Earphones zinaniua taratibu

Earphones zinaniua taratibu

Camp Lehigh

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2018
Posts
335
Reaction score
612
Ukisikia tamu chungu au sikio la kufa halisikii dawa ndio huku sasa. Toka mwezi July sikio la upande wa kulia linauma. Kichwa kinauma muda mwingi ajili ya kuvaa earphones kila wakati ila sikomi.

Nahisi kansa ya ubongo ndio inaninyemelea kutokana na maumivu nayopata upande wa kisogoni. Lakini yote na yote, nimeshindwa kuacha kuvaa earphones na kusikiliza muziki katika sauti ya juu zaidi.

Naomba msaada wenu waheshimiwa.
 
Madness is doing the same thing over and over again hoping to get different results.

Unahisi cancer inakunyemelea lakini bado umeshindwa kuacha? It is about choices you make in life na wala ushauri wa mtu hauwezi kukusaidia
 
Madness is doing the same thing over and over again hoping to get different results.

Unahisi cancer inakunyemelea lakini bado umeshindwa kuacha? It is about choices you make in life na wala ushauri wa mtu hauwezi kukusaidia
How about your drinking habit..?
And Betting
 
Hamna jinsi Unatakiwa uache tu mkuu..hakuna ushauri Mwingine zaidi ya kuacha.

Kama umeona madhara yake kiafya acha kwani unakoelekea sio kusuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengine earphones zinawakataa kulingana na uimara wa masikio yao kuwa duni. I included.
Tatizo music ni mtamu na raha ya muziki uusikie pasipo bugudha
 
1. Tafuta kazi za kufanya. Ziwe kazi za kukufikirisha/ zinazohitaji concentration.

Au,

2. Tafuta alternative hobby ya kucover muda ambao utakuwa unajizuia kuvaa hiyo mi-earphone.

It takes 3 weeks to get over/develop new habits. So do yourself a favor and stop fvcking around exposing your weaknesses to people man.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unatumia earphone zakichina

Mimi nina miaka kumi sasa, na mpaka saizi napost hii reply nimezivaa
 
Back
Top Bottom