"E Motherland" ndani ya JamiiForums ni kwa kusudio maalumu. Ni vyema niwashirikishe

Ungeomba kukatibishwa then ungeenda kushinda kule celebrat id yako ingekuwa juuu kabisa, kulingana na nyuzi ambzo ungeoandisha. Mwenzako warumi R.I.P alikuwa hivi hivi. Na mwisho alichaguliwa kuwa memba bora wa jukwaaa lile.

Katibu jf.
 
Sina uzoefu mkubwa wa uandishi ama uwasilishaji taarifa. Lakini nimejaaliwa kipawa cha kufikisha taarifa mbele ya hadhira na watu wakaipenda

Hivyo mtaniwia radhi katika uwasilishaji mbovu nitakaokuwa nao

Ahsante
Mbna unajibu kama Artificial intelligence (bard na ChartGpt)
 
Bila shaka una kinga kama ya kibalozi huwezi kupigwa ban forever ever
[emoji28][emoji28] Sidhani kama timu nzima ya Melo inaweza kufikiri kunitandika ban hata siku moja kwa sababu mi sio mtukanaji
 
Ungeomba kukatibishwa then ungeenda kushinda kule celebrat id yako ingekuwa juuu kabisa, kulingana na nyuzi ambzo ungeoandisha. Mwenzako warumi R.I.P alikuwa hivi hivi. Na mwisho alichaguliwa kuwa memba bora wa jukwaaa lile.

Katibu jf.
Ushauri mzuri huu kaka. Nitaufanyia kazi
 
Aisee....
 
Tuwekee kapicha basi.
 
Karibu sana JamiiForums...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…