Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni genes za wazazi ama genetic disorder, ama matatizo ya ubongo kuendelea kuzalisha growth hormone hata kama umefikia kiwango kinachotakiwa.Duh! Hii midubwana hua inakula nini
Aisee kina Goliath Bado wanaishi[emoji4]Ni genes za wazazi ama genetic disorder, ama matatizo ya ubongo kuendelea kuzalisha growth hormone hata kama umefikia kiwango kinachotakiwa.
Sababu kubwa hua ni hizo, urithi ama ugonjwa.
Miaka ile ya nyuma yalikua yamejaa WWE, makubwa kinoma[emoji23].
Mimi ni futi 6.5 najiona nilivyo mkubwa, sasa mijamaa ya 7.6, 7.7 ikoje. Niliemda siku moja pale Sabasaba nikakutana na yule jamaa mrefu anaonekana sana kwenye tv, yuko 7.4 ama 7.5, nikajilinganisha nae nikajiona mdogo.
Anyway, binafsi ningetamani kama ningekua 7 hivi[emoji23].
Aliwah kushuka na goli lote mwanangu la NBA kioo chote chini, this dude is huge....Imagine mpira wa basketulivyo mkubwa
Afu jamaa anaushika utadhan kitenesi[emoji1]View attachment 2542272
Hahaa jaman picha ya hiyo midude mie ya nini sasa? Kwanza yanatishaNajua umedownload hy picha.
Itumie kistaarabu bibie
[emoji1][emoji1][emoji3][emoji3][emoji1][emoji1][emoji3]daahhMambo wapendayo madem wa jf [emoji3][emoji3][emoji3]
Enzi jokate anamdate Hashim nilikua nawazaaa hvyo hvyooo[emoji1]Sitaki watu wakubwa hivyo. Mtu anavaa kiatu namba 75 unadhan na huko ndani kukoje? Akaaa sitaki [emoji23]
[emoji2][emoji2][emoji2]Aliwah kushuka na goli lote mwanangu la NBA kioo chote chini, this dude is huge....
Tdh hizo, hizi zingine uchafu
Wanawaza ukubwa wa hogo kwa kuangalia kimo😂😂Ha ha ha....akili zenu wanawake bhana[emoji1787]
Babee [emoji847]
Khaaaa,huu mguu anavaa nani?Shaq O'Neil anavaa kiatu size namba 75[emoji1787]View attachment 2541966
Mzee Nani kakutunuku u Dr ,na chuo kipi ulipitaMzee nilimiss hekaheka zako, bora umerud[emoji23]