Dyabala ni winger sio strikerLukaku 2017/2018 alifunga magoli 27 united, Dyabala alifunga magoli 26 juve. Lukaku ni mfungaji bora wa muda wote wa Belgium, Dyabala kwenye timu ya taifa amezidiwa magoli na Higuain. Uwe unaangalia serial A uone Dogo alivo wa kawaida. Hana mbio, yeye ni kuzunguka tu na mpira. Kwa mzunguko ule akija EPL atasahaulika kabisaaa.
Dalmine spurs miaka iliyopita walisema hawasajili kwasababu wanajenga uwanja,ni kweli tuliona namna Mungu alivyowasimamia maana ingekuwa timu nyingine ingeshika hata nafasi za mwisho lakini pochettino pamoja na uongozi wamehakikisha timu inapambana
nikakupa takwimu za magoli, Dybala hua anakua-deployed kama false 9 Mara nyingi kwa hio sio tu AM peke ake. Pia takwimu za misimu miwili iliopita kwenye ligi na uefa Dybala ana assists 9 wakati Lukaku anazo 8 kwa michezo 80 kwa 83 respectively. Pia Dybala ana magoli 33 na Lukaku anayo 35 kwa michezo hiyo hiyo. Tatizo hujaangalia seria A ukaona mwenyewe, Dybala jina tu kubwa ila style ya uchezaji hata Martial anamkalisha. Tena madogo wa united wangeenda Italia kwa viwete Kule hiii hi!Huyu huyu dybala goal scorer wa juventus kabla ujio wa cr7?
Messi hua anacheza kama second striker hiyo ya attacking midfielder alishaiacha muda mrefu, Ronaldo pia hucheza kama second Striker ndomana Barcelona kuna Suarez na Juventus kuna Mandzukic. Tofauti ni kwamba Ronaldo hua hakai katikati/ nyuma ya striker, yeye hukaa pembeni au kati mbele, Messi anatokea nyuma ya main striker na Kulia. Ronaldo na Messi tunawalinganisha influence sio style ya kucheza.Ujui kutofautisha wachezaji. Lukaku ni striker, na Dybala ni foward/Attacking midfielder,,sasa watafanana vipi? Ni kama Messi/Attacking Midfielder umringanishe na cr7 Striker.
Higuain ameanza kitambo kuchezea timu ya taifa kwanini asiwe na magori mengi ukizingatia wanacheza position tofauti. Wakati dybala hakucheza sana timu yake ya taifa, Messi akiingia uwanjani yeye anakaa benchi anasubiri mpaka Messi aumie!!
Kuusu kusahaulika epl huo ni mutazamo wako jomba.
Ulisema hivi
nikakupa takwimu za magoli, Dybala hua anakua-deployed kama false 9 Mara nyingi kwa hio sio tu AM peke ake. Pia takwimu za misimu miwili iliopita kwenye ligi na uefa Dybala ana assists 9 wakati Lukaku anazo 8 kwa michezo 80 kwa 83 respectively. Pia Dybala ana magoli 33 na Lukaku anayo 35 kwa michezo hiyo hiyo. Tatizo hujaangalia seria A ukaona mwenyewe, Dybala jina tu kubwa ila style ya uchezaji hata Martial anamkalisha. Tena madogo wa united wangeenda Italia kwa viwete Kule hiii hi!
Messi hua anacheza kama second striker hiyo ya attacking midfielder alishaiacha muda mrefu, Ronaldo pia hucheza kama second Striker ndomana Barcelona kuna Suarez na Juventus kuna Mandzukic. Tofauti ni kwamba Ronaldo hua hakai katikati/ nyuma ya striker, yeye hukaa pembeni au kati mbele, Messi anatokea nyuma ya main striker na Kulia. Ronaldo na Messi tunawalinganisha influence sio style ya kucheza.
Ulisema hivi
nikakupa takwimu za magoli, Dybala hua anakua-deployed kama false 9 Mara nyingi kwa hio sio tu AM peke ake. Pia takwimu za misimu miwili iliopita kwenye ligi na uefa Dybala ana assists 9 wakati Lukaku anazo 8 kwa michezo 80 kwa 83 respectively. Pia Dybala ana magoli 33 na Lukaku anayo 35 kwa michezo hiyo hiyo. Tatizo hujaangalia seria A ukaona mwenyewe, Dybala jina tu kubwa ila style ya uchezaji hata Martial anamkalisha. Tena madogo wa united wangeenda Italia kwa viwete Kule hiii hi!
Messi hua anacheza kama second striker hiyo ya attacking midfielder alishaiacha muda mrefu, Ronaldo pia hucheza kama second Striker ndomana Barcelona kuna Suarez na Juventus kuna Mandzukic. Tofauti ni kwamba Ronaldo hua hakai katikati/ nyuma ya striker, yeye hukaa pembeni au kati mbele, Messi anatokea nyuma ya main striker na Kulia. Ronaldo na Messi tunawalinganisha influence sio style ya kucheza.
Najilazimisha kuelewa ulichokiandika ila nashindwa.huyo dogo kwa lukaku ni "bora liende" , Lukaku ana mzuka wa kupiga Mpira sema sio professional tu. Dyabala ni Dele Ali v2.0
Najilazimisha kuelewa ulichokiandika ila nashindwa.
Dyabala ni Dele Ali v2.0
Ujui kutofautisha wachezaji. Lukaku ni striker, na Dybala ni foward/Attacking midfielder,,sasa watafanana vipi? Ni kama Messi/Attacking Midfielder umringanishe na cr7 Striker.
Higuain ameanza kitambo kuchezea timu ya taifa kwanini asiwe na magori mengi ukizingatia wanacheza position tofauti. Wakati dybala hakucheza sana timu yake ya taifa, Messi akiingia uwanjani yeye anakaa benchi anasubiri mpaka Messi aumie!!
Kuusu kusahaulika epl huo ni mutazamo wako jomba.
Lukaku 2017/2018 alifunga magoli 27 united, Dyabala alifunga magoli 26 juve. Lukaku ni mfungaji bora wa muda wote wa Belgium, Dyabala kwenye timu ya taifa amezidiwa magoli na Higuain. Uwe unaangalia serial A uone Dogo alivo wa kawaida. Hana mbio, yeye ni kuzunguka tu na mpira. Kwa mzunguko ule akija EPL atasahaulika kabisaaa.
kwahio strongest attribute ya Dybala ni ipi? Misimu miwili assists 9 kwa 8Achah ujinga huo, Lukaku ni Striker, Dybala ni Supporting Striker na bado wanakaribiana kwa magoli bado huoni utofauti?
baba yako MimiKuwa na adabu