UZZIMMA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2014
- 414
- 481
Sasa leo ni zamu yangu kutangaza nia ya dhati ya kutafuta mke kupitia JF.
Ninachoamini mke wangu huenda akatokea humu au tukaunganishwa na mke wangu mtarajiwa na mtu anayeishi ndani ya jiji la JF.
MIMI.
Umri 24
Muislam halisi
Diploma ya civil engineering.
Maji ya kunde
Zanzibar
Ninayemuhitaji
Awe hajawahi kuolewa na hajawahi kupata ujauzito.
Muislamu halisi sio muislamu jina.
Umri chini ya miaka 23
SIFA ZA ZIADA (sio za lazima)
Awe bikra.
Mweupe au maji ya kunde.
N.B
Tendo la ndoa lifanyike baada ya ndoa. (sitaki zinaa)
Kama una mwanao au nduguyo niozeshe tu, hakika mimi ndiye mume bora.
Kama huna vigezo au huwezi kunipatia msaada wowote, usikaribie inbox yangu.
Natumaini mrejesho wangu ni kuwaalika harusi. AAMEN.
Ninachoamini mke wangu huenda akatokea humu au tukaunganishwa na mke wangu mtarajiwa na mtu anayeishi ndani ya jiji la JF.
MIMI.
Umri 24
Muislam halisi
Diploma ya civil engineering.
Maji ya kunde
Zanzibar
Ninayemuhitaji
Awe hajawahi kuolewa na hajawahi kupata ujauzito.
Muislamu halisi sio muislamu jina.
Umri chini ya miaka 23
SIFA ZA ZIADA (sio za lazima)
Awe bikra.
Mweupe au maji ya kunde.
N.B
Tendo la ndoa lifanyike baada ya ndoa. (sitaki zinaa)
Kama una mwanao au nduguyo niozeshe tu, hakika mimi ndiye mume bora.
Kama huna vigezo au huwezi kunipatia msaada wowote, usikaribie inbox yangu.
Natumaini mrejesho wangu ni kuwaalika harusi. AAMEN.