Not trueWahindi wanachukua tender kwa bei kubwa then wanawapa tender wabongo kwa hela ndogo. Wahindi ni makanjanja tu kwenye tech.
Hivi unadhani Magufuli kumtumbua nape ilikua ni chuki binafsi yule mzee aliona mbali nape anachokijua ni bao la mkono na kucheza Golf tu maslahi ya Taifa hakuna kwake kila mtu ajitafutie maslahi yake.Miezi takribani sita imepita niliandika juu ya njama za viongozi waandamizi wa serikali kuihujumu mamlaka ya serikal mtandao(e-GA). Mipango ya e-GA kuzuiwa kufanya majukumu ya uundaji wa mifumo ya serikali ili waandamizi watafute kampuni binafsi kufanya hayo imeanza kufanikiwa.
Leo Wizara ya TEHAMA imeingia makubaliano na NMB ili NMB iwe inalipwa na serikali kutengeneza mifumo ya TEHAMA ya serikali.
Kwa mujibu wa MOU iliyo sainiwa leo , NMB atatoa wataalamu wa TEHAMA(Software developers) kutengeneza mfumo utakao replace NIDA na RITA ,kama mnavyofahamu ,serikali inakuja na jamii number ,namba ambayo mtoto akizaliwa atakuwa nayo na atakua nayo ,initiative nzuri sana lakiniiiii, kulikua na ulazima gani wa mradi nyeti kama huu kupewa taasisi binafsi? wafanyakazi wa NMB wana proper vetting kuanza kushika mifumo ya siri namna hii?
Achana na jamii bima, ESB ambayo tayari ipo e-GA na inafanya kazi, Wizara ya TEHAMA imeamuru NMB kupewa tender kupitia MOU hio wao ndio watengeneze ESB ya serikali, yaani mawasiliano ya mifumo yote ya serikali ananyang'anywa e-GA na anapewa NMB why?
Hivi nchi hii tuna mawaziri wanaofikiria kweli? Haya ndio mambo ya waziri alikuja na kufuta physics akasema iwe physics with chemistry, waziri huyo wa zamani alifuta masomo ya biashara na kilimo pia kabla ya serikali ku reverse maamuzi hayo, lakini kama mnakumbuka kuna watanzania walifutiwa masomo hayo.
Waziri wa TEHAMA unaua e-GA kwa maslahi ya nani?
Waziri wa TEHAMA unaua e-GA kwa kumkomoa nani?
View attachment 2883959
Naongezea kwanini namba nyingi za "tuma kwa namba hii" ni za TTCL?Hao wana joint venture na serikali tokea mwaka jana so it's not about competition ila ni collaboration.
e-GA | Habari
Kingine kama hauiamini kampuni ambayo serikali ni majority shareholder utaiamini kampuni ambayo ni 100% owned by foreigners?
Acha akili za ujamaa dunia imeshahama huko, kwanza hata JF tu haiwezi soma private texts sababu ya encryption ndio sembuse kampuni kubwa kama NMB iwe vulnerable kiasi hiko?
Kiufupi it's easier to breach data za TTCL kuliko Vodacom as it's easier to hack e-Ga than NMB!! competence private sector ni ten fold ya serikali
Leta quotations zao na za hao wahindi tulinganishe!!!!Not true
Wabongo ni more expensive - labda kama wanapeleka India na Nepal
Kuingiza majasusi hakutegemei kampuni ni private au public. Mbona mkuu wa majeshi kasema huko serikalini wamejaa wageni ilihali sio kampuni binafsi. So majasusi wanaweza kuwepo e-Ga as much as wanaweza kuwa NMBmajasusi wa kigeni hutafuta loope holes za kuingiza watu wao kwenye maeneo nyeti ya serikali ,
Ndio, mbona tunaprintiwa karatasi za kura kutoka nje ya nchi ndio sembuse mfumo wa NEC!! mbona Kenya wanenunua mfumo kutoka Venezuela na hawakuweza ingilia uchaguzi. Tuache uoga uoga wa kitoto dunia nzima private sector driven economy ndio zimetoboa nyie mmekalia uoga tu.Kwamba NMB kesho wanaambiwa watengeneze mfumo wa NEC kumanage kura za nchi na wewe unakenua meno unachekelea tu?
Waziri anaingiaje hapa wakati NMB ilishafanya miradi kibao na e-Ga? Kama ni ufisadi CAG aliona wizi huko e-Ga wa mamilion kwa kigezo cha feasibility studies, proposals etc so kma kigezo ni usafi then e-Ga is worse na wamekula fedha zaidi.Waziri wa TEHAMA amesha kula pesa NMB amewapa tender ili apate pesa za kampeni za uchaguzi wake mwenyewe sasa nakuambia siku zenu zinahesabika huu ni ujinga na uzalendo wa kijuha
Ni kitu gani kwenye mfumo mzima unachotengeneza ambacho wao hawakijui, technology ni yao vifaa ni vyao halafu unajidai na lipi?Sio kila kitu ushirikishe sekta binafsi, duniani kote wanapigana kupata taarifa za mataifa mengine. Sasa pata picha NMB kuna watu wa mataifa ya nje (Wazungu,Wakenya nk) then unawapa access ya mifumo yenye critical data ....... unazani watakuacha wewe au unazani wanakupenda na kumbuka NMB anafanya nao kazi kwa mkataba.Sasa mtu kama huyu baada ya mkataba wake kuisha ni rahisi kukuattack kwani anajua kila kitu kwenye mfumo wako ni kazi ya kuandika script/code na kuautomate na kuattack system yako.
Acheni siasa mpaka huku kuna siku mtajikuta taarifa zenu zote za ndani zipo nje.........
CAG kasema sababu ndio wajibu wake kutoa ripoti kwa raia, hivi ushasikia attack yoyote NMB? Unazani NMB hawawi attacked?Hawawezi kukuambia kama wamekuwa attacked sababu wana haribu reputation ya kampuni yao na kupoteza trust kwa wateja wao.Ila hizi bank zinapigwa sana kuliko taasisi yoyote ya serikali, sisi tulio kwenye hii industry tunaona na tunajua.
Husione taasisi kukomaa na kung'ang'ania watu wake wa ndani aliowaamini na kuwafanyia vetting sababu,anapunguza chance ya kuwa attacked.
Brother kwenye maswala ya Cybersecurity,mtu akijua configuration zako,Script/code, design ya network yako na kuona configuration zako umekwisha.
Unaposema majority shareholder holder ni serikali wakati huo huo unasema security ya NMB ni Kali kuliko ya e-GA na TTCL ambavyo ni vyaserikali....sikuelewi kabisa!!!Kiufupi it's easier to breach data za TTCL kuliko Vodacom as it's easier to hack e-Ga than NMB!! competence private sector ni ten fold ya serikali
CAG akisema kuna ufisadi serikalini mnamuunga mkono ila akisema e-Ga is incompetent by facts mnasema katumwa!! Sasa ndio nini hiko? Kwamba anakua mzuri tu akisema TPA kuna ufisadi ila akisema e-Ga kwa kuwa ni malaika hawakoseagi basi katumiwa kisiasa? Duh. Mbona vielelezo kaweka na ripoti nimeshaipost humu kaisome utaona hao e-Ga ni weupe.kuiua e-GA zimeanza muda na ndio maana hata hio audit report uliyo quote ilikua part of the big plan ,ili wanasiasa waje waseme e-GA hawana uwezo .
Ndio nauliza kama kampuni ambayo serikali ina hisa zaidi ya 34% hamuiamini je ungeiamini kampuni gani?Kama kweli e-GA angekua hana uwezo lingetafutwa kampuni ambalo kazi yake ni kutengeneza software ,yaani NMB ambaye kazi yake mama ni kutunza pesa na kuuza pesa unampa kazi kubwa ya kutengeneza mifumo ya nchi ?
Serikali ni partly mmiliki ila ajira n.k ni za private sector sio utumishi wa umma hivyo competence level ni juu. Niambie taasisi gani ya serikali ina perform vizuri kuliko taasisi ya private!!Unaposema majority shareholder holder ni serikali wakati huo huo unasema security ya NMB ni Kali kuliko ya e-GA na TTCL ambavyo ni vyaserikali....sikuelewi kabisa!!!
Huijui e-GA ,wewe mganga njaa umetumwa na wazee wa 10%kama mtu naeijua EGA vizuri naweza nkaconfirm they have the worst service, ulishawahi kupewa shared hosting bila cpanel? sasa ndo EGA hao, sjui ata nani anasmamia hawa jamaa ila anatakiwa ajiuzulu mda mrefu sana
CAG akisema kuna ufisadi serikalini mnamuunga mkono ila akisema e-Ga is incompetent by facts mnasema katumwa!! Sasa ndio nini hiko? Kwamba anakua mzuri tu akisema TPA kuna ufisadi ila akisema e-Ga kwa kuwa ni malaika hawakoseagi basi katumiwa kisiasa? Duh. Mbona vielelezo kaweka na ripoti nimeshaipost humu kaisome utaona hao e-Ga ni weupe.
Ndio nauliza kama kampuni ambayo serikali ina hisa zaidi ya 34% hamuiamini je ungeiamini kampuni gani?
Kingine nimekwambia NMB inatoa huduma mpaka za Cloud storage maana ina data center za kisasa pia. Kama inaweza hudumia miamala ya kielectronic nchi nzima watashindwa kuunda mfumo? Usikariri, hao NMB wamewasaidia e-Ga miradi kibao tu
Cha ajabu wewe ndio unaumia ilihali e-Ga ndio walitangaza kufanya kazi na NMB. Tuache ushamba, hata TRA inatunza data zake huko TTCL mbona hamuongei?
wewe ni mbumbumbu wa taaluma ya TEHAMA,kwa hio ukiona audit query unaona ni udhaifu?CAG akisema kuna ufisadi serikalini mnamuunga mkono ila akisema e-Ga is incompetent by facts mnasema katumwa!! Sasa ndio nini hiko? Kwamba anakua mzuri tu akisema TPA kuna ufisadi ila akisema e-Ga kwa kuwa ni malaika hawakoseagi basi katumiwa kisiasa? Duh. Mbona vielelezo kaweka na ripoti nimeshaipost humu kaisome utaona hao e-Ga ni weupe.
Ndio nauliza kama kampuni ambayo serikali ina hisa zaidi ya 34% hamuiamini je ungeiamini kampuni gani?
Kingine nimekwambia NMB inatoa huduma mpaka za Cloud storage maana ina data center za kisasa pia. Kama inaweza hudumia miamala ya kielectronic nchi nzima watashindwa kuunda mfumo? Usikariri, hao NMB wamewasaidia e-Ga miradi kibao tu
Cha ajabu wewe ndio unaumia ilihali e-Ga ndio walitangaza kufanya kazi na NMB. Tuache ushamba, hata TRA inatunza data zake huko TTCL mbona hamuongei?
Rushwa ya wazee wenu akina Nape inawafanya msione ukweliThank you
Hoja ni uhitaji wa mfumo au la
Alipoingiza hujuma ikaleta bias
Pole sana, wewe ndio hujui kusoma na kuandika. Soma hapo uone NMB inavyoingia!!Waziri wa TEHAMA mhe Nape amekanyaga mamlaka ya waziri mwenzake wa ofisi ya rasi Utumishi
Sheria na kanuni hizi hapa, nyie wengi wenu mnajua kusoma na kuandika , angalieni hizi sheria mnieleze wapi Waziri Nape anapata mamlaka ya kuipa NMB utengenezaji wa mifumo ya serikali?
sheria na kanuni zinakataa
kijana unaweza kuwatetea mpaka kesho wazee wako wanaouza serikali kwa sasa na kumchafua Rais makusudi lakini hutoelewekaSerikali ni partly mmiliki ila ajira n.k ni za private sector sio utumishi wa umma hivyo competence level ni juu. Niambie taasisi gani ya serikali ina perform vizuri kuliko taasisi ya private!!
Kingine aliyesema usalama upo chini sio mimi ni CAG (2023) kasema hao e-Ga huwa hawafanyi hata vulnerability checks kuona kama mfumo unaweza dukuliwa!! Sasa kama bare minimum tu hawawezi utalinganisha na NMB?
Hoja nyingine ni kwamba, kama hawaiamini NMB ambayo serikali ni partly mmiliki atamuamini nani mwingine? Microsoft? Amazon? Multichoice?
Nape mdogo sana kwanguRushwa ya wazee wenu akina Nape inawafanya msione ukweli
kwa hio niambieni ni lini waziri wa Ofisi ya Rais Utumishi ambaye e-GA ipo chini yake aliwahi kuwa engaged na akina Nape na wenzake ili kuona e-GA ESB yake haitoshi mpaka wakawaombe NMB watengeneze?
yaani waziri wa TEHAMA kaingilia wizra nyingine kuiamulia majukumu yake , nyie mnaona kawaida kwa kua ni wanufaika wa rushwa iliyotembea
Nimekuwekea sehemu ya sheria ya e-GA inayotoa mwongozo kwa yeyote serikalini anayetaka kuanzisha utengenezaji wa mfumo nini afanye .
Akina Nape wamefuata hayo?
Leo wameanza na NMB kesho wataita kampuni ya wamarekani waje wasambaze hadi mailing system za serikali .
Tuna watu mnaojifanya mnajua IT kumbe ni bush lawyer wa IT.
Una akili timamu una support mifumo ya serikali ikabidhiwe taasisi binafsi ili ule 10%
tofautisha Kushirikiana na kusain MOU ,MOU ni kubwa kuliko mashirikiano ya mezaniKuingiza majasusi hakutegemei kampuni ni private au public. Mbona mkuu wa majeshi kasema huko serikalini wamejaa wageni ilihali sio kampuni binafsi. So majasusi wanaweza kuwepo e-Ga as much as wanaweza kuwa NMB
Kingine kama ambavyo mataifa hutafuta loophole basi pia FIU,FCC,TISS n.k hutafuta loophole kuweka counter intelligence ring ndani ya hizo taasisi. So kama CIA wakiweka mtu basi amini pia FIU watapandikiza mtu.
Ndio, mbona tunaprintiwa karatasi za kura kutoka nje ya nchi ndio sembuse mfumo wa NEC!! mbona Kenya wanenunua mfumo kutoka Venezuela na hawakuweza ingilia uchaguzi. Tuache uoga uoga wa kitoto dunia nzima private sector driven economy ndio zimetoboa nyie mmekalia uoga tu.
Sasa turudi huko serikalini ndio kuna malaika? Mbona kila siku kura zinaibwa, karatasi feki zinaprintiwa, maboxi ya kura kupatikana kabla ya siku ya uchaguzi n.k. So kama NEC ipo incompetent tuing'ang'anie kisa usalama ambao hata sasa haupo? Nasema hivi sio tu Dp world ila hata huko TRA kazi wapewe deloitte n.k ndio tutaona mabadiliko ya utendaji hizi tabia za ujamaa haziwezi kutupeleka kokote.
Waziri anaingiaje hapa wakati NMB ilishafanya miradi kibao na e-Ga? Kama ni ufisadi CAG aliona wizi huko e-Ga wa mamilion kwa kigezo cha feasibility studies, proposals etc so kma kigezo ni usafi then e-Ga is worse na wamekula fedha zaidi.
Bado hujasema sheria ipi inampa mamlaka Nape Godfather wako kuipa tender NMB ya mifumo ambayo ipo tayari e-GAPole sana, wewe ndio hujui kusoma na kuandika. Soma hapo uone NMB inavyoingia!!
View attachment 2885526
Nilidhani ni mtu makini kumbe unapotosha!! Hizo sheria ulizoweka humo zimempa waziri mamlaka makubwa mnoo ikiwemo hata kumfutia mtu gharama zozote akipewa huduma na e-Ga!! Yaani afanyiwe kazi bure kabisa.
Ooh Utasema eeh ni lini e-Ga walimshauri waziri au kuridhia partnership hiyo.
Una hoja nyingine?