Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Yeah, emotions.ni kweli..halafu kwani mtu akikuacha ndo mwisho wa dunia?
jifunze kumove on na kujiweka busy na life yako..utampata alie sahihi na utafurahia mahusiano tena.
we unaweweseka wee mwisho mnapata maradh ya moyo halafu unakufa ghafla ukiwa na afya yako njemYa.
Godzilla Na D end?Huyu ni nani?
OkeeeeGodzilla Na D end?
'' Hhadith inayokuja ni ya sungura sikiaAiseee hiii n kweli inauma kuachwa
Na mwanamke kudadek yan
Haya maumivu hata ya kutairiwa
Hayafui dafu kwenye kuachwa
mkuu wakate govi mapema usimcheleweshee mgegedo!vijana/ watoto wasikuhizi wanaanza mdinyo mapema!Heee, ndugu, Tanzania ni kubwa sana, ukiacha sula kwamba kutahiriwa ni mila kwa makabila mengi, kuna watu wengi tu wanazeeka na mikono ya sweta.
Suala la mila liko hivi!, kutahiriwa ni kuonyesha kwamba sasa mtu anaacha utoto na anaingia utu uzima, hivyo hufanyika akifikia umri wa kubalehe, And this is what i recommend to my sons.
Hahahaaaaa!, mkuu, mimi binafsi nachukulia kama ni tukio muhimu sasa kwenye maisha yangu, hadi leo nakumbuka ilikuwaje, nilikuwa naumia ikidinda kipindi sijapona na mambo kama hayo, kumnyima mtu kumbukumbu hizo kwa kumtahiri akiwa mdogo sana, ni kumuonea.mkuu wakate govi mapema usimcheleweshee mgegedo!vijana/ watoto wasikuhizi wanaanza mdinyo mapema!
GoodZillah na D Andy....Huyu ni nani?
GoodZillah na D Andy....Huyu ni nani?
[emoji23] [emoji23] [emoji97] [emoji97]Jamani kutahiriwa si huwa inafanyika mkiwa wachanga sana jamani?Huwa bado mna hiyo kumbukumbu ya maumivu yake?Au wewe ulitahiriwa ukiwa mkubwa unajitambua?
kiwahili=kiswahili... huko shuleni mnakwenda kusoma ubwegeNimelike post yako ila unaharibu kiswahili.
Inawezekana lahaja ya kwenu imezidi unga. kiwahili hakina 1. wanakubaligi-- instead HUWA WANAKUBALI. 2. wanajitapaga= huwa wanajitapa
jehanamuHivi mki "move on" huwa mnaenda wapi..?