Cybergates
JF-Expert Member
- Dec 2, 2016
- 697
- 1,474
Hesima kwenu wakuu.
Baada ya mda kidongo ivi wa kuwa busy, busy leo ningepena tujadiliane kuhusu fursa za biashara zilizopo kwenye hii jumuiya yetu ya EAC.
Nitatoa muongo kidigo kuhusu nachokijua juu ya EAC na biashara kiujumla ( kwenye EAC) nitaelezea frusa, usafiri na masoko wenye nchi zote 6 za EAC na member wengine wenye uwelewa watatusaidia.
========EAC=========
EAC Inaundwa na nchi 6 {tanzania, kenya, uganda, rwanda,burundi na sudan kusini}
EAC ina population ya watu 168.8ml
===tuanze na kenya==
kenya ina watu 48.5ml
miji mikubwa ya kibashara kenya ni NAIROBI, MOMBASA, NAKURU, ELDORET na KISUMU
bidhaa ambazo zinaweza kutoka ku import kenya na ambazo zina marketi huko ni
1.unga wa mahindi na mahindi yenyewe
2.mchele
3.palm oil
4.nyama za ndege (poultry product)
5.unga wa muhogo
6.pamba
7.ngozi za wanyama
8.live animals
9.mbao
10timber product
11.samaki
12.maziwa mgando
13. maharange ya njano
14matunda
15.vitunguu na wheat.
=> GDP ya wanachi wa kenya ni $1455
=>45.2% ya wakenya ni maskini {$1.90-3.1}
=>target market ya kitu unachotaka ku import na kwenye pricing uwe makini
=>mpaka mkubwa unaotumiwa ku import bidhaa kenya kutokea tanzania ni Namanga upo huko arusha
=NEXT RWANDA=
Mwendelezo:
--------------------------
Fursa zilizopo Rwanda
Baada ya mda kidongo ivi wa kuwa busy, busy leo ningepena tujadiliane kuhusu fursa za biashara zilizopo kwenye hii jumuiya yetu ya EAC.
Nitatoa muongo kidigo kuhusu nachokijua juu ya EAC na biashara kiujumla ( kwenye EAC) nitaelezea frusa, usafiri na masoko wenye nchi zote 6 za EAC na member wengine wenye uwelewa watatusaidia.
========EAC=========
EAC Inaundwa na nchi 6 {tanzania, kenya, uganda, rwanda,burundi na sudan kusini}
EAC ina population ya watu 168.8ml
===tuanze na kenya==
kenya ina watu 48.5ml
miji mikubwa ya kibashara kenya ni NAIROBI, MOMBASA, NAKURU, ELDORET na KISUMU
bidhaa ambazo zinaweza kutoka ku import kenya na ambazo zina marketi huko ni
1.unga wa mahindi na mahindi yenyewe
2.mchele
3.palm oil
4.nyama za ndege (poultry product)
5.unga wa muhogo
6.pamba
7.ngozi za wanyama
8.live animals
9.mbao
10timber product
11.samaki
12.maziwa mgando
13. maharange ya njano
14matunda
15.vitunguu na wheat.
=> GDP ya wanachi wa kenya ni $1455
=>45.2% ya wakenya ni maskini {$1.90-3.1}
=>target market ya kitu unachotaka ku import na kwenye pricing uwe makini
=>mpaka mkubwa unaotumiwa ku import bidhaa kenya kutokea tanzania ni Namanga upo huko arusha
=NEXT RWANDA=
Mwendelezo:
--------------------------
Fursa zilizopo Rwanda