E fm yazidi kuwafunika Clouds fm

Mkuu umewasahau wale jamaa wanaotangaza Raggae wale , wanagonga kijamaika hatari nawapenda sana wale jamaa sijui ndoo hawa walikuwa times fm mwanzo?
 
Kama una dish la Azamu jamaa wa E fm wanapatikana vizuri kabisa!!!
 
Mkuu kula like zangu nyingi.

Yani sport extra sasa hivi imepoteza diraa kabisaa. Wanasubiri mnoo kwa sport headquarter

Nimebaki nasikiliza amplifaya but nayenyewe naona kama imekosa ubunifu mpya.

Huku kwenye jahazi pamoja na gadna kaja but nothing new...

Asubuh kwa kina bonge ,fredwaa sijui na nan yulee naona pia chenga tuuuu
 
xxl yenyewe mbovu siku hizi, utakuta wana interview msanii huku wanajadili vitu vya kijinga wakati huo mda unaenda. Mda umeisha hawajamuoji kitu cha maana, achilia mbali hayo matangazo sasa.
Mkuu unasikilizaga xxl????
Twende E fm
 
marekebisho, efm inasikika duniani pote, kupitia on line, unaweza ku download apply ya radio kwenye pray store utaipata, m nko huku mbali naiskia,

zipo radio nyingi sana, isipokuwa rfa, nahisi hawajajipanga bado,
 
Shika Adabu yako! Heshimu Makabila ya Wenzio. Sio kila la Hovyo ni la wanyamwezi.
Mkuu unajua maana ya neno alilotumia? umekurupuka (amesema hyo radio ilikuwa ya kinyamwezi sana) kwa maana nyingine ya kimjini mjini alimaanisha (hiyo choice fm radio ilikuwa ya waskilizaji wa kishua)
 
na hapa hawajaanza kutoka nje ya dar,,wakianza toka nje ya dar clouds bye bye
 
Efm huu mchezo hauitaji hasira... Jamaa wanatisha.

Tatizo clouds matangazo tupu tumeshawachoka. Amekuja Gadna na Kipanya ila hakijabadirika chochote.

Efm ndio habari ya mjin.

Namsikizaga ma nigga kibonge toz kwenye ladha 3000
 
Kama una king'amuzi cha Azam unaweza kusikiliza fresh sana....
 
Mkuu umewasahau wale jamaa wanaotangaza Raggae wale , wanagonga kijamaika hatari nawapenda sana wale jamaa sijui ndoo hawa walikuwa times fm mwanzo?
Hahaha hawa jamaa wana swaga hatari nilisikiliza siku moja nilicheka sana wanavutia kuendelea kusikiliza kipindi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…