el nino
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,712
- 5,058
Nadhani sote ni mashahidi wa kelele zilizopigwa humu baada ya England kuingiza timu zake 5 kwenye hatua ya mtoano.
kelele mzilipigwa kwelikweli, kuwa England imerudi tena, mara spain hamna kitu, sisi tunaojua ligi bora na ligi ya matangazo tukakaa kimya kusubiri kisu kiwakate England, mara paaap timu 3 zimefyekwa wamebakiza timu 2, tena kati ya hizo 2 yenye kuleta matumaini ni 1 tuu na yenyewe sio nyingine bali ni Man city inayonolewa na mtaalam aliyesukwa na kupikika kutoka spain.
Sijaona wa kuizuia Barcelona au madrid, labda tuu wakikutana wenyewe huko watoane, ila kwa hali ya kawaida hawazuiliki labda kidogo upinzani unaweza kutolewa na bayern munich ama sivyo la liga watachukua uefa kwa mara ya 5 mfululizo na kuwaacha E.P.L na kina Lukaku wao wakiendelea kuota mafanikio haya maana hata kipindi E.P.L ilipokuwa ikitamba haikuwahi kubadilishana UEFA hata mara moja(yaani kwa miaka miwili au zaidi uefa iende England mfululizo)
nawaaga kwa picha ya msiyempenda
kelele mzilipigwa kwelikweli, kuwa England imerudi tena, mara spain hamna kitu, sisi tunaojua ligi bora na ligi ya matangazo tukakaa kimya kusubiri kisu kiwakate England, mara paaap timu 3 zimefyekwa wamebakiza timu 2, tena kati ya hizo 2 yenye kuleta matumaini ni 1 tuu na yenyewe sio nyingine bali ni Man city inayonolewa na mtaalam aliyesukwa na kupikika kutoka spain.
Sijaona wa kuizuia Barcelona au madrid, labda tuu wakikutana wenyewe huko watoane, ila kwa hali ya kawaida hawazuiliki labda kidogo upinzani unaweza kutolewa na bayern munich ama sivyo la liga watachukua uefa kwa mara ya 5 mfululizo na kuwaacha E.P.L na kina Lukaku wao wakiendelea kuota mafanikio haya maana hata kipindi E.P.L ilipokuwa ikitamba haikuwahi kubadilishana UEFA hata mara moja(yaani kwa miaka miwili au zaidi uefa iende England mfululizo)
nawaaga kwa picha ya msiyempenda