Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shika Adabu yako! Heshimu Makabila ya Wenzio. Sio kila la Hovyo ni la wanyamwezi.
Nifafanulie mkuu.hata watangazaji wa efm wamekula shavu la kwenda south africa kila ijumaa kutamgaza mechi za la liga kwa kiswahili super sports
Haha haa...mkubwa umepaniki bure. Ukisikia mtu anasema 'ya kinyamwezi' hamaanishi wanayamwezi wa Tabora bob. Kinaymwezi=kimarekani.Shika Adabu yako! Heshimu Makabila ya Wenzio. Sio kila la Hovyo ni la wanyamwezi.
Ndo wanaanza. Mtoto lazima atambae kabla ya kutembeaHao Efm nao wamekariri dar tu huku mikoani hapana wananiboa sana
Ni kuwa maulid kitenge alipewa dili la kutangaza la liga kwa kiswahili so amewachukua n kuwapa shavu oscar n ibrahimu masoud ambao wanapokezana wanaeda makao makuu ya dstv south afrika n uwa wanatangaza mechi za la liga ukitaka kuwackiliza bonyeza language kwny remote ya dstv chagua swahiliNifafanulie mkuu.
Asante sana mkuu.Ni kuwa maulid kitenge alipewa dili la kutangaza la liga kwa kiswahili so amewachukua n kuwapa shavu oscar n ibrahimu masoud ambao wanapokezana wanaeda makao makuu ya dstv south afrika n uwa wanatangaza mechi za la liga ukitaka kuwackiliza bonyeza language kwny remote ya dstv chagua swahili
Ishu c kukapatikana Tz n tunaongelea ubora wa vipindi n usikilizwaji wa vipindi kwa dar e.fm ameshatake over the market clouds haikamati Tz nzima ungesema Rfa sawaKweli za kuambiwa changanya na zako, hivi kweli Clouds uifananishe na E.fm kweli ??? Labda kama mnaongelea kuja kwa kasi lakini si kuifikia Clouds hata kidogo. Ni kweli Clouds wanamapungufu yao kama zilivyo Redio zote TZ kama si Dunia nzima, hasa linapokuja swala la matangazo ni too much,ni kama walivyo E.fm kuwa na muda mreeeeeeeefu wakiongelea michezo. ( sio watu wengi wanapenda hivyo) Clouds kwa sasa inasikika karibia nchi nzima,wakati hiyo E.fm ni Dar tu.
lugha gongana poti.Shika Adabu yako! Heshimu Makabila ya Wenzio. Sio kila la Hovyo ni la wanyamwezi.
Kwa kipimo kipi unachotumia wewe........( kama sio hisia) na sijasema kwamba inasikika TZ nzima, ila nimesema karibia TZ nzimaIshu c kukapatikana Tz n tunaongelea ubora wa vipindi n usikilizwaji wa vipindi kwa dar e.fm ameshatake over the market clouds haikamati Tz nzima ungesema Rfa sawa
Una akili ila makundi yanakuharibuRadio inayosikika dar tu haiwezi kuifunika radio inayosikika almst tz nzima
Ndo wanaanza. Mtoto lazima atambae kabla ya kutembea
We Wa wapi wewe!? Umezaliwa 2010 nini!? Unadhani USA kunaitwa Unyamwezini kwa sababu kuko hovyo!? Au mtu akiitwa Mnyamwezi unafikiri anadhihakiwa!?Shika Adabu yako! Heshimu Makabila ya Wenzio. Sio kila la Hovyo ni la wanyamwezi.
Clouds haikamati Tz nzimaIfike mahala sasa tuache kuchukua maoni na mitazamo ya Watu wa Dar ndio mitazamo ya Watanzania wote. Hiyo Radio inasikika kwa Dar na ni vema useme inakubalika na Wa Dar hapo hapo na Ila Clouds ni Tanzania nzima..Sijui umetumia vigezo gani?
We huna akili,na ndio maana nimesema kwa hapa DSm habari ni E fm,,na nimesema inakamata mkoa mmoja tuuRadio inayosikika dar tu haiwezi kuifunika radio inayosikika almst tz nzima
Kwa nini lakini hamsomi thread vizuri mkaielewa? Haya kasome tena thread ndio uje kureply hapaIfike mahala sasa tuache kuchukua maoni na mitazamo ya Watu wa Dar ndio mitazamo ya Watanzania wote. Hiyo Radio inasikika kwa Dar na ni vema useme inakubalika na Wa Dar hapo hapo na Ila Clouds ni Tanzania nzima..Sijui umetumia vigezo gani?