EAC economies to end the year with alarming debt ratios- IMF

EAC economies to end the year with alarming debt ratios- IMF

Yetu ilianza kujengwa 2014 ikakamilika early 2017 600Km so on average 200km per year.
Kipande cha Moro Dodoma kitamalizika sawa na hichi cha Dar-Moro japokuwa vilianza muda tofauti, kutokana na jiografia ya Dar-Moro kuwa ngumu. Pia hii reli yetu unafanyiwa welding na kuwekwa milingoti, hivi vinaongeza muda wa ujenzi.

Tusubiri tuu mambo mazuri hayahitaji haraka.
 
Back
Top Bottom