princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
tekenya tekenyaInaboa sana unasikiliza taarifa za maana mara wanaeka nyimbo sijui 'tekenya tekenya' wawe wanaangalia na muda wa kupiga hizo nyimbo.
Basi we sio msikilizaji wa E FM nadhani utakua umeamua tu kuwaharibia!Sina namba zao, nipatie.
Sijaona mahali nitakapotolea malalamiko yangu zaidi ya JF, kiukweli E-Fm sijajua mnalenga nini utakuta mtu unasikiliza kipindi cha maana kabisa asubuhi mara inapigwa singeri!!! Huwa mnatutoa kwenye mood kabisa!! mfano mwingne unakuta mnaweka bongo fleva....mara nyimbo za zamani za dansi mkitoa mnaweka singeri!! yaan hamfanyi vitu kimpangilio...tengeni muda wa singeri ni singeri....bongo fleva ni bongo fleva...singeri asubuhi asubuhi anasikiliza nani?!!!