EAC Tanzania kinara kuvutia Wa-USA

EAC Tanzania kinara kuvutia Wa-USA

Mkuu AGGGOT TZ , kwanza asante kuleta mada hii, na huu ndio uzuri wa jf, kila mtu yuko free kuleta mawazo yake na yataheshimiwa, hivyo hata mimi hapa naheshimu mawazo yako ila pia nakuelimisha maana kuna vitu inawezekana huvijui kuhusu ubeberu na kudhani ukisaidiwa tuu ndio ukubali kufanyiwa kila kitu.

  1. Beberu ni nani na ubeberu ni nini na kwanini nchi iitwe beberu?. Beberu ni mbuzi dume, huwa anazungukwa na majike wengi, huyo beberu anapotaka, haombi bali anajichukulia tuu kitemi, kibabe. Hivyo ubeberu ni tabia ya nchi moja kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine kibabe, kitemi kwa kuilazimisha hiyo nchi kufanya anachotaka beberu vinginevyo beberu atamfanya kwa nguvu.
  2. Kwa lugha ya Kiingerere ubeberu ni imperialisms na ndio the highest stages of capitalism, mabeberu ni imperial powers na nchi ya Marekani ndio kubwa la mabeberu!. Ubeberu huu uko wa aina tatu, political imperialism, economical imperialism na social imperialism.
  3. Kwa vile ubeberu ni tabia chafu na mbaya, mfano wewe ni masikini wa kutupa unaeishi kwenye lindi la umasikini, akatokea tajiri kukusaidia kukupa chakula masherti ya msaada wake kwako ni pamoja na kukusaidia kum service hadi mkeo, jee utakubali tuu kwasababu ni masikini?.
  4. Au kwa vile una njaa sana, usipopata chakula utakufa njaa, anatokea tajiri anakutupia chakula kama mbwa, anakutupia kitumbua kwenye mchanga wewe unakiokota, unakifuta mchanga na kukila, utamsifia aliyekutupia chakula au utatunza heshima yako na utu wako na ikibidi kulala njaa utalala njaa kuliko kudhalilishwa!. Japo ni masikini lakini unakuwa ni masikini jeuri.
  5. Kubwa la mabeberu aliyataka mafuta ya Iraq, akalobby lobby kwa Saadam akashindwa, akamsingizia Iraq ina WMD, yeye na washarika wake wakamtandika Saadam na sasa mafuta ni kama yao. Je what the Americans did in Iraq, is it right?. Is it justified?. Huu ndio ubeberu!.
  6. Baada ya kumuona Gadafi analiughanisha bara la Africa ndilo Bara linaloongoza kwa rasilimali duniani ila pia ndilo bara linaloongoza kwa umasikini. Akaamua Africa tuungane tuunde Bank of Africa, tuachane na WB. Tuunde Africa Monetary Fund tuachane na IMF.
  7. Mawasiliano yote Africa lazima yapite kwa mabeberu kwanza. Kupiga simu Rwanda, simu hiyo lazima kwanza ipite London, Paris, ndipo ije Kigali. Gadafi hajasema huu ni upuuzi, akapandisha Satellite angani Africa tuachane na ITU. unajua kilichotokea?.
  8. Ni kweli Marekani na mabeberu wengine ni rafiki zetu, ni nchi rafiki, nchi Wafadhili, development partners, na wakitusaidia tunawashukuru sana.
  9. Lakini pia ndio hawa hawa wanaotuingilia mambo yetu ya ndani, kwa kutupa misaada yenye masherti. JPM alikataa Jee anajua kwa hakika what happened to him?.
  10. Naamini nimekuelimisha vya kutosha kuhusu mabeberu na ubeberu na kukuomba sana usiwe kibaraka wa mabeberu, kuwa mzalendo kwa nchi yako. Nakuachia na links ya kukuelimisha zaidi.
Mimi ni Mwalimu Paskali

Rejea





Verse versa is True
No free lunch
 
Mkuu AGGGOT TZ , kwanza asante kuleta mada hii, na huu ndio uzuri wa jf, kila mtu yuko free kuleta mawazo yake na yataheshimiwa, hivyo hata mimi hapa naheshimu mawazo yako ila pia nakuelimisha maana kuna vitu inawezekana huvijui kuhusu ubeberu na kudhani ukisaidiwa tuu ndio ukubali kufanyiwa kila kitu.

  1. Beberu ni nani na ubeberu ni nini na kwanini nchi iitwe beberu?. Beberu ni mbuzi dume, huwa anazungukwa na majike wengi, huyo beberu anapotaka, haombi bali anajichukulia tuu kitemi, kibabe. Hivyo ubeberu ni tabia ya nchi moja kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine kibabe, kitemi kwa kuilazimisha hiyo nchi kufanya anachotaka beberu vinginevyo beberu atamfanya kwa nguvu.
  2. Kwa lugha ya Kiingerere ubeberu ni imperialisms na ndio the highest stages of capitalism, mabeberu ni imperial powers na nchi ya Marekani ndio kubwa la mabeberu!. Ubeberu huu uko wa aina tatu, political imperialism, economical imperialism na social imperialism.
  3. Kwa vile ubeberu ni tabia chafu na mbaya, mfano wewe ni masikini wa kutupa unaeishi kwenye lindi la umasikini, akatokea tajiri kukusaidia kukupa chakula masherti ya msaada wake kwako ni pamoja na kukusaidia kum service hadi mkeo, jee utakubali tuu kwasababu ni masikini?.
  4. Au kwa vile una njaa sana, usipopata chakula utakufa njaa, anatokea tajiri anakutupia chakula kama mbwa, anakutupia kitumbua kwenye mchanga wewe unakiokota, unakifuta mchanga na kukila, utamsifia aliyekutupia chakula au utatunza heshima yako na utu wako na ikibidi kulala njaa utalala njaa kuliko kudhalilishwa!. Japo ni masikini lakini unakuwa ni masikini jeuri.
  5. Kubwa la mabeberu aliyataka mafuta ya Iraq, akalobby lobby kwa Saadam akashindwa, akamsingizia Iraq ina WMD, yeye na washarika wake wakamtandika Saadam na sasa mafuta ni kama yao. Je what the Americans did in Iraq, is it right?. Is it justified?. Huu ndio ubeberu!.
  6. Baada ya kumuona Gadafi analiughanisha bara la Africa ndilo Bara linaloongoza kwa rasilimali duniani ila pia ndilo bara linaloongoza kwa umasikini. Akaamua Africa tuungane tuunde Bank of Africa, tuachane na WB. Tuunde Africa Monetary Fund tuachane na IMF.
  7. Mawasiliano yote Africa lazima yapite kwa mabeberu kwanza. Kupiga simu Rwanda, simu hiyo lazima kwanza ipite London, Paris, ndipo ije Kigali. Gadafi hajasema huu ni upuuzi, akapandisha Satellite angani Africa tuachane na ITU. unajua kilichotokea?.
  8. Ni kweli Marekani na mabeberu wengine ni rafiki zetu, ni nchi rafiki, nchi Wafadhili, development partners, na wakitusaidia tunawashukuru sana.
  9. Lakini pia ndio hawa hawa wanaotuingilia mambo yetu ya ndani, kwa kutupa misaada yenye masherti. JPM alikataa Jee anajua kwa hakika what happened to him?.
  10. Naamini nimekuelimisha vya kutosha kuhusu mabeberu na ubeberu na kukuomba sana usiwe kibaraka wa mabeberu, kuwa mzalendo kwa nchi yako. Nakuachia na links ya kukuelimisha zaidi.
Mimi ni Mwalimu Paskali

Rejea





Nitakujibu mkuu nitakapotulia otherwise thank you for your attention
 
===
Kuna watu wanapenda kudharau watu toka Mataifa yaliyoendelea kama Marekani na mengineyo kwa kuwaita eti wao ni "Mabeberu " kitu ambacho sichema kwa ustawi wa nchi na kwanchi zinazotuletea biashara na ajira kama hizi kuwaita "Mabeberu " japo hii sio hoja yangu wacha twende kwenye hoja.

Marekani ni nchi iliyowekeza Tanzania karibu maratatu ya Jumla ya kiasi ilichowekeza Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi,hadi mwaka 2019 Jumla ya uwekezaji wa Marekani kwa Tanzania ulifikia US$1.5BL sawa na TZS 3.45Trilioni ikifuatiwa na Kenya US$353M, Uganda $42M, Rwanda $11M na Burundi US$1M uwekezaji huu wa,Kenya, Uganda,Rwanda na Burundi ni sawa na Jumla ya $407M au TZS 936.1BL.

Baraza la Biashara Africa Mashariki The East African Business Council ( EABC ) tayari limesaini makubaliano (MoU) na Kituo cha Kibiashara cha Africa na Dunia cha The Africa Global Chamber of Commerce (AGCC) ili kuuvuta zaidi uwekeji wa Marekani uje kwa wingi Ukanda huu wa Africa ya Mashariki.

Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imejipambanua kujali na kuthamini kila mwekezaji awe wa nje au wandani kwani sekta binafsi kwa mujibu wa taarifa za TPSF zinaonesha Sekta binafsi kwa Tanzania inabeba zaidi ya 90% ya ajira zote Tanzania,Lakini inachangia 80% ya mapato yote ya Serikali na inabeba 60% ya uwekezaji wote wa nchi.

Tangu Rais Samia aingie madarakani majarida mbalimbali yamekuwa yakiitaja Tanzania kama Sehemu salama zaidi ya kuwekeza kwa mwaka 2021 ikiwa kwenye nafasi ya kumi bora pamoja na Kenya na Rwanda pengine hii ndio inasukuma zaidi kusainiwa kwa hii MoU kati ya AGCC na EABC itakayofungua milango kwa Wamarekani wanaomiliki 25% ya Uchumi wote wa Dunia ambayo ulifikia US$ 84.54Ttrilioni mwaka 2020 kutiririka Africa Mashariki hasahasa Tanzania kwaajili ya kuwekeza zaidi,endelea kujisomea hapo chini..

View attachment 2011191
Kazi nzuri
 
===
Kuna watu wanapenda kudharau watu toka Mataifa yaliyoendelea kama Marekani na mengineyo kwa kuwaita eti wao ni "Mabeberu " kitu ambacho sichema kwa ustawi wa nchi na kwanchi zinazotuletea biashara na ajira kama hizi kuwaita "Mabeberu " japo hii sio hoja yangu wacha twende kwenye hoja.

Marekani ni nchi iliyowekeza Tanzania karibu maratatu ya Jumla ya kiasi ilichowekeza Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi,hadi mwaka 2019 Jumla ya uwekezaji wa Marekani kwa Tanzania ulifikia US$1.5BL sawa na TZS 3.45Trilioni ikifuatiwa na Kenya US$353M, Uganda $42M, Rwanda $11M na Burundi US$1M uwekezaji huu wa,Kenya, Uganda,Rwanda na Burundi ni sawa na Jumla ya $407M au TZS 936.1BL.

Baraza la Biashara Africa Mashariki The East African Business Council ( EABC ) tayari limesaini makubaliano (MoU) na Kituo cha Kibiashara cha Africa na Dunia cha The Africa Global Chamber of Commerce (AGCC) ili kuuvuta zaidi uwekeji wa Marekani uje kwa wingi Ukanda huu wa Africa ya Mashariki.

Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imejipambanua kujali na kuthamini kila mwekezaji awe wa nje au wandani kwani sekta binafsi kwa mujibu wa taarifa za TPSF zinaonesha Sekta binafsi kwa Tanzania inabeba zaidi ya 90% ya ajira zote Tanzania,Lakini inachangia 80% ya mapato yote ya Serikali na inabeba 60% ya uwekezaji wote wa nchi.

Tangu Rais Samia aingie madarakani majarida mbalimbali yamekuwa yakiitaja Tanzania kama Sehemu salama zaidi ya kuwekeza kwa mwaka 2021 ikiwa kwenye nafasi ya kumi bora pamoja na Kenya na Rwanda pengine hii ndio inasukuma zaidi kusainiwa kwa hii MoU kati ya AGCC na EABC itakayofungua milango kwa Wamarekani wanaomiliki 25% ya Uchumi wote wa Dunia ambayo ulifikia US$ 84.54Ttrilioni mwaka 2020 kutiririka Africa Mashariki hasahasa Tanzania kwaajili ya kuwekeza zaidi,endelea kujisomea hapo chini..

View attachment 2011191
Kazi nzuri sana
 
we unaongoza kutoa uzi wa kusifia uongozi wa awamu hii.

unafanya kazi nzuri na unaonekana unalipwa vyema..

Ila kutoa uzi kila mfulululizo we kutwa kisifia na siyo kukosoa ndo hapo naona una ualakini kichwani.....

Hata YESU alikosolewa japo hakuwahi kukosea ...

siyo mbaya kama mkono wako unaenda kinywani na watoto wanaenda shule
Ila hujapinga hoja yangu kuwa Tanzania imepata rais wa kihistoria
 
===
Kuna watu wanapenda kudharau watu toka Mataifa yaliyoendelea kama Marekani na mengineyo kwa kuwaita eti wao ni "Mabeberu " kitu ambacho sichema kwa ustawi wa nchi na kwanchi zinazotuletea biashara na ajira kama hizi kuwaita "Mabeberu " japo hii sio hoja yangu wacha twende kwenye hoja.

Marekani ni nchi iliyowekeza Tanzania karibu maratatu ya Jumla ya kiasi ilichowekeza Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi,hadi mwaka 2019 Jumla ya uwekezaji wa Marekani kwa Tanzania ulifikia US$1.5BL sawa na TZS 3.45Trilioni ikifuatiwa na Kenya US$353M, Uganda $42M, Rwanda $11M na Burundi US$1M uwekezaji huu wa,Kenya, Uganda,Rwanda na Burundi ni sawa na Jumla ya $407M au TZS 936.1BL.

Baraza la Biashara Africa Mashariki The East African Business Council ( EABC ) tayari limesaini makubaliano (MoU) na Kituo cha Kibiashara cha Africa na Dunia cha The Africa Global Chamber of Commerce (AGCC) ili kuuvuta zaidi uwekeji wa Marekani uje kwa wingi Ukanda huu wa Africa ya Mashariki.

Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imejipambanua kujali na kuthamini kila mwekezaji awe wa nje au wandani kwani sekta binafsi kwa mujibu wa taarifa za TPSF zinaonesha Sekta binafsi kwa Tanzania inabeba zaidi ya 90% ya ajira zote Tanzania,Lakini inachangia 80% ya mapato yote ya Serikali na inabeba 60% ya uwekezaji wote wa nchi.

Tangu Rais Samia aingie madarakani majarida mbalimbali yamekuwa yakiitaja Tanzania kama Sehemu salama zaidi ya kuwekeza kwa mwaka 2021 ikiwa kwenye nafasi ya kumi bora pamoja na Kenya na Rwanda pengine hii ndio inasukuma zaidi kusainiwa kwa hii MoU kati ya AGCC na EABC itakayofungua milango kwa Wamarekani wanaomiliki 25% ya Uchumi wote wa Dunia ambayo ulifikia US$ 84.54Ttrilioni mwaka 2020 kutiririka Africa Mashariki hasahasa Tanzania kwaajili ya kuwekeza zaidi,endelea kujisomea hapo chini..

View attachment 2011191
So what? Kuna haja ya kupanua darasa la FDI Inwards na Outwards zinavolink na BOP katika uwekezaji wa nchi na nchi

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo $1.5BL mbona kidogo sana kwenye nchi kubwa hii, yenye watu karibu milioni 60 na rasilimali nyingi? Yaani ukilinganisha utajiri wa mtu kama Bill Gates ambao ni karibu na $138BL inamaanisha Marekani walichowekeza hapa ni chini ya asilimia 2% ya utajiri wa mtu Bill Gates. Sisi bado sana.
 
Mkuu AGGGOT TZ , kwanza asante kuleta mada hii, na huu ndio uzuri wa jf, kila mtu yuko free kuleta mawazo yake na yataheshimiwa, hivyo hata mimi hapa naheshimu mawazo yako ila pia nakuelimisha maana kuna vitu inawezekana huvijui kuhusu ubeberu na kudhani ukisaidiwa tuu ndio ukubali kufanyiwa kila kitu.

  1. Beberu ni nani na ubeberu ni nini na kwanini nchi iitwe beberu?. Beberu ni mbuzi dume, huwa anazungukwa na majike wengi, huyo beberu anapotaka, haombi bali anajichukulia tuu kitemi, kibabe. Hivyo ubeberu ni tabia ya nchi moja kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine kibabe, kitemi kwa kuilazimisha hiyo nchi kufanya anachotaka beberu vinginevyo beberu atamfanya kwa nguvu.
  2. Kwa lugha ya Kiingerere ubeberu ni imperialisms na ndio the highest stages of capitalism, mabeberu ni imperial powers na nchi ya Marekani ndio kubwa la mabeberu!. Ubeberu huu uko wa aina tatu, political imperialism, economical imperialism na social imperialism.
  3. Kwa vile ubeberu ni tabia chafu na mbaya, mfano wewe ni masikini wa kutupa unaeishi kwenye lindi la umasikini, akatokea tajiri kukusaidia kukupa chakula masherti ya msaada wake kwako ni pamoja na kukusaidia kum service hadi mkeo, jee utakubali tuu kwasababu ni masikini?.
  4. Au kwa vile una njaa sana, usipopata chakula utakufa njaa, anatokea tajiri anakutupia chakula kama mbwa, anakutupia kitumbua kwenye mchanga wewe unakiokota, unakifuta mchanga na kukila, utamsifia aliyekutupia chakula au utatunza heshima yako na utu wako na ikibidi kulala njaa utalala njaa kuliko kudhalilishwa!. Japo ni masikini lakini unakuwa ni masikini jeuri.
  5. Kubwa la mabeberu aliyataka mafuta ya Iraq, akalobby lobby kwa Saadam akashindwa, akamsingizia Iraq ina WMD, yeye na washarika wake wakamtandika Saadam na sasa mafuta ni kama yao. Je what the Americans did in Iraq, is it right?. Is it justified?. Huu ndio ubeberu!.
  6. Baada ya kumuona Gadafi analiughanisha bara la Africa ndilo Bara linaloongoza kwa rasilimali duniani ila pia ndilo bara linaloongoza kwa umasikini. Akaamua Africa tuungane tuunde Bank of Africa, tuachane na WB. Tuunde Africa Monetary Fund tuachane na IMF.
  7. Mawasiliano yote Africa lazima yapite kwa mabeberu kwanza. Kupiga simu Rwanda, simu hiyo lazima kwanza ipite London, Paris, ndipo ije Kigali. Gadafi hajasema huu ni upuuzi, akapandisha Satellite angani Africa tuachane na ITU. unajua kilichotokea?.
  8. Ni kweli Marekani na mabeberu wengine ni rafiki zetu, ni nchi rafiki, nchi Wafadhili, development partners, na wakitusaidia tunawashukuru sana.
  9. Lakini pia ndio hawa hawa wanaotuingilia mambo yetu ya ndani, kwa kutupa misaada yenye masherti. JPM alikataa Jee anajua kwa hakika what happened to him?.
  10. Naamini nimekuelimisha vya kutosha kuhusu mabeberu na ubeberu na kukuomba sana usiwe kibaraka wa mabeberu, kuwa mzalendo kwa nchi yako. Nakuachia na links ya kukuelimisha zaidi.
Mimi ni Mwalimu Paskali

Rejea





Mzee Mayala,
 
Kuna watu wanapenda kudharau watu toka Mataifa yaliyoendelea kama Marekani na mengineyo kwa kuwaita eti wao ni "Mabeberu " kitu ambacho sichema kwa ustawi wa nchi na kwanchi zinazotuletea biashara na ajira kama hizi kuwaita "Mabeberu " japo hii sio hoja yangu wacha twende kwenye hoja.

Marekani ni nchi iliyowekeza Tanzania karibu maratatu ya Jumla ya kiasi ilichowekeza Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi,hadi mwaka 2019 Jumla ya uwekezaji wa Marekani kwa Tanzania ulifikia US$1.5BL sawa na TZS 3.45Trilioni ikifuatiwa na Kenya US$353M, Uganda $42M, Rwanda $11M na Burundi US$1M uwekezaji huu wa,Kenya, Uganda,Rwanda na Burundi ni sawa na Jumla ya $407M au TZS 936.1BL.

Baraza la Biashara Africa Mashariki The East African Business Council ( EABC ) tayari limesaini makubaliano (MoU) na Kituo cha Kibiashara cha Africa na Dunia cha The Africa Global Chamber of Commerce (AGCC) ili kuuvuta zaidi uwekeji wa Marekani uje kwa wingi Ukanda huu wa Africa ya Mashariki.

Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imejipambanua kujali na kuthamini kila mwekezaji awe wa nje au wandani kwani sekta binafsi kwa mujibu wa taarifa za TPSF zinaonesha Sekta binafsi kwa Tanzania inabeba zaidi ya 90% ya ajira zote Tanzania,Lakini inachangia 80% ya mapato yote ya Serikali na inabeba 60% ya uwekezaji wote wa nchi.

Tangu Rais Samia aingie madarakani majarida mbalimbali yamekuwa yakiitaja Tanzania kama Sehemu salama zaidi ya kuwekeza kwa mwaka 2021 ikiwa kwenye nafasi ya kumi bora pamoja na Kenya na Rwanda pengine hii ndio inasukuma zaidi kusainiwa kwa hii MoU kati ya AGCC na EABC itakayofungua milango kwa Wamarekani wanaomiliki 25% ya Uchumi wote wa Dunia ambayo ulifikia US$ 84.54Ttrilioni mwaka 2020 kutiririka Africa Mashariki hasahasa Tanzania kwaajili ya kuwekeza zaidi,endelea kujisomea hapo chini..

View attachment 2011191
Kazi iendelee Mama
 
Bila ya matatizo aliyosababisha marehemu, miaka hiyo mitano illiyopita, ingeikuta Tanzania ikiwa kwenye kiwango cha juu sawa na Botswana, Namibia, na kwa karibu na Nigeria na South Afrika.

Uwekezaji ulikuwa unakua kwa 28% kabla ya marehemu. Akauporomosha mpaka 4%!!!

Utawala wa Kikwete was not the best, lakini kwa Magufuli, tukaangukia kwenye utawala mbaya kupindukia. Itatuchukua zaidii ya miaka 15, kuondoa madhara aliyosababisha.

Kuna watu wajinga, wanafurahia kwa marehemu kusababisha idadi kubwa ya machinga kuliko kipindi chochote, bila kutambua kuwa umachinga ni matokeo mabaya ya kuua uwekezaji ambao ungetengeneza ajira nyingi kwa watu wetu.
 
Tatizo huelewi maana ya neno ubeberu. Au kama unaelewa unawashobokea sana wazungu hadi unaudhika wakiitwa beberu.

Ngoja nikueleweshe. Wawekezaji wanatafuta faida tu wala hawawekezi ili mwafrika upate maendeleo. Ili nchi inufaike kwa kupata maendeleo kutokana na uwekezaji lazima kusimamia maslahi yake kwa nguvu na maarifa. Vinginevyo itakua yaleyale ya kunyonywa kama enzi ya ukoloni.

Ubeberu ni ile hali ya ubabe na vitisho (kama beberu la mbuzi) inayotumika na serikali za magharibi kwa nchi changa kuhakikisha maslahi ya wawekezaji na serikali yao yanalindwa dhidi ya maslahi ya nchi wenyeji. Kwa kingereza wanaita economic imperialism, neo imperialism au hata neno imperialism tu hutumika.

Kwa hivyo mabeberu ndio hao hao wawekezaji ndio haohao wafadhili, kwa hivyo ni akili yako tu utumie kuishi nao kwa faida.
Kwa hiyo hiyo tafsiri yako, ni ubeberu ndio ulioubadilisha uchumi wa China kutoka hohehahe mpaka kuwa uchumi wa kisasa. Leo China ndiyo nchi inayoongoza kwa kuvutia uwekezaji toka Ulaya na America. Ni ubeberu ndio ulioifanya South Korea ionekane kama mbingu, na North Korea kuwa jehanamu. Ni ubeberu huo huo ndio ulioifanya Brazili miingoni mwa chumi 7 kubwa Duniani. Ni ubeberu unaowafanya Waafrika kukimbilia South Africa kutafuta maisha.

Kama ubeberu unaweza kufanya haya yote, kama ubeberu imeifanya China, taifa lenye watu wengi Duniani, kuutafuta na kuukumbatia, nasi tufanye hivyo hivyo kwa sababu kuna faida kubwa zaidi kuwa karibu na beberu kuliko kujitenga naye.

Marehemu alitulisha uwendawazimu. Akatudanganya kuwa sisi ni matajiri. China lilipopelekwa pendekezo UN kuwa iingizwe kwenye nchi tajiri iligoma kwa maeezo kuwa wananchi wake wengi bado ni maskini. Pato lao kubwa ni kutokana na ukubwa wa nchi na uwingi wa watu na siyo kutokana na kipato kikubwa cha wananchi wake.

Kwetu, mjinga ambaye hata kununua pikipiki anajifikiria mara 2, anaambiwa ni tajiri, anakenua meno na kukubali.
 
Back
Top Bottom