Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
- Thread starter
- #261
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufoka ni kazi rahisi sana. Mtu yeyote anaweza kufanyaHakuna waziri wa Kenya mwenye guts za kumfokea mchina hivi, Tony254 angalia jeuri ya kutumia pesa zako.
Ninyi mpo kupika data tu kwa ground ni hivi
View attachment 1619533
Kufoka kwenye mambo ya msingi unapoona upumbavuKufoka ni kazi rahisi sana. Mtu yeyote anaweza kufanya
Huku Tanzania Wachina huwa wanapigwa penalty au hupigwa penalty na kufukuzwa kabisa wakiharibu!Kufoka ni kazi rahisi sana. Mtu yeyote anaweza kufanya
President John Pombe Magufuli.
Hili linajengwa wapi huko?Government city complex Dodoma (U/C)
![]()
![]()
![]()
Na wale wa Mbezi Luis bus terminal tunasubiri wamalize kazi tuwapeleke mahakamaniHuku Tanzania Wachina huwa wanapigwa penalty au hupigwa penalty na kufukuzwa kabisa wakiharibu!
Rekebisho dogo Ikulu ni neno la kinyamwezi makao makuu anapoishi mtemi Si wagogo na hata mfumo unaotumiwa nikama huo ndio maana kuna Mnilkulu amabalo pia ni neno la kinyawezi mtu anayeangalia mambo ya ikulu
Shida yenu vitu za kawaida mnaziona vitu kubwa wakati huku ni za kawaida. Huku hatuitaji waziri kumfokea mchina, hata MCA, MP, chifu ama hata raia wanaweza. Muone huyu MP hapa akimfokea Mchina na hatupigi kelele. Wakenya hatuna uoga kama huo wenu.Hakuna waziri wa Kenya mwenye guts za kumfokea mchina hivi, Tony254 angalia jeuri ya kutumia pesa zako.
Ninyi mpo kupika data tu kwa ground ni hivi
View attachment 1619533