E-Fm mnaboa

E-Fm mnaboa

Kikubwa unaisikiliza muda wote ndio maana unajua inakuboa,kama vip change station au amzisha yako.!
 
Sijui nn kutoka kwetu uswazi kitakuwa kizuri kwenu ......Singeli ndo mziki wa maisha Yetu singeli dunia....na sisi ndo wahuni singeli
 
Iv unapataje muda wa kusikiliza Radio mpaka unajua vipind vinaokuboa,maea singela sijua mambo gan hayo.....inamaana hatuna shuhuri za kufanya kukuweka bize....
 
Miziki ile usikilize peke yako lkn sio ufungulie redio kwa sauti... Mi huwa naona aibu.. Jumbe za singeli hazina mantiki kabisa....Mie pia sipendi...huwa nasikiliza online ila miziki yao ikianza nasitisha
 
Wengine sisi wazee hebu tuelimisheni singeri singeli ndio nini?aiseee uzee kazi
 
Sijaona mahali nitakapotolea malalamiko yangu zaidi ya JF, kiukweli E-Fm sijajua mnalenga nini utakuta mtu unasikiliza kipindi cha maana kabisa asubuhi mara inapigwa singeri!!! Huwa mnatutoa kwenye mood kabisa!! mfano mwingne unakuta mnaweka bongo fleva....mara nyimbo za zamani za dansi mkitoa mnaweka singeri!! yaan hamfanyi vitu kimpangilio...tengeni muda wa singeri ni singeri....bongo fleva ni bongo fleva...singeri asubuhi asubuhi anasikiliza nani?!!!

Sikiliza Tbc fm
 
Huwo ndiyo Mpangilio wao E-fm ni Mkombozi wa Mziki wa Singeli Kwa Hiyo Radio yao Wameamua Iwe Hivyo..
 
Mi napenda sana na jamaa hao wanafanya biashara na wana sikilizwa sana kwasababu ya hiyo singeli kwa hiyo usiwalazimishe wakimbiwe na wateja.
Wamenifurahisha na kule kwenye TV-E wanayo wanaita...ZAKWETU.
 
Back
Top Bottom