictions on the Maasai in Ngorongoro," Denis Oleshangay, a lawyer and activist from Ngorongoro told DW.

He has been advocating for the Maasai in several cases, both in Tanzanian courts, and in the East African Court of Justice.

"The community is denied rights to access important social services, like education, health and essential places for pasture, water and salt links," Oleshangay added.

He said that the government, through the Ngorongoro Conservation Area Authority (NCAA), has denied building permits for the renovation of collapsed structures, including classrooms, health facilities, and residential homes.

"Recently, the community has been complaining that the government is now stripping them of their voting rights and disenfranchising them, to facilitate their removal from Ngorongoro," he added.

Oleshangay pointed out that, while the government listed polling stations nationwide, the villages in Ngorongoro were notably absent from the list.


Government denying Maasai voting rights - expert tells DW
"In the past three years, the government of Tanzania has been inflicting social and economic restrictions on the Maasai in Ngorongoro," Denis Oleshangay, a lawyer and activist from Ngorongoro told DW.

He has been advocating for the Maasai in several cases, both in Tanzanian courts, and in the East African Court of Justice.

"The community is denied rights to access important social services, like education, health and essential places for pasture, water and salt links," Oleshangay added.

He said that the government, through the Ngorongoro Conservation Area Authority (NCAA), has denied building permits for the renovation of collapsed structures, including classrooms, health facilities, and residential homes.

"Recently, the community has been complaining that the government is now stripping them of their voting rights and disenfranchising them, to facilitate their removal from Ngorongoro," he added.

Oleshangay pointed out that, while the government listed polling stations nationwide, the villages in Ngorongoro were notably absent from the list.

Written using material from AFP and EFE news agencies

Edited by: Wesley
 
BLACK MOVEMENT nakiri kwamba nilikuwa sikuelewi ila nimepata utulivu Sasa hivi nakuelewa sana na ninakukubali pia.

Usinichoke na usiwachoke wengine kwani tunatofautiana sana uelewa na ufahamu wa mambo.

NAOMBA KWA MARA YA KWANZA NA TAREHE YA LEO POKEA HESHIMA YANGU KWA UNYENYEKEVU WOTE KWAKO.

SALUTE MKUU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…