e-GA inahujumiwa

e-GA inahujumiwa

Nape anakabidhi mfumo NMB wa jamii number ambao ndio mzizi wa uraia wa mtanzania na passport za watanzania wote kweli? ivi wewe unajua National security act? Nape na wenzake wame commit treason
Hii haitakiwi kuishia Jamiiforums.com iende mbele. Treason ni kosa kubwa sana na Lina gharimu maisha.
 
Miezi takribani sita imepita niliandika juu ya njama za viongozi waandamizi wa serikali kuihujumu mamlaka ya serikal mtandao(e-GA). Mipango ya e-GA kuzuiwa kufanya majukumu ya uundaji wa mifumo ya serikali ili waandamizi watafute kampuni binafsi kufanya hayo imeanza kufanikiwa.

Leo Wizara ya TEHAMA imeingia makubaliano na NMB ili NMB iwe inalipwa na serikali kutengeneza mifumo ya TEHAMA ya serikali.

Kwa mujibu wa MOU iliyo sainiwa leo , NMB atatoa wataalamu wa TEHAMA(Software developers) kutengeneza mfumo utakao replace NIDA na RITA ,kama mnavyofahamu ,serikali inakuja na jamii number ,namba ambayo mtoto akizaliwa atakuwa nayo na atakua nayo ,initiative nzuri sana lakiniiiii, kulikua na ulazima gani wa mradi nyeti kama huu kupewa taasisi binafsi? wafanyakazi wa NMB wana proper vetting kuanza kushika mifumo ya siri namna hii?

Achana na jamii bima, ESB ambayo tayari ipo e-GA na inafanya kazi, Wizara ya TEHAMA imeamuru NMB kupewa tender kupitia MOU hio wao ndio watengeneze ESB ya serikali, yaani mawasiliano ya mifumo yote ya serikali ananyang'anywa e-GA na anapewa NMB why?

Hivi nchi hii tuna mawaziri wanaofikiria kweli? Haya ndio mambo ya waziri alikuja na kufuta physics akasema iwe physics with chemistry, waziri huyo wa zamani alifuta masomo ya biashara na kilimo pia kabla ya serikali ku reverse maamuzi hayo, lakini kama mnakumbuka kuna watanzania walifutiwa masomo hayo.

Waziri wa TEHAMA unaua e-GA kwa maslahi ya nani?

Waziri wa TEHAMA unaua e-GA kwa kumkomoa nani?



View attachment 2883959
Waziri ni yule bumunda nape?
 
Acha mambo ya darasani ya kukariri notes ulizodanganywa

Bado unaamini mambo ya darasani ,Naona unatao lecture wakati walimu wako hata mwana sesere hawawezi tengeneza
Jibu hoja zake. Leta ripoti ya IT audit ya NMB!!! Na mengine.
 

hakuna na haiwezi tokea 😂 😂 😂 , MICROSOFT imejikita zaidi kwenye personal computers na sio Enterprise! kwenye Enterprise kuna ligi tafauti microsoft hayupo uko! have you ever herd of LINUX? ORACLE?
 
Huijui e-GA ,wewe mganga njaa umetumwa na wazee wa 10%
Yaani mzalendo wa kweli aruhusu mifumo ya serikali iendeshwe na NMB?
Nyie mnatakiwa na wazee wako kukiri mmepuyanga

1706434395799.png



apo vp?
 
Huijui e-GA ,wewe mganga njaa umetumwa na wazee wa 10%
Yaani mzalendo wa kweli aruhusu mifumo ya serikali iendeshwe na NMB?
Nyie mnatakiwa na wazee wako kukiri mmepuyanga

EGA is one of the worst we have ever had 😂 😂 😂
 
Hao jamaa itakuwa hawaifahamu eGa, au ni miongoni mwa wapigaji, maana Ega ipo Kwa ajili ya kuzuia mianya yote ya upigaji.

Nakupa mfano mmoja tu wa Mfumo wa taifa wa kuunganisha mifumo yote GOVESB watu walikuw wanakula Hela kwenda mifumo yao taasisi Kwa taasisi, sisi tukatengeneza GOVESB Kila taasisi isajili Mfumo wake hapo, then atakae taka data za mwenzie anazikuta hapo kwenye GOVESB shughuli imeisha tena free of charge.
Kwahiyo zile fedha za kwenda kuunganisha taasisi Kwa taasisi watu hawapati tena mana sasa kupata data ni Bure.


Nadhan Kwa mfano huo mmoja inatosha,

Bado sijagusa GEPG , unadhan Serikali inaingiza mapato kiasi gani kupitia GEPG ni zao la EGA , so mtu yeyote anayeisema vibaya EGA jua kabisa mirija yake ya ulaji imezibwa au haifahamu vizuri EGA.


Kwa maelezo zaidi kuhusu EGA tembelea tovuti yetu ya e-GA | Mwanzo
😂 😂 😂 hio EGA unaijua au unaiskia?
 
Kutumia NMB ni kutumia mifumo ya nje?
Hiyo mifumo inayotengenezwa na wazawa kwanza inarun kwenye operating system za nje, inatengenezwa kwa programming language za nje? Hardware zake na storage zake ni za nje. Networking devices zote ni za nje.
Hardware za nje,vp configuration nazo ni za nje?

Programming kweli ni language za nje,vp scripting na code ni za nje?

Si zungumzii tools na zungumzia designing, kwani wewe unazani Urusi,Iran,Chin wanataumia language gani? Sii hizi hizi za US,ila instruction/code ndizo wanatengeneza wao. So huwezi kumwachia mtu code au configuration zako,utakuwa sawa sawa unauza ramani ya vita
 
Ni kitu gani kwenye mfumo mzima unachotengeneza ambacho wao hawakijui, technology ni yao vifaa ni vyao halafu unajidai na lipi?
Wote mnaweza kutumia AutoCAD,ila mkatoa michoro tofauti, wote mnaweza kutumia Java Promming language ila mkatoa code tofauti na hapo ndipo unapo sikia technology ya taifa fulani ni tofauti ya taifa fulani, sababu tu ya creativity ktk code.

China yule anatumia vifaa vya US kwa baadhi ya Service zake,ila configuration ni za kwake,Russia nae hivyo hivyo ila Code na Configuration ni za kwake.

Ukijua Code/Configuration ya kitu chochote una uhakika wa 90% ya kuhack huo mfumo na kufanikiwa.

Halafu kama hujui mitamambo inayo tengeneza Pepsi ndio hiyo hiyo inayo tengeneza Coca, wanacho tofautiana Formula.Formula ndio uti wa hizi kampuni za vinywaji. Same tu huku IT mnaweza kutumia program language moja ila Code/configuration tofauti.
 
Kupitisha trillion sio ishu ishu ni are they secured. Mara ngapi umesikia pesa zimechepushwa na ni mara ngapi umesikia bank ya NMB wamepigwa hela?
Hivi unajua moja chachu ya kuongezeka kwa mapato ya Tz ni GePG sasa kama sio secure why kila siku mapato yana ongezeka?

Unaweza kunipatia ripoti yoyote ya ukaguzi ya IT ktk bank ya NMB?

Au ushajiuliza pamoja na kuwa na mauditor CISA certified upande wa IT,washawahi kutoa ripoti zao za ukaguzi ya mifumo yao na kuwapa taarifa wateja wao?

Tatizo lenu hamzijui hizo taasisi,ila sisi tulio ndani tunawajua na tunaona,husi tegemee taasisi ya bank ikuambie imepigwa,sababu kufanya hivyo wanaji haribia kibiashara, reputation ya kampuni yao na kupoteza trust kwa wateja.

Wewe husikii sababu haupo ndani ya industry hii ya IT na huto sikia utaishia usikia sifa nzuri nzuri.
 
Acha mambo ya darasani ya kukariri notes ulizodanganywa

Bado unaamini mambo ya darasani ,Naona unatao lecture wakati walimu wako hata mwana sesere hawawezi tengeneza
Hivyo nilivyo viandika havifundishwi darasani bali ni vitu ukitaka kuvijua practically uingie kwenye Industry.

Siuzi chai na unaongea hivyo sababu hata ww huvijui na ni mweupe,hiyo knowledge niliyo iandika huipati darasani labda uwe mjanja kwenye kwenye channel za Udemy.
 
Sasa mwanahisa tokea lini akapewa code,configuration mimi na zungumzia wafanyakazi wa nje wanaofanya kazi NMB, wenye access na mifumo na network ya NMB ambao wanafanya kazi kwa mikataba (Technical Part)...... hivi unajua ramsomware attack? Halafu akuache baada ya mkataba wake kuisha wakati chocho zote anazijua.......

Niletee audit report ya NMB upande wa IT....... kama haipo ushajiuliza why hawaiweki hadharani?Wewe najua hutaki na siasa umezijaza kichwani,ila bank zote zinapigwa kila siku na wewe huwezi jua na hautokuja kujua, sababu taarifa zake haziendi public. Kuna taasisi naijua nishafanya nayo kazi 2019,network/mifumo yao ipo chini ya wahindi ila walipigwa na Ramsomware attack wakalipa hela ndefu.

Hivi source kuu ya Cybersecurity attack unazijua ?

Unaijua Ramsomware Attack,White and black hat wanavyo fanya kazi ........?

Hivi ushawahi kuingia kwenye device yoyote ile server,storage au any network device.....au hata kudisplay "hello world... " kwa kitumia programing language yoyote ?

Naona kama naongea na wanasiasa,kwani nazani hutonielewa.

Vitu vingine ukikaa kimya hupungukiwi kitu, ila duniani halipo taifa linalo wapa watu wasio waamini mifumo yao na network yao halipo taifa hilo na hamna tasisi yyt ambayo haijawa attacked kama sio leo basi kesho.

CIA,FBI, MOSSAD nk washapigwa, pamoja wamewaajili watu wanao wajua na walio wafanyia vetting.
This is at the level ya watendaji wa kati na wa chini

Theoretical and ignorant

Kinachojadiliwa hapa kiko way above your league…. Ni strategic

Baki huko chini… with lots of word - pure bolts and nuts
 
Kwahiyo sio hujuma tena
Tatizo hujakielewa nilicho kiandika sababu ya knowledge yako ndogo ya Cybersecurity ila kwa anaye elewa anajua risk ya hiki kinacho fanyika.

Sio kosa lako tatizo huna unacho kijua ktk field hii ya Cyber.
 
This is at the level ya watendaji wa kati na wa chini

Theoretical and ignorant

Kinachojadiliwa hapa kiko way above your league…. Ni strategic

Baki huko chini… with lots of word - pure bolts and nuts
Huna unacho kijua kaka mimi nipo kwenye field hii wewe endelea na oya oya zako.

Ndio maana nilikuambia nipinge kwa hoja za kisecurity upande wa IT, ila naona unajaza chai.
 
Back
Top Bottom