EACOP vs Lamu pipeline

EACOP vs Lamu pipeline







MY TAKE
EU members with hypocrisy! Hardly covered n won't even be given a unanimously resolution by EU Parliament just like EACOP!


Halafu Magufuli alikuwa akiongelea "ubeberu" na "vita ya uchumi" wapuuzi wachache (CHADEMA) wanapayuka hao.

Wapuuzi wanadhani "ubeberu" uliisha wakati wa Nyerere. Hawajui kuwa harakati za kutawala dunia ni harakati za kudumu. Zipo toka historia haijaanza kuandikwa, na zitakuwepo mpaka mwisho wa uwepo wa binadamu.
 
Back
Top Bottom