Chamoto JF-Expert Member Joined Dec 7, 2007 Posts 8,577 Reaction score 18,774 Nov 5, 2019 #21 mwaswast said: Yetu ilianza kujengwa 2014 ikakamilika early 2017 600Km so on average 200km per year. Click to expand... Kipande cha Moro Dodoma kitamalizika sawa na hichi cha Dar-Moro japokuwa vilianza muda tofauti, kutokana na jiografia ya Dar-Moro kuwa ngumu. Pia hii reli yetu unafanyiwa welding na kuwekwa milingoti, hivi vinaongeza muda wa ujenzi. Tusubiri tuu mambo mazuri hayahitaji haraka.
mwaswast said: Yetu ilianza kujengwa 2014 ikakamilika early 2017 600Km so on average 200km per year. Click to expand... Kipande cha Moro Dodoma kitamalizika sawa na hichi cha Dar-Moro japokuwa vilianza muda tofauti, kutokana na jiografia ya Dar-Moro kuwa ngumu. Pia hii reli yetu unafanyiwa welding na kuwekwa milingoti, hivi vinaongeza muda wa ujenzi. Tusubiri tuu mambo mazuri hayahitaji haraka.