To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣Hata mimi sielewi na leo nipo kwa hisani ya pilsner lager
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Hata mimi sielewi na leo nipo kwa hisani ya pilsner lager
Mtoa mada maneno mengi kazi kidogo si angetupia hata kazi zake hizo mbili tatu kwenye maintroduction
🤣🤣ÀmEZINGUA SAna Kwa kweli 🤒Mtoa mada maneno mengi kazi kidogo si angetupia hata kazi zake hizo mbili tatu kwenye maintroduction
Mbna unajibu kama Artificial intelligence (bard na ChartGpt)Sina uzoefu mkubwa wa uandishi ama uwasilishaji taarifa. Lakini nimejaaliwa kipawa cha kufikisha taarifa mbele ya hadhira na watu wakaipenda
Hivyo mtaniwia radhi katika uwasilishaji mbovu nitakaokuwa nao
Ahsante
🤣🤣🤣🤣Basi nikajua mmeanzisha huduma ya Usalama wa mama na mtoto
Ni kwa vile napenda tu kufanya Jambo ambalo moyo inapenda. Naipenda sanaa, nategemea kuwa presenter mkubwa sana hapa tz wa kuhoji wasanii hasa chipukiziKwani kumetokea nini mkuu?
[emoji28][emoji28] Sidhani kama timu nzima ya Melo inaweza kufikiri kunitandika ban hata siku moja kwa sababu mi sio mtukanajiBila shaka una kinga kama ya kibalozi huwezi kupigwa ban forever ever
[emoji28][emoji28]Wananielewa vyema tu mkuu. Labda wewe tuHivi mnamwelewa huyu?
Hapana mkuu. Hizo zina wenyeweBasi nikajua mmeanzisha huduma ya Usalama wa mama na mtoto
[emoji28][emoji28]Hapana kaka, sina ID nyingine tofauti na hii. Mara ya mwisho kuwa JF ilikuwa 2017Ile ID yako nyingine inaitwaje?
[emoji28][emoji28]Napenda kuitumia JF kujifunza kuandika kakaUjumbe sahihi hufikishwa kwa lugha sahihi,kama hujui kuandika kajifundishe kwanza,JF ipo tu utaikuta.
Aisee....U hali gani msomaji? Pole na majukumu ya hapa na pale ya shughuli zote za ujenzi wa taifa
E Motherland ni ID mpya inayomilikiwa na mimi mwandishi (Jina kapuni) ikiwa chini ya uangalizi mzima wa uongozi wa JamiiForums. Lengo la kuanzisha ID hii ni kukupasha habari za burudani zinazowahusu wasanii hasa wa muziki na michezo ya runinga ikiwemo ucheshi. ID hii itajihusisha zaidi na kazi za kisanaa kutoka kwa wasanii chipukizi ambao wanafanya vyema katika tasnia hizi
Hivyo ID hii itakuwa maalumu kwa ajili ya burudani (exclusives) wala haitojihisisha na siasa kwa ujumla. Karibuni tuutumie muda wetu wa ziada kuburudisha akili zetu kutokana na mchoko wa hapa na pale tuupatao katika mihangaiko yetu ya hapa na pale
Naombeni kukaribishwa humu jukwaani. Pia naomba kuitambulisha ID hii na kuiwasilisha kwenu wana JamiiForums kwa ujumla
Karibuni kwa maoni na ushauri
Tuwekee kapicha basi.U hali gani msomaji? Pole na majukumu ya hapa na pale ya shughuli zote za ujenzi wa taifa
E Motherland ni ID mpya inayomilikiwa na mimi mwandishi (Jina kapuni) ikiwa chini ya uangalizi mzima wa uongozi wa JamiiForums. Lengo la kuanzisha ID hii ni kukupasha habari za burudani zinazowahusu wasanii hasa wa muziki na michezo ya runinga ikiwemo ucheshi. ID hii itajihusisha zaidi na kazi za kisanaa kutoka kwa wasanii chipukizi ambao wanafanya vyema katika tasnia hizi
Hivyo ID hii itakuwa maalumu kwa ajili ya burudani (exclusives) wala haitojihisisha na siasa kwa ujumla. Karibuni tuutumie muda wetu wa ziada kuburudisha akili zetu kutokana na mchoko wa hapa na pale tuupatao katika mihangaiko yetu ya hapa na pale
Naombeni kukaribishwa humu jukwaani. Pia naomba kuitambulisha ID hii na kuiwasilisha kwenu wana JamiiForums kwa ujumla
Karibuni kwa maoni na ushauri