EALA: Kinana na Shaka wawafunda Wabunge wa CCM walioapa, Mnyaa wa CUF ndani, ACT Wazalendo hawakubahatika CHADEMA walisusa

Jabali la Siasa

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2020
Posts
2,823
Reaction score
2,466
WABUNGE WA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI ( EALA ) WAAPA KIAPO CHA UAMINIFU

Katibu wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki Bw. Alex Obatre ameongoza zoezi la kuwaapisha wabunge wapya kutoka Nchi Wanachama saba ambazo ni Tanzania, Burundi, Kenya, Uganda, Rwanda, Sudan Kusini, na Kongo DRC.

Viongozi mbali mbali wakiwemo Mawaziri, wabunge, maspika wastaafu wa bunge hilo, viongozi wa wandamizi wa serikali na viongozi wa kisiasa wamehudhuria hafla hiyo akiwemo Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Cde Abdulrahman Kinana pamoja na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka.
 
WABUNGE WA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI WAAPA KIAPO CHA UAMINIFU

Katibu wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki Bw. Alex Obatre ameongoza zoezi la kuwaapisha wabunge wapya kutoka Nchi Wanachama saba ambazo ni Tanzania, Burundi, Kenya, Uganda, Rwanda, Sudan Kusini, na Kongo DRC.

Viongozi mbali mbali wakiwemo Mawaziri, wabunge, maspika wastaafu wa bunge hilo, viongozi wa wandamizi wa serikali na viongozi wa kisiasa wamehudhuria hafla hiyo akiwemo Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Cde Abdulrahman Kinana pamoja na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka.

Matukio katika Picha🕹️
 
Hawa wabunge wako huko kwa ajili ya kujamiiana tu. Sijawahi kuona tija ya hili bunge. Siku nikiwa rais nitalifuta.
 
Bandiko zuri ila umeharibu uliposema Chadema waambulia patupu, Acha mahaba Niue. Wakati unajua tokea mchakato ulipoanza Chadema walisusa...sasa hapo ulitegemea wataibuka kama MZUKA?
Naona unaweweseka na Chagademus & Pliers....
 
Upuuzi mtupu!

Ni fedheha kubwa na kuzitia unajisi nchi kama Kenya yenye kiwango cha juu cha ustaarabu wa demokrasia, wabunge wake kwenda kukaa pamoja na wawakilishi wa CCM, chama kilichojaa uchsfu na kisichojua wala kuheshimu demokrasia.

Tanzania chini ya CCM, na nchi kama Burundi, Rwanda na Uganda, zilitakiwa kuwa jumuia yao. Jumuia ya nchi zisizoelewa ustaarabu wala demokrasia na haki ya kuchagua na kuchaguliwa.
 
Tanzania bara ni wapi?
 
Asante Sana Crde JUMA JUMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…