e-GA inahujumiwa

e-GA inahujumiwa

DNS ni protocol tcp port 53 ambayo kazi yake kuimapp IP Address na neno ambalo binadamu rahisi kulikumbuka,sababu IP Address ina contains long numbers ambazo binadamu hawezi kuzikumbuka. DNS ni server ambayo inakuwa kama file lenye list ya domains name and their corresponding mapped IP address.

Ambayo husaidia Web Applications ziwe rahisi,kukumbukwa mfano jamiiforum.com ukiiresolve unakuja kupata IP yake ambayo imekuwa mapped nayo kwenye DNS.(Hii ni basic knowledge ya IT yyt anatakiwa kuijua).



Hivi unajua maana ya kuwa host mfumo kuwa Registrar wa mfumo? Unaweza kuwa Registrar wa mfumo fulani na usihost huo mfumo.

Home Work.
Hivi kitu gani kina tambulisha huo mfumo Registrar wake fulani, ila umekuwa hosted na mtu mwengine.

Ukishindwa mtafuta hata Eli the Computer Guy ana video zake kibao Youtube maana Udemy kule na hela.

Narudia tena kama kitu hukijui kaa kimya huto pungukiwa kitu. Mimi kwenye baadhi ya forum za Uchumi na Historia hasa za matukio makubwa huwaga sipendi kuchangia sababu sina ufahamu mzuri kwenye hizo field.

So brother huna unacho kijua.

Home Work.
Hivi kitu gani kina tambulisha huo mfumo Registrar wake fulani, ila umekuwa hosted na mtu mwengine.


viko vitu vingi however sio lazima DNS records ziseme ni nani anahost, most modern apps znnakua na layer 2! kwa mfano for a normal platform its very risky kuexpose connection yako moja kwa moja kwa client so wanaogeza layer ingine most common ones ni kama CLOUDFLARE so ukiiangalia records zake utaona cloudflare but hio app haiko hosted apo

but overalll nshakwambia NECTA wanatumia EGA because i have been there, although sjawahi work na necta but i have seen it na mifumo yote ya serikali ipo pale!

1706543076958.png


huu ni mfano tu wa project tuliofanya ya serikali ambayo iko hosted EGA, so usijifanye unaelezea sana kama unaijua EGA vizuri
 
1) hujaulizwa kuhusu DND protocol huenda umeenda copy paste sehem
2) ushatoa jibu tayar sasa uache ushamba: (DNS ni server ambayo inakuwa kama file lenye list ya domains name and their corresponding mapped IP address.)

3) huenda ata huelewi ivi vitu vinavoyfanya kazi so amna umuhimu wa kuanza kukueleza kitu ambacho hutakielewa
1) hujaulizwa kuhusu DND protocol huenda umeenda copy paste sehem
2) ushatoa jibu tayar sasa uache ushamba: (DNS ni server ambayo inakuwa kama file lenye list ya domains name and their corresponding mapped IP address.)

3) huenda ata huelewi ivi vitu vinavoyfanya kazi so amna umuhimu wa kuanza kukueleza kitu ambacho hutakielewa
Yaani sasa utazungumziaje DNS SERVER bila kuzungumzia protocols yake......?

Hujanibu hapa.

Home Work.
Hivi kitu gani kina tambulisha huo mfumo Registrar wake fulani, ila umekuwa hosted na mtu mwengine?
 
DNS ni protocol tcp port 53 ambayo kazi yake kuimapp IP Address na neno ambalo binadamu rahisi kulikumbuka,sababu IP Address ina contains long numbers ambazo binadamu hawezi kuzikumbuka. DNS ni server ambayo inakuwa kama file lenye list ya domains name and their corresponding mapped IP address.

Ambayo husaidia Web Applications ziwe rahisi,kukumbukwa mfano jamiiforum.com ukiiresolve unakuja kupata IP yake ambayo imekuwa mapped nayo kwenye DNS.(Hii ni basic knowledge ya IT yyt anatakiwa kuijua).



Hivi unajua maana ya kuwa host mfumo kuwa Registrar wa mfumo? Unaweza kuwa Registrar wa mfumo fulani na usihost huo mfumo.

Home Work.
Hivi kitu gani kina tambulisha huo mfumo Registrar wake fulani, ila umekuwa hosted na mtu mwengine.

Ukishindwa mtafuta hata Eli the Computer Guy ana video zake kibao Youtube maana Udemy kule na hela.

Narudia tena kama kitu hukijui kaa kimya huto pungukiwa kitu. Mimi kwenye baadhi ya forum za Uchumi na Historia hasa za matukio makubwa huwaga sipendi kuchangia sababu sina ufahamu mzuri kwenye hizo field.

So brother huna unacho kijua.


kingine na cha mwisho:
Theory doesnt work duniani, as much as you will have to read ni vitu viwili tafauti, unatoa maelezo mengi ni kama bado huna uelewa sana wa haya mambo!

- in simple words a NAMESEVER ndo host wako! there are times sio lazima iwe true but ndo iko ivo
 
Home Work.
Hivi kitu gani kina tambulisha huo mfumo Registrar wake fulani, ila umekuwa hosted na mtu mwengine.


viko vitu vingi however sio lazima DNS records ziseme ni nani anahost, most modern apps znnakua na layer 2! kwa mfano for a normal platform its very risky kuexpose connection yako moja kwa moja kwa client so wanaogeza layer ingine most common ones ni kama CLOUDFLARE so ukiiangalia records zake utaona cloudflare but hio app haiko hosted apo

but overalll nshakwambia NECTA wanatumia EGA because i have been there, although sjawahi work na necta but i have seen it na mifumo yote ya serikali ipo pale!

View attachment 2887243

huu ni mfano tu wa project tuliofanya ya serikali ambayo iko hosted EGA, so usijifanye unaelezea sana kama unaijua EGA vizuri
Kupitua WhoIS kama una knowledge ya security unaweza kujua Registrar na aliye host na wala huitaji command yoyote just your Internet connection inatosha.

Wewe hujui sababu bado mchanga kwenye eneo hilo.
 
Yaani sasa utazungumziaje DNS SERVER bila kuzungumzia protocols yake......?

Hujanibu hapa.

Home Work.
Hivi kitu gani kina tambulisha huo mfumo Registrar wake fulani, ila umekuwa hosted na mtu mwengine?


i think itoshe kusema una safari ndefu, mengine utakutana nayo umo umo!
 
kingine na cha mwisho:
Theory doesnt work duniani, as much as you will have to read ni vitu viwili tafauti, unatoa maelezo mengi ni kama bado huna uelewa sana wa haya mambo!

- in simple words a NAMESEVER ndo host wako! there are times sio lazima iwe true but ndo iko ivo
Uzuri mimi IT ya chuo niliachana nayo,ila Udemy inenikomaza na maIT wa TTCL.Hayo maelezo mbona madogo sana.
 
Kupitua WhoIS kama una knowledge ya security unaweza kujua Registrar na aliye host na wala huitaji command yoyote just your Internet connection inatosha.

Wewe hujui sababu bado mchanga kwenye eneo hilo.
oooh 😂 😂 😂 ! anyway NECTA is hosted on EGA na sio necta tu hata mfumo wa ikulu umo huko na mashirika mengine mengi, anything apart from that its non sense
 
oooh 😂 😂 😂 ! anyway NECTA is hosted on EGA na sio necta tu hata mfumo wa ikulu umo huko na mashirika mengine mengi, anything apart from that its non sense
Nonsense kama hiki ulicho kiandika,maana ww mwenyewe hata unavyo viandika huvijui. Jifunze kutofautisha kuhost mfumo,kumiliki mfumo na kuwa Registrar wa mfumo.
Screenshot_20240129_185838_Chrome.jpg
 
Uzuri mimi IT ya chuo niliachana nayo,ila Udemy inenikomaza na maIT wa TTCL.Hayo maelezo mbona madogo sana.

sio kukomaa yaani unatakiwa sjui uende field maaana kuna itu basics kama DNS, NAMESERVERS yaani ivi vitu mtu akiviongea havihitaji maelezo unatakiwa uelewe anamaanisha nn:

kwa mfano nkikwambia nameservers za NECTA ni hizi chap chap unatakiwa uwe ushajua nasema hosting ya necta ni hii sasa wewe unakomaa kutoa maelezo mengi
 
sio kukomaa yaani unatakiwa sjui uende field maaana kuna itu basics kama DNS, NAMESERVERS yaani ivi vitu mtu akiviongea havihitaji maelezo unatakiwa uelewe anamaanisha nn:

kwa mfano nkikwambia nameservers za NECTA ni hizi chap chap unatakiwa uwe ushajua nasema hosting ya necta ni hii sasa wewe unakomaa kutoa maelezo mengi
Sasa TTCL si ndio field yenyewe, hivi unajua TTCL ni moja ya taasisi inayotoa Watu bora wa IT,ambao hizo taasisi binafsi huenda kuwa panda dau.Taasisi binafsi haiwezi kukupa dau kubwa kama practically upo shallow na TTCL wapo watu kibao,japo mnawa dharau ila hata huko sekta binafsi kuna product kibao

Halafu DNS sio kuiongelea mpaka kucreate nipo vizuri sema sasa hivi nipo field nyingine ya IT.

Nimekuambia hayo maelezo ni madogo, kuna tofauti ya jibu la mwanafunzi na mtu aliyekuwa field.
 
Sasa TTCL si ndio field yenyewe, hivi unajua TTCL ni moja ya taasisi inayotoa Watu bora wa IT,ambao hizo taasisi binafsi huenda kuwa panda dau.Taasisi binafsi haiwezi kukupa dau kubwa kama practically upo shallow na TTCL wapo watu kibao,japo mnawa dharau ila hata huko sekta binafsi kuna product kibao

Halafu DNS sio kuiongelea mpaka kucreate nipo vizuri sema sasa hivi nipo field nyingine ya IT.

Nimekuambia hayo maelezo ni madogo, kuna tofauti ya jibu la mwanafunzi na mtu aliyekuwa field.

mambo yasiwe mengi sio shule apa
 
Yale yale unazidi kutoa maboko,huoni hiyo domain Necta wana Host wenyewe.

Sina haja kukujibu tena.

Narudia tena kama kitu hukijui kaa kimya.
we umeona tu Registar??? anyway kama nlivosema sio shule apa, ulicho nacho kichwan utaamua mwenyewe kama ni sahihi ama ubishi!
 

Attachments

  • 1706544538100.png
    1706544538100.png
    6.5 KB · Views: 3
we umeona tu Registar??? anyway kama nlivosema sio shule apa, ulicho nacho kichwan utaamua mwenyewe kama ni sahihi ama ubishi!
Kwa kukusaidia maana hata idea za security huna moja ya first step ya mtu wa security ni kukusanya taarifa.

Zichukue hizo IP then andika kwenye browser yoyote "What is my IP ....." mmiliki atakeye kuja ndiye anaye ihost hiyo domain.

Ichukue hiyo inaweza kukusaidia,kama utakuwa interested na IT Security,ukibisha na hapo basi walimu wanao kufundisha wana kazi sana huko mavyuoni.
 
Kwa kukusaidia maana hata idea za security huna moja ya first step ya mtu wa security ni kukusanya taarifa.

Zichukue hizo IP then andika kwenye browser yoyote "What is my IP ....." mmiliki atakeye kuja ndiye anaye ihost hiyo domain.

Ichukue hiyo inaweza kukusaidia,kama utakuwa interested na IT Security,ukibisha na hapo basi walimu wanao kufundisha wana kazi sana huko mavyuoni.
ok sawa
 
Back
Top Bottom