Camp Lehigh
JF-Expert Member
- Nov 20, 2018
- 335
- 612
- Thread starter
- #21
Mia ngapi ulinunua.Unatumia earphone zakichina
Mimi nina miaka kumi sasa, na mpaka saizi napost hii reply nimezivaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mia ngapi ulinunua.Unatumia earphone zakichina
Mimi nina miaka kumi sasa, na mpaka saizi napost hii reply nimezivaa
Dawa ni kusikiliza kwa sikio la upande mmoja kama moja linazingua.kabisa aisee
Shida sio kufa. Shida ni mateso kabla ya kufa. Hasa kwa wale wanaonizunguka, nitawasumbua na kuwasononesha mno.
I don't give fucck about myself. I do to other
Ukisikia tamu chungu au sikio la kufa halisikii dawa ndio huku sasa. Toka mwezi july sikio la upande wa kulia linauma. Kichwa kinauma muda mwingi ajili ya kuvaa earphones kila wakati ila sikomii.
Nahisi kansa ya ubongo ndio inaninyemelea kutokana na maumivu nayopata upande wa kisogoni. Lakini yote na yote nimeshindwa kuacha kuvaa earphones na kusikiliza muziki katika sauti ya juu zaidi.
Naomba msaada wenu waheshimiwa
very good advice.1. Tafuta kazi za kufanya. Ziwe kazi za kukufikirisha/ zinazohitaji concentration.
Au,
2. Tafuta alternative hobby ya kucover muda ambao utakuwa unajizuia kuvaa hiyo mi-earphone.
It takes 3 weeks to get over/develop new habits. So do yourself a favor and stop fvcking around exposing your weaknesses to people man.
Sent using Jamii Forums mobile app