E kibinda nkoe

Ekibinda Nkoi ni sauti ya simba...bana ba zambe balobi mingi.... watoto wa mungu....maboko likoloo - Mikono Juuu...
pona nini kipindu.....makambo ezali minene?- Kwanini mambo yako makubwa...
Ha ha I hope that Help...guys niko nao..
 

mimi maskini sina hela lakini akili bwerere !nita-make tu
 

hii kipande ni kikali na naona dogo akikamata vilivyo.
asante sikonge kwa huu muziki "minene"

 
Last edited by a moderator:
Daah nyi watu mnanikumbusha mbali sana aisee. Enzi za Diamond Sound pale Silent Inn Mwenge/ Mlalakuwa

Dah pale kwa papaa Felician Mutta,sijui kaishia wapi huyu.Ilikuwa raha hasa kwa wanafunzi wa chuo miaka hiyo.
 

Naamini kashanunaua
au uansemaje mkuu kipindupindu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…