Nauza Earphones original za Samsung nimetoa kwenye simu(baada ya simu ya kwanza kupotea) bei yake ni elf 8 tu(hazijatumika hata siku moja-brand new), pia kuna charger ya Samsung nyeupe na ina flash light kuonyesha chaji inaingia au imeshajaa,bei elf 8 tu.
Nipo dar mitaa ya posta, kama mtu anachukua leo nampunguzia bei.
karibuni
Nipo dar mitaa ya posta, kama mtu anachukua leo nampunguzia bei.
karibuni