Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Heshima sana wanajamvi,
Mamlaka ya mapato Tanzania ilibadili mfumo wake wa ku fill kodi mbali mbali kupitia mfumo mpya ambao badala ya kurahisisha kazi umeongeza ugumu wa kazi.
Unaweza kuchukua siku nzima ukihangaika kuufungua tu .Bado utasumbuka masaa mengi kurudia rudia kila mara na usifanikiwe.
Wakati mwingine inakubidi kudamka usiku wa manane kufungua lakini wapi .
Najiuliza TRA wameweka mfumo huu ili kutukomoa wafanyabiashara tushindwe kulipa kodi kwa wakati mtubandike mapenalty kwa kuchelewa kulipa kodi au kuna siri gani.
Haiwezekani dunia ya sasa badala ya kurahisisha mambo yaende haraka mnafanya kinyume chake.
TRA mnasubiri Kinana alalamike ndio mchukue hatua kama Police na suala la Trafic au mnataka nini.Mfumo wenu mbovu si rafiki unatumia muda mrefu sana na wakati mwingine siku mbili hadi nne ku fill kodi aina moja tu.Tunaka kulipa VAT kwa wakati shida,tukitaka kulipa SDL shida,tukitaka kulipa PAYE shida hivi mnataka nini ???.
Ngongo kwasasa nahangaika na eFilling nashindwa kulipa PAYE.
Mamlaka ya mapato Tanzania ilibadili mfumo wake wa ku fill kodi mbali mbali kupitia mfumo mpya ambao badala ya kurahisisha kazi umeongeza ugumu wa kazi.
Unaweza kuchukua siku nzima ukihangaika kuufungua tu .Bado utasumbuka masaa mengi kurudia rudia kila mara na usifanikiwe.
Wakati mwingine inakubidi kudamka usiku wa manane kufungua lakini wapi .
Najiuliza TRA wameweka mfumo huu ili kutukomoa wafanyabiashara tushindwe kulipa kodi kwa wakati mtubandike mapenalty kwa kuchelewa kulipa kodi au kuna siri gani.
Haiwezekani dunia ya sasa badala ya kurahisisha mambo yaende haraka mnafanya kinyume chake.
TRA mnasubiri Kinana alalamike ndio mchukue hatua kama Police na suala la Trafic au mnataka nini.Mfumo wenu mbovu si rafiki unatumia muda mrefu sana na wakati mwingine siku mbili hadi nne ku fill kodi aina moja tu.Tunaka kulipa VAT kwa wakati shida,tukitaka kulipa SDL shida,tukitaka kulipa PAYE shida hivi mnataka nini ???.
Ngongo kwasasa nahangaika na eFilling nashindwa kulipa PAYE.