NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Kuna yule bwana nyumba wa shigongo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo No ataniua. Mwili kama nyumba hapana aisee.Mambo yenu hayo akiku hug anaku protect hivi 😀😀😀 shenzee af kina Kevin Hart ndo waoaji sasa
Hilo ni jitu sio mtu 😂 hata Dwayne mwenyewe hapana ana mwili mkubwa sana hao siwataki.Tall dark handsome hz unazotakaga
Huyo hapana unaweza kufa. Mkewe anajiweza sana sio kwa mwili huo. Mtu yupo kama mnazi alafu kajaa weee ni mwendo wa mbio.Mambo wapendayo madem wa jf 😀😀😀
Hao ndio Toluz hz nyingine uchafu tuh.Hilo ni jitu sio mtu 😂 hata Dwayne mwenyewe hapana ana mwili mkubwa sana hao siwataki.
Hahahah si mnapenda za warefu 😀 unapigwa hogo kama hogoHuyo hapana unaweza kufa. Mkewe anajiweza sana sio kwa mwili huo. Mtu yupo kama mnazi alafu kajaa weee ni mwendo wa mbio.
Hahahahah kwahio humtaki mwamba ata kwa kukodi tu😀😀😀Huyo No ataniua. Mwili kama nyumba hapana aisee.
Sitaki watu wakubwa hivyo. Mtu anavaa kiatu namba 75 unadhan na huko ndani kukoje? Akaaa sitaki 😂Hahhaha
Hahahahah kwahio humtaki mwamba ata kwa kukodi tu😀😀😀
😂😂 Wa hivyo kazidi.Hahahah si mnapenda za warefu 😀 unapigwa hogo kama hogo
😂🤣Hao ndio Toluz hz nyingine uchafu tuh.
Cheka tu.
Ukiambiwa bby leo nimekumisi unaanza kutafta panadol zilipo kwanza 😀😀😀Sitaki watu wakubwa hivyo. Mtu anavaa kiatu namba 75 unadhan na huko ndani kukoje? Akaaa sitaki 😂
Ee, mambo gani sasa hayoUkiambiwa bby leo nimekumisi unaanza kutafta panadol zilipo kwanza 😀😀😀
🤣🤣Cheka tu.
Ndio vile aKipiga mti anaweza tokea upande wa pili.
🤣 Lione
Najua umedownload hy picha.🤣 Lione